clouds

In meteorology, a cloud is an aerosol consisting of a visible mass of minute liquid droplets, frozen crystals, or other particles suspended in the atmosphere of a planetary body or similar space. Water or various other chemicals may compose the droplets and crystals. On Earth, clouds are formed as a result of saturation of the air when it is cooled to its dew point, or when it gains sufficient moisture (usually in the form of water vapor) from an adjacent source to raise the dew point to the ambient temperature.
They are seen in the Earth's homosphere, which includes the troposphere, stratosphere, and mesosphere. Nephology is the science of clouds, which is undertaken in the cloud physics branch of meteorology. There are two methods of naming clouds in their respective layers of the homosphere, Latin and common.
Genus types in the troposphere, the atmospheric layer closest to Earth's surface, have Latin names due to the universal adoption of Luke Howard's nomenclature that was formally proposed in 1802. It became the basis of a modern international system that divides clouds into five physical forms which can be further divided or classified into altitude levels to derive ten basic genera. The main representative cloud types for each of these forms are stratus, cirrus, stratocumulus, cumulus, and cumulonimbus. Low-level clouds do not have any altitude-related prefixes. However mid-level stratiform and stratocumuliform types are given the prefix alto- while high-level varients of these same two forms carry the prefix cirro-. Genus types with sufficient vertical extent to occupy more than one level are classified formally as low- or mid-level depending on the altitude at which initially forms. They are also more informally characterized as multi-level or vertical, which also do not carry any altitude related prefixes. Most of the ten genera derived by this method of classification can be subdivided into species and further subdivided into varieties. Very low stratiform clouds that extend down to the Earth's surface are given the common names fog and mist, but have no Latin names.
In the stratosphere and mesosphere, clouds have common names for their main types. They may have the appearance of stratiform veils or sheets, cirriform wisps, or stratocumuliform bands or ripples. They are seen infrequently, mostly in the polar regions of Earth. Clouds have been observed in the atmospheres of other planets and moons in the Solar System and beyond. However, due to their different temperature characteristics, they are often composed of other substances such as methane, ammonia, and sulfuric acid, as well as water.
Tropospheric clouds can have a direct effect on climate change on Earth. They may reflect incoming rays from the sun which can contribute to a cooling effect where and when these clouds occur, or trap longer wave radiation that reflects back up from the Earth's surface which can cause a warming effect. The altitude, form, and thickness of the clouds are the main factors that affect the local heating or cooling of Earth and the atmosphere. Clouds that form above the troposphere are too scarce and too thin to have any influence on climate change.
The tabular overview that follows is very broad in scope. It draws from several methods of cloud classification, both formal and informal, used in different levels of the Earth's homosphere by a number of cited authorities. Despite some differences in methodologies and terminologies, the classification schemes seen in this article can be harmonized by using an informal cross-classification of physical forms and altitude levels to derive the 10 tropospheric genera, the fog and mist that forms at surface level, and several additional major types above the troposphere. The cumulus genus includes four species that indicate vertical size and structure which can affect both forms and levels. This table should not be seen as a strict or singular classification, but as an illustration of how various major cloud types are related to each other and defined through a full range of altitude levels from Earth's surface to the "edge of space".

View More On Wikipedia.org
  1. C

    Angalia ujinga wa Priva wa Sports Xtra ya Clouds FM

    Jamaa ana ujuaji fulani wa kibwege sana hata kakiongea anang'ata ulimi na kurembaremba accent sijui ili a sound kama wazungu, unatuabisha wachaga wewe, sijasahau uliposababisha beef kubwa kati ya Magori na Efm baada ya Magori kuchanganya madesa na kudhani sport Hq ndiyo waliyotangaza habari...
  2. L

    Hii imekaaje? Clouds Radio na EFM kuendesha kamari katika vipindi vyao?

    Kumekuwa na tabia watangazaji wa vipindi vya redio Clouds na E.fm kuchezesha kamari katika kila vipindi. Kwa nyakati tofauti watangazaji hao wamekuwa wanawashawishi wasikilizaji wao wawe mamilionea kwa kuwaambia watume pesa kwa namba wanazozitaja huku wakitaja dau. Mwisho wa vipindi huwapigia...
  3. Mario Kempes

    Kumbe huyu ndio Mamy Baby wa Clouds FM

    Huyu mtangazaji ana sauti nzuri sana, nadhani wale wasikilizaji wa xxl ya clouds fm watakuwa wanajua. Sasa nikasema ngoja nimtafute insta nimuone alivyo, nikasema mbona haendani na sauti nzuri hivi hana makuu yupo simpo tuu.
  4. Fortilo

    Nani anamlipia Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Matangazo Mubashara Clouds TV?

    Sote tunakumbuka ya Clouds na report ya CAG kuhusu malipo zaidi ya milioni 600, kwa kisingizio cha kutangaza utalii wa ndani. Leo, kati kati ya huduma mbovu za miundo mbinu ya bara bara, shule, na mahitaji lukuki ya hospitali za umma, kwenye mkoa wa Dar es salaam, mkuu wa mkoa yupo...
  5. Christopher Wallace

    Pengo la Haji Manara, Simba yakodisha vipindi vya Clouds Fm ili kutangaza tamasha la Simba day

    Yaani leo hii Simba wakukodi vipindi vyote vya clouds fm ili wapigiwe promo ya tamasha lao, hii ni aibu kubwa sana! Tangu jumatatu wiki hii vipindi vya leo tena na sports xtra havifanyiki studio bali vinafanyika mtaani tena kwenye matawi ya klabu ya Simba. Inaonekana Mo amelipa hela nyingi...
  6. Superbug

    Huyo mtoto wa ajabu wa Rorya, Yunis Ogot anaetangazwa clouds muda huu ni ku divert attention

    Msitufanye watoto wadogo eti kakaa tumboni miaka mitatu na anatibu kwa kutumia Sala na maji. ==== ‘Mrithi’ Babu wa Loliondo aibukia Rorya Rorya. Wiki chache baada ya kifo cha Mchungaji Ambilikile Mwasapile maarufu kama Babu wa Loliondo, mtoto wa miaka miwili na miezi tisa, Yunis Ogot ameibuka...
  7. Greatest Of All Time

    Sports Extra ya Clouds Fm: Golikipa mpya wa Yanga amefungwa goli 50 kwa msimu mmoja

    Mambo ni mengi muda hautoshi, golikipa mpya wa Yanga amefungwa goli 50 kwa msimu mmoja, hayo sio maneno yangu bali ni maneno kutoka kwa wachambuzi wa kipindi cha Sports Extra ya Clouds Fm. Ni nani anawatumia Clouds kutuhujumu sisi Yanga? 😂😂😂
  8. Shujaa Mwendazake

    Clouds 360: Mahojiano na Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa, akifafanua mambo mbalimbali

    "Hayati Magufuli alikuwa anafanya kazi sana. Alikuwa analala akiwa na usingizi tu kama hana basi alikuwa halali. Na asipolala hata sisi hatuwezi kulala". "Rais Samia anafanya kazi sana. Ukiona anapanda ndege anashuka unaweza ukahisi ni maisha mazuri lakini hapumziki. Tuna bahati ya kuwa na...
  9. GENTAMYCINE

    Kumbe kuna muda huyu Mchambuzi wa Michezo mwana Yanga SC 'lia lia' Privaldinho wa Clouds FM huwa anakuwa na akili Kubwa hivi? Heko Kwake!

    " TV Sponsorship ni tofauti kidogo na uwekezaji ambayo unaweka 20bil mara moja sio kwa mgawanyiko. Kama watu wanafikiri ni rahisi basi atokee mdhamini atoe hata nusu Tsh 20bn kwa mkupuo. Wadhamini wenyewe wanategemea kupata humo humo ili waweze kulipa tena " Chanzo: @privaldinho Haya sasa wana...
  10. Analogia Malenga

    Mtangazaji wa Clouds alalamikia kutishiwa na Haji Manara

    P R I S C A - K I S H A M B A ! - Mwandishi / Mtangazaji wa clouds fm ametishiwa kudhalilishwa na msemaji wa klabu ya Simba Haji Manara. "KOSA LANGU NINI? Leo nilikuwa sehemu ya waandishi wa habari waliohudhuria mkutano wa klabu ya Simba SC na waandishi wa habari za michezo mkutano ambao...
  11. L

    Clouds mmepatana na Diamond Platnumz?

    Mimi mpenzi wa Clouds Power Breakfast, Leo Tena sisikilizi na XXL. Naruka kwa kina Gadna siku inaishia. Walikuwa na bifu na Diamond Platnumz hawachezi nyimbo wala kutaja jina lake. Naona wanalitaja kwa kasi now, mpaka Mwijaku. Je, Kusaga aliwapatanisha?
  12. GENTAMYCINE

    TCRA mebariki Tangazo linalorushwa Clouds FM lenye Sauti iliyoigizwa ya Dkt. Kikwete ikisema "Tukutane kwa Mpalange Kumenoga?"

    Baada ya nyie Kuwakataza wasiendelee kutumia Kauli fulani ya Rais Samia kama 'Kibwagizo' chao sasa wameamua kuja na Sauti ya Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Kikwete (iliyoigizwa) ikihamasisha Wasikilizaji tukutane kwa Mpalange na kwamba huko ndiko 'Kumenoga' kwa sasa. Hapa GENTAMYCINE nimejikuta...
  13. K

    Naomba kumjua msoma classifieds wa Clouds FM

    Kuna sauti ya kike huwa inasoma Classfieds(mfano yale matangazo ya vyuo na shule) pale Cloudsfm kwa ubora wa juu kabisa, matamshi mazuri+sauti nzuri corporate. Nadhani hakuna msoma classfieds anayemfikia kwa sasa. Please naomba jina lake kwa wanaomjua
  14. Leak

    Diva aomba kurejea Clouds Media, apewa sharti la kwenda kufanya kazi Wasafi FM. Kutambulishwa hivi karibuni

    Wasalaam wana jamvi. Baada ya Mtangazaji Diva kuacha kazi kwa mwaka sasa ni rasmi kurejea tena. Baada ya kukaa muda mrefu bila kufanya kazi na uku hakuna media iliyomfata kutaka kufanya nae kazi baada ya kukaaa muda mrefu nje ya utangazaji. Mtangazaji Diva aliandika barua kwa kusaga kuomba...
  15. H

    Mbwiga Wa Mbwiguke wa Clouds FM amehamia Times FM

    Wadau naona mtangazaji maarufu wa vipindi vya michezo wa kituo cha Clouds FM, Mbwiga Wa Mbwiguke hivi sasa amejiunga na kituo kingine cha redio cha Times FM. Je, pengo la Mbwiga kwenye vipindi vya michezo katika kituo cha Clouds FM litaonekana? Kwasababu Mbwiga amekuwa ni mchekesheji sana...
  16. D

    Nandy Festival - Clouds FM

    Leo Nandy ana jambo lake, atakuwa Clouds FM akisindikizwa na baadhi ya wasanii. Jukwaa limetengenezwa eneo la kuegesha magari, pamependeza sana. Jambo lenyewe linatarajiwa kuanza mishale ya saa 4 mpaka alasiri huko. Watakao pata nafasi wafike zilipo ofisi za Clouds FM Mikocheni, hakuna...
  17. M

    Clouds TV ( 360 ) na Clouds FM ( Power Breakfast ) mnajisikiaje kufanya Interviews na Watu wanaoharibu Serikalini?

    Msipojitathmini taratibu sasa CMG ( Clouds tv 360 na Clouds FM Power Breakfast ) mnaanza kupoteza Credibility yenu kwa Audience kubwa mliyokuwa nayo. Nyie ndiyo Media mnayoongoza kutumika kujipendekeza na kuwapamba Viongozi wenye Sifa na kashfa mbaya walioko Serikalini kwa kuwapa Airtime kubwa...
  18. M

    Sabaya ungekuwa 'Smart' usingefanya Interview na Clouds FM kipindi hiki

    Unless kama mamlaka za uteuzi zimekutuma ufanye Interview ile, Ila kama ni wewe binafsi umejiamulia kwenda kufanya hiyo interview basi wewe na aliyekushauri mmebugi sana. Kubugi kwenyewe ni hivi: 1. Mnajaribu kupreempt maamuzi ya mamlaka za uteuzi kupitia propaganda. Kwamba mnataka upande wa...
  19. Erythrocyte

    Clouds Media, kuweni makini na kujiingiza kwenye siasa. Mtasuswa na watanzania!

    Joseph Kusaga ukitaka kujua kwamba CCM ina wenyewe rudi nyuma miaka zaidi ya 25 iliyopita wakati ule unapiga Disco coco beach ukiwa na DJ Bonny love, ilikuwa ikifika saa 6 balozi Ammy Mpungwe anaagiza polisi kuja kuzima disco lile lilojaza vijana kibao huku wakicheza kwa amani na utulivu, Hawa...
  20. L

    Wimbi la kukimbia kazi Clouds FM

    Kazi iendelee. Inashangaza kusikia mtu kama B12 kuacha kazi Clouds FM, kweli binafsi nilishangaa sana maana ulisikia B12 Clouds inaclick kichwani, Diva Clouds, kuna kina Lilian Mwasha nasikia na Komando Kipensi Casto Dickson naye kaondoka au wameondoka sababu uvuli wa jasiri muongoza njia the...
Back
Top Bottom