clouds

In meteorology, a cloud is an aerosol consisting of a visible mass of minute liquid droplets, frozen crystals, or other particles suspended in the atmosphere of a planetary body or similar space. Water or various other chemicals may compose the droplets and crystals. On Earth, clouds are formed as a result of saturation of the air when it is cooled to its dew point, or when it gains sufficient moisture (usually in the form of water vapor) from an adjacent source to raise the dew point to the ambient temperature.
They are seen in the Earth's homosphere, which includes the troposphere, stratosphere, and mesosphere. Nephology is the science of clouds, which is undertaken in the cloud physics branch of meteorology. There are two methods of naming clouds in their respective layers of the homosphere, Latin and common.
Genus types in the troposphere, the atmospheric layer closest to Earth's surface, have Latin names due to the universal adoption of Luke Howard's nomenclature that was formally proposed in 1802. It became the basis of a modern international system that divides clouds into five physical forms which can be further divided or classified into altitude levels to derive ten basic genera. The main representative cloud types for each of these forms are stratus, cirrus, stratocumulus, cumulus, and cumulonimbus. Low-level clouds do not have any altitude-related prefixes. However mid-level stratiform and stratocumuliform types are given the prefix alto- while high-level varients of these same two forms carry the prefix cirro-. Genus types with sufficient vertical extent to occupy more than one level are classified formally as low- or mid-level depending on the altitude at which initially forms. They are also more informally characterized as multi-level or vertical, which also do not carry any altitude related prefixes. Most of the ten genera derived by this method of classification can be subdivided into species and further subdivided into varieties. Very low stratiform clouds that extend down to the Earth's surface are given the common names fog and mist, but have no Latin names.
In the stratosphere and mesosphere, clouds have common names for their main types. They may have the appearance of stratiform veils or sheets, cirriform wisps, or stratocumuliform bands or ripples. They are seen infrequently, mostly in the polar regions of Earth. Clouds have been observed in the atmospheres of other planets and moons in the Solar System and beyond. However, due to their different temperature characteristics, they are often composed of other substances such as methane, ammonia, and sulfuric acid, as well as water.
Tropospheric clouds can have a direct effect on climate change on Earth. They may reflect incoming rays from the sun which can contribute to a cooling effect where and when these clouds occur, or trap longer wave radiation that reflects back up from the Earth's surface which can cause a warming effect. The altitude, form, and thickness of the clouds are the main factors that affect the local heating or cooling of Earth and the atmosphere. Clouds that form above the troposphere are too scarce and too thin to have any influence on climate change.
The tabular overview that follows is very broad in scope. It draws from several methods of cloud classification, both formal and informal, used in different levels of the Earth's homosphere by a number of cited authorities. Despite some differences in methodologies and terminologies, the classification schemes seen in this article can be harmonized by using an informal cross-classification of physical forms and altitude levels to derive the 10 tropospheric genera, the fog and mist that forms at surface level, and several additional major types above the troposphere. The cumulus genus includes four species that indicate vertical size and structure which can affect both forms and levels. This table should not be seen as a strict or singular classification, but as an illustration of how various major cloud types are related to each other and defined through a full range of altitude levels from Earth's surface to the "edge of space".

View More On Wikipedia.org
  1. L

    Clouds, Mama ana Nyota yake, imetosha

    Nawasilimu kwa jina la Jamuhuri ya Muungano wa Tz.naona clouds wameanzisha promo ya praise and worship kwa mama. Ni hivi huyu mama hahitaji promo imetokea tu watu wengi kumpenda kama nyota za kina mama zilivyo amekuwa na charisma ya kupendwa hii promo mngeitumia hata kupinga vitendo vya ukatili...
  2. J

    Kama CAG amewaonea Clouds Media atashindwaje kuzionea taasisi nyingine kama ATCL n.k?

    Jana alisikika meneja wa fedha wa Clouds media akidai kuwa taasisi yake iliwasilisha kwa CAG risiti zote za kielectronic kama alivyoagiza na siyo kweli kwamba kuna utata katika malipo waliyolipwa na wizara ya maliasili na utalii. Ndiposa natafakari kama meneja huyo wa fedha bwana Masoud anasema...
  3. Clouds yatoa ufafanuzi malipo ya TSh milioni 629 yaliyotajwa na CAG

    Meneja wa fedha wa kampuni ya Clouds Media Group, Issa Masoud amesema walitoa vielelezo vyote ikiwa ni pamoja na stakabadhi kwa Wizara ya Maliasili na Utalii kufuatia malipo ya Sh 629.7 milioni kwa ajili ya matangazo ya tamasha la urithi mwaka 2018. Masoud ametoa ufafanuzi huo leo Alhamisi...
  4. M

    Tafadhali anayeuelewa Utangazaji wa Samuel Nathaniel Sasali wa Clouds 360 anieleweshe

    Moja wapo ya Kanuni za Utangazaji hasa wa Runinga ni Mtangazaji Kuuvaa Uhusika hasa wa Jambo fulani unalolitangaza ili Hadhira nayo ikuelewe. Tuko katika Kipindi cha Majonzi cha Kushangaza Mtangazaji huyu Samuel Nathaniel Sasali wa Clouds 360 hayupo Kimsiba Msiba na Yeye muda wote tu ni Kufanya...
  5. Wachambuzi wa Clouds FM hawana weledi

    Yani jana nimeishushia hadhi sana hii radio hasa kipindi cha michezo. Binafsi sina ujuzi wowote wa kuchambua mpira lakini game ya jana kati ya Barca na PSG nilijua kabisa Barca anakufa, jambo la kushangaza kila mchambuzi akadai PSG hana pa kutokea kwa Barcelona. Wachambuzi kama hawa wamaweza...
  6. Baada ya kutamba sana Clouds Tv "dead and Gone"

    Ni siku kadhaa sasa clouds Tv haionekani kwenye kingamuzi za Azam. Wenyewe wapo kimya hakuna updates wala taarifa yoyote kama kuna tatizo ama lah. Sio kawaida kwa Tv station kama Clouds kua na kimya cha namna hii. Ilitegemewa baada ya Wasafi Tv kufungiwa wao wangejitahidi kuteka soko ila...
  7. Clouds TV sasa imejifia kimya kimya

    Ni siku kadhaa sasa clouds Tv haionekani kwenye kingamuzi za Azam. Wenyewe wapo kimya hakuna updates wala taarifa yoyote kama kuna tatizo ama lah. Sio kawaida kwa Tv station kama Coluds kua na kimya cha namna hii. Ilitegemewa baada ya Wasafi Tv kufungiwa wao wangejitahidi kuteka soko ila...
  8. Ushauri kwa Simba wapige stop habari zao kwa Clouds

    Nawaomba uongozi wa simba waipige stop kuzungumzia simba kwa njia yoyote ile sababu ukiona simba inazumziwa sana clouds basi tambua kuna jambo baya hapo kwenye mema wala watazungumza hata dakika moja haishi, kwa sababu hiyo nawaomba iwazuie clouds kuizungumzia kama ilivyokuwa radio one miaka...
  9. Wasafi TV inabidi mkajifunze kwa Clouds TV namna ya kurusha vipindi mubashara

    Hii media imekuja kwa kasi sana, kweli mmeweza kukamata pakubwa kwenye tasnia ya habari mawasiliano na burudani. Lakini bado mnasafari ndefu sana kufikia media zilizotangulia, msijione mnaweza kufika 10 kabla ya kuanza 1, ni vema kujifua zaidi kupata maujuzi kabla ya kuanza kufanya mambo ambayo...
  10. Clouds FM uvumilivu umewashinda, waanzisha kipindi cha michezo asubuhi

    Hatimaye Clouds FM moja kati ya redio kubwa Tanzania imeanzisha kipindi cha michezo asubuhi kiitwacho Hili Game. Ikumbukwe Efm ndio mwasisi wa kipindi cha michezo asubuhi kitwacho Sports HQ. Zamani ili kuwa nadra sana Clouds ku-adapt mifumo ya vipindi vya redio zingine hakika katika hili ni...
  11. H

    Clouds Media imepoteza mvuto

    Naona kabisa moja Kati ya redio iliokuwa na power Sana kwenye enteinment Ni hii.Ukiangalia miaka ya nyuma ukipita nyumba 7 basi Kati ya hizo 5 utakuta zinasikiliza clouds fm ila kwasasa hiv Hali ya imebadilika clouds imepata ushindani mkubwa kutoka Wasafi media na Efm ila hasa hasa Ni Wasafi...
  12. Clouds na EATV muwe mnawapanga wasanii kabla ya kuwafanyia interview, wanawaaibisha!

    Karibuni clouds wamekuwa wakiandaa show na wasanii kutoka nje ya nchi. Kimbembe kimekuwa kikijitokeza kwenye interview na wasanii hao kwani jina la Diamond limekuwa haliepukiki. Juzi juzi kwenye kipindi cha Friday night live EATV msanii kutoka Zimbabwe king 98 kamtaja mondi mpaka kero...
  13. Diva Thee Bawse aikacha Clouds Media

    Bila kutaja sababu, kupitia ukurasa wake wa instagram diva the bawse ametangaza rasmi kuacha kazi. Ameandika hivi:
  14. J

    Clouds 360 mbona kama mmeishiwa pumzi baada ya kutoka kifungoni? Wapi Babie Kabaye na Sam Sasali?

    Nauliza tu menejimenti ya Clouds Media Group (CMG) kwamba hiki kipindi cha Clouds 360 mmeamua kubadilisha watangazaji baada ya kutoka kifungoni? Mbona hawa watangazaji wapya mliowaleta hawaendani kabisa na swaga za hiki kipindi? Mnatuchosha bhana. Ngoja nirudi Baragumu ya Albert Kilala kule...
  15. J

    Clouds wamaliza adhabu ya TCRA warudi hewani kwa mbwembwe!

    Hatimaye Clouds Media Group wamemaliza kutumikia adhabu ya kifungo cha siku 7 waliyopewa na TCRA na wamerudi hewani rasmi. Kinachoendelea sasa luningani ni sherehe ya wafanyakazi baada ya kutoka kifungoni, ni full shangwe. CCM hoyeeee! Maendeleo hayana vyama!
  16. Poleni sana Clouds FM na TV kwa adhabu kali mliyo pewa

    Nime sikitishwa sana na adhabu ya kuzima mitambo na kutofanya biashara kwa muda wa siku saba yaani wiki moja kwa kile kilicho elezwa kuwa mlitangaza habari za kweli lakini hamkuwa na mamlaka ya kutangaza. Poleni sana. Habari zile zili tangazwa na vyombo vingine na mitandao ya kijamii na zilitoka...
  17. Clouds Media wafungiwa kwa siku 7, kwa kutangaza Takwimu za Uchaguzi ambazo hazijathibitishwa na Tume

    Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imevifungia vituo vya habari vya Clouds TV na Radio kwa siku saba kuanzia kesho Agosti 28 na adhabu ya kuomba radhi siku nzima ya leo kwa kosa la kukiuka kanuni za utangazaji na kanuni ndogo za utangazaji za Uchaguzi. TCRA imesema kosa walilolifanya ni...
  18. Usiahidi mbingu wakati mawingu huyafikii. Don't promise the sky while the clouds are out of your reach!

    Tukumbushane ahadi, 1. Serikali ikikamata makenikia itabamizwa mahakama za kimataifa. Hewa! 2. Huu ni mwaka wa kudai demokrasia lazima katiba na tume huru kabla ya uchaguzi. Hewa! 3. Tanzania itatengwa maana dunia ni kijiji. Hewa! 4. Uchumi umevurugwa nchi itaingia matatizo makubwa ya...
  19. Hadi Kesho nisipoona Clouds Media Group, MCT, TCRA na Serikali ( Wizara ) husika vimemchukulia hatua Kali Mtangazaji Adam Mchomvu nitawadharau mno

    Hatuwezi kumuacha Mpuuzi Mmoja kwasababu tu ya Mibange yake na Malezi yake ya hovyo hovyo atuchafulie Tasnia yetu nzima nchini Tanzania.
  20. R

    Adam Mchomvu aomba radhi, asema alikwazika

    “Dear #WashkajiZangu, kwanza nimuombe radhi Rais wetu wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, Pili kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa kuniamini na kunipa nafasi ambayo bahati mbaya ilitokea tukapishana kauli jukwaani na Bwana ndugu Msanii mwenzangu, nimepokea simu mbalimbali za Viongozi wa Serikali...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…