champions league

The UEFA Champions League (also known as the European Cup) is an annual club football competition organised by the Union of European Football Associations (UEFA) and contested by top-division European clubs, deciding the competition winners. It is one of the most prestigious football tournaments in the world and the most prestigious club competition in European football, played by the national league champions (and, for some nations, one or more runners-up) of their national associations.
Introduced in 1955 as the European Champion Clubs' Cup, it was initially a straight knockout tournament open only to the champion club of each national championship. The competition took on its current name in 1992, adding a round-robin group stage and allowing multiple entrants from certain countries. It has since been expanded, and while most of Europe's national leagues can still only enter their champion, the strongest leagues now provide up to four teams. Clubs that finish next-in-line in their national league, having not qualified for the Champions League, are eligible for the second-tier UEFA Europa League competition, and from 2021, teams not eligible for the UEFA Europa League will qualify for a new third-tier competition called the UEFA Europa Conference League.In its present format, the Champions League begins in late June with a preliminary round, three qualifying rounds and a play-off round, all played over two legs. The six surviving teams enter the group stage, joining 26 teams qualified in advance. The 32 teams are drawn into eight groups of four teams and play each other in a double round-robin system. The eight group winners and eight runners-up proceed to the knockout phase that culminates with the final match in late May or early June. The winner of the Champions League qualifies for the following year's Champions League, the UEFA Super Cup and the FIFA Club World Cup. In 2020, the traditional schedule for UEFA matches was disrupted. Those scheduled for May 2020 were postponed due to the coronavirus outbreak, leaving some finals unconcluded.The competition has been won by 22 clubs, 12 of which have won it more than once. Real Madrid is the most successful club in the tournament's history, having won it 13 times, including its first five seasons. Liverpool are the reigning champions, having beaten Tottenham Hotspur 2–0 in the 2019 final. Spanish clubs have the highest number of victories (18 wins), followed by England (13 wins) and Italy (12 wins). England has the largest number of winning teams, with five clubs having won the title.

View More On Wikipedia.org
  1. Greatest Of All Time

    FT: Simba SC 7-0 Horoya AC | CAF Champions League | Benjamin Mkapa | 18.03.2023

    Mnyama Mkubwa Mwituni asiyefugika, Simba Sports Club anashuka dimbani leo kuikabili Horoya AC katika mchezo muhimu wa kundi C. Simba itaingia uwanjani ikiwa na alama 6 huku Horoya wakiwa na alama 4. Ushindi wa aina yoyote utawafanya Simba wafuzu robo fainali. Leo ni ama afe kipa au afe beki...
  2. Adipoz

    UEFA champions league 2022/23 quarter final draw prediction

    Siku ya kesho kunatarajiwa kuchezeshwa draw ya robo fainali ya ligi ya mabingwa ulaya, Europa pamoja na conference league. Hivyo sio mbaya wadau wa soka tukajadiliana na kutoa mitizamo mbalimbali kuhusu nani atakutana na nani katika hatua ya robo Fainali ya ligi ya mabingwa ulaya. TIMU...
  3. J

    Chama kwa CAF ni kama Messi kwa UEFA: Achaguliwa mchezaji bora wa CAF Champions League

    Mchezaji wa Simba Clatos Chota Chama amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa wiki wa mashindano ya CAF Champions League. Hii ni baada ya mashabiki wa soka barani Afrika kumpigia kura kwa kishindo kati ya wachezaji wanne waliokuwa wakiwania. Hii inanikumbusha Messi alivyokuwa akifunika UEFA kipindi...
  4. Greatest Of All Time

    FT: Simba SC 1-0 Vipers SC | CAF Champions League | Benjamin Mkapa Stadium | 07.03.2023

    Leo majira ya saa 1:00 usiku, katika dimba la Benjamin Mkapa, Wawakilishi wa Tanzania katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika watakuwa wanawakaribisha Vipers Sc katika mchezo muhimu sana. Huu ni mchezo ambao Simba anahitaji alama zote 3 kwa hali na mali ili kujiwekea mazingira mazuri ya...
  5. JanguKamaJangu

    Mwana FA mgeni rasmi Simba Vs Vipers, mchezo wa CAF Champions League

    Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma (Mwana FA) anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika mchezo wa klabu bingwa Afrika kati ya Simba Vs Vipers SC ya Uganda mchezo utakaochezwa Jumanne Machi 7, 2023 katika Uwanja wa Mkapa, Dar es Salaam.
  6. J

    Kwa mpira huu Yanga washukuru sana hawakufuzu Champions League, ingekuwa aibu ya rekodi

    Yanga wangefuzu Champions League kwa kuitoa Al Hilal ndio wangepangwa hili kundi hapa chini. Kwa Yanga hapa wangeondoka na pointi ngapi? Maana Al Ahly mwenyewe ana pointi 1 kwa mechi 2.
  7. J

    Yanga msisahau mpo Shirikisho Afrika baada ya kuondolewa Champions League ilipo Simba

    Yanga nawapongeza kwa kidogo mlichopata, lakini naona kama mmesahau mpo kombe la Shirikisho baada ya kushindwa kwenye kombe la Mabingwa, ambapo ndio Simba ilipo Yanga haijawahi kucheza hatua ya Makundi kombe la CAF Champions League tangu mwaka 1997...Think about That Ni kama mashindano ya...
  8. Greatest Of All Time

    Vipers SC Vs Horoya AC | CAF Champions League | St. Mary's Stadium | 18.02.2023

    Its Super Saturday!! Ni banduka bandua katika ligi ya mabingwa Africa leo. Vibonde wa kundi C, Vipers SC ya Uganda leo watashuka dimbani pale St. Mary's Stadium, Kitende kuwakaribisha Horoya AC. Ikumbukwe katika mchezo wa kwanza, Vipers walibugia goli 5-0 dhidi ya Raja Casablanca. Huku...
  9. Greatest Of All Time

    FT: Simba 0-3 Raja Casablanca | CAF Champions League | Estadio Benjamin Mkapa | 18.02.2023

    Kwa Mkapa hatoki mtu!! Hii ni kauli mbiu maarufu kwa mashabiki wa Simba Sports Club linapokuja suala la mechi za Kimataifa za CAF. Kwa kauli hiyo ashakufa Al Ahly, Orlando Pirates, As Vita, Kaizer Chiefs na wengineo na sasa ni zamu ya kufa Raja Casablanca. Nani anabisha? Kikosi cha Simba...
  10. J

    Tuachane na matokeo, Camera za CAF Champions League mbona ni mbovu kiasi hiki?

    Kwa mlioangalia mechi za Simba na Yanga kwenye Champions league mliona jinsi picha za mchezo ule zilivyokuwa za hovyo, mara nyingi mpira ulikuwa hauonekani. Yaani hata Camera za Azam kwenye mechi za kwa Mkapa zinakuwa na quality kuliko za CAF. Utafikiri wanatumia camera za simu za Tecno
  11. Greatest Of All Time

    FT|| Horoya AC 1-0 Simba SC | CAF Champions League | Stade General Lansana Conte | 11.02.2023

    Ni msimu mwingine wa Ligi ya Mabingwa Africa. Leo hapa nyumbani Tanzania ni sikukuu kwa wapenda kandanda hasa soka la kuvutia, Samba Loketo. Wawakilishi wa Tanzania, katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika, Simba SC leo majira ya saa 1:00 usiku atashuka dimbani huko nchini Guinea, kuchuana...
  12. GENTAMYCINE

    Tumecheza na CSKA Moscow yenyewe ya Champions League au CSKA Moscow ya Chekechea?

    Naenda Kulala nitasoma Comments zenu nikiamka Kesho ila Siku zingine tusione Aibu kusema Daraja la Timu tunayoenda Kucheza nayo.
  13. Greatest Of All Time

    FT: Bayelsa Queens 1-0 Simba Queens | 3rd Place Match | CAF Women's Champions League | Stade Moulay Hassan, Morocco

    Bayelsa Queens Vs Simba Queens Mechi ya kutafuta mshindi wa tatu kwa michuano hii ya wanawake. Simba Queens watajaribu bahati yao kuanzia saa 4:00 usiku kwa saa za Afrika ya Mashariki. Live updates zitakujia hapa...ungana nasi
  14. Greatest Of All Time

    FT || Mamelodi Sundowns Girls 1-0 Simba Queens | Semi Final | CAF Women's Champions League | 09 Nov 2022

    FULL TIME 90' Zinaongezwa dakika 4 za nyongeza 80' Simba wanapambana lakini mambo yanakuwa magumu 78' Simba wapo nyuma kwa goli moja 60' Ngoma bado ngumu Kipindi cha pili kimeanza MAPUMZIKO 45' Mwamuzi anakamilisha kipindi cha kwanza 40' Mamelodi wanapambana kutafuta goli kwa nguvu 30' Simba...
  15. K11

    UEFA Champions League draw hatua ya 16 bora 2022

    Paris Saint-Germain vs Bayern Munich Inter Milan vs FC Porto Borussia Dortmund vs Chelsea Eintracht Frankfurt vs Napoli! AC Milan vs Tottenham Liverpool vs Real Madrid Club Brugge vs Benfica RB Leipzig vs Manchester City
  16. Greatest Of All Time

    FT: Simba Queens 2-0 Green Buffaloes | CAF Women's Champions League | 05-11-2022

    Imefanikiwa kuweka rekodi ya kuwa timu ya kwanza ya Tanzania kufuzu kuingia hatua ya Nusu Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa Wanawake baada ya kuifunga Green Buffaloes ya Zambia. Simba Queens ambayo ilipoteza mchezo wa kwanza dhidi ya ASFAR, imeshinda 2-0 dhidi ya Green Buffaloes, wafungaji...
  17. T

    USHAURI: Mwakani Simba Sc na Simba Queens tu ndio zikashiriki CAF champions league ili kuepusha aibu kwa taifa

    Ni muda sasa kwa taifa la Tanzania kuamua kuondoa aibu katika mashindano ya kimataifa ya klabu bingwa barani Africa kwa kuruhusu timu mbili tu ziende likaliwakilishe Taifa. Timu hizi si nyingine bali ni Simba sc na Simba Queens. Washiriki wengine wamezidi kulitia aibu taifa.Ni wito wangu kwa...
  18. Greatest Of All Time

    Determine Fc 0- 2 Simba Queens | CAF Women's Champions League | Morocco

    Mechi iko live dakika ya 15 na bado milango yote ni migumu. Twende kazi. Dk 53’ Opa Clement anaipatia Simba Queens bao la kwanza Dk 79’ Olaiya Barakat anaipatia Simba Queens bao la 2 kwa mkwaju wa penati
  19. Greatest Of All Time

    FT: AS Far Club 1-0 Simba Queens | CAF Women's Champions League | Stade Prince Moulay Al Hassan

    Leo saa 4:00 usiku kwa saa za Afrika ya Mashariki Simba Queens watashuka dimbani kumenyana na AS Far Club ya Morocco. Ikumbukwe kuwa Simba Queens ndio wawakilishi wa ukanda huu wa Afrika Mashariki. Hivyo hawawakilishi nchi pekee bali ukanda wote huu. Tutaleta live updates hapa kuanzia saa 4:00...
  20. Greatest Of All Time

    FT: Agosto 1-3 Simba | CAF Champions League | Estádio 11 de Novembro | 9-10-22

    FULL TIME 90' Zinaongezwa dakika 3 za nyongeza 78' Agosto wanapata goli la kwanza GOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO 76' Agosto wanapata penati baada ya beki wa Simba kuushika mpira Phiri anafunga goli zuri akimalizia pasi ya Chama 75' GOOOOOOOOOOOOOOOO 72' Agosto wanaweka mpira wavuni, lakini mwamuzi...
Back
Top Bottom