bwana

This is a list of English language words that come from the Niger-Congo languages.
It excludes placenames except where they have become common words.

View More On Wikipedia.org
  1. SALOK

    Kwani mlitakaje? Makolo bwana

    Baada ya Ihefu kubahatisha na wakabahatika kibahati bahati, imekuwa nongwa!! Kabla ya kuvunjiwa heshima na hawa madogo wa kuitwa Ihefu, Mabingwa wa kihistoria, mabingwa wa muda wote, wazee wa unbeaten, WANANCHI tulipewa kila aina ya lawama na tuhuma! "Ooh, wanahonga marefa! Ooh, wanapendelewa...
  2. MK254

    Waziri mkuu wa Uingereza bwana Sunak awasili Kyev, Ukraine

    Safi sana kuona Kyev inaendelea kupokea viongozi wakuu.... Ameahidi kuwapa Ukraine teknolojia za kupiga chini aina yoyote ya drones.... British Prime Minister Rishi Sunak made a surprise visit to the Ukrainian capital Kiev on Saturday for his first meeting with Ukrainian President Volodimir...
  3. P

    Wadada bwana

    Kuna dada mmoja alikuwa rafiki ila nilikuwa namwelewa. Nilivyompa mistari akasema atajifikiria. Baadae akasema hana hisia nami badala yake ana mtu mwingine. Ingawa iliniuma inakubidi nipotezee. Baada kipindi cha uponyaji kupita nikapata bonge la pisi kali. Yaani ningepata rafiki yangu hii...
  4. butron

    Waziri wa Fedha wa Uingereza Bwana Kwasi Kwarteng amepigwa chini rasmi baada ya kuitumikia nafasi ya uwaziri kwa siku 38 tu

    Bwana Kwasi Kwarteng ameondolewa akiwa mkutanoni Washington, Marekani.
  5. Mbwilimbwili

    Mapenzi yana raha bwana, asikwambie mtu!!

    Nakumbuka mafundisho fulani hivi niliyopewa mwaka fulani kwamba kila jambo lina kanuni au 'principle' zake, ukishindwa kucheza ndani ya hizo principle umekwisha 'kipopoma', vilio vingi vya mapenzi siku hizi watu tunajiendea tuu hatufuati 'principles' za association then matokeo yake ndio hayo...
  6. Bujibuji Simba Nyamaume

    Mbeya kutamu bwana, usisikie habari za mtandaoni

    Mbeya ni mkoa mzuri sana kijografia, ukiwa umezungukwa na milima na vilima. Mito na vijito, hali nzuri ya hewa, udongo mzuri wenye rutuba na mambo mengi mazuri. Watu wa Mbeya ni wakarimu sana, watoaji na wenye upendo, ila ukiwazingua wanakuzingua mara milioni sita zaidi. Mbeya kuna mandhari ya...
  7. Suzy Elias

    Kitila Mkumbo: Demokrasia ya Tanzania hadi bwana mkubwa aamue iwe

    Hiyo ina maana kwamba bila utashi wa Rais hakutakuwapo na demokrasia hapa Tanzania.
  8. Nyuki Mdogo

    Hii ndio punje ya Haradali aliyoizungumzia BWANA YESU KRISTO

    Hii ndizo punje za Haradali. Ukiwa na imani ndogo kama punje ya Haradali unaweza kuihamisha milima.
  9. Equation x

    Mke bora aliyetoka kwa bwana

    Miaka iliyopita, nilichepuka na dada mmoja; kwa bahati mbaya yule mdada alinogewa na akatamani kupindua meza; kwa kuniwekea mazingira, nikikutana na mwanamke mwingine, jogoo asisimame ila kwake tu. Siku moja niko na 'wife', jogoo akagoma kabisa kusimama, kula kongoro, mara mbuzi n.k hakuna...
  10. M

    MC alivyoharibu harusi ya jamaa na kuigeuza msiba, ungekuwa bwana harusi ungemfanya nini huyu kiumbe?

    Kuna MC fulani kitaa ni muongeaji mzuri, kuna siku alikuwa ana kazi mbili. Moja ilikuwa kuongoza ibada ya mazishi makaburini mida ya alasiri kwenye msiba wa mtu wake wa karibu, alipewa kazi hii kutokana na kuwa muongeaji mzuri. Usiku alikuwa na kazi ya kuongoza sherehe ya harusi na alilipwa kwa...
  11. Jimbi

    Mikopo ya wavuvi Bil. 20 tulizoambiwa na Bwana Waziri zimepotelea wapi?

    Wakuu, kwa muda mrefu kulijitokeza GENGE hapa likijinasibu na kusifu kwamba Rais Samia ametoa bilioni 20 kwaajili ya kuwakopesha vikundi vya Wavuvi. Baada ya kuwafuatilia vijana wetu ambao wanajishughulisha na kazi za uvuvi katika maeneo mbali mbali, tumebaini HAKUNA KIKUNDI CHOCHOTE...
  12. Suzy Elias

    Ikulu: Rais Samia akutana na mkurugenzi wa Global Fund bwana Peter Sands

    Rais Samia akimsikiliza bwana Peter Sands ambaye ni mkurugenzi wa Global Fund alipozuru Ikulu ya Dar es Salaam pamoja na ujumbe wake. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiagana na Mtendaji Mkuu wa Global Fund Bw. Peter Sands baada ya mazungumzo yao Ikulu Jijini...
  13. M

    Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Shinyanga Mjini Bwana Abui, unachochea udini ndani CCM

    Mwenyekiti CCM wilaya Shinyanga Mjini, Bwana Abui, unamchafua na unatumia jina la Mh. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano vibaya kwa maslahi ya nani? unaeneza siasa za udini kwamba Mwk wa CCM taifa anataka waisilam wachaguliwe kwa asilimia kubwa ili wampitishe 2025 kwa kura nginyi...
  14. GIRITA

    Maisha bwana!

    Dah! Kweli maisha ni safari hadi uje kufika,umekwepa mishale ya kutosha. Mimi binafsi nimeajiriwa na bosi wangu muhindi wa Bombay, nafanya kazi za kutumwa tumwa sokoni kama punda....mara kalete hichi mara kile hadi na watoto wadogo. Wananidharau sana mpaka muda mwingine nakaaga peke yangu nalia...
  15. rajiih

    Namna ushindi wa Yanga ulivyonipa utamu wa mtoto wa boss wangu

    Habari wana JF Poleni na majukumu ya kazi pia tujipe pole shabiki wote wa Simba siku ya leo imekua ngumu na yenye maumivu sana juu ya team yetu ya Simba kufungwa basi bana wacha twende kwenye Maada Kupitia derby hii ya Kariakoo nikiwa Kama shabiki wa Simba huku kitoto cha boss wangu kikiwa...
  16. Suley2019

    Video: Kombe la ASFC waliloshinda yanga limeharibika

    Aisee kweli Yanga walimiss kushinda makombe, huwezi amini kwa lile shangwe lao kombe la Shirikisho la Azam tayari limeshakatika. Wacha niselete maneno mengi tazama hapa chini.
  17. MSAGA SUMU

    Kama utani bwana, Wajahhckoya anaenda mjengoni.

    Ije mvua lije jua Wakenya wameamua kwenda na Wajahckoya. Vijana kwa wazee , watu wa mashambani na mjini, watu wa dini na kabila zote za Kenya wamesema tumechoka. Ruto na Raila kwa wakati Fulani kuwa serikalini kumewafanya kuwa na madoa na hivyo kufanya goli kuwa wazi kwa jamaa. Ruto na Raila kwa...
  18. Sky Eclat

    Bwana Bonge alichanganywa na uchungu wa kuuguza mke na mapenzi ya mama wa kazi

    Bwana Bonge ni mmoja wa matajari wa nchi ya Kusadikika, alimuoa classmate wake ambae alijaliwa kupata nae watoto wanne. Wakike mmoja na wanaume watatu. Watoto wote walishakua na miji yao na wengine waliishi nchi za mbali. Mrs Bonge aligundulika na saratani ya ziwa akiwa na miaka 40, wakati...
  19. N

    Aisee, Kumbe mama anaupiga mwingi kweli bwana!!!

    Hapo sijauzungumzia ule mradi mkubwa wa gesi likong'o ambao nyie wote mnaujua tayari!
  20. Daudi1

    Sikujua vikundi vya 'jogging' watu wanatumia kutongozea wanawake!

    Kumbe Jogging club zinazoanzishwa wa wingi hasa maeneo ya mjini zimekuwa platform ya kutongoza wanawakeee aiseee!!!. Nimepita mahali nikakuta Kuna vijana wanamshawishi kijana mwenzao ajiunge Kwenye jogging club yao waliyoianzisha, Sasa Huyo mwenzao akauliza "wanawake wapo???" Wakamjibu Wewe...
Back
Top Bottom