Busara was a literary journal published quarterly by the East African Publishing House, and later biannually, by the English Department at the University of Nairobi. It was first published under that name in 1968, and became one of the most influential literary journals of its time in Kenya. Jared Angira became its editor in chief in 1969.Originally the journal was founded as Nexus, and four issues appeared in 1967 and 1968, but it was renamed in 1968: "Busara" means "wisdom" in Kiswahili. Awori wa Kataka and Richard Gacheche were its first editors under that name; the choice for a Kiswahili name was influenced by other publications doing the same thing at a time when there was broad discussion in newly-independent Kenya about a national language.Notable contributors and editorial staff included Taban lo Liyong, Grace Ogot, Adrian Roscoe, Angus Calder, and Ngũgĩ wa Thiong'o, Jared Angira, and Chris Wanjala.
Enzi za utawala wa Mwinyi miaka ya 80, mwanasiasa machachari Joseph Mtikila alikuwa akimuita Rais Mwinyi ni ‘TX’ kutoka Zanzibar na aliwahi kumwambia arudi mwenyewe Zanzibar kabla hajarudishwa kwenye jeneza, hii ilikuwa kwenye mkutano wa hadhara viwanja vya Jangwani kwa waliokuwepo wakati huo...
UNYENYEKEVU SIO UTUMWA, UNYENYEKEVU NI BUSARA KATIKA UONGOZI; MSIZARAU SAUTI ZA WATU, MSIZARAU VILIO VYA WATU, WASIKILIZENI
Imeandikwa na: MwlRCT
UTANGULIZI
Katika makala hii tutaangazia kauli ya ndugu G. Lema (2023 Jun 19), ambaye alisema "Unyenyekevu sio utumwa, unyenyekevu ni busara katika...
Waziri wa kilimo mwaka jana alikomalia kuuza chakula nje ya nchi. Kitendo hicho kililalamikiwa sana kusababisha bei ya vyakula nchini kupanda zaidi ya maradufu, lakini waziri huyu alikomalia jambo hilo akitoa sababu eti anawatajirisha wakulima, wakati ukweli ni kuwa alikuwa akiwatajirisha...
BANDARI IMEUZWA au IMEKODISHWA?
Suala la Bandari limekuwa gumzo. Hata Bubu wanaongea na woga unajaa ujasiri. Waliozoea kuongea wamekuwa bubu. Kwanini?
1. Je, imeuzwa au imekodishwa?
2. Je, imeuzwa au tumekodi mwendeshaji?
3. Je, ni kweli tayari imeuzwa, imekodishwa au kuajiri hiyo...
RIWAYA: MZEE WA BUSARA MWANDISHI - SULTAN TAMBA
ANGALIZO, Riwaya hii ni ya zamani iliwahi kutamba kwenye magazeti ya kila wiki, leo nimewaletea mpate kuburdika.
MWANZO
NILIHISI kupagawa. Akili yangu ilikuwa mbali sana usiku huo. Sjiui mtanielewa nikisema kwamba nilikuwa kwenye ndoto katika...
Kuna mambo mengi sana yanahitaji wazalendo pekee kuipeleka hii nchi hatua inayostahili. Ninamuomba Mungu awasaidie Watanzania kutambua hili na mwaka 2025 watumie uwezo wao wote wa akili, hekima na busara kufanya maamuzi yatakayoleta maendeleo katika hili taifa.
Ukisikiliza bunge, ukiona...
kutoka katika gazeti la mwananchi:
Mkurugenzi wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Maharage Chande amesema hadhani kama ni busara kushusha bei ya umeme baada ya mradi wa kuzalisha umeme wa Julius Nyerere (JNHPP) kuanza uzalishaji.
Chande amebainisha hayo leo Mei 26, 2023 wakati akijibu...
Wale ambao hamukerwi na kelele endelei kunyamaza hivyohivyo!
Juzi niliwashauri NEMC kupitia Uzi
https://www.jamiiforums.com/threads/hongereni-sana-nemc-kwa-kuanza-udhibiti-kelele-kwenye-bar-lakini-fanyeni-haya-kuboresha-zoezi.2094376/
Kwamba; Walipaswa kuenenda kwa umakini sana kwenye zoezi...
Mambo yanabadilika kila kukicha kuhusu malezi, mpaka malezi kubadilika kuna sababu.
..Kipindi cha nyuma malezi yalikuwa bora tena sana japo watoto watukutu hawakukosekana.
👇
Lakini ukichunguza vizuri hao watoto watukutu wanatokea familia za aina gani ? utagundua familia hizo ni za walevi au...
Chama tawala nao wamesema:
Hiki angalau kimtindo, kitakuwa kimeumana.
Ngoja tuone.
-----
Chama tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimeitaka Serikali kuwachukulia hatua kwa waliohusika kwenye ubadhirifu na matumizi mabaya ya madaraka katika taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu...
Kesho ni jumatatu nyingine:
Hili sasa ni lenye kuhitaji akili kubwa:
Wenye busara wapo:
Lakini siyo huyu bwana:
Kwetu wapigania haki au Uhuru kwa jina la ukombozi elimu haina mwisho.
Inafahamika elimu kama hii kutokuwa na maana kwa walamba asali, wahuni au wale vijana wa hovyo...
Machozi ya waitara,ubabe wa
Julius Marwa
Tarime - Mara
Bila shaka yanayoendelea mkoani mara wilayani tarime kata ya nanyungu si ya kuachwa na kutazamwa yapite bali busara za mama zinahitajika haraka
Labda niwakumbushe kidogo watanzania wenzangu eneo hili lenye...
Kuna dhana imezoeleka na wazazi ambao vijana wao wamefikia umri wa kujitegemea kuwaruhu ama kuwataka waondoke nyumbani ili hali hawana chochote na inawezekana hata kazi hana inayoeleweka.
Hii hali ina athari nyingi sana kwa vijana wa jinsia zote ila kwa wakike ndio zaidi. Kijana kuhitimu chuo...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki Kongamano la Siku ya Wanawake Duniani lilioandaliwa na Baraza la Wanawake wa CHADEMA (BAWACHA) katika Ukumbi wa Kuringe - Mkoa wa Kilimanjaro leo tarehe 08 Machi, 2023.
Rais Samia akipokelewa na Viongozi wa Chadema...
Ikiwa ni miaka miwili tangu Rais Samia Suluhu aingie madarakani kuna mengi ameyafanya lakini kuruhusu chanjo ya UVIKO-19 nchini na yeye kuwa wa kwanza kuchoma chanjo mbele ya watanzania wote yalikua ni maamuzi ya busara na ujasiri.
Ilionyesha jinsi gani yeye ni kiongozi kwenye chochote...
Hello!
Naona Lema ameanza kwa gia ya matusi kwa wanaojiita bodaboda. Lema amesema bodaboda sio kazi ila ni laana.
Hivi hizi si ni dharau kwa vijana wa bodaboda? Yaani watu wanaendesha familia kwa kazi hiyo halafu anakuja mtu anawadharau na kutukana eti wamelaaniwa?
Nyie wafuasi wa CHADEMA...
Naona kwa wapenda maendeleo hawa wabunge ambao hawana mvuto wala kupedwa kisiasa ndiyo wanakuwa tatizo.
Zungu mfano hana tatizo lolote na mabadiliko ya katiba wala nchi kwasababu ana mvuto na kuelewa siasa. Dr Tulia hajawahi kushinda chochote wala kupedwa na ndiyo maana anahangaika.
Ni wakati...
Huko nyuma ulianza kwa Kuwatuhumu Watu wa TISS ukatuchanganya.
Katikati tena ukaja kusema Ulishambuliwa na Askari wa Kukodi wa Rwanda.
Hukuchelewa miaka kadhaa nyuma ukiwa Ulaya ulikokaribishwa ukawatuhumu Police Tanzania.
Haya jana sijui leo nimeona Umewatuhumu Wanajeshi kwa lililokutokea...
Kutoka tovuti ya Nation:
https://nation.africa/kenya/news/politics/kenya-has-only-one-president-and-it-is-me-william-ruto-tells-raila-odinga-4101572
Huku kwetu bahati mbaya busara hii ya kutenga muda wa siasa na muda wa kazi imeonekana haina maana. Kampeni zisizokwisha zinaungwa mkono sasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.