85% kwa Zanzibar
97% kwa upande wa Tanzania
Hii ni kutokana na sababu
1. Upinzani Zanzibar umekufa. ACT wazalendo tangu aondoke maalim imekufa nguvu .
2. Dr Mwinyi ameijenga sana Zanzibar, mashule, masoko, majumba, mabarara, kuboresha hali ya watumishi wa umma, wazee. Hii turufu kwake
3. Dr...