certificate

  1. Nafanikishaje kupata travel insurance certificate, flight reservation, hotel reservation?

    Hello thinkers Salaam wakuu! Nilikiwa naomba mtu mwenye ushauri au ujuzi wa kupata TRAVEL INSURANCE CERTIFICATE, FLIGHT RESERVATION, HOTEL RESERVATION. Hizi ni uambatanisho wakupata viza/Visa ya kusafiria kwa mda. Kama kuna mtu mwenye experience please tujuzane hata kama mtu ataona noma...
  2. Naomba mtu mwenye ujuzi wa kupata Travel insurance certificate, flight reservation, hotel reservation

    Hello, thinkers Salaam wakuu! Nilikiwa naomba mtu mwenye ushauri au ujuzi wa kupata TRAVEL INSURANCE CERTIFICATE, FLIGHT RESERVATION, HOTEL RESERVATION. Hizi ni uambatanisho wakupata viza/Visa ya kusafiria kwa mda. Kama kuna mtu mwenye experience please tujuzane hata kama mtu ataona noma...
  3. Aliesoma Short Course za VETA anaruhusiwa kuendelea vyuoni

    Wakubwa samahani sana ..kama title inavyojieleza hapo juu nilikuwa nataka kujua je kwa aliesoma short course veta mfano ya electronics anaruhusiwa kuendelea kusoma vyuoni kwa ngazi tofauti kama certificate na diploma? Naombeni majibu wakuu
  4. Kwa ufaulu huu anaweza kusoma kozi gani ngazi ya certificate?

    Ufaulu wa huu huyu binadamu anaweza kusoma ngazi ipi ngazi ya certificate:- B/math F Geo. F Hist. D Civics. D Kiswa. D Engl. D Litera. D.
  5. G

    Msaada natafuta kazi nina Elimu ya Certificate in Community health

    Habarini wakuu kama kichwa cha habari kinavosema mimi ni kijana mwenye miaka 22 nimesoma hadi ngazi ya certificate in community health Natafuta kazi katika mashirika binafsi (NGO) yanayoshughulikia masuala ya kijamii hata Kwa kujitolea kwa ujumla naweza fanya kazi kama social worker pia...
  6. M

    Natafuta kazi sales and marketing, customer service au data entry.

    Habari za mchana viongozi. Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23 Nina ujuzi katika sales and marketing na customer care service na data entry na stock controller namba yangu ya simu 0654918030.
  7. Ninahitaji nafasi ya kufanya 'Internship'. Nimesoma Bsc of science in Computer science HCIA (5G,AI,DataCom &Python) Certificate

    Salaam, Mimi ni kijana wa kiume mwenye Umri wa Miaka 26 na makazi yangu ni Mwanza wilaya ya Nyamaghana. Mwaka huu 2021 nimehitimu Bachelor of science in computer science, Lengo la thread hii ni kuomba nafasi ya internship or volunteering opportunity (paid or unpaid), katika kampuni yoyote...
  8. J

    Certificate (nta 1&2)ya auto electrica(veta) au diploma ya ict (nta 4,5 & 6) nit

    Habari za ndugu zangu Nimatumaini ya ni wazima,mimi ni muhitimu wa form iv 2014 (nifaulu kwa daraja la tatu) kwa alama ya phy C,chemistry E,math C,bio C,geo C,English B a mengine D yote... Sasa mwaka huu nataka niende chuo nika apply nit first choice ordinary diploma auto...
  9. #COVID19 Naomba kujuzwa jinsi ya kupata certificate of COVID-19 Vaccination

    Guys, Nimepata Choja ya covid19 week ya kwanza tu ya utojia, Hadi leo sijapata message ya kupata cheti, Naona wanaona choma hivi karibu wanapata message zina link ya cheti, Njia gani naweza pata cheti, nimeangalia kwenye website ya wizara ya afya bila mafanikio. Help me out. Thanks
  10. Nawezaje kupata TIN Certificate ya taasisi (Registered NGO)?

    Habari za Asubuhi Naomba mnisaidie utaratibu ili niweze kupata TIN certificate. Kwa ajili ya Organization imesajiliwa kisheria ngazi ya Kitaifa. Ahsante.
  11. Hivi ukiishia Certificate ya Clinical Medicine unakua na majukumu gani kazini?

    Habari wakuu, nauliza ukisoma ile technician certificate NT Level 4 ya miaka 2, majukumu yako kazini yanakua ni yapi ukilinganisha na mwenye diploma?
  12. A friend of mine forgot to attach his form four certificate

    Moja kwa moja kwenye mada ... Wakuu kuna rafiki yangu amefanya maombi ya mkopo.. kila kitu kafanya sawa .. vyeti vyote ameweka safi tu.. na form aliipereka posta kuituma. Baada ya siku mbili amegundua kuwa alisahau kuattach cheti cha form four kwenye ile form iliyoenda posta. anauliza eti...
  13. C

    Nina certificate ya Information Technology, natafuta kazi Dar es Salaam au Mwanza

    Ndugu watanzania, mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23 mwenye changamoto ya kukosa ajira. Naomba msaada wa ajira yoyote ile kwani nina uhitaji sana. Elimu yangu nilifanikiwa kumaliza kidato cha nne na kujiunga na chuo cha Uandishi wa Habari nikasoma semester moja ila sikufanikiwa kumaliza...
  14. A

    CV without CSEE certificate

    Mambo vp, Mimi ni kijana wa miaka 21 ninaishi Dar. Nilikuwa naomba ideas. Zenu maarifa yenu mawazo yenu . Nilisoma Nusery na Kisha nikaenda primary ila sikupata certificate ya darasa la Saba kwa sababu. Shule niliyosoma ilikuwa haijasaliwa lkn nikaendelea hadi form 4 nikamaliza lakini...
  15. N

    Ushauri wenu juu ya kozi hii ya kijana wangu!

    Amechaguliwa kwenda kusomea kozi ya performing and visual arts (bado siajajua kama ni certificate au diploma. Mzazi mimi sina uelewa wowote wa masuala ya elimu, achilia mbali habari za vyuo na makozi yake. Kwa kozi kama hiyo, wadau naomba mnijuze na kunishauri; itamfanya awe nani? Msaada wake...
  16. Hivi kuna Degree, Diploma au Certificate ya Digital Marketing?

    Siku hizi suala la Marketing limehamia mtandaoni, si Tv, magazeti, mabango, wala Radio zinazoweza kushindana na digital katika kutangaza. Nimekuwa natangaza biashara facebook/insta. Ni msitu mkubwa na changamoto ni nyingi. Na ili upate matokea yote inabidi kuielewa vizuri. Bado najifunza lakini...
  17. #COVID19 Electronic passport yenye covid19 clearance certificate kutolewa Ulaya

    Bunge la Ulaya na Nchi Wanachama wa Umoja wa Ulaya wamefikia makubaliano ya kutoa passport ya kielektroniki (cheti cha Covid19) itayoruhusu Mtu kusafiri katika Nchi 27 za Umoja wa Ulaya ikionesha hali yake ya chanjo, majibu ya Covid19 au uzima wa afya yake. Cheti hiki kinasemekana kitazuia...
  18. Naomba kujuzwa Chuo kinachotoa Certificate ya Pharmacy

    Wakuu heshima yenu. Niende moja kwa moja kwenye mada.Naomba kujua chuo kinachotoa certificate ya pharmacy ONLINE hapa tanzania.Mimi ni mwajiriwa wa serikali na nahitaji kusoma hii course. Natanguliza shukrani.
  19. Mamlaka gani hapa Tanzania inatoa 'Leaving Certificate' ya Darasa la Saba na Kidato cha nne kwa sasa?

    Wakuu na mamlaka husika (Wizara Elimu na TAMISEMI) Uzi wenye sura ya swali umeletwa jukwaani hapa baada ya kufanya jitihada za kutosha kutafuta mwongozo wa kuaminiwa kutoka serikalini , lakini imeshindikana kupata. Taratibu za sasa katika utafutaji ajira na kujiendeleza kielimu unahitaji uwe...
  20. L

    Kupata "TIN certificate" ni mpaka uende TRA?

    Wakuu naomba kuuliza, ikiwa mtu tayari unayo TIN ili kupata kile cheti cha TIN mpaka uende physcally TRA? Kama ndiyo mbona TRA wanajipa usumbufu wa bure.kwa nini wasiweke utaratibu kwamba mtu mwenye namba ya mlipa kodi anaweza pata cheti chake kwenye mtandao. Kama upo huo utaratibu wa kupata...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…