Tunatafuta mwalimu wa day care in Dar es Salaam. Vigezo awe mwanamke, tuna kituo cha day care Salasala, anayeona mema atupigie.
0717457679
CHANGAMOTO NI MATUMAINI / www.changamoto.org / info@changamoto.org
Habari wana jamvii, msaada wa aina ya vifaa navyotakiwa kuwa navyo kabla sijafungua clinic ya macho mtaani!
Msaada wa mawazo juu ya machine na mitambo ya kuwa nayo kama clinic ya macho
Chorus Kali sana na melody imetulia ila amezingua kwenye mashairi ya kitoto hajayapangilia,nadhani hakua serious na hii ngoma,
angetuliza kichwa hii ngoma inebamba zaidi ya hapa sababu inaendana na sana na msimu huu wa sikukuu.
Kama anaweza mwanetu angefanya remix na kuweka mashairi kwenye...
Especially mwanamke akiwa msomi kapata ka exposure ama wawe awe born town wa kuangalia hizo sinema za wakorea.
Ni wazi kwamba huwa kuna majukumu mna wajibu wa kuyafanya pamoja ama kusaidiana lakini kuna makujumu ya mwanaume unayohitaji kuyafanya bila msaada wa mwanamke na kuna majukumu ya...
Position: Health and Care Programme Officer
Annual Gross Salary: TZS 31,903,752.00 to 32,671,344.00 plus other benefit depending on skills and experiences.
Contract Period: Six months (6 Months) with potential for renewal.
Job purpose
The Health and Care Programme Officer will lead effective...
Nchi ilipofikia unafokewa hadi na customer care. Bongo now kila mtu boss, wafanyakazi DAWASCO kuna shida gani ya maji mwanarugali hadi mwenzi unapita hamna maji, ukiwapigia wanasema mpigie Aweso aje!
Kweli ndio tumefika huko? Tukumbuke wakati tunaomba kazi, Amina.
Ninachotaka kusema ni kwamba hawajali kabisa kuhusu Sisi,
(Usijali watu wanasema nini, Kwa sababu tunaujua ukweli)
Ninachotaka kusema ni kwamba hawajali kabisa kutuhusu,
(Inatosha sasa, upuuzi huu!),
Ninachotaka kusema ni kwamba hawajali kabisa kuhusu sisi,
Koras!
Vichwa Panzi,
Bongo lala...
Peking Healthcare limited’ Anewly growing company located in Ilala-Dar es Salaam which offers high level quality health services is looking for competent candidates to join the team at one of her dispensaries located in Ilala-Dar es Salaam. Currently there is one(01) vacancy to be filled. If you...
Jina: Bety Laizer
Jinsia: Mwanamke
Umri: 33 years old
Elimu: Diploma ya Afisa Masoko
Makazi: Arusha , Tanzania
Uzoefu: Miaka 8
Email yangu ni tourismnewworldwide@gmail.com ,
Wengi wao.....
1. Wana Hasira (Usununu)
2. Wakali
3. Wajeuri (Ngumi Mkononi)
4. Wana PhD"s za Matusi
5. Hawajui Kutabasamu
6. Wana Stress na Frustrations
7. Mabingwa wa Kugongea Misosi ya Watu na Kulazimisha kupewa Lifti nyakati za Jioni / Usiku
Kuna Mmoja nimekutana nae mahala nimemchanganyia...
Hizi kazi zimekuwa nyingi na hakuna watu wa kuzifanya mpaka UK inatafuta wafanyakazi kutoka nje.
Jaribu bahati yako, ukweli ni kazi za kuangalia wazee,
sasa wewe kama unaona haikufai, pita kushoto,
Wale wanataka kujaribu bahati yao, fursa ndio hii.
Uwe una elimu hata ya uuguzi kutoka chuo...
Habari za usiku wapendwa katika Bwana.
Nijikite moja kwa moja kwenye mjadala hususan ni kwa kampuni zinazotoa huduma za kifedha.
Tunashukuru tunapata huduma za kifedha masaa24, unaweza kutuma fedha, kutoa, kufanya manunuzi n.k
ILA
1. Licha ya huduma hii muhimu kupatikana masaa24 ila msaada...
Ni swala la muda muda tu , watu wengi wataachishwa kazi kwenye makampuni makubwa, kutokana na kukua kwa teknolojia.
Kuna robot anaye-trend huku mtandaoni , anaitwa ChatGPT. Huyu robot anauwezo wa kukujibu swali lolote kwa sekunde 1.
Tukija kwenye swala la customer care wetu, mko wengi sana na...
Naibu Spika alikuwa anaongea katika mkutano wa CCM leo Upanga.
Anasema Bima ya Afya kwa wote kwanza italenga kuwasaidia wale ambao ni vulnerable.
Ulikuwa mkutano ambao ulihudhuriwa pia na Zuberi Mtenvu,Mwenyekiti wa CCM Far.
Legend Pele kahamishiwa Palliative care unit. Yaani huku mgonjwa hulazwa endapo curative care haiwezekani tena. Palliative anapewa dawa za kupunguza maumivu tu,huku akisubiri siku ya kurudi kwa Mungu ambayo haipo mbali sana.
Almost itakuwa before January.
Tumuombee Pele ,maumivu ya cancer si...
Salaams Wana bodi,
Hawa DSTV nimejiunga kifurushi toka jana mpaka kunakucha nimeshaongea na customer care wanne tofauti tofauti lkn hakuna aliyenitatulia tatizo langu. Kibaya zaidi kilichonikera ni kuniblock namba zangu nisiweze kuwapata tena.
Kesho nanunua king'amuzi cha mtandao mwingine...
Nimeenda duka la simu kuulizia kitu fulani, mwenye duka alishakuwa maarufu ndiyo maana niliagiziwa pale, nimeshangaa sana yuko makini na Instagram, hanisikilizi. Mara ana 'screenshot' Instagram anamtumia mfanyakazi wake namuongelesha hanisikilizi.
Hivi tutafika kweli kwa mtindo huu? Kwamba duka...
Wakati nafikiria kuanza michakato ya kufuatilia michango yangu kwa hawa jamaa nilikuwa nafikiria sana kwa kuwa taasisi nyingi za umma zinasifika kwa kuwa na customer care mbaya sana kwa wateja. Lakini nimefuatilia,nimeingia ofisi tofauti tofauti na itoshe tu kusema jamaa ni wakarimu na...
Siku moja niko zangu nimetulia tu hata sijui siku inaendaje,basi wakati nachezea simu mara paap nikapata wazo la kutongoza customer care 😂
Chap tu nikapiga 100 kila nikisikia sauti ya kiume nakata mara paap mtoto akapokea, hello naitwa mary unaitwa nani na unapiga simu kutoka wapi?
Nikamjibu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.