business

  1. Sci-Fi

    Unlocking Business Potential through Artificial Intelligence: A Comprehensive Guide-Kufungua Uwezo wa Biashara kupitia Ujasusi Bandia: Mwongozo Kamili

    Habari za Muda huu wakuu, Wengi wameandika kuhusu AI, ila na mimi ningependa kutia neno kidogo lakini katika angle ya baishara, kama title inavosema "Unlocking Business Potential through Artificial Intelligence: A Comprehensive Guide, kwa tafsi isiyo rasmi sana "Kufungua Uwezo wa Biashara...
  2. Jamii Opportunities

    Zonal Business Analyst – Western Zone at CRDB

    Position: Zonal Business Analyst Reporting to: Zonal Manager Job Purpose The Job Purpose is to be responsible for zone market analysis, analyzing both product lines and the overall profitability of zone business branch-wise. In addition, zone business analyst is responsible to develop and...
  3. D

    Business Partners wanahitajika: Biashara ya Maziwa Fresh & Mtindi

    Wanahitajika business partners wawili hadi watatu. Biashara ya kuuza Maziwa Fresh na Mtindi. Biashara itakuwa jumla na reja reja. Vyema ukiwa unaishi Dar es salaam. Mimi nitasimama upande wa upatikanaji wa mzigo hadi kuufikia mzigo Dar. Partners watasimamia usambazwaji wa mzigo Dar es salaam...
  4. K

    Naomba ushauri: Kati ya kozi ya Business administration na clinical medicine ipi bora na ajira zake zinapatikana sana?

    Habari jamani Naomba ushauri je kati ya kozi ya Business administration na clinical medicine ipi bora na ajira zake zinapatikana sana
  5. Jamii Opportunities

    Head of Business Development - CIC at CRDB Bank

    Position: Head of Business Development - CIC (2286) Reporting to: Managing Director – CIC Location: CRDB Bank Plc Insurance Broker Job Summary The Purpose of the job is to be responsible for proactively responding to identified business opportunities for all lines of business. To provide...
  6. Dr. Zaganza

    Business Partner Anahitajika Katika Upanuzi wa uzalishaji Sabuni za ngozi na Mafuta Ya Nywele

    NATURAL SKIN SOLUTION IMANI YETU Tunaamini kazi kubwa ya msimamizi wa biashara (CEO) ni kuunganisha sera, mipango , rasilimali pamoja na miundombinu kuhakikisha biashara inapata faida kubwa kwa kadri inavyowezekana Katika kufikia lengo hili , CEO atajikita kufanya maamuzi ya aina mbili; Moja...
  7. F

    Kununua ndege bila business plan ni kufuja fedha za maskini

    Biashara ya ndege ni moja ya biashara ngumu zaidi duniani. Hii ni biashara yenye mahesabu makali. Ni biashara ya kimataifa. Kufanikisha biashara ya ndege tunahitaji timu yenye weledi mkubwa sana kibiashara. Wazungu Afrika Kusini wamepata changamoto kubwa na hasara pia, Wanaigeria, Wamisri na...
  8. D

    Nadizaini logo ambazo zinaambatana na offer kadhaa kama letter head (MS Word) pamoja na dizaini ya business card au tangazo la kupost mtandaoni

    Habari? Nafanya Ubunifu wa Logo katika ubora unaoridhisha.. na pia unapata na offer ya letterhed Design na Business card au Tangazo la kupost mtandaoni. BEI ZA LOGO 80K= Logo+B Card+Letter head (Softy Copy) 70K= Logo+B Card, Letter head au Tangazo (Softy Copy) kimojawapo 60K= Logo pekee BEI ZA...
  9. D

    Niagize business cards nikuletee mpaka ulipo Dar (free delivery) 25,000/= kwa 100pcs (design+printing+delivery)

    Habari? Je unahitaji BUSINESS CARDS? wasiliana nami leo niweze kukufanikishia.. Business cards 100 kwa Tsh 25,000/= tu UNAHITAJI VIPEPERUSHI? Kwa mahitaji ya Vipeperushi pia unaweza wasiliana nami ili niweze kukufanikishia PCS 100 KWA TSH 40,000/= TU.. Wasiliana nami: Whatsapp/ 0765 680 241
  10. benzemah

    How Tanzania Plans to Benefit From Carbon Credits Business

    Tanzania yesterday started a journey aimed at reaping financial benefits from the carbon credit business following the signing of the Memorandum of Understanding (MoU) between the government and a foreign investor. The MoU was entered into by the Tanzania Wildlife Management Authority (Tawa)...
  11. athumani mfaume jr

    Business manager mfumo wa biashara

    Business Manager (BM) ni sytem inayomuwezesha mfanya biashara kuweza kuiongoza biashara yake kwa kuweka sawa hesabu zake mapato na matumizi pamoja na faida na hasara. kutunza taarifa za wateja na bidhaa kwa ujumla. System ina lugha mbili kiingereza na kiswahili inayomuwezesha mtumiaji kuitumia...
  12. Teslarati

    Huyu mwanamke alikuwa anaonyesha u-wife material ila baada ya kumwambia sitafuti business partner nataka mke basi kaanza kutafuta njia ya kuondoka

    Wanawake jifunzeni basi, hata kama mme wako nakushirikisha mara chache kwenye deals zangu za biashara usijiweke uhusika ambao sijakupa. Kuna mwanamke nimezaa nae na anakaa kwenye nyumba yangu huko mkoani, mimi nipo zangu hapa Town nimeajiriwa ofisi fulani na nimepanga ila mara kwa mara huwa...
  13. F

    Tusinunue ndege bila kuwa na business plan. Rwanda Air waanza safari za Paris

    Tumekuwa tukifurahia kununua ndege za gharama kubwa na serikali yote kufurahia kwenda kuzipokea uwanjani kwa bashasha na sherehe kubwa. Kinachofuata baada ya hapo ni kupaki ndege viwanjani miaka kadhaa baada ya kuzinunua. Lakini jirani zetu Rwanda wana business plan na ndege zao. RwandAir to...
  14. buildings tanzania

    Nahitaji business partners biashara ya dhahabu

    Wakuu Habari, Kama heading inavyosema, nahitaji watu wa kushirikiana nao katika utekelezaji biashara ya madini aina ya dhahabu. Biashara hii nimeifanyia utafiti wa masoko hasa Dar es Salaam na pia sehemu ambapo naweza kupata dhahabu nzuri purity 99%. Nahitaji partner wakushirikiana nae katika...
  15. Benny13

    Msaada juu ya Kozi ya Business Administration with Education

    Habari wanajamvi! Kuna mdogo wangu ni Mwalimu wa ngazi ya Diploma katika Shule ya Msingi. Ameajiriwa miaka ya karibuni. Anataka kujiendeleza kielimu Open University katika kozi ya Bachelor of Business Administration with Education huku masomo ya kufundishia yakiwa ni Bookeeping na Commerce . Ila...
  16. S

    Pharmacy business consultant required

    Anahitajika hired consultant kwa ajili ya kuendesha biashara ya duka ya pharmacy wholesale na retail Mae so ya Amana
  17. BwanaSamaki012

    The most profitable business idea (ufugaji samaki)

    Habari zenu wakuu Kwanini na amini biashara ya ufugaji samaki ni fursa nzuri kwa mtu anayetaka kuwekeza? Ni kwa sababu kuna upungufu mkubwa wa samaki kwenye vyanzo vya asili vya maji, wakati huo huo kuna ongezeko kubwa la idadi ya watu Duniani. Idadi ya watu duniani inaendelea kuongezeka...
  18. Tommy 911

    Business plan ya restaurant

    Habarin wana jf..... Mimi ni kijana wa miaka 22 ni mwanachuo nina business plan kuhusu mgahawa hivyo napend kupata mtu serious amabe tutaweza kueka plans ili kufanikisha iwe kama partnership. If interested pm me nikupe business plan niliyoandaa ili tuweze kuwekan sawa Pia nahitaj ushauri...
  19. lumwetuli

    Do you want to design your website or create a website for your business? Check us

    Attention all business owners! Are you looking to establish a strong online presence for your brand? Look no further than our website design services at KIKIWEB LTD! Our team of expert designers and developers will work closely with you to create a stunning website that reflects your brand...
  20. ChoiceVariable

    Business Insider: Tanzania Inaelekea kuwa kivutio na kitovu cha Uwekezaji Duniani

    Jarida maarufu la masuala ya biashara Afrika na Duniani limeitaja Tanzania kuwa Moja ya Nchi zinazoelekea kuwa kimbilio la wawekezaji Duniani. Hongera sana Rais Samia na Tanzania, haya ndio mambo tunapenda kuyasikia.. ======= Idadi ya miradi iliyosajiliwa nchini Tanzania iliongezeka kwa...
Back
Top Bottom