LAPTOP ZA BEI NAFUU ZAIDI
KWA PICHA ZA LAPTOP NICHEK INBOX NITUMIE JINA LA LAPTOP
HP PROBOOK X360
ITEL
SSD 128
RAM 4GB
BEI 335,000 🔥🔥🔥🔥
DELL 3189
SSD 128
RAM 4GB
BEI 350,000🔥🔥🔥🔥
HP 640G1
CORE i5
HDD 500
RAM 4GB
BEI 400,000🔥🔥🔥🔥🔥
HP FOLIO
9470
CORE i5
HDD 320
RAM 4GB
BEI 400,000🔥🔥🔥🔥
HP...
Habari!, ndugu wana JF natumai wote ni wazima.
Mimi ni Computer Technician pia Web developer, nina skills na experience ya kutosha kwenye computer maintanance na web development and designing
Skills nilizonazo :-
1. Html, CSS
2. Javascript
3. PHP & laravel framework
4. Python & Django...
Habari wakuu Mimi ni mwanafunzi wa chuo katika fani ya Computer science (degree mwaka wa pili),
Naomba ushauri kutoka kwenu juu ya fursa ambazo naweza kujiajiri nazo ,( kwenye fani hii ya Computer science) nikimaanisha nitajiajiri vipi?
Pale nitakapo maliza degree yangu ya Computer science...
Position: Data Analyst and Computer Technician (DACT)
Job purpose
The Data Analyst and Computer Technician will provide support on programme data analysis and learnings, IT technical support and proactively leading and implementation of our HAT Data Protection and General Data Protection...
Mhandisi wa kompyuta huchanganya uhandisi wa umeme na sayansi ya kompyuta ili kutegeneza teknolojia mpya. Wao hupanga, kujenga, na kuratibu vifaa vya kompyuta katika kompyuta za kisasa.
Wahandisi hawa wanazingatia kuunganisha vifaa(hardware) na programu(software) katika mfumo mmoja...
accounting
bei
biashara
computer
duka
fedha
jumla
kumbukumbu
kusimamia
kutunza
maduka
malipo
management
management system
mapato
matumizi
mauzo
mfumo
mwaka
mwezi
offa
pharmacy
rejareja
software
supermarket
system
wamiliki
yako
Watalaaam kwemaa
kama kichwa cha habari kinavyo sema,
Zaman mm nilikuwa mtumiaji mkubwa wa sites kama pirrate bay kwa ajili ya ku download movies na softwares mbali mbali , lkn siku izi nimekuwa nikipata shida sana kupata softwares ambazo (cracked)., naomba msaada wenu wataala kama kuna anaye...
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema , Joseph Mbilinyi, leo ameongoza Kampeni Kabambe ya Kusajili wanachama wapya kwa njia ya kisasa ya Mtandao (Chadema digital)
Umati Mkubwa uliojitokeza unaonyesha kwamba CHADEMA ndio chama kilichobeba matumaini ya wananchi , Sugu na timu yake ni dhahiri kwamba...
Hello,
Tunatoa mafunzo ya computer kwa walimu wa hesabu ili kuwezesha kufanya kazi kwa ufanisi zaidi.
Jinsi ya kutumia digital tools kuandaa graphs, diagrams na kupata step by step solution using AI tools.
Mawasiliano : 0689917513
Ni muhimu kukumbuka kuacha computer inayotumiwa na wengi ikiwa safi na vilevile taarifa zako zikibaki kwenye account yako bila kujulikana kwa wengine.
Nimetoka kwenye stationery moja mitaa ya Ubungo karibu na hostel za chuo kikubwa zilizojengwa kwa matofari ya kuchomwa.
Kuna mdau ameacha kila...
Wanajamvi habari za leo, nataka kufanya Masters in Computer security online, nimepata collage moja ipo spain inaitwa tech technological university, wapo nchini spain na wamekuwa wakinipigia simu mara kwa mara ili nijiunge nao.
Sasa kabla sijafikia maamuzi naomba ushauri kwenye hili jambo kama...
Epuka windows iliyo chakachuliwa kwenye computer yako maana inaweza kuharibu data zako namaanisha zile windows cracked na je umeshindwa jinsi ya kupata software uliza pia ntakujibu na kukuelekeza kwa usahihi jinsi ya kufanya booting na kudownload drivers.
Pia soma 👇👇...
Tunafanya huduma zifuatazo Kwa Bei nafuu zilizo na ofa za kutosha :-
1. Windows installation ( 10, 11) - 20,000 Tsh
Utapata ofa ya
- ms office activated
- windows activation
- na basic software
2. Linux installation for all distro (cent os, Ubuntu, parrot, kali Linux) - 25,000 Tsh
3...
Wadau, hivi business ya kufungua computer training institute kuwafundisha watu software mbalimbali za computer kama word excel provides point na ujuzi mwingine wa kidijitali.
Je, biashara hii kwa sasa inalipa?
Alfatonics Electronics tumekuja na huduma ya "delivery" kwenye ufundi wa kompyuta na vifaa vya umeme majumbani
Huduma hii mteja unaweza kufanya booking Kwa kupiga simu au kuchati na mhudumu wetu kupitia Whatsapp namba 0656586676
Huduma hii ni Kwa wateja wote wa maofisini na majumbani.
Mteja...
Nimeambiwa kwamba wanafunzi wa secondary nowadays wanasoma somo la computer na wanafanyia mtihani kidato cha nne,
Je, kuna ukweli wowote? Je, kuna syllabus ya computer kwanzia form one?
Figure out how to interpret meeting minutes with GPT-4 and Murmur, including OpenAI's six ways to come by the best outcomes from GPT-4.
Features.
*OpenAI has delivered an instructional exercise on the best way to utilize its GPT-4 and Murmur models to interpret and sum up gathering minutes...
Leo nitagusia kuhusu Sproutsgigs.Hii ni website ambayo unaweza jiingizia hela yako kwa kufanya task (kazi) utakazo kuta umepewa kwenye dashboard yako.Lakini pia unaweza toa kazi kwa mtu akakufanyia kwa niaba yako kwa malipo mtakayo kubaliana.
Nimejiunga Sproutsgigs mwezi mmoja nyuma na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.