care

  1. C

    Kutafuta Mwalimu wa day care Dar es Salaam

    Tunatafuta mwalimu wa day care in Dar es Salaam. Vigezo awe mwanamke, tuna kituo cha day care Salasala, anayeona mema atupigie. 0717457679 CHANGAMOTO NI MATUMAINI / www.changamoto.org / info@changamoto.org
  2. MIRA01

    Vifaa gani natakiwa kuwa navyo kabla sijafungua clinic ya macho mtaani?

    Habari wana jamvii, msaada wa aina ya vifaa navyotakiwa kuwa navyo kabla sijafungua clinic ya macho mtaani! Msaada wa mawazo juu ya machine na mitambo ya kuwa nayo kama clinic ya macho
  3. Chinga One

    Wimbo wa Msanii Darasa "I don't care (it's holiday)

    Chorus Kali sana na melody imetulia ila amezingua kwenye mashairi ya kitoto hajayapangilia,nadhani hakua serious na hii ngoma, angetuliza kichwa hii ngoma inebamba zaidi ya hapa sababu inaendana na sana na msimu huu wa sikukuu. Kama anaweza mwanetu angefanya remix na kuweka mashairi kwenye...
  4. sky soldier

    Kuna wanaume mnadanganywa kujali mwanamke ni kumsaidia kupika ama kufua. Niwasihi kwamba hayo sio majukumu yenu ni uboya

    Especially mwanamke akiwa msomi kapata ka exposure ama wawe awe born town wa kuangalia hizo sinema za wakorea. Ni wazi kwamba huwa kuna majukumu mna wajibu wa kuyafanya pamoja ama kusaidiana lakini kuna makujumu ya mwanaume unayohitaji kuyafanya bila msaada wa mwanamke na kuna majukumu ya...
  5. Jamii Opportunities

    Health and Care Programme Officer at HelpAge October, 2023

    Position: Health and Care Programme Officer Annual Gross Salary: TZS 31,903,752.00 to 32,671,344.00 plus other benefit depending on skills and experiences. Contract Period: Six months (6 Months) with potential for renewal. Job purpose The Health and Care Programme Officer will lead effective...
  6. Q

    DOKEZO Tatizo la maji Kibaha Mwanarugali mwezi mzima hayatoki, huduma kwa wateja wanasema tumpigie Waziri Aweso

    Nchi ilipofikia unafokewa hadi na customer care. Bongo now kila mtu boss, wafanyakazi DAWASCO kuna shida gani ya maji mwanarugali hadi mwenzi unapita hamna maji, ukiwapigia wanasema mpigie Aweso aje! Kweli ndio tumefika huko? Tukumbuke wakati tunaomba kazi, Amina.
  7. DR Mambo Jambo

    Michael jackson: "Ninachotaka kusema ni kwamba hawajali kabisa kuhusu Sisi"

    Ninachotaka kusema ni kwamba hawajali kabisa kuhusu Sisi, (Usijali watu wanasema nini, Kwa sababu tunaujua ukweli) Ninachotaka kusema ni kwamba hawajali kabisa kutuhusu, (Inatosha sasa, upuuzi huu!), Ninachotaka kusema ni kwamba hawajali kabisa kuhusu sisi, Koras! Vichwa Panzi, Bongo lala...
  8. Jamii Opportunities

    Medical Doctor at Peking Health Care Limited May, 2023

    Peking Healthcare limited’ Anewly growing company located in Ilala-Dar es Salaam which offers high level quality health services is looking for competent candidates to join the team at one of her dispensaries located in Ilala-Dar es Salaam. Currently there is one(01) vacancy to be filled. If you...
  9. tecknologia23

    Wana JF naombeni kazi ya customer care

    Jina: Bety Laizer Jinsia: Mwanamke Umri: 33 years old Elimu: Diploma ya Afisa Masoko Makazi: Arusha , Tanzania Uzoefu: Miaka 8 Email yangu ni tourismnewworldwide@gmail.com ,
  10. GENTAMYCINE

    Hawa Wadada wa NPS wanaotoza Ushuru Gari zinazopaki Barabarani wamefaulu vyema Somo la Customer Care?

    Wengi wao..... 1. Wana Hasira (Usununu) 2. Wakali 3. Wajeuri (Ngumi Mkononi) 4. Wana PhD"s za Matusi 5. Hawajui Kutabasamu 6. Wana Stress na Frustrations 7. Mabingwa wa Kugongea Misosi ya Watu na Kulazimisha kupewa Lifti nyakati za Jioni / Usiku Kuna Mmoja nimekutana nae mahala nimemchanganyia...
  11. Teknocrat

    Hizi kazi zimekuwa nyingi na hakuna watu wa kuzifanya

    Hizi kazi zimekuwa nyingi na hakuna watu wa kuzifanya mpaka UK inatafuta wafanyakazi kutoka nje. Jaribu bahati yako, ukweli ni kazi za kuangalia wazee, sasa wewe kama unaona haikufai, pita kushoto, Wale wanataka kujaribu bahati yao, fursa ndio hii. Uwe una elimu hata ya uuguzi kutoka chuo...
  12. Lyetu

    Customer Care Tanzania na saa 24

    Habari za usiku wapendwa katika Bwana. Nijikite moja kwa moja kwenye mjadala hususan ni kwa kampuni zinazotoa huduma za kifedha. Tunashukuru tunapata huduma za kifedha masaa24, unaweza kutuma fedha, kutoa, kufanya manunuzi n.k ILA 1. Licha ya huduma hii muhimu kupatikana masaa24 ila msaada...
  13. Internet-Money

    Customer Care wote wa CRDB, NMB, Voda & Tigo - jiandaeni kufukuzwa kazi

    Ni swala la muda muda tu , watu wengi wataachishwa kazi kwenye makampuni makubwa, kutokana na kukua kwa teknolojia. Kuna robot anaye-trend huku mtandaoni , anaitwa ChatGPT. Huyu robot anauwezo wa kukujibu swali lolote kwa sekunde 1. Tukija kwenye swala la customer care wetu, mko wengi sana na...
  14. Sky Eclat

    If you take care of things, they last

  15. Poppy Hatonn

    Zungu anasema wiki ijayo Bunge litapitisha Universal Health Care

    Naibu Spika alikuwa anaongea katika mkutano wa CCM leo Upanga. Anasema Bima ya Afya kwa wote kwanza italenga kuwasaidia wale ambao ni vulnerable. Ulikuwa mkutano ambao ulihudhuriwa pia na Zuberi Mtenvu,Mwenyekiti wa CCM Far.
  16. Victoire

    Tumuombee Legend Pele katika safari yake ya kupumzika kwa amani.Yupo "PALLIATIVE CARE "kwa sasa

    Legend Pele kahamishiwa Palliative care unit. Yaani huku mgonjwa hulazwa endapo curative care haiwezekani tena. Palliative anapewa dawa za kupunguza maumivu tu,huku akisubiri siku ya kurudi kwa Mungu ambayo haipo mbali sana. Almost itakuwa before January. Tumuombee Pele ,maumivu ya cancer si...
  17. V

    Sikujua kama customer care ya DSTV ni ya ovyo sana

    Salaams Wana bodi, Hawa DSTV nimejiunga kifurushi toka jana mpaka kunakucha nimeshaongea na customer care wanne tofauti tofauti lkn hakuna aliyenitatulia tatizo langu. Kibaya zaidi kilichonikera ni kuniblock namba zangu nisiweze kuwapata tena. Kesho nanunua king'amuzi cha mtandao mwingine...
  18. Sambinyakwe kitololo

    Bongo huduma kwa wateja ni sufuri

    Nimeenda duka la simu kuulizia kitu fulani, mwenye duka alishakuwa maarufu ndiyo maana niliagiziwa pale, nimeshangaa sana yuko makini na Instagram, hanisikilizi. Mara ana 'screenshot' Instagram anamtumia mfanyakazi wake namuongelesha hanisikilizi. Hivi tutafika kweli kwa mtindo huu? Kwamba duka...
  19. GentleGiant

    PSSSF moja ya taasisi za Umma zenye Customers care bora kabisa nchini

    Wakati nafikiria kuanza michakato ya kufuatilia michango yangu kwa hawa jamaa nilikuwa nafikiria sana kwa kuwa taasisi nyingi za umma zinasifika kwa kuwa na customer care mbaya sana kwa wateja. Lakini nimefuatilia,nimeingia ofisi tofauti tofauti na itoshe tu kusema jamaa ni wakarimu na...
  20. Noizee maker

    Nilipokosa cha kufanya kwa simu yangu nikaamua kutongoza customer care

    Siku moja niko zangu nimetulia tu hata sijui siku inaendaje,basi wakati nachezea simu mara paap nikapata wazo la kutongoza customer care 😂 Chap tu nikapiga 100 kila nikisikia sauti ya kiume nakata mara paap mtoto akapokea, hello naitwa mary unaitwa nani na unapiga simu kutoka wapi? Nikamjibu...
Back
Top Bottom