champions league

  1. Greatest Of All Time

    FT: Agosto 1-3 Simba | CAF Champions League | Estádio 11 de Novembro | 9-10-22

    FULL TIME 90' Zinaongezwa dakika 3 za nyongeza 78' Agosto wanapata goli la kwanza GOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO 76' Agosto wanapata penati baada ya beki wa Simba kuushika mpira Phiri anafunga goli zuri akimalizia pasi ya Chama 75' GOOOOOOOOOOOOOOOO 72' Agosto wanaweka mpira wavuni, lakini mwamuzi...
  2. Expensive life

    Hili la Yanga SC kuanzia nyumbani kila mwaka kwenye CAF Champions League ni uonevu

    Mimi kama mwanayanga kindakindaki naumia kwa kweli kwa nini kila msimu ni sisi tu ndio tunaanzia nyumbani na kumalizia ugenini? Mbona wenzetu Simba wanapendelewa? Sisi ndio mabingwa wa nchi hii iweje tuanzie nyumbani? Timu kubwa zote zimeanzia ugenini kwa nini sisi tu? [emoji25][emoji25]
  3. Teko Modise

    FT: Simba 2-0 Nyasa Big Bullets (Agg 4-0) | CAF Champions League | Mkapa Stadium

    FULL TIME: Simba imeshinda kwa magoli 2-0 90' Zinaongezwa dakika 4 za nyongeza. 85' Dejan anampa pasi nzuri Sakho, shuti linatoka nje kidogo ya lango. 83' Phiri anatoka anaingi Dejan. 75' Shangwe za mashabiki zinaongezeka baad aya kumuona Dejan akipata misuli. 70' Simba wamepunguza kasi, 61'...
  4. Teko Modise

    FT: Yanga 5-0 Zalan (Agg 9-0) | Caf Champions League | Mkapa Stadium | 17-09-2022

    Mchezo wa pili baina ya Yanga dhidi ya Zalan kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar es Salaam, leo Jumamosi Septemba 17, 2022, ni Raundi ya Kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Mchezo wa kwanza Yanga ilishinda kwa mabao 4-0. Kumbuka mshindi wa mchezo huu ataenda kukutana na mshindi kati ya Saint George ya...
  5. Teko Modise

    FT: Zalan 0-4 Yanga | CAF Champions League | Uwanja wa Mkapa | 10-09-2022

    FULL TIME: Yanga imefanikiwa kupata ushindi wa mabao 4-0, timu hizo zitarudiana wikiendi ijayo Mayelee anafunga bao la nne na la tatu kwake 88' GOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO Mayeleeeeeee GOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO 82' Zalan wanajaribu kufanya shambulizi la kushtukiza inashindikana 80'...
  6. Poker

    Leo rasmi UEFA champions league inaanza rasmi mapema sana tujuane taja bingwa na semi finalists

    Watakaoingia semi finals ni man City, Barcelona, PSG, na Real Madrid. Bingwa wangu atakuwa PSG YA KYLIAN MBAPPE. Nawasilisha
  7. Lukub

    Je, ratiba ya raundi ya kwanza mtoani CAF champions league itabadilika

    Kule EGYPT team zilizofuzu Club bingwa ni ZAMALEK na PYRAMID japo ligi haijaisha huku umebaki mchezo mmoja ZAMALEK ana point 77 huku PYRAMID ana point 71 , AHLY point 67. Kwenye RATIBA ya club bingwa tayari AHLY alipaswa kucheza raund ya pili ya club bingwa Sasa atapaswa kwenda Shirikisho...
  8. Jesus Mlokozi

    CAF Women’s Champions League Inaanza kutimua vumbi

    League hii kwa hapa Tanzania inawalishwa na simba. Tunaitakia Simba mafanikio mema.
  9. N

    Attention: Hakuna list official ya super league hadi sasa, CAF wanaenda kuharibu champions league

    Ndugu zangu naona vijembe vya wanayanga huku list wanayotumia ni ya yuleyule mbaya wao Micky jnr wa Ghana ambaye ndiye pekee hadi sasa aliyepost teams kumi. CAF hawajatoa list wamesema watatoa maelezo zaidi in coming days,ila msishangae hao Yanga wakawepo kwani hadi sasa jamaa ni kama hili...
  10. M

    Tukubali maumivu: Simba kuanzia michuano ya awali CAF champions league!

    Mwaka huu 2022/23 ni timu sita tu ndizo zitakazoanzia raundi ya kwanza kwenye mashindano ya CAF champions league. Timu hizo ni: 1. Al Ahly(misri) 2. TP Mazembe(DRC) 3. WAC(Morocco) 4. Raja(Morocco) 5. Mamelodi Sundowns(south africa) 6. EST(Tunisia). Hizo...
  11. Expensive life

    Hatua ya awali CAF champions league & shirikisho draw kufanyika jumatatu

    Haya haya mambo ni mengi muda ni mchache caf champions league hatua ya awali itafanyika mapema mwezi huu. Ikumbukwe kuwa Yanga sc ni miongoni mwa timu zitajazoanzia hatua ya awali, huku Azam, Geita gold nazo zikianzia hatua ya awali kwenye Kombe la shirikisho barani Africa.
  12. Expensive life

    Hawa hapa wapinzani wa Yanga michuano ya CAF champions league

    Caf champions league hatua ya awali inatarajiwa kuanza mwezi nane, ni wakati muafaka sasa kwa mabingwa wa Nbc premier league yanga sc kuhipanga kisawa sawa isije kutokea ya msimu uliopita. Ikumbukwe kuwa katika hatua hii ya awali wapo pia Rivers united waliowafurusha yanga sc kwa kuwapiga nje...
  13. Greatest Of All Time

    FT: 2022 Uefa Champions League Final | Liverpool 0-1 Real Madrid | Paris, France

    Habari zenu mabibi na mabwana! Leo ni sikukuu kubwa barani Ulaya na Duniani kwa ujumla. Ni mchezo wa Fainali ya Uefa Champions League kati ya Liverpool Vs Real Madrid. Awali fainali hii ilipangwa ifanyike jijini Saint Petersburg, nchini Urusi. Ila kutokana na Urusi kuivamia Ukraine Uefa...
  14. Poker

    Yanayojiri kuelekea Fainali ya UEFA Champions League | Real Madrid vs Liverpool

    usiku wa ulaya huko Paris #liverpool #realmadrid
  15. JanguKamaJangu

    UEFA CHAMPIONS LEAGUE: Real Madrid yaingia fainali Uefa, Man City yapigika 3-1

    Real Madrid imefanya maajabu, ni baada ya kupindua matokeo dakika za mwisho na kufanikiwa kuingia fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kwa kuiondoa Manchester City kwa jumla ya mabao 6-5. Hadi dakika ya 90 Madrid ilikuwa nyuma kwa bao 1-0 katika nusu fainali ya pili, dakika ya 90 na 91 ilipata...
  16. Joseverest

    Droo ya Robo Fainali ya UEFA CHAMPIONS LEAGUE 2021/22 kuchezeshwa MARCH 18, 2022 Switzerland

    Droo ya robo fainali, nusu fainali na fainali ya msimu wa 2021/22 UEFA Champions League zote zitachezeshwa katika tukio moja. Timu nane zilizobakia zitajua hatma yao kwa mashindano hayo makubwa kwa ngazi ya klabu barani ulaya huko Jijini Nyon, Uswizi (Switzerland) ''It is at this stage that...
  17. John Haramba

    CAF CHAMPIONS LEAGUE: Al Ahly, Zamalek ni anguko la wababe wa Misri au soka la Afrika limekua?

    Michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika inaendelea kwa sasa, ni msimu wa 2021/22 lakini kuna matukio kadhaa ambayo inawezekana yakawa na maana tofauti kuhusu soka la Afrika. Wababe wa Misri, Al Ahly licha ya kuchukua nafasi ya tatu hivi karibuni katika Klabu Bingwa Dunia walipoenda kushiriki...
  18. John Haramba

    UEFA Champions League: Man City yaifanyia kitu kibaya Sporting, daaa! Wamechezea mkono 5-0

    Licha ya kuwa uwanja wa ugenini, Manchester City wameichapa Sporting Lisbon mabao 5-0 na hivyo kujiweka kwenye nafasi kubwa ya kusonga mbele hatua inayofuata ya UEFA Champions League.
  19. John Haramba

    PSG yaifunga Real Madrid 1-0, Uefa Champions League, Messi akikosa penati

    Matokeo ya mechi za kwanza hatua ya mtoano, PSG ikianza vizuri nyumbani kwa ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Real Madrid. Unadhani PSG wana nafasi ya kutoboa katika mchezo wa marudio na vipi kiwango cha Meddi ni kweli kinazidi kushuka au hajakaa sawa?
  20. The Sunk Cost Fallacy

    Utabiri wangu: Fainali ya UEFA champions league ni Kati ya Liverpool vs Ajax Amsterdam

    Habari wakuu.. Kwa mwenendo huu wa Champions league Fainali ni baina ya Liverpool na Ajax .
Back
Top Bottom