bwana

This is a list of English language words that come from the Niger-Congo languages.
It excludes placenames except where they have become common words.

View More On Wikipedia.org
  1. T

    AFCON 2027: Tanzania, Kenya na Uganda kuwa wenyeji

    Zaweza kuwa ni nchi zitakazofanikisha sana mashindano haya. CAF wasione haya wayalete tu huku kwenye mzuka wa mpira. Ufunguzi iwe Tanzania na ufungaji pia iwe Tanzania. Dua zenu tafadhari. ===== Shirikisho la Mpira wa Miguu Barani Afrika (CAF) limepitisha ombi la pamoja la nchi za Kenya...
  2. M

    Waziri wa Nishati Bwana Dotto awa TANESCO wanafanya makusudi, walifanya hivi wakati Makamba alivyoanza na nikasema, sasa hivi wewe. Stop talkin do act

    Waziri wa Nishati Bwana Dotto awa TANESCO wanafanya makusudi, walifanya hivi wakati Makamba alivyoanza na nikasema, sasa hivi wewe. Stop just talk with the press nenda eneo la tukio ujue shida ni nini. Hao jamaa ni wahuni
  3. Rais Samia katumia muda mwingi kuishambulia CHADEMA

    Naona kitendo Cha CHADEMA kutokuhudhuria mkutano wa Baraza la wadau wa siasa limemkasirisha Sana Mh Rais mpaka kuanza kuwasema CHADEMA. Kwa mfano Rais kadai CHADEMA kutokuja kwenye mkutano huo wa Leo wamegawanyika.
  4. Bwana wangu anaendesha bodaboda, nifanyaje?

    Dear Money Penny YAH: BWANA WANGU ANAENDESHA BODABODA Mimi NI binti ambae sikuwahi kuwa kwenye mahusiano nikiwa chuoni. Nilikuwa busy na masomo na ibada za casfeta. Mapenzi yangu yalikuwa Kwa Yesu. Baada ya kumaliza masomo sikupata KAZI, nikasota benchi Kwa Miaka 5, wenzangu nilisoma NAO...
  5. SI KWELI Bibi na Bwana wameondolewa katika nembo ya taifa inayotumika kwenye Podium ya Rais Samia

    Salaaam Wakuu, Nimeona katika sehemu mbalimbali picha zikisambaa zikionesha nembo inayotumika kwenye Podium ya Rais Samia haina bibi na bwana kama ambayo alikuwa anaitumia Rais Magufuli. Hili limekaaje Wakuu tunaomba ufafanuzi. Nembo anayotumia Rais Samia ikiwa haina Bibi na Bwana Nembo...
  6. V

    Tumsifu Yesu Kristo, Bwana Yesu Asifiwe, what's the difference?

    Kwenye majukwaa ya hadhara utasikia Bwana Yesu Asifiwe, Tumsifu Yesu Kristo Tofauti hapo ni nini ? Au utasikia "Asalam Aleikum, Bwana Asifiwe, Tumsifu Yesu Kristo. Zinatumika salamu za dini zote mbili ili kuleta balance, sasa kwa nini za Wakristo ziwe mbili? Na mbili zenyewe ni kitu kile...
  7. Hamissa Mobetto: Natongozwa na wanaume wa nje zaidi kuliko wa kibongo

    Usiku wa Julai 15, Msanii Barnaba alifanya sherehe ya kusherehekea ndoa ambayo aliifunga na mpenzi wake wa muda mrefu Raya, ambapo shughuli hiyo ilifanyika katika ukumbi wa Mlimani City na kuhudhuliwa na watu mbalimbali wakiwemo wasanii na Mastaa kadhaa. Miongoni mwa wasanii ambao walihudhulia...
  8. M

    Naomba ushauri kuhusu hili

    Nimezaa na mwanamke fulani hatukubahatika kuoana akapata bwana mwingine ambae pia wamezaa kabla nilikua namuona mtoto wangu nitakavyo lakini baada ya ndoa alibadilika nkitaka kumuona mtoto anatoa dharura nyingi Ilibidi niwe nawasiliana na mumewe mshua hakua na shida lakini kila nikipanga ratiba...
  9. Matajiri bwana!!!!!!

    Matajiri wa dunia wanataka kuzichapa!!!!!!! Usikute huo nao ni uwekezaji!!!!!!!!!! Hiyo sababu ya kupigana sasa!!!!!!!! Musk picks location for ‘cage match’ with Zuckerberg The Meta CEO accepted a challenge issued by the Twitter owner Twitter owner and Tesla CEO Elon Musk and Facebook...
  10. R

    Asante Bwana Yesu, angalau hili la kuuza bandari hata wajinga wa Tanganyika wamelielewa

    Ameuza bandari za watanganyika, angalau hili hata wajinga wamelielewa. nasema hata wajinga wa tanganyika hili wamelielewa
  11. V

    Nabi aondoke bwana

    Haiwezekani atukoseshe kombe la CAF kirejareja tu. Aondoke tu kwakweli. Ona sasa jinsi makolo wanavyotuzodoa.
  12. H

    Bwana afya unafanya nini sasa!

    Habari. Ktk manispaa hii kuna mitaa michafu Sana ikiwemo mtaa wa mshangano yani pale stendi ya malori zimemwagwa taka Hadi pananuka hazijazolewa. Njia ya kwenda kwa diwani kuna taka njiani yani mnataka Hadi tupate mlipuko wa magonjwa? Wilaya yetu maeneo ya kumwaga taka na kuzichoma yapo...
  13. M

    SoC03 Wanaimba kwa sauti ya BWANA BWANA ila midundo ni ya shetani

    Mbinu za Kuwavuta Watu kwa Shetani kwa Kutumia Nyimbo za Kidini Zenye Midundo ya Shetani Utangulizi: Katika ulimwengu wetu wa kisasa, kumekuwa na kuibuka kwa kundi la watu wanaotumia mbinu mbalimbali za kuvuta wengine kwa shetani, huku wakitumia nyimbo za kidini zenye midundo ya shetani. Ingawa...
  14. D

    Kama Mohamed Dewji tajiri mkubwa vile alitekwa, wewe ulikuwa na kinga gani kwa bwana yule?

    Tukiwaambia nchi hii tumepitia kipindi kigumu sana muwe mnaelewa jamani! Maana kuna watu kabisa uwezo wao wa kufikiri ni mdogo sana. During that regime kila mwekezaji alikuwa anaogopa na wengine walifirisiwa kabisa ama moja kwa moja au kwa kuchukua pesa kwenye akaunti zao, mfano Nimrodi mkono...
  15. Inasikitisha Spika Tulia kujifanya hajui kinachoendelea Kariakoo

    Salaam Ndugu zanu, Bunge linaendela muda huu, mgomo wa kariakoo unaendela muda huu lakini Spika analetewa hoja hii mezani anajifanya kama hajui kinachoendelea. Kwamba Spika anashindwa kutazama hata vyombo vya habari kujua nini kinaendelea? Eti anadai anataka ajiridhishe kama ni kweli au la...
  16. Buriani Benard Membe, Umepigana Vita Vilivyo Vitakatifu, Mwendo Umeumaliza, Imani Umeitunza, Madeni Yako Yaliyobakia Karma Itakulipia!

    Wanabodi, leo katika viwanja vya Karimjee, Watanzania tunamuaga aliyekuwa Waziri wetu kwa kipindi chote cha miaka 10 ya utawala wa Jakaya Mrisho Kikwete, Mwana Diplomasia nguli, Bernard Cammilus Membe, aliyefariki dunia ghafla, juzi Ijumaa asubuhi. Nilivyomfahamu Membe. Fani yetu ya uandishi wa...
  17. CAF: The final shall be played in two matches, home and away

    Siyo mbaya kwani anayejua anajua tu na hakuna cha nyumbani wala ugenini, ingawaje kiafrika wa nyumbani ana faida kuliko mgeni. Ni barua ya mwaka jana, hakuna kulalamika. “The final shall be played in two matches, home and away. The team which will have scored the highest aggregate number of...
  18. Bwana na Bibi Afya acheni kukaa maofisini piteni migahawani, wanachakaza afya zetu kwa tamaa ya faida kwasababu hawadhibitiwi wala kushitakiwa

    Kuaharisha na kuugua matumbo limeshakuwa ni janga. Kulingana na mazingira ya kazi na umbali, inakuwa ni vigumu kurudi nyumbani ukale kisha uendelee na kazi. Baadhi ya migahawa imekuwa ni janga kwetu wateja, mbinu hizi chafu hutumika kwa lengo la kukuza faida bila kujali afya zetu na huku ndipo...
  19. Kwako Mbunge Gwajima, nani anahusika na uuzaji wa eneo la Mecco Kunduchi?

    Mchungaji Joseph at Gwajima wewe ni mbunge wa jimbo la Kawe. Upo bize kweli na siasa za Sukuma Gang ukisahau zile za jimbo lako. Taarifa iliyopo ni kwamba eneo la mecco kunduchi "mashimoni" linataka kuvamiwa. Watoto wa mjini wanalitolea macho wakidai kupisha mwendo kasi. Wananchi hawa...
  20. A

    DOKEZO Moshi: Mwalimu anayehisiwa Kufichua Maovu ya Afisa Elimu wa Manispaa awekwa LOCKUP na Afisa Elimu huyo (Ndg. Ngonyani)

    YAH:- MWALIMU CALVIN TWARILA WA KIBO AACHIWE HURU ANAONEWA!! NAWEKA USHAHIDI WA MAOVU YOTE YA NGONYANI!! Somo tajwa hapo juu lahusika. Natanguliza shukrani zangu za dhati kwa viongozi wote waliolisimamia suala letu walimu!Nianze na ofisi ya Rais, Wizara ya Elimu Tamisemi, Ofisi ya Takukuru...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…