busara

Busara was a literary journal published quarterly by the East African Publishing House, and later biannually, by the English Department at the University of Nairobi. It was first published under that name in 1968, and became one of the most influential literary journals of its time in Kenya. Jared Angira became its editor in chief in 1969.Originally the journal was founded as Nexus, and four issues appeared in 1967 and 1968, but it was renamed in 1968: "Busara" means "wisdom" in Kiswahili. Awori wa Kataka and Richard Gacheche were its first editors under that name; the choice for a Kiswahili name was influenced by other publications doing the same thing at a time when there was broad discussion in newly-independent Kenya about a national language.Notable contributors and editorial staff included Taban lo Liyong, Grace Ogot, Adrian Roscoe, Angus Calder, and Ngũgĩ wa Thiong'o, Jared Angira, and Chris Wanjala.

View More On Wikipedia.org
  1. Q

    Sheria na Busara ni mapacha. Mchungaji Mtikila aliwahi kumwambia Rais Mwinyi ‘watamrudisha Zanzibar kwenye jeneza’, hakuitwa mhaini

    Enzi za utawala wa Mwinyi miaka ya 80, mwanasiasa machachari Joseph Mtikila alikuwa akimuita Rais Mwinyi ni ‘TX’ kutoka Zanzibar na aliwahi kumwambia arudi mwenyewe Zanzibar kabla hajarudishwa kwenye jeneza, hii ilikuwa kwenye mkutano wa hadhara viwanja vya Jangwani kwa waliokuwepo wakati huo...
  2. Mwl.RCT

    SoC03 Unyenyekevu Sio Utumwa, Unyenyekevu ni Busara katika Uongozi; Msidharau Sauti za Watu, Msidharau Vilio vya Watu, Wasikilizeni

    UNYENYEKEVU SIO UTUMWA, UNYENYEKEVU NI BUSARA KATIKA UONGOZI; MSIZARAU SAUTI ZA WATU, MSIZARAU VILIO VYA WATU, WASIKILIZENI Imeandikwa na: MwlRCT UTANGULIZI Katika makala hii tutaangazia kauli ya ndugu G. Lema (2023 Jun 19), ambaye alisema "Unyenyekevu sio utumwa, unyenyekevu ni busara katika...
  3. Dr Akili

    Waziri Bashe anajisikiaje baada Rais kupiga marufuku chakula kuuzwa nje ya nchi? Ni busara akaachia ngazi

    Waziri wa kilimo mwaka jana alikomalia kuuza chakula nje ya nchi. Kitendo hicho kililalamikiwa sana kusababisha bei ya vyakula nchini kupanda zaidi ya maradufu, lakini waziri huyu alikomalia jambo hilo akitoa sababu eti anawatajirisha wakulima, wakati ukweli ni kuwa alikuwa akiwatajirisha...
  4. Ileje

    Busara ya Baba Askofu Bagonza kuhusu mkataba wa bandari

    BANDARI IMEUZWA au IMEKODISHWA? Suala la Bandari limekuwa gumzo. Hata Bubu wanaongea na woga unajaa ujasiri. Waliozoea kuongea wamekuwa bubu. Kwanini? 1. Je, imeuzwa au imekodishwa? 2. Je, imeuzwa au tumekodi mwendeshaji? 3. Je, ni kweli tayari imeuzwa, imekodishwa au kuajiri hiyo...
  5. gstar

    RIWAYA: Mzee wa Busara

    RIWAYA: MZEE WA BUSARA MWANDISHI - SULTAN TAMBA ANGALIZO, Riwaya hii ni ya zamani iliwahi kutamba kwenye magazeti ya kila wiki, leo nimewaletea mpate kuburdika. MWANZO NILIHISI kupagawa. Akili yangu ilikuwa mbali sana usiku huo. Sjiui mtanielewa nikisema kwamba nilikuwa kwenye ndoto katika...
  6. Yesu Anakuja

    2025 Tanzania tunatakiwa kufanya uamuzi wa busara sana

    Kuna mambo mengi sana yanahitaji wazalendo pekee kuipeleka hii nchi hatua inayostahili. Ninamuomba Mungu awasaidie Watanzania kutambua hili na mwaka 2025 watumie uwezo wao wote wa akili, hekima na busara kufanya maamuzi yatakayoleta maendeleo katika hili taifa. Ukisikiliza bunge, ukiona...
  7. Mtemi mpambalioto

    Maharage Chande: Si busara kushusha bei ya umeme

    kutoka katika gazeti la mwananchi: Mkurugenzi wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Maharage Chande amesema hadhani kama ni busara kushusha bei ya umeme baada ya mradi wa kuzalisha umeme wa Julius Nyerere (JNHPP) kuanza uzalishaji. Chande amebainisha hayo leo Mei 26, 2023 wakati akijibu...
  8. D

    NEMC wamethubutu kuanza kudhibiti kelele, wasivunjwe moyo na Mamlaka zingine za serikali zenye viongozi wasiotumia busara

    Wale ambao hamukerwi na kelele endelei kunyamaza hivyohivyo! Juzi niliwashauri NEMC kupitia Uzi https://www.jamiiforums.com/threads/hongereni-sana-nemc-kwa-kuanza-udhibiti-kelele-kwenye-bar-lakini-fanyeni-haya-kuboresha-zoezi.2094376/ Kwamba; Walipaswa kuenenda kwa umakini sana kwenye zoezi...
  9. Rwetembula Hassan Jumah

    Kwanini Jukwaa kama hili hakuna wazee wa busara maana uku kuna vijana wa ovyo, malezi zero

    Mambo yanabadilika kila kukicha kuhusu malezi, mpaka malezi kubadilika kuna sababu. ..Kipindi cha nyuma malezi yalikuwa bora tena sana japo watoto watukutu hawakukosekana. 👇 Lakini ukichunguza vizuri hao watoto watukutu wanatokea familia za aina gani ? utagundua familia hizo ni za walevi au...
  10. Binadamu Mtakatifu

    Video: Busara za Mwalimu Nyerere, tuungane

    Tusiishi kinyongeee
  11. B

    CCM yatoa maagizo waliotajwa ripoti za CAG, Takukuru

    Chama tawala nao wamesema: Hiki angalau kimtindo, kitakuwa kimeumana. Ngoja tuone. ----- Chama tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimeitaka Serikali kuwachukulia hatua kwa waliohusika kwenye ubadhirifu na matumizi mabaya ya madaraka katika taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu...
  12. B

    Kenya kesho labda kwa busara za Museveni siyo za Gachagua

    Kesho ni jumatatu nyingine: Hili sasa ni lenye kuhitaji akili kubwa: Wenye busara wapo: Lakini siyo huyu bwana: Kwetu wapigania haki au Uhuru kwa jina la ukombozi elimu haina mwisho. Inafahamika elimu kama hii kutokuwa na maana kwa walamba asali, wahuni au wale vijana wa hovyo...
  13. Chipoku

    Machozi ya Mwita Waitara (Mb) Vs Ubabe wa RC Mzee: Hitajio la Busara za Rais Samia Suhuhu

    Machozi ya waitara,ubabe wa Julius Marwa Tarime - Mara Bila shaka yanayoendelea mkoani mara wilayani tarime kata ya nanyungu si ya kuachwa na kutazamwa yapite bali busara za mama zinahitajika haraka Labda niwakumbushe kidogo watanzania wenzangu eneo hili lenye...
  14. TheForgotten Genious

    Si busara kumruhusu mtoto aanze kujitegemea wakati hana chochote

    Kuna dhana imezoeleka na wazazi ambao vijana wao wamefikia umri wa kujitegemea kuwaruhu ama kuwataka waondoke nyumbani ili hali hawana chochote na inawezekana hata kazi hana inayoeleweka. Hii hali ina athari nyingi sana kwa vijana wa jinsia zote ila kwa wakike ndio zaidi. Kijana kuhitimu chuo...
  15. Roving Journalist

    Freeman Mbowe: CCM ijenge mifumo ya kudhibiti viongozi wake ndani ya Chama ili wasiumize Watanzania

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki Kongamano la Siku ya Wanawake Duniani lilioandaliwa na Baraza la Wanawake wa CHADEMA (BAWACHA) katika Ukumbi wa Kuringe - Mkoa wa Kilimanjaro leo tarehe 08 Machi, 2023. Rais Samia akipokelewa na Viongozi wa Chadema...
  16. K

    Miaka miwili ya Rais Samia alifanya maamuzi ya busara kuruhusu chanjo ya UVIKO-19

    Ikiwa ni miaka miwili tangu Rais Samia Suluhu aingie madarakani kuna mengi ameyafanya lakini kuruhusu chanjo ya UVIKO-19 nchini na yeye kuwa wa kwanza kuchoma chanjo mbele ya watanzania wote yalikua ni maamuzi ya busara na ujasiri. Ilionyesha jinsi gani yeye ni kiongozi kwenye chochote...
  17. ChoiceVariable

    Lema: Bodaboda imekuwa ni ajira ya Laana

    Hello! Naona Lema ameanza kwa gia ya matusi kwa wanaojiita bodaboda. Lema amesema bodaboda sio kazi ila ni laana. Hivi hizi si ni dharau kwa vijana wa bodaboda? Yaani watu wanaendesha familia kwa kazi hiyo halafu anakuja mtu anawadharau na kutukana eti wamelaaniwa? Nyie wafuasi wa CHADEMA...
  18. K

    Je, Naibu Spika Zungu ana busara na uzalendo kuliko Dkt. Tulia?

    Naona kwa wapenda maendeleo hawa wabunge ambao hawana mvuto wala kupedwa kisiasa ndiyo wanakuwa tatizo. Zungu mfano hana tatizo lolote na mabadiliko ya katiba wala nchi kwasababu ana mvuto na kuelewa siasa. Dr Tulia hajawahi kushinda chochote wala kupedwa na ndiyo maana anahangaika. Ni wakati...
  19. M

    Tundu Lissu ni vyema na busara kama huna uhakika Waliokushambulia ni akina nani basi Unyamaze tu

    Huko nyuma ulianza kwa Kuwatuhumu Watu wa TISS ukatuchanganya. Katikati tena ukaja kusema Ulishambuliwa na Askari wa Kukodi wa Rwanda. Hukuchelewa miaka kadhaa nyuma ukiwa Ulaya ulikokaribishwa ukawatuhumu Police Tanzania. Haya jana sijui leo nimeona Umewatuhumu Wanajeshi kwa lililokutokea...
  20. M

    Ruto anaunga mkono busara za Magufuli

    Kutoka tovuti ya Nation: https://nation.africa/kenya/news/politics/kenya-has-only-one-president-and-it-is-me-william-ruto-tells-raila-odinga-4101572 Huku kwetu bahati mbaya busara hii ya kutenga muda wa siasa na muda wa kazi imeonekana haina maana. Kampeni zisizokwisha zinaungwa mkono sasa.
Back
Top Bottom