chelsea

  1. Sam Gidori

    Ligi kuu England: Crystal palace yatoshana ubavu na Manchester United, Sheffield United yang'ara

    Baada ya kupata sare mbili za bila kufungana dhidi ya Real Sociedad kisha na Chelsea, Manchester United inasafiri hii leo kuelekea Selhurst kukipiga dhidi ya Crystal Palace mchezo utaopigwa saa 5 usiku kwa saa za Afrika Mashariki. United inahitaji sana kushinda katika mchezo kwani Jumapili ya...
  2. Shadida Salum

    Ligi Kuu England kuendelea leo: Chelsea kuumana na Manchester united

    Ligi kuu England inaendelea leo katika viwanja mbalimbali ambapo mchezo wa awali Crystal palace atakipiga dhidi ya Fulham saa tisa jioni. Leicester city ambayo inashika nafasi ya tatu kwenye msimamo wa ligi hiyo itakutana na Arsenal ambayo inashika nafasi ya kumi na moja. Na huko katika Dimba...
  3. Shadida Salum

    Ligi ya Mabingwa Ulaya: Chelsea uso kwa uso na Atletico Madrid huku Lazio wakiwakaribisha Bayern Munchen

    Michezo ya ligi ya mabingwa barani Ulaya itapigwa hii leo ambapo, Atlètico Madrid ya Hispania atakipiga dhidi ya Chelsea ya England. Michezo ambayo Atlètico Madrid amekutana na Chelsea katika mashindano ya Ulaya ilikuwa na matokeo sawa kwa timu zote, kila timu imeshinda mara 2 na kutoka sare...
  4. Shadida Salum

    EPL : Je, Southampton atachomoka kwa Chelsea? Liverpool uso kwa uso na Everton

    Baada ya kuuanza mwezi Februari kwa kichapo kizito cha goli 9-0 kutoka kwa Manchester United na kisha kupigwa tena 3-2 na Newcastle kwenye michezo ya ligi, Southampton hii leo inashuka tena dimbani kupepetana na Chelsea The Blues itakayokuwa ugenini leo imepewa imani kubwa ya kushinda mchezo...
  5. Shadida Salum

    Tuchel airejesha Chelsea katika nafasi nne za juu katika Msimamo la ligi kuu nchini Uingereza

    Mwezi mmoja baada ya kuanza kibarua chake kuinoa Chelsea , Thomas Tuchel ameiongoza timu hiyo kurudi kwenye nafasi nne za juu kwa ushindi mara tano mfululizo. Katika mchezo huo ambao ni wa 6 tangu Tuchel kuwa Chelsea, Newcastle alipigwa bao 2-0 katika Dimba la Stamford bridge, magoli hayo...
  6. Shadida Salum

    Chelsea kuendelea kumlipa Lampard Pauni 75,000 kwa wiki

    Lampard alipotimuliwa na Chelsea mwezi uliopita klabu haikulipa mkataba wake uliobaki baada ya mabadiliko ya sera ambayo yalikuja baada ya kulazimika kutoa pesa nyingi wakati walimpomuondoa Jose Mourinho Badala yake wameweka mshahara wake wa Pauni 75,000 kwa wiki kwenye muswada wa mshahara -...
  7. H

    Chelsea imefanya uwamuzi sahihi Sana wa kumfukuza Lampard

    Yaani hapa nilipo ninafuraha isiyo na kifani leo ninachinja mbuzi kabisa big up Abramovic na board nzima ya Chelsea hii ndio Chelsea tunayoijua hakuna kumvumilia mtu ukiaharibu unafukuzwa. Kama Lampard angeendelea kubaki hata ligi ya mabingwa tungetolewa na A.Madrid na tungeambulia patupu kocha...
  8. Greatest Of All Time

    Frank Lampard asitishiwa mkataba kuendelea kukinoa kikosi cha Chelesea, Tuchel atajwa kuja kuziba nafasi yake

    Hii habari ineanza kutrend huko mitandaoni, Lampard huenda akaoneshwa mlango wa kutokea pale Stamford Bridge muda wowote kuanzia leo. Iwapo atatimuliwa kazi, kocha gani ungependa aje arithi mikoba ya Super Frank? ===== Chelsea have sacked Frank Lampard, with the former Borussia Dortmund and...
  9. Erythrocyte

    Thomas Tuchel hana uwezo wa kuing'arisha Chelsea, tafuteni kocha mwenye uwezo

    Pamoja na ukweli kwamba Frank Lampard ameshindwa kutimiza malengo ya timu na hatimaye ametimuliwa, lakini huyo Thomas Tuchel hafai kubeba jukumu hilo, ni kocha mwepesi sana ambaye mafanikio yake mara zote yanachagizwa na ubora wa kikosi anachofundisha, si Tactician na wala hana uwezo wa kubadili...
  10. Shadida Salum

    Chelsea yaipiga Burnley 3- 0

    Chelsea imeendelea kujihakikishia nafasi nzuri kwenye msimamo wa Ligi Kuu ya England baada ya kuipiga Burnley bao 3 kwa 0 kwenye mchezo ambao Burnley alikuwa nyumbani katika Dimba la Turf Moor Magoli ya Chelsea yamefungwa na H. Ziyech dakika ya 26, Goli la pili likafungwa na K. Zouma kunako...
  11. The Boss

    By December Chelsea Allegri | Man U pochetino

    Naona December EPL itazidi kuchangamka...man u watamchukua Pochetino.. Chelsea Allegri. Naweza kutabiri now
  12. H

    Chelsea atafungwa na Man U leo

    Leo kuanzia saa 1:30 usiku kutakuwa na mtanange mkali Kati ya Chelsea na Man United mchezo utachezwa Old Trafford.Kwa utabiri wangu Man United ataibuka kidedea shida kuu ya Chelsea hawana kocha mzuri ila Wana team Bora zaidi ya Man United ukiangalia mchezaji mmoja mmoja namaanisha quality...
  13. H

    OFFICIAL: Timo Werner is Chelsea Player

    Team ya Chelsea hivi Leo wameconfirm usajili wa Timo Werner from RB Leipizig wa price clouse ya Paundi million 45 wa mkataba wake. Imeripotiwa Timo Werner atajiunga na Chelsea mwezi ujao(Mwezi wa 7) na atakuwa sehemu ya Kikosi Cha Chelsea itakaporudiana na Bayern Munich ligi ya mabingwa...
  14. RAKI BIG

    Tammy Abraham, mchezaji wa chelsea F.C na timu ya Taifa ya England aikana nchi yake ya Nigeria

    "Kuna sababu za msingi ambazo zilinifanya nichague kuichezea timu ya Taifa ya England badala ya Nigeria, sababu ya kwanza ni wazi Nigeria haina nafasi kwenye michuano ya Kombe la Dunia wakati England ina nafasi kubwa ya kushinda Kombe la Dunia. Sababu ya pili ni kwamba siwezi kuimba wimbo wa...
  15. H

    Chelsea vs Bayern Munich

    Game ya Chelsea vs Bayern ninawezaje kuangalia kupitia online live? Mwenye kujua aniambie please.
  16. H

    Chelsea imekubaliana na Ajax kumsajili Hakim Ziyech

    Chelsea imekubali kumsajili kiungo mchambuliaji hatari wa Ajax Hakim ziyech kwa Paundi Milioni 40. Hakim Ziyech amekuwa mchezaji tegemezi aliyebaki kwenye kikosi cha Ajax baada ya kuondoka De Jong na wachezaji wengine wawili kwenye kikosi kilichofika nusu fainali ya UEFA Champions League...
  17. Last Seen

    Mashabiki wa Arsenal tufarijiane hapa

    Habari wana jamvi, Msimu huu Arsenal tuna hali mbaya kuliko Misimu yote iliyopita, Emery alietegemewa kufanya makubwa na kikosi cha Arsenal akakibomoa kikosi kwa migogoro na wachezaji. Alianza kwa mbwembwe za kufika fainali ya Europa hatimaye akala kipigo kitakatifu kutoka kwa timu iliyokuwa...
  18. H

    Maoni yangu ya man city vs Chelsea

    Leo kutawakutanisha team ya man city vs Chelsea na inategemewa itakuwa game nzuri. tuanze kuona strength na weakness za Kila timu. Strength ya Chelsea Bahati nzuri kwa Chelsea leo trio midfilder wao wakali yaani kante,jorginho na kovacic wote wapo fit na inategemewa wote wataanza kwa...
  19. H

    Hazard: Chelsea atamfunga man city

    Mshambuliaji machachari wa real Madrid ambaye pia aliwakuichezea Chelsea ametoa utabiri wake kuhusu game kubwa itakayofanyika jumamosi itakao wakutanisha man city ambaye anashika nafasi ya 4 vs Chelsea anayeshika nafasi ya 3 ya league. Hazard ameiambia sky sports yeye anaona Chelsea ataibuka na...
  20. H

    Maoni yangu ya Chelsea 4 - 4 Ajax

    Kwangu hii ndiyo game ilikuwa nzuri sana kwangu kuitazama team zote zilicheza open football. Jambo lililovutia zaidi ni comeback ya Chelsea from kufungwa 4 kwa 1 mpaka kuwa 4 kwa 4. First half analysis First half Ajax walitumia vizuri makosa ya mabeki wa Chelsea ikasababisha Abraham...
Back
Top Bottom