caf champions league

The CAF Champions League, known for sponsorship reasons as the TotalEnergies CAF Champions League and formerly the African Cup of Champions Clubs, is an annual club football competition organized by the Confederation of African Football and contested by top-division African clubs, deciding the competition winners through a round robin group stage to qualify for a double-legged knockout stage, and then a single leg final. It is one of the most prestigious football tournaments in the world and the most prestigious club competition in African football.
The winner of the tournament earns a berth for the FIFA Club World Cup, a tournament contested between the champion clubs from all six continental confederations, and also faces the winner of the CAF Confederation Cup in the following season's CAF Super Cup. Clubs that finish as runners-up their national leagues, having not qualified for the Champions League, are eligible for the second-tier CAF Confederation Cup.
Egyptian clubs have the highest number of victories (16 titles), followed by Morocco with 7. Morocco, Egypt, Tunisia and Algeria have the largest number of winning teams, with three clubs from each having won the title. The competition has been won by 26 clubs, 12 of which have won it more than once. Al Ahly is the most successful club in the competition's history, having won the tournament a record 10 times. Wydad Casablanca are the current defending champions, having beaten Al Ahly by two goals to nil in the 2022 final.

View More On Wikipedia.org
  1. sergio 5

    Nani anatumia jina la Zawadi Mauya pale Yanga kwenye mashindano ya CAF Champions League?

    Habari za mda huu Wana michezo Kila ukiangalia squad ya yanga akiwa anacheza Champions league kuanzia mechi ya kwanza na Al HILAL naona jina la zawadi MAUYA Nikajua maybe ni kosa la AZAM TV mechi ya juzi na MC ALGER pia jina Hilo limejitokeza Je yanga mambo yao yanaendeshwa kihuni tu bila...
  2. witacha matiku

    Yanga & Simba kwa makocha hawa asilimia 50 heshima ya nchi kwenye soka itashuka

    Umofia wana Jukwaa. Binafsi nasikitika na trend ya timu zetu kimataifa hadi sasa hamna unafuu kwa Timu zetu Kati ya Simba na Yanga. Kuna shida hasa kwenye management Simba iliwaza nini kumsajili Kocha ambae haja- prove kokote alikuwa Kocha namba 2 Raja na hakuna cha maana alionyesha kwa...
  3. Kichuguu

    FT: MC Alger 2-0 Young Africans | CAF Championship League | December 7, 2024

    Tyee!!! Leo nimewahi kuanzisha thread. Watakaonuna na wanune. Nastahili kupongezwa kwa mafanikio haya: Mpira umeanza dakika 20 zilzopita. Ingawa MC Alger walianza kwa kasi sana wakituhsmbulia kwa nguvu sana, tuliwadhibiti na hadi sasa bado tuko level ground ya NUNGE-NUNGE. Pacome kapata...
  4. ngara23

    Simba wapo Algeria ya vijijini, maporini huko Kwa walima ngano

    Madhara ya kushiriki Mashindano madogo ya Shirikisho, lazima timu zinazoshiriki haya mashindano zinatoka pembezoni. Simba wapo maporini katika Jiji la Constantine Algeria ambalo ni mji wa kale ambapo walifika Roman empire Yaani Kwa hapa Tanzania ni Kama Kilwa, Ruangwa lipo Namungo, Bagamoyo...
  5. Mkalukungone mwamba

    Yanga anauwezo wa kushinda mechi ya ugenini dhidi ya MC Alger kwa sababu hizi

    Yanga inaweza kushinda mechi ya ugenini dhidi ya MC Alger kwa kutumia mbinu na mfumo unaojikita kwenye nidhamu ya kiufundi, mbinu za kushambulia kwa tahadhari, na kutumia faida ya nguvu ya wachezaji wao muhimu. Hapa kuna uchambuzi wa mbinu na mfumo wanaoweza kutumia: 1. Mfumo wa Uchezaji...
  6. Waufukweni

    CAF yakataa ombi la MC Alger Kuhamisha mechi ya Ligi ya Mabingwa dhidi ya Yanga kwenda Douéra

    Shirikisho la Soka la Afrika (CAF) limetupilia mbali ombi la klabu ya MC Alger la kuhamisha mechi ya Ligi ya Mabingwa dhidi ya Yanga SC kutoka uwanja wa 5 July 1962 na kuihamishia Douéra. Mechi hiyo sasa itachezwa kama ilivyopangwa kwenye uwanja wa 5 July 1962. Soma, Pia: Aucho, Mzize na Boka...
  7. OKW BOBAN SUNZU

    Wito wa Waziri Mwana FA kuhusu kuiombea Yanga, BIG NO! Labda kuiombea mabaya

    Namsikia hapa akitoa wito wa kuweka tofauti zetu pembeni na kuombeana kimataifa. Kwamba mimi Simba Sc niiombee Yanga itoboe. Hiyo kwangu haiwezi kutokea, nikitaka kuiombea labda niiombee mabaya. Lolote baya liwakute huko mnakoenda. Ikiwapendeza mkung'utwe mpaka mchanganyikiwe. Mkishenyetwa...
  8. pesakilakitu

    Timu ya Mazembe yaruhusiwa kutumia wachezaji wake, kilio kinasubiriwa Jangwani

    Hatimaye timu inayocheza soka safi la kushambulia , TP Englabaa Mazembe hatimaye FIFA yaifungulia rasmi na kuiruhusu kutumia wachezaji wote wapya na hatari iliowasajili. Hii itakua habari mbaya kwa wapinzani wao ambao wakati wa droo walivyoona jina la TP Mazembe walishangilia sana kurukaruka...
  9. Labani og

    Je, wajua ushindi goli Moja shirikisho sawa na Simba kufungwa 5-0 CAF champions?

    Katika vitu vimenishangaza mpaka nikabaki nalia ni hili suala la wanasimba wenzangu kufurahia ushindi goli Moja dhidi ya timu dhaifu kwenye ligi dhaifu ya shirikisho ( kombe la wa wamama)[emoji32][emoji32] Binafsi nilitegemea mnyama kumkandamiza bravos goli hata 10. Kama Yanga ambavyo angefanya...
  10. MwananchiOG

    Kushuka kwa Yanga kunaifanya Msimbazi kuonekane kumenyooka, Ila kiuhalisia hamna timu pale

    Huwa siangalii sana michezo ya timu za shirikisho, Ila baada ya kuwa nimeketi sehemu nikipata kinywaji nikaona watu wakitazama mpira wa Simba hivyo kwakuwa nilikuwa nimeketi na TV ikiwa mbele yangu, Hivyo nikajikuta nalazimika kutazama. Baada ya kutazama mchezo huo nimegundua mambo machache...
  11. Ladder 49

    Umefika muda Yanga sc hawajui hata waanze kumlaumu nani

    Umefika muda Yanga sc hawajui hata waanze kumlaumu nani. Kipigo cha leo cha Yanga dhidi ya Al Hilal kimekuwa na sitofahamu tatizo la Yanga ni nini kwa sasa maana kila mtu anasema lake Kocha anasema wachezaji hawana fitness lakini mpira ulivyochezwa Yanga wamepata nafasi nyingi na ndio...
  12. CARIFONIA

    Kuna sehemu viongozi wa Yanga walikosea

    Sipo hapa kulalamika na wala sio kawaida yangu kuandika uzi wa kulalamika, binafsi matokeo ya leo hayawezi nifanya kukata tamaa kwani naijua football vizuri, bado timu ina nafasi ya kufanya vizuri katika mashindano yote inayoshiriki. Wala sitaki kupeleka lawama zangu kwa kocha huyu mpya kwani...
  13. Sodoku

    Haya maneno kuwa bila mambo mawili Yanga haiwezi kushinda sidhani kama ni sawa

    Acheni hayo maneno. Si sawa hawa wageni wapo wanaojua kiswahili. so wanaelewa haya maneno wanapoyasikia inakuwa inatupa nafasi ngumu sana kwetu kuwa bila 1. Kujidunga 2. Uchawi Haya si maneno mazuri. ni maneno ambayo wakiyasikia watu wanaweza kutuwekea wakati mgumu sana. watataka kutudhibiti...
  14. Allen Kilewella

    Yanga wanavyodharau kombe la shirikisho, ile fainali ilikuwa ya Kombe Gani?

    Kwanza watu dhaifu ndiyo hudhani udhaifu ni uanauke. Inachukiza mtu anaposema mashindano ya shirikisho Afrika hushiriki timu za "wamama" akiashiria ni mashindano ya ngazi ya chini kuliko mengine. Inakera zaidi mtu anaposema mashindano ya shirikisho ni ya "losers" wakati Yanga iliwahi kushiriki...
  15. Labani og

    Yanga yaongoza possibility za kufuzu makundi CAFCL

    CAFCL Group A Preview! Get ready for a thrilling Group A, where all four teams have a genuine shot at advancing to the next round. Upsets are a real possibility, and even the favourites could find themselves on the brink of elimination. #TotalEnergiesCAFCL #CAFCL Yanga..........28 Tp...
  16. Waufukweni

    Yanga yapeleka msiba mwingine Msimbazi, yautaka Ubingwa wa Afrika

    Afisa habari wa klabu ya Yanga Ally Kamwe amesema: "Nataka niwaambie tu Yanga hii bado, Januari kutakuwa na ongezeko la mchezaji mwingine wa kigeni. Kwa hiyo haijakamilika, tunahitaji kuchukuwa ubingwa wa Afrika" "Huyo mchezaji aliyemsema Rais Hersi tumemleta alikuwepo uwanjani katika mchezo...
  17. MwananchiOG

    Hivi mlitegemea timu ya Shirikisho imfunge timu inayoshiriki Klabu Bingwa Afrika?

    Inashangaza sana baadhi ya mashabiki wa Simba kutupa lawama kwa mwamuzi wa mchezo wengine wakitoa lawama kwa serikali, Swali la msingi ambalo wanajisahaulisha, Hivi kweli walikuwa serious wakitarajia kuifunga Young africans? Wanapaswa kushukuru mbinu aliyoingia nayo kocha wa Yanga (kuamua...
  18. Mkalukungone mwamba

    Uchambuzi: Mbinu 3 za Yanga kufuzu Robo Fainali klabu Bingwa Afrika 2024/2025

    Leo tumeshuhudia Shirikisho la Mpira wa miguu Afrika ( CAF) wa upangaji wa hatua ya makundi kombe la Klabu Bingwa Afrika (CAFCL) na Kombe la Shirikisho Afrika ( CAFCCL) ambapo Yanga kwenye Klabu Bingwa Afrika wamepangwa na TP Mazembe DR Congo, Al Hilal ya Sudan na MC Alger ya Algeria. Kwa...
  19. SAYVILLE

    Sijawahi kuielewa timu ya Al Hilal Omdurman ya Sudan

    Hili jambo nimeliwaza muda mrefu sana ila sijawahi kupata nafasi ya kulisema. Hii timu ya Al Hilal ya Sudan sijawahi kuielewa style yake ya uchezaji. NI timu ambayo ki-rank unaweza kusema ni moja ya timu bora Afrika na pia huko Sudan na katika ukanda huu wa Afrika Mashariki unaweza kusema ni...
  20. Metronidazole 400mg

    Yanga atashika mkia kwenye kundi lao, ni kibonde wa kundi

    Sababu 1.mechi mnayoanza away dhidi ya MC Alger lazima ugongwe 2.Ibenge ni kiboko yenu Toka enzi za nabi, lazima awagonge (mnamkumbuka mwamba Mohamed Abdelrahman ) 3..MC Alger Sina haja ya kuwaongelea, mnawajua walichowafanya 4...TP Mazembe ndio kabisaaa hamsogelei Chonde Chonde AL Hilal...
Back
Top Bottom