Habari za muda huu wadau.
Pole kwa majukumu
Niko hapa naomba ushauri kuhusu biashara ya min Hotel.
ningependa kujua kuhusu;
-jinsi ya kuandika business plan na proposal
-location kwa mkoa wa dar
- mtaji kiasi gani kwanzia kiwanja, kujenga, na all necessary equipments.
-risk zitokanazo na...
Kufungua kampuni ilikuwa kero miaka ya nyuma lakini naona kero imerudi licha ya kuwa kuna mfumo rahisi kabisa wa kusajili kampuni.
Yaani business name inachukua hadi mwezi mmoja kama umejaza kila kitu sawa. Kuna Tabia ukikosea tu review inakuwa haraka kabisa na unaambiwa kurekebisha, lakini...
Position: Business Development Officers (2 Posts)
A Petrol Station located in Vikindu, Mkuranga, is currently looking for 2 business development officers. The candidates will work to boost sales in the fuel business and service bay. Office is located at Vikindu, Mkuranga.
Duties &...
Ili kuvunja poverty circle tuliyo nayo ni muda sasa kuanzisha na kuzingatia miradi au biashara za kifamilia.
Tujifunze kwa hawa ndugu zetu watu weupe.
Tusione ufahari mradi, kilimo au biashara kufahamiwa na mtu mmoja tu kwenye familia akifa yeye na yenyewe inakufa naye unabaki mgogoro wa mali...
Habari wana JF.
Kuna idea imekuja gafla hapa nikasema ni share na wana kama niaje unaweza niambia kama its possible or day dreamer. Nowadays nimeona kwa DAR watu wengi wanapenda kucheza PS ila si kwa faida bali waste of time. Nikaona what if PS kitu ambacho wengi wamekizoea na wanashinda nacho...
Wakuu,
Biashara gani ambayo inaweza kukuingizia faida ya Tsh. 20,000/- per day kwa hapa Dar es Salaam kwa mtaji wa 1.5mil?
Binafsi nilifikiria nisajili laini za uwakala nifanye miamala ya simu but sijafahamu changamoto na faida zake.
Mradi wa kimapinduzi wa tovuti ya udalali wa mauzo ya bidhaa na huduma kutoka pembe zote za dunia kwa kutumia teknolojia mpya ya private blockchain ijulikanayo kama Hyperledger Besu.
Niko mbioni kutengeneza tovuti ya kipekee kabisa ambayo haijawahi kutengenezwa hapa duniani...
adimu
awali
bei
business
digital
digital shopping mall
digital shopping points
duka
fursa
kidijitali
matumizi
mwanachama
opportunity
plans
prelaunch
thamani
ununuzi
Habari wakuu
Nahitaji kufanya international business Yani kununua bidhaa kutoka kwenye kampuni zlzo nje ya nchi mfano UK, Austria, South Africa n.k.
Naomba kujua Ni njia gani za kufanya malipo ambzo Ni salama Zaid ambazo ztailinda pesa yangu ispotee pale inapotokea muuzaji akawa si muaminifu...
Topic: Masterclass: Business and Human Rights in Digital Era.
Speakers: Jovina Mchunguzi, Godfrey Munisa and Maxence Melo (JamiiForums)
JamiiForums inashiriki katika CSO week inayofanyika Arusha ambayo inatarajiwa kuisha leo, Oktoba 27, 2023.
Siku ya leo, Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums...
Habari za wakati huu;
Ni matumaini yangu kwamba mnaendelea salama kabisa na harakati zenu za kujenga Uchumi binafsi na watanzania huku mkiendelea kupambana kupata mgao wenu wa Keki ya Taifa ambapo kwa wakazi wa Dar es Salaam wanapambana angalau wafikishe pato la Milioni 4.8 kwa mwaka na kwa...
Nature of Business: Ecommerce/Online,Softwares/System/IT
Nature of Products: Webhosting Services/CRM and ERP Systems
Annual Revenue Potential:5,000,000-25,000,000
What you Get:
Training and Products Orientation
Full website with products and Emails
Full Marketing Support(Branding and Promotion)...
Position: Business Development Representative
Key Responsibilities:
Retail
Drive retail sales in the specified area through the implementation of the Key Sales drivers (Visibility; Availability; Price; Promotion; Quality)
Management of the assigned territory through retail calling to pre...
Mfumo wa franchise ni mfumo wa biashara ambapo mmiliki wa biashara au kampuni (inayojulikana kama "franchisor") hutoa leseni kwa mtu au kampuni nyingine (inayojulikana kama "franchisee") kuruhusu kutumia jina lake, bidhaa, huduma, na mfumo wake wa biashara. Hii inaruhusu franchisee kuanzisha...
Position: Business Services Coordinator
Term: Temporary Contract
Key Accountabilities
Able to follow and understand local payroll practice, processes, requirements, local labor law changes all in cooperation with outsourced consultant
Assist in verifying all commercial support related invoices...
Position: Fundraiser / Business Developer
The Fundraiser / Business Developer will
· Research for prospect donors: Family Foundations, CSR Programs, HNWI who focus on disability, and/or poverty alleviation in East Africa. Initiate, develop and manage the relationship with these donors
·...
Position: Senior Relationship Manager; Government Business
Location: Zanzibar
Main Responsibilities
Support the unit’s growth and profitability through effective development of new businesses with Revolutionary Government of Zanzibar (RGoZ) for both Unguja & Pemba.
Work closely with other...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.