business

  1. P

    Business registration

    Kipi kinatangulia ukifungua biashara between kuwa na eneo na kuregister . Yaani mfano unafungua duka kwanza then ndo umaregister ? Au vice versa
  2. A

    Natafuta wateja na Business Partners

    .
  3. isackkallindi

    Florent Ibengé means business 💥

  4. G

    Kwa mahitaji ya business cards

    Habari, ninatoa huduma ya kudesign business card na kuprint gharama ni Tsh 25,000/= kwa pisi 100 ukihitaji unaweza kupiga kwa 0767330618
  5. A

    DOKEZO University of Dar es Salaam Business School (UDBS), kuvuja kwa mtihani (test) ya Information Management Systems (IM 305), uliofanyika tarehe 18/01/022

    Wakuu, Kama kichwa cha thread kinavyosema. Siku ya tarehe 18/02/2022 Saa saba Kamili ulifanyika mtihani wa INFORMATION MANAGEMENT SYSTEMS (IM 305). Baada ya kutoka kwenye mtihani huo, wanafunzi baadhi walionekana kuwa na huo mtihani kwenye simu zao, ukionekana kupigwa picha mapema kabla ya...
  6. B

    Over 400 EU Companies to Take Part In the EU-Tanzania Business Forum

    23 January 2023 Dar es Salaam, Tanzania The European Union Delegation to Tanzania is planning to jointly organise the EU-Tanzania Business Forum with the government of the East African nation in a move aimed at allowing investors from the EU to come and explore the opportunities available in...
  7. U

    Wajue Matycoon, richest business men in Dodoma

    Kama Tunavyojua, Nchii hii imebarikiwa kuwa na wafanyabiasha wakubwa sana na wanafahamika nchi nzima, wakiwemo Kina MO, Rostam, Marehemu Mengi, Patel, etc. Sasa Leo tupate Fursa ya kuwajua wafanyabiasha wakubwa na matajiri ndani ya Mkoa was Dodoma, Japo ni mkoa upo nyuma Kimaendeleo lakini Kuna...
  8. Dr. Zaganza

    Jinsi ya kuandaa Business Plan kwa urahisi

    Kwa maneno machache mno , Business plan ni andiko la kibiashara ambalo unaelezea wapi uliko kwa sasa, na wapi unataka kwenda (Future),ukielezea mikakati (strategies) utakayotumia kufika huko kwenye malengo (Goals) uliyojiwekea. Business plan ya biashara moja hupishana na ya mwingine kulingana...
  9. Izzi

    Wajasiriamali tunaopenda Podcasts tukutane hapa

    Asalaam Alaikum! Binafsi nimeanza kusikiliza Podcasts mwaka 2020 baada ya Mr. Strive Masiyiwa (Bilionea mwenye asili ya Zimbabwe) kuweka mapendekezo ya vitu anavyoshauri wajasiriamali wafanye; kimojawapo ni kuhakikisha unapata taarifa na maarifa kuhusu namna watu wengine wanavyoendesha biashara...
  10. Pang Fung Mi

    USHAURI: Jiajiri kutokana na taaluma yako badala ya kulalamika ajira hamna

    Tutafute pesa Kwa maarifa yetu. 👇👇👇 Badala ya kujificha na kulalamika kuhusu ajira fungueni centers/madarasa/ ofisi Mikoani, Wilayani na hasa mikoa yenye taasisi za elimu ya juu ama vyuo vikuu, kuna fursa kubwa sana sana. Tuokoe taifa. Ni hayo tu.
  11. PinGonHi

    Looking for an employee in my online business with knowledge of English

    Requirements to the employee: Must know English, have an android phone and a desire to work and learn. The employee must be from the city of "dar es salaam" and must be able to move freely around the city About work: the first +-4 days of training are not paid, then pay $3 a day fixed rate +...
  12. M

    DOKEZO Tanzania Institute Of Education (TIE) does the textbooks business in a "cocaine style". Is that the core job of the institute?

    Here you get Kiswahili version to start with followed by English version KISWAHILI VERSION TAASISI YA ELIMU TANZANIA (TET) INAFANYA BIASHARA YA ELIMU NA VITABU KWA MTINDO WA DAWA YA KULEVYA. BIASHARA YA VITABU (TEXTBOOKS) NDIYO KAZI YAO KWA KISHERIA YA TAASISI HII? Kwanza kabisa TET...
  13. Mung Chris

    Jifunze namna ya kuandika Business Plan

    Tar 7-8/01/2023 saa 3-9 jion Arusha, Maji ya chai, mafunzo namna ya kuandika BUSINESS PLAN kwa ajili ya ufugaji wa Kuku wa Nyama, Mayai na wa kienyeji, lengo ni kukusaidia kuwa na uwezo wa kuandika mchanganuo wa mkopo. Mahali: Arusha Maji ya chai. Mafunzo ni bure. 0788811136
  14. PAGAN

    Kanye West minding his own business

  15. Simon4

    Business ya kuuza vinywaji

    Nahitaji kujua ni mtaji kiasi gani inayo hitaji ili kuanza biashara ya kuuza vinywaji kwa bei za reja reja
  16. Christopher Wallace

    Wale tuliounganishwa na kifurushi cha DStv Business halafu wakatubadilikia tukutane hapa tujifariji

    Wiki chache zilizopita mawakala wa DStv walitushawishi tujiunge na Dstv business kwa kifurushi cha Work Essential ambacho tulikuwa tunalipa 28,000/= na kupata mechi za EPL, La Liga, Serie A, Europa League na mechi chache za Uefa Champions League. Sasa kumbe ulikuwa mtego, watu tukaunganishwa...
  17. V

    Natafuta investment patner/co-founder, aina ya biashara - Software as service business model (Saas)

    Wakuu habari Mimi ni software engineer by profession, nimetengeza software na Application za simu kwa ajili ya hospitali, clinics na medical center) ni aina ya software ambayo inatumika mahospitalini kuingiza data za wagonjwa (treatments record pamoja payment records) ****Im looking for...
  18. Zakaria Maseke

    Hatua za kuanzisha biashara binafsi au ubia (procedures for establishing a sole trade & partnership business) in Tanzania

    Kuna aina nyingi za kufanya biashara (there are so many forms of doing business) kama vile biashara ya mtu mmoja (sole trade), biashara ya ushirikiano (partnership), vikundi, kampuni, trust n.k. Kwenye hili andiko nitaongelea mchakato wa kusajili biashara binafsi na biashara ya ubia...
  19. Mathanzua

    Farmers in Australia are being forced to inject their animals with the mRNA vaccines in order to remain in business. How weird!

    Published on Friday, October 21, 2022 Much of the conversation surrounding mRNA (messenger RNA) “vaccines” centers around their impact on humans, but how about all the animals that are being injected with it? Believe it or not, cattle are reportedly now getting jabbed with the stuff, which in...
  20. P

    Fursa: Business plan sekta ya kilimo

    Wasaalam ndugu zangu, ninahitaji kupata huduma ya mtaalamu mwenye uzoefu wa kuandika business plan za sekta ya kilimo.
Back
Top Bottom