busara

Busara was a literary journal published quarterly by the East African Publishing House, and later biannually, by the English Department at the University of Nairobi. It was first published under that name in 1968, and became one of the most influential literary journals of its time in Kenya. Jared Angira became its editor in chief in 1969.Originally the journal was founded as Nexus, and four issues appeared in 1967 and 1968, but it was renamed in 1968: "Busara" means "wisdom" in Kiswahili. Awori wa Kataka and Richard Gacheche were its first editors under that name; the choice for a Kiswahili name was influenced by other publications doing the same thing at a time when there was broad discussion in newly-independent Kenya about a national language.Notable contributors and editorial staff included Taban lo Liyong, Grace Ogot, Adrian Roscoe, Angus Calder, and Ngũgĩ wa Thiong'o, Jared Angira, and Chris Wanjala.

View More On Wikipedia.org
  1. NetMaster

    Kama una ugonjwa unaokupa tabu maishani na unarithishwa fikiria kuhusu kuasili

    Nimetoka kucheki documentary ya magonjwa yanayorithika nimeona nije kuweka maoni, Magonjwa ya kuruthi: kifafa cha kurithi. sickle cell. CCHS ; tunavyopumua huwa hatufikirii kupumua, wenye ygonjwa huu inabidi wafikirie ili wapumue, wanapolala inabidi watumie mashine kuwasaidia. Kansa ya mifupa...
  2. chiembe

    Moses Machali, bila kutumia busara za kiuongozi, anguko lako la kisiasa litatokea Bukoba. Samia anataka majadiliano, wewe umefunga maduka Wilaya nzima

    Moses Machali anafanya Siasa au uongozi wa kitoto kitoto. Viongozi hukaa na kusikilizana na kushauriana. Huyu anaenda kwa viongozi anaanza kuwatukana na kuwadharau, hajui humo ndani ndio Kuna kura za wananchi, wakiamua kukichafua, hiyo kagera ataiona ya moto Huyu ni mabaki ya wale waliokuwa...
  3. L

    Itachukua Miaka Mingi Kumpata Rais Samia Mwingine Mwenye moyo wa upendo, uvumilivu, Hekima, Busara, Unyenyekevu, Subira, Usikivu na uzalendo

    Ndugu zangu Ni viongozi wachache Sana wenye moyo Kama alionao Rais mama Samia, Wenye uwezo wa kuvumilia kukosolewa na kila mtu na yeyote, mwenye uwezo wa kumsikiliza kila mtu bila kujari itikadi za kisiasa,mwenye uwezo wa kukaa mezani na yeyote kujadili masuala ya kitaifa,mwenye uwezo wa kusoma...
  4. RWANDES

    Jaji Warioba: Dkt. Bashiru ajibiwe kwa hoja, hajafanya kosa lolote acheni kumshambulia

    WAZIRI Mkuu Mstaafu, Jaji Joseph Sinde Warioba, ameeleza kuwa Balozi Bashiru Ally, hajafanya kosa lolote hakustahili kushambuliwa. Amesema, watu wajibu hoja badala ya kumshambulia yeye binafsi. --- Jaji Mstaafu Joseph Warioba amesema alichokisema Mbunge Dkt. Bashiru...
  5. Kabende Msakila

    Rwanda na DRC mbabe anajulikana, busara zitumike

    WanaJf, Hi! Nchi ya Rwanda na DRC ni majirani zetu kabisa na ni washirika wa Jumuiya ya Afrika Mashariki. Hata hivyo matukio ya usimikaji na ufadhili wa kundi la M23 unaofanywa na nchi ya Rwanda hatuwezi kuubariki katu sababu madhara kwa raia ni MENGI sana. Sasa hata iwe vipi iwapo nchi hizi...
  6. FRANCIS DA DON

    Kukopa Trillion 4 ndani ya wiki 1 huku Mradi wa Bwawa la Nyerere umekwama kwa kukosa pesa si busara

    Hizo trillion 4 zinaenda wapi wakati hata pesa za miradi muhimu kabisa hakuna?! Ni kwanini tusikope fedha kukamilisha miradi strategic ambayo tumeshaianza?
  7. N

    Baada ya kufuma messages za kumtumia muamala mchepuko, mke aja juu nae achukua kiasi cha pesa huku akiapa kutokirudisha. Busara ni kufanya nini hapa?

    Ndo hivyo wadau! Mke afuma muamala wa 20k kwenda kwa mchepuko huku msg za kushukuru na malavidavi nyingi tu. Mke akasirika na kuzama mfukoni mwa suruali ya mumewe wakati yupo bafuni na kutoka na 30k huku akijiapiza kutoirudisha hiyo kwa madai kuwa anapata tabu kumbe hela zinaenda kwa malaya...
  8. chiembe

    Dk. Mwaka, tumia busara kidogo, namshauri RPC au RC wamuite na kumtaka aombe radhi, hii amani imepatikana kwa gharama

    Namshauri Dk mwaka aombe radhi tu, hakuna atakachopungukiwa. Analeta malumbano yasiyo na msingi. Namshauri Mkuu wa Mkoa amwite na kumnasaha aombe radhi, ikishidikana RPC amwite kwa mahojiano, maana analeta viashiria vya uvunjifu wa amani nchini. Ahojiwe,labda anatumika na kundi ambalo...
  9. R

    Kenya 2022 Sikiliza Busara za Ansbert Ngurumo kutoka juu ya funzo kutoka uchaguzi wa Kenya

    Uchambuzi kutoka akili kubwa. Changia hoja na si matusi. Challenge hoja zake, then JF itakuwa na Great Thinkers. Msikilize CC Tundu Lisu; Mbowe Freeman, Godbless Lema
  10. ChengulaJr

    SoC02 Busara za Babu na Safari ya mjukuu

    Nilimkuta amejikunyata ndani ya blanketi lake lililokuwa na rangi ya udhurungi, macho yake hafifu yalikua yakilitazama jua, ambalo lilikuwa likitoka huko mafichoni lilikokuwa ili kuja kuungaza ulimwengu, katikati ya mapengo yake ya mbele, alikua amekibananisha kiko chake vilivyo ili moshi wa...
  11. sepema

    Mwenye ajira na asiye na ajira kwenye zoezi la Sensa 2022 - itumike haki au busara?

    Nisiku nyingine tena, Kuna walioamka na hasira huku wengine wakiamka na furaha. Ndio, nazungumzia watu waliokuwa kwenye foleni za usaili wa ajira za muda katika zoezi la sensa. Binafsi nilishiriki usaili huo Kama msailiwa niliyeomba moja Kati yanafasi zilizotangazwa. Wakati unasubiriwa muda...
  12. Chagu wa Malunde

    Sijaona mahala Spika Tulia Ackson alipoisigina Katiba ya JMT. Mnaolalama mnalalama bila kutumia busara

    Kwa taifa letu katiba ndio mwanzo na mwisho juu ya uendeshaji wa nchi. Kugawa madaraka ya mihimili na kuwapa wananchi haki zao. Hii ni kwa sababu taifa letu lina katiba iliyoandikwa. Yaani written Constitution. Haina ubishi kuwa ni kwa mujibu wa katiba ya JMT mbunge akifutwa uanachama basi...
  13. royal tourtz

    Ni kweli wadada wa kazi wana madhaifu yao ila na maboss muwe na busara

    Leo nimetoka zangu kutafuta mkate wa kila siku maeneo ya kisesa, nikasema nishuke kwa rafiki yangu hapo kanyama huwa namuita kaka kwa jinsi tunavyoishi. Nikamkuta shemeji kama kawaida tukasalimiana na kutaka kujua mtoto na dda wa kazi hali zao maana sikuwaona. Kumbe ndio nawasha moto. Shem...
  14. M

    Hizi ni baadhi tu za maneno ya hekima ya mzee Jakaya Kikwete

    Hizi ni baadhi tu za maneno ya hekima ya mzee wa msoga. 1. Akili ya kuambiwa changanya na ya kwako 2. Kelele za chura hazimzuii mtu kuteka maji Karibuni tuongezee zingine ikiwezekana tuweke na mazingira/context ambapo jkauli hizo zilitoka. kwa mfano kauli ya "akili ya kuambiwa changanya ya...
  15. Google Diggers

    Kuajiriwa ni utumwa; mlio nje ya Ajira Rasmi kazeni Buti. Wenzangu jobless nafasi yenu kwa busara yangu ukajiajiri, utakuja kunishukuru

    Jiajiri utaepukana na mateso manyanyaso na kuabudia binadamu asiye na shukran. Marais na viongozi wetu wanafanyakazi ya ziada Sana. Katika utendaji kazi Kuna Mambo mengi yamefichikamana. Hutaona mapema. Jiajiri na hakikisha unaongeza ujuzi mara Kwa mara kw kile unachoamini utatusua. Hata kama...
  16. safuher

    Je, ni busara kuwekeza kwenye coin zaidi ya moja katika cryptocurrency?

    Mimi nimekuwa nikifuatilia kwa muda sana hii biashara na kuwauliza wadau mbali mbali. Kwa bahati mbaya sana nimekuwa nikikutana na watu ambao naweza kusema hawajaijua vizuri hii biashara. Nilishawahi kukutana na mtu akaniambia kwamba yeye anawekeza kwenye coin nyingi kama vile shiba...
  17. P

    Busara za Myles Munroe na mtihani wa wanasiasa wa Kitanzania haswa Marais wetu

    Nimeitazama video moja ya hayati mchungaji Myles Munroe akiwaongelea wanasiasa wa dunia hii. Nikatamani hawa wa kwetu waisikilize ili waondoke na chochote kitu kitakachowasaidia katika wito wao wa siasa. Ni video yenye kutafakarisha kwa kina juu ya maisha mazima ya mwanasiasa. Anasema kwamba...
  18. Fall Army Worm

    Special thread: Busara za wazee (mkusanyiko wa busara mbalimbali )

    Wapendwa wana JF hbr za asubuhi...!!!!,nianze kwanza kumshukuru MUNGU mwingi wa rehema na neema aliyetuamsha salama na kutujalia kuiona siku hii ya leo tukiwa tu bukheri wa afya,kwa wale wenzetu wanao umwa tuwaombee kwa Mungu ili awape uponyaji,na kwa ndugu zetu waliotangulia mbele ya...
  19. Mtu Asiyejulikana

    Viongozi wetu wengi wanakosa busara, wamejawa mihemko, hasira na ghiriba nyingi

    Binafsi sijawahi kuwa na shida ni watu kama Jeneral Ulimwengu. ni mtu ambaye nimekuwa nikimowna anasimamia ile ambacho anaamini kwa nguvu kubwa tu. jambo ambalo ni zuri. Ila mwisho wa siku naye ni binadamu kama binadamu wengine kuna madhaifu anakuwa nayo. gazeti lake maarufu sana la Rai lilikuwa...
  20. Carleen

    Busara kidogo inahitajika katika hili

    Hey guys..! Huwa napenda kuja hapa na uchiinga' wa hapa na pale, ila naombeni Leo niwe serious kidogo, hii ni issue ya kweli kabisa ya maisha yangu..!! Sijui kwanini nataka kushare kama ni ushauri nitaupokea, ila kama kuna la kujifunza mtu aweza lichukua pia likamsaidia.. Mimi ni kati ya watu...
Back
Top Bottom