care

  1. S

    Je, kuna kozi fupi kuhusu Afya ya Ngozi (Skin Care)?

    Mimi ni mwanafunzi ninayesoma Utabibu, je, kuna short course ya Afya ya Ngozi (skin care) au mpaka niwe specialized doctor wa ngozi? Lengo langu kubwa ni kuwa mfanyabiashara mkubwa wa masuala ya vipodozi, sasa ili niwe na utaalamu wa kumshauri mtu kipodozi kipi atumie na kipi asitumie inabidi...
  2. A

    SoC02 Kuboresha huduma ya afya ya awali (primary health care)

    UTANGULIZI HUDUMA YA AFYA YA AWALI; Ni mtazamo wa jamii nzima ambao unalenga katika kuhakikisha huduma za afya zilizo bora zinatolewa na kwa jamii nzima kwa usawa na kujali mahitaji ya wanajamii nzima. Hii inajikita katika utoaji wa huduma za kafya za kibinafsi zinazotolewa kwa mara ya kwanza...
  3. Jamii Opportunities

    Project Driver Cum Assistant Logistician at CARE

    CARE is a leading humanitarian organization dedicated to fighting poverty and social injustice and places a particular emphasis on women and girls, their dignity and empowerment to lead their communities out of poverty. In 2020, CARE worked in 104 countries, reaching 90 million people through...
  4. Jamii Opportunities

    Project Manager for USAID/TANZANIA Youth Empowerment and Skills Program at CARE

    Project Manager for USAID/TANZANIA Youth Empowerment and Skills Program at CARE September, 2022 CARE is a leading humanitarian organization dedicated to fighting poverty and social injustice and places a particular emphasis on women and girls, their dignity and empowerment to lead their...
  5. Mathias66

    Dr cold health care

    MULTIMACA ni kirutubisho ambacho kimepewa tuzo kwa afanisi mzuri wa kazi yake mwilini KINATUMIKAJE Hii inaongeza nguvu za kiume kwa asilimia 100% yani kama utaitumia hii bidhaa tatizo lako halitajirudia tena Pia inasafisha mfumo mzima wa chakula hasa kwa watu wenye vidonda sugu vya tumbo, choo...
  6. beatboi

    Nataka nimfungulie kesi aliyejitambulisha kama Customer care wa Halotel kwa kunitukana bila sababu

    Habari zenu watoto wa mama (SSH) Nimejikuta wiki nzima imeharibika baada ya kupokea matusi kutoka kwa mtu ambaye amejitambulisha ni mtoa huduma kwa wateja (customer care). Nilikuwa nimepumzika zangu majira ya asubuhi ghafla nikapokea simu kutoka kwa mtu aliyejitambulisha kuwa anatoka kitengo...
  7. Damidizzo

    Kuna mtu amewasiliana na Customer Care ya Sensa?

    Jamani kama kuna ambae amefanikiwa kuwasiliana na customer care wa sensa wanasemaje kuhusu ambao hawajapata meseji ya nywila au namna ya kupata namba ya siri kwa ujumla?
  8. mtoto mdg

    CARE intl

    Habar, Kuna ambae ashaitwa interview na hawa CARE. Kwenye nafasi yao ya project coordinator. Shukran
  9. Lavan Island

    Msaada nataka kufungua day care je nianzie wapi?

    Habari wana Jf nimeamua kufungua daycare baada ya kuhitimu diploma ya childhood education nimeamua nijiajiri,hivyo ninaomba mwenye uelewa wa taratibu za kufuata anielekeze tafadhali.Ushauri
  10. E

    Biashara ya Day Care na shule za chekechea Arusha zimeshamiri kulikoni?

    Ggg
  11. T

    The regime that does not care of its citizens

    BBC has just notified the World that unknown number of Tanzanian are stranded in Ukraine as the result of on going with Russian unfortunately no any statement made by the Government on how to evacuate and bring them back . As far as i know life a single person matters a lot .
  12. Nyuki Mdogo

    Kuna vitu si vya kukabidhi Mwanamke

    Hello wanaume wenzangu kokote mliko. Nawaasa sana kokote mliko Kama una familia ama hauna unaweza kuwa nayo after some time Kuna vitu katika haya maisha si vya kuweka katika miliki ya mwanamke. Utakuja kulia vibaya sana ama kujiua kama mstaafu wa Polisi kule Moshi Naorodhesha vichache! Hati...
  13. T

    Mwalimu/Mlezi wa Day Care center anahitajika

    Habari! Mwalimu /mlezi anahitajika Shule: Tiger Day Care Wapi: Dar- kinondoni-kawe Sifa: Awe amesomea uwalimu/ au malezi , awe anajua kingereza vizuri na nyimbo nyingi za watoto, upendo kwa watoto. Jinsia: Awe wa kiume au kike ,umri awe kijana Sharti: Awe anaongea kingereza muda wote...
  14. Bratherkaka

    Mtei bus - bad customer care (T305 DTS)

    Habari, Jana nimepata bad exeprience na basi la MTEI (T305 DTS) kutoka tanga to Arusha, ni mara ya kwanza kwenye historia ya maisha yangu yakusafiri na mabasi. Wakati wakushuka konda anaomba hela ya kulipisha mzigo. Sijui jinsi ya kuweza kutatua hili tatizo, nimejaribu kuwapigia simu yao...
  15. Doctor Mama Amon

    Kwa Mkurugenzi wa BRELA: Naomba kujua namba za simu za customer care staff wako zinazofanya kazi

    Mheshimiwa Mkurugenzi wa BRELA, Hizi ni zama za kidijitali, na tuko fourth industrial revolution. Lakini hapo kwako BRELA kuna tatizo. NImeingia mfumo wa ORS nimekwama, na hakuna namna ya kupata msaada wa haraka kutoka customer care office ya BRELA. Nimechukua namba za customer care staff...
  16. Planett

    Huyu customer care wa benki hii hana kazi ya kufanya?

    Straight to the topic, Juzi kati kuna hela nilikua natarajia iingie kwenye acount yangu sasa nikawa nimeangalia sana salio ile siku kama mara 8 hivi ila hela ikawa haijaingia, nikaona isiwe kesi nikatulia zangu. Sasa mida ya jioni nikaona simu inaita nikapoke, aliyepiga akajitambulisha kua ni...
  17. M

    Natafuta kazi ya ukutubi (librarian),data entry,record management,customer care, receptionist and personal assistant.

    Habari wana JF. Mimi ni kijana umri miaka 27 ninaishi Ubungo,Dar es salaam Tanzania Nina degree ya library and information studies natafuta kazi ya ukutubi katika shule au vyuoni pia ninauzoefu wa kazi hii. pia ninatafuta kazi ya kutunza kumbukumbu (record management) katika ofisi yeyote au...
  18. Ngaliba Dume

    NSSF mnawatesa Wajawazito wa Fao la Uzazi; Customer Care mbovu ofisi za Ubungo

    Ni week ya sasa Wajawazito katika ofisi mbalimbali za jiji la Dar es Salaam hawapati huduma,iwe Ubungo au Ilala kwa wakazi wa Dar es Salaam. Inaenda karibu week ya pili sasa kwa wajawazito ukienda kwenye ofisi za NSSF kwa ajili ya Fao la Ujauzito ni kero tupu,sababu mara mtandao unasumbua mara...
  19. musa yasini

    You left for the city, you promised to come back to take care of us!

    Nahuzuni moyoni mimi siimbi nalia, Ulituahidi mengi, binafsi nayalilia, "Hapa kazi tu!" ndio kauli uliyotuachia, kwa bidii tulijituma, na mengi tuliachilia, Ulitufundisha uzalendo, kazi kwanza mazuri yangetujilia, Uwajibikaji kwanza, ndo kigezo cha kuinuliwa, Tumbuatumbua, "surgeon" kazi...
  20. M

    "The best present I ever got is him, I don't care whether it will end in tears or not"

    Its February, the shortest mounth of the year, but also one of the most interesting mouth of the year. Most people refer to this month as the mounth of love , this is simply because in the middle of this month there is a day which is meant for lovers. It is the 14th of February and it is called...
Back
Top Bottom