business

  1. A

    Ni aina gani ya biashara mtu anaweza kufanya Dodoma kwa mtaji wa milioni 2?

    Naomba ushauri wenu kujua ni aina gani ya biashara ambayo mtu anaweza kufanya Dodoma akiwa na milioni mbili.Asante
  2. Kifurukutu

    Business idea: kufungua nyama choma center

    Igweeeee Nimekaa nimewaza na kuwazua nifingue biashara gani ili maisha yasonge mbele hapa jijini Wazo pekee ambalo naona linaweza kuwa tofauti kidogo na zile biashara za kuigana mwishowe kuanza kurogana ni kuanzisha NYAMA CENTER NYAMA CENTER itakuwa inauza nyama za aina mbalimbali kama vile...
  3. Njaa

    Natafuta business partner (only serious person)

    Hello Wanajamvi…… Nimekuwa na jitihada za kufungua biashara ya bucha la kisasa la samaki ambalo ndani yake kutakuwa na duka dogo la Cash-point (mobile money & internet banking), nje mitungi ya gesi. Vitu vifuatavyo tayari ninavyo (angalia picha…) Frem ya kisasa Leseni ya biashara Mashine ya...
  4. Ngongo

    NMB - Arusha Business Center huduma mbovu

    Heshima sana wana jamvi, NMB ABC branch ni kwajili ya wafanyabiashara.Huduma zake unaweza kuziweka daraja moja na CRDB Premier mahususi kwa wafanyabiashara wa kati na wakubwa. Huduma za CRDB Premier zipo vizuri ukienda pale kama mtu wa level iliyokusudiwa wanakuelekeza tawi lingine. Huduma ya...
  5. R

    The future of business in tanzania: “the need for comprehensive tax reform”

    Introduction Tanzania's current tax regime, characterized by a multitude of taxes and high rates, poses significant challenges for businesses and individual entrepreneurs. The array of taxes includes Import Duty (25%), VAT (18%), Excise Duty (10%), Rail Duty (5%), Corporate Tax (30%)...
  6. Jamii Opportunities

    Project Officer - Business Development and Access to Finance at HELVETAS July, 2024

    HELVETAS Swiss Intercooperation Tanzania (Helvetas) is an international NGO registered in Tanzania. Helvetas Tanzania looks for an enthusiastic colleague for the following post: Position – Project Officer – Business Development and Access to Finance Location –...
  7. Gambino X

    Wazo La Kukuza Uchumi kwa Wakulima an Vijana

    Mabadiliko ni Muhimu sana. Tufanye wenyewe kama mtu na mtu au serikali kwetu au taasisisi cha umuhimu ni mabadiliko. Tunashindana kupata stories bora ambazo zitaleta maendeleo chanya. Natamani kuona mawazo ya Wa Tanzania wenzangu ya kiuchumi na tuangalie namna gani kwa pamoja tunaweza...
  8. D

    Tetesi: Gamondi and Yanga business is over. Yanga seeking a new manager

    Well Gamondi and Yanga part away. it's over. Yanga will have a new manager next season as tonight: Gamondi refused a long term contract Gamondi is still in contact with other big teams. Gamondi has a contract but he is yet to sign. these are Gamondi words a few minutes before yanga...
  9. Jane Msowoya

    Building a Scalable Business

    Heshima kwenu wakuu hope mapambano yanaendelea vyema leo ningependa ku share nanyi machache haya kuhusu biashara hapa nalenda zile biashara zinazouza bidhaa ambazo ni scalable hasa upande wa bidhaa (kuna baadhi ya biashara haziwezi kupanuka hata iweje) Kujenga biashara inayoweza kupanuka ni...
  10. L

    LWAGAKA BUSINESS CONSULTANT: Tunasajili biashara, majina ya biashara, kampuni, NGO na Taasisi mbalimbali

    Habari, karibuni tuwasajilie biashara na huduma mbalimbali na hizi ndo huduma zetu tunazotoa: OUR SERVICES 1️⃣Company registration/ kusajili kampuni (200,000) 2️⃣Business name registration/Jina la biashara (60,000 pamoja na ada) 3️⃣Business license application/leseni ya biashara (50,000)...
  11. B

    Nahitaji msaada wa kuandika mpango wa biashara

    Habari zenu wanajamvi! Nahitaji msaada wa kuandika mpango wa biashara. Kwa sasa sina pesa ya kulipia. Nitakuwa vizuri kifedha mwezi July. Nimeandika kwa 90%, mpango mzima. Mpango wangu wa biashara unahusu gas ya kupikia (LPGas). Kwa mwenye u tayari tuwasiliane kwa WhatsApp number +255785670038...
  12. Jamii Opportunities

    Senior Manager; Credit Risk (Wholesale & Business Banking) at NMB Bank

    Senior Manager; Credit Risk (Wholesale & Business Banking) (1 Position(s)) Job Location: Head Office, Hq Job Purpose: Responsible for wholesale and Business Banking portfolio in safeguarding compliance in lending practice and assist to limit credit risk exposure within acceptable parameters...
  13. Mr Confidential

    Je, UDSM wana Online masters degree program kwa course ya MBA?

    Wakuu, Je, UDSM wana Online masters degree program kwa course ya MBA? Kama hawana, what is the option kwa mtu anayeishi kanda ya ziwa kusoma hii course (MBA -Finance) NAkaribisha ushauri wowote kuhusu hii kozi na chuo.
  14. Ngongo

    NMB - Arusha Business Centre na huduma za hovyo

    Heshima sana wanajamvi, Bank ya NMB ilifungua tawi (Branch) kwaajili ya wafanyabiashara (makampuni). Jambo la kusikitisha siku hizo walimu,vibarua washona viatu,wauza ushanga,wauza mbege . ... wamejazana katika tawi hili ambalo lilikusudiwa kutoa huduma kwa makampuni. Foleni zimekuwa kero...
  15. G

    Hata uwe na masters ya masoko au business ni ngumu kumfikia darasa la nne mwenye ndugu wafanyabiashara wa kumpa uzoefu na connections

    Mwenye masters asie na watu wa karibu (hasa ndugu) wa kumpa uzoefu na connections chuoni kapewa assignments, test, presentation kibao lakini anamaliza chuo hana hata Tin Namba Hajui kutumia mfumo wa kusajili biashara mambo ni mapya kwake hana uzoefu ku negotiate na maafisa wa tra, jiji, n.k...
  16. kingkaka_12

    Nifanye biashara gani kwa mtaji wa 1 million Dar

    Habari Ndugu wa Jf, Natumaini wazima nilikuwa naomba ushauri wa bizness nina 1millon naweza fanya biashara gani Dar es Salaam
  17. KUKU_UFUGAJI

    Interview invitation - Syspro business support

    Wakuu habari za muda huu, nina rafiki yangu ametumiwa email kichwa cha habari kina eleza kwamba INTERVIEW INVITATION - SYSPRO BUSINESS SUPPORT. Sasa haelewi hiyo SYSPRO BUSINESS SUPPORT ni nini. Maana amekuwa akituma application za kazi sehemu nyingi tofauti tofauti sasa hakumbuki kama aliwahi...
  18. Jamii Opportunities

    Monitoring, Evaluation & Learning (MEL) Director at JSI April, 2024

    Job Title: Monitoring, Evaluation & Learning (MEL) Director Application Deadline: Apr 30,2024 Position Type: Full-time Position Category:b Company/Division/Subdivision: JSI – Local Hire Location: Dar es Salaam, Tanzania Salary: Commensurate with experience Starting Date: Oct 1,2024 JOB SUMMARY...
  19. Jamii Opportunities

    Business Development Officer at Lumac Limited April, 2024

    Position Tittle : Business Development Officer Lumac Construction & General Supplies Co. LTD is a Tanzania incorporated company and locally owned that offers construction, project management and general supplies of building finishing materials such as balustrades, aluminium and all kinds of...
  20. Chachu Ombara

    Nini dhumuni la Serikali kuanzisha tahasusi hii ya biashara ikiwa na somo la 'Islamic Knowledge'?

    Serikali kupitia TAMISEMI imetangaza ongezeko la tahasusi mpya kadhaa ambazo vijana wetu watatakiwa kusoma, nimeona nyingi haziridhishi labda zimewekwa kimkakati. Moja ya tahasusi, si kwa ubaya, ila nadhani wengi tungependa kufahamu kuhusu hii combination mpya ya Biashara inayojumuisha masomo...
Back
Top Bottom