certificate

  1. HAZOLE

    Hivi mtu akifa na hela zake ziko benki na Mpesa, tukiwa na cheti cha kifo tunaweza fuatilia?

    Wajuzi naomba msaada. Ndugu kafa. Ana akaunti benk ila password hazijulikani pia ana mpesa na pesa zipo ila no password. Mkewe ana death certificate. Atapataje pesa za mmewe? Pia ana cheti cha ndoa. Msaada
  2. Dr. Zaganza

    Natafuta Maabara ya Certificate Of Analysis Kwa medicated soap

    Habari wakuu, Najiandaa kusajili medicated soap TMDA, kuna document ya certificate of analysis wanahitaji. Ni maabara ipi naweza fanya parameter test? Naomba msaada kwa namba 0713- 039 875
  3. Masiya

    NACTE Guide BOOK ya Diploma and Certificate za Vyuo Vikuu

    Juzi juzi niliandika haya baada ya kusoma tangazo la udahili la UDOM Sasa leo nimekutana "THE NATIONAL COUNCIL FOR TECHNICAL EDUCATION CERTIFICATE AND DIPLOMA PROGRAMMES OFFERED BY UNIVERSITIES ADMISSION GUIDEBOOK FOR 2020/2021" kwenye web page ya NACTE ambayo haikuwa na maelezo yeyote...
  4. kikoozi

    Nipo huku mkoani, nahitaji certificate verified kutoka RITA

    Habarini nduu zangu, Kuna ndugu yangu nimemsaidia kufanya application ya loan board, kuna zoezi la kutuma taarifa ya cheti cha kuzaliwa RITA kwaajili ya verification, zilipita week 2 wakarudisha majibu kwenye system kuwa sijafanya attachment ya cheti usika, nimefanya attachement ya cheti tangu...
  5. Clark boots

    Naomba kueleweshwa namna ya ku-verify birth certificate kupitia RITA

    I hope you are all fine, Guys, nataka kuverify cheti changu cha kuzaliwa kupitia RITA hivyo naomba kujua mambo/vitu vifuatavyo: 1. Naweza kuwatumia cheti changu kupitia email? Na kama inawezekana, email yao ni ipi? 2. Namna ya kutuma na mfumo wa malipo pia 3. Baada ya kutuma ni muda gani...
  6. palesh pizoo

    Course Gani nzuri kusoma kuanzia Certificate kwa matokeo haya?

    Mdogo wangu amemaliza kidato cha nne na kupata DvsnIII 25 CIVICS - 'C' HISTORY - 'C' GEOGRAPHY - 'C' KISWAHILI- 'C' ENGLISH - 'D' BIOLOGY - 'D' B/MATH - 'F' tukasubiria labda anaweza kupata selection ya Advance lakin hajachaguliwa, baada ya kushindikana hapo tukaona bas sio vibaya ikiwa ataenda...
  7. H

    Diamond azawadiwa certificate na YouTube baada ya kufikisha 3m subcriber

    Msanii wa kimataifa kutoka Tanzania Diamond Platnumz aweka record ya kuwa most African artist mwenye subcribers wengi baada ya kufikisha million 3 na hii imefanya uongozi wa YouTube kumpa certificate Kama zawadi. Nampa pongezi kijana wa Tandale wazungu wanamsemo "Work hard pay off"
  8. Breezyman

    Msaada kuhusu Verification Certificate inayopatikana kwenye Ajira Portal

    Wadau, naomba msaada kuhusu Verification Certificate ambayo inapatikana kwenye Ajira Portal. Sehemu hii ni ya ku-add vitu gani?
  9. M

    Umihimu Wa Kitambulisho Cha NIDA ni nini?

    Mi swali langu limenyooka sana. Umihimu wa kuwa na kitambulisho cha NIDA ni nini? Maana tukienda kutengenezesha Passport mpya tunahitajika ku wasilisha vyeti vya kuzaliwa na vinginevyo. Mimi kwa akili yangu nilikuwa nafikiria kuwa tukishapata Kitambulisho cha NIDA basi tena kutakuwa hakuna...
Back
Top Bottom