Bei ni 230k nipo dar
Problem ni hii nilinunua mwezi wa kwanza mwaka huu refub, ishu ni inapassword kwenye eufi sijui ni bios (ambayo siijui na niliponunulia warranty ni miez sita)
Ram 8GB,
Ssd 128,
Battery 3hrs
Bei maelewano
am writing to formally express my complaint regarding the delay in receiving my Bachelor of Computer Science certificate, which I completed in 2023 at your institution. It has now been over one year and four months since I graduated, yet I have not been able to obtain my certificate. This delay...
Alan Turing anachukuliwa kama baba(mwanzilishi) wa computer za kisasa, Muingireza aliyezaliwa mwaka 1912 na kufariki mwaka 1954 katika kifo chenye utata mkubwa akiwa na miaka 41 tu.
Huyu ndiye aliyepangilia na kurasimisha nadharia za ufanyaji kazi wa computer za kisasa na pia kutengeneza Turing...
Natoa computer courses for beginners na computer programming classes pia.
Ms-office, excel, PowerPoint, access, publisher na programming classes kama c,c++, java.
Mwenye uhitaji piga 0759-124378, nipo mbezi ya kimara.
Nimepata nafasi ya kuchaguliwa na vyuo viwili hapa Tanzania chuo cha kwanza nimepangiwa kusomea civil engineering na chuo cha pili nimepangiwa kozi ya computer engineeringi.
Wana JF nipeni ushauri kati ya kozi hizo mbili ipi ni marketable?
Hellw jf,kwa mwenye shida na AWARD VERIFICATION NUMBER(AVN),tupo kukusaidia na kukushauri.Pia tunatoa huduma ya computer classes for beginners i.e introduction to Ms-Word,Ms-Excel,Ms-Powerpoint,Ms-Access,Ms-Publisher na Internet and website.Pia tunatoa programming classes i.e Introduction to C...
Lete Computer yako mbovu tukutengenezee!
Tunafanya Services aina zote za Computers
Tunauza Spares & Accessories za Computer aina zote
Tupo Ilala Dsm
0718290779
Kwa mwenye uhitaji wa vifaa vya laptop na vya computer kama vile adapters ,keyboard, mouse,battery za aina zote display ,display port,hard disk ,external case na vingine vingi naomba nicheki kwa namba hizi 0622793422 au fika kariakoo MTAA wa ndanda ulizia duka la doris laptop and computer...
Orodha ya Watu Waliosoma Computer Science na Wamefanikiwa
1. Elon Musk - Mwanzilishi wa SpaceX na Tesla(Japo alisoma physics na economics lakini Computer science imemtoa)
2. Mark Zuckerberg - Mwanzilishi wa Facebook (Meta).
3. Bill Gates - Mwanzilishi wa Microsoft.
4. Larry Page - Mwanzilishi...
Programming computer ni mfumo wa lugha za vifaa ambavyo vyenyewe vinajua moja na ziro tu. ila kutokana na uwezo mfumo wa digital moja ziro ndio zinaweza kutambua mamilioni ya ziro na moja kwa wakati.
Vifaa vyote tunavyotumia kuanzia simu,computer,mawasiliano kama internet na vyote kwa ujumla...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.