Mimi ni mwanafunzi ninayesoma Utabibu, je, kuna short course ya Afya ya Ngozi (skin care) au mpaka niwe specialized doctor wa ngozi?
Lengo langu kubwa ni kuwa mfanyabiashara mkubwa wa masuala ya vipodozi, sasa ili niwe na utaalamu wa kumshauri mtu kipodozi kipi atumie na kipi asitumie inabidi...
UTANGULIZI
HUDUMA YA AFYA YA AWALI; Ni mtazamo wa jamii nzima ambao unalenga katika kuhakikisha huduma za afya zilizo bora zinatolewa na kwa jamii nzima kwa usawa na kujali mahitaji ya wanajamii nzima. Hii inajikita katika utoaji wa huduma za kafya za kibinafsi zinazotolewa kwa mara ya kwanza...
CARE is a leading humanitarian organization dedicated to fighting poverty and social injustice and places a particular emphasis on women and girls, their dignity and empowerment to lead their communities out of poverty. In 2020, CARE worked in 104 countries, reaching 90 million people through...
Project Manager for USAID/TANZANIA Youth Empowerment and Skills Program at CARE September, 2022
CARE is a leading humanitarian organization dedicated to fighting poverty and social injustice and places a particular emphasis on women and girls, their dignity and empowerment to lead their...
MULTIMACA ni kirutubisho ambacho kimepewa tuzo kwa afanisi mzuri wa kazi yake mwilini
KINATUMIKAJE
Hii inaongeza nguvu za kiume kwa asilimia 100% yani kama utaitumia hii bidhaa tatizo lako halitajirudia tena
Pia inasafisha mfumo mzima wa chakula hasa kwa watu wenye vidonda sugu vya tumbo, choo...
Habari zenu watoto wa mama (SSH)
Nimejikuta wiki nzima imeharibika baada ya kupokea matusi kutoka kwa mtu ambaye amejitambulisha ni mtoa huduma kwa wateja (customer care).
Nilikuwa nimepumzika zangu majira ya asubuhi ghafla nikapokea simu kutoka kwa mtu aliyejitambulisha kuwa anatoka kitengo...
Jamani kama kuna ambae amefanikiwa kuwasiliana na customer care wa sensa wanasemaje kuhusu ambao hawajapata meseji ya nywila au namna ya kupata namba ya siri kwa ujumla?
Habari wana Jf nimeamua kufungua daycare baada ya kuhitimu diploma ya childhood education nimeamua nijiajiri,hivyo ninaomba mwenye uelewa wa taratibu za kufuata anielekeze tafadhali.Ushauri
BBC has just notified the World that unknown number of Tanzanian are stranded in Ukraine as the result of on going with Russian unfortunately no any statement made by the Government on how to evacuate and bring them back . As far as i know life a single person matters a lot .
Hello wanaume wenzangu kokote mliko. Nawaasa sana kokote mliko
Kama una familia ama hauna unaweza kuwa nayo after some time Kuna vitu katika haya maisha si vya kuweka katika miliki ya mwanamke. Utakuja kulia vibaya sana ama kujiua kama mstaafu wa Polisi kule Moshi
Naorodhesha vichache!
Hati...
Habari! Mwalimu /mlezi anahitajika
Shule: Tiger Day Care
Wapi: Dar- kinondoni-kawe
Sifa: Awe amesomea uwalimu/ au malezi , awe anajua kingereza vizuri na nyimbo nyingi za watoto, upendo kwa watoto.
Jinsia: Awe wa kiume au kike ,umri awe kijana
Sharti: Awe anaongea kingereza muda wote...
Habari,
Jana nimepata bad exeprience na basi la MTEI (T305 DTS) kutoka tanga to Arusha, ni mara ya kwanza kwenye historia ya maisha yangu yakusafiri na mabasi.
Wakati wakushuka konda anaomba hela ya kulipisha mzigo. Sijui jinsi ya kuweza kutatua hili tatizo, nimejaribu kuwapigia simu yao...
Mheshimiwa Mkurugenzi wa BRELA,
Hizi ni zama za kidijitali, na tuko fourth industrial revolution.
Lakini hapo kwako BRELA kuna tatizo.
NImeingia mfumo wa ORS nimekwama, na hakuna namna ya kupata msaada wa haraka kutoka customer care office ya BRELA.
Nimechukua namba za customer care staff...
Straight to the topic,
Juzi kati kuna hela nilikua natarajia iingie kwenye acount yangu sasa nikawa nimeangalia sana salio ile siku kama mara 8 hivi ila hela ikawa haijaingia, nikaona isiwe kesi nikatulia zangu.
Sasa mida ya jioni nikaona simu inaita nikapoke, aliyepiga akajitambulisha kua ni...
Habari wana JF.
Mimi ni kijana umri miaka 27 ninaishi Ubungo,Dar es salaam Tanzania
Nina degree ya library and information studies natafuta kazi ya ukutubi katika shule au vyuoni pia ninauzoefu wa kazi hii.
pia ninatafuta kazi ya kutunza kumbukumbu (record management) katika ofisi yeyote au...
Ni week ya sasa Wajawazito katika ofisi mbalimbali za jiji la Dar es Salaam hawapati huduma,iwe Ubungo au Ilala kwa wakazi wa Dar es Salaam.
Inaenda karibu week ya pili sasa kwa wajawazito ukienda kwenye ofisi za NSSF kwa ajili ya Fao la Ujauzito ni kero tupu,sababu mara mtandao unasumbua mara...
Nahuzuni moyoni mimi siimbi nalia,
Ulituahidi mengi, binafsi nayalilia,
"Hapa kazi tu!" ndio kauli uliyotuachia,
kwa bidii tulijituma, na mengi tuliachilia,
Ulitufundisha uzalendo, kazi kwanza mazuri yangetujilia,
Uwajibikaji kwanza, ndo kigezo cha kuinuliwa,
Tumbuatumbua, "surgeon" kazi...
Its February, the shortest mounth of the year, but also one of the most interesting mouth of the year. Most people refer to this month as the mounth of love , this is simply because in the middle of this month there is a day which is meant for lovers. It is the 14th of February and it is called...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.