"Hivi karibuni nimeumwa nusu nife, nimemshuhudia Mungu kwa macho yangu akinirejeshea uhai, hili ni funzo hata kupona kwangu bado nashangaa sijui imekuwaje. Kuanzia leo nafuta kila kitu kibaya kwangu nakuwa mpya, namrudia Mungu, mimi sio mshiriki wa mapenzi ya jinsia moja tena, nampenda Mungu na...