DP World waje, tusiogope kushitakiwa nje ya nchi
Na Deodatus Balile, Los Angeles, California, USA
Hapa Los Angeles kuna tofauti ya saa 10 na Dar es Salaam. Sasa hivi wakati naandika makala hii ni saa 8:30 usiku, wakati huko Tanzania ni saa 6:30 mchana. Najikuta usingizi unakwisha mapema kwa...