congo

The Democratic Republic of the Congo (pronunciation French: République démocratique du Congo [kɔ̃ɡo]), also known as DR Congo, the DRC, DROC, Congo-Kinshasa, or simply the Congo, is a country located in Central Africa. It was formerly called Zaire (1971–1997). It is, by area, the largest country in sub-Saharan Africa, the second-largest in all of Africa (after Algeria), and the 11th-largest in the world. With a population of over 84 million, the Democratic Republic of the Congo is the most populous officially Francophone country, the fourth-most-populous country in Africa, and the 16th-most-populous country in the world. Eastern DR Congo has been the scene of ongoing military conflict in Kivu, since 2015.
Centred on the Congo Basin, the territory of the DRC was first inhabited by Central African foragers around 90,000 years ago and was reached by the Bantu expansion about 3,000 years ago. In the west, the Kingdom of Kongo ruled around the mouth of the Congo River from the 14th to 19th centuries. In the centre and east, the kingdoms of Luba and Lunda ruled from the 16th and 17th centuries to the 19th century.
In the 1870s, just before the onset of the Scramble for Africa, European exploration of the Congo Basin was carried out, first led by Henry Morton Stanley under the sponsorship of Leopold II of Belgium. Leopold formally acquired rights to the Congo territory at the Berlin Conference in 1885 and made the land his private property, naming it the Congo Free State. During the Free State, his colonial military unit, the Force Publique, forced the local population to produce rubber. From 1885 to 1908, millions of the Kongo people died as a consequence of disease and exploitation. In 1908, Belgium, despite initial reluctance, formally annexed the Free State, which became known as the Belgian Congo.
The Belgian Congo achieved independence on 30 June 1960 under the name Republic of the Congo. Congolese nationalist Patrice Lumumba was elected the first Prime Minister, while Joseph Kasa-Vubu became the first President. Conflict arose over the administration of the territory, which became known as the Congo Crisis. The provinces of Katanga, under Moïse Tshombe, and South Kasai attempted to secede. After Lumumba turned to the Soviet Union for assistance in the crisis, the U.S. and Belgium became wary and oversaw his removal from office by Kasa-Vubu on 5 September and ultimate execution by Belgian-led Katangese troops on 17 January 1961. On 25 November 1965, Army Chief of Staff Joseph-Désiré Mobutu, who later renamed himself Mobutu Sese Seko, officially came into power through a coup d'état. In 1971, he renamed the country Zaire. The country was run as a dictatorial one-party state, with his Popular Movement of the Revolution as the sole legal party. Mobutu's government received considerable support from the United States, due to its anti-communist stance during the Cold War. By the early 1990s, Mobutu's government began to weaken. Destabilisation in the east resulting from the 1994 Rwandan genocide and disenfranchisement among the eastern Banyamulenge (Congolese Tutsi) population led to a 1996 invasion led by Tutsi FPR-ruled Rwanda, which began the First Congo War.On 17 May 1997, Laurent-Désiré Kabila, a leader of Tutsi forces from the province of South Kivu, became President after Mobutu fled to Morocco, reverting the country's name to the Democratic Republic of the Congo. Tensions between President Kabila and the Rwandan and Tutsi presence in the country led to the Second Congo War from 1998 to 2003. Ultimately, nine African countries and around twenty armed groups became involved in the war, which resulted in the deaths of 5.4 million people. The two wars devastated the country. President Laurent-Désiré Kabila was assassinated by one of his bodyguards on 16 January 2001 and was succeeded eight days later as President by his son Joseph.
The Democratic Republic of the Congo is extremely rich in natural resources but has had political instability, a lack of infrastructure, issues with corruption and centuries of both commercial and colonial extraction and exploitation with little holistic development. Besides the capital Kinshasa, the two next largest cities Lubumbashi and Mbuji-Mayi are both mining communities. DR Congo's largest export is raw minerals, with China accepting over 50% of DRC's exports in 2012. In 2016, DR Congo's level of human development was ranked 176th out of 187 countries by the Human Development Index. As of 2018, around 600,000 Congolese have fled to neighbouring countries from conflicts in the centre and east of the DRC. Two million children risk starvation, and the fighting has displaced 4.5 million people. The sovereign state is a member of the United Nations, Non-Aligned Movement, African Union, and COMESA.

View More On Wikipedia.org
  1. Congo DR imetulia lakini bado haina maendeleo

    DRC kwa kikubwa imetulia. Vita IPO sehemu chache sana lakini bado hakuna dalili za maendeleo. Pamoja na utajili mkubwa wa rasilimali madini, ardhi, maji, DRC bado wanaogelea kwenye umaskini wa kutisha. Watu wengi wanahisi DRC kuna Vita. Jibu ni hapana. Maeneo mengi DRC kumetulia kuanzia...
  2. H

    Mapigano Makali ya Kivita Katika Mji wa Jadotville, Congo 1961

    Habari zenu wana Jf! Leo tupate hii hadithi ya wanajeshi wa Irish huko nchini Congo mwaka 1961. Mwaka 1961, wanajeshi wa Ireland walipata changamoto kubwa huko Jadotville, eneo lililoko chini Congo, wakati wa mgogoro wa kisiasa na kijeshi katika eneo hilo. Hali hiyo ilisababisha mapigano...
  3. C

    Wakati Tanzania tukijidanganya kuokota points kwa Zambia na Congo DR wao wamesema hivi

    Zambia: Kama kuna timu ambayo tunaenda kuokota points za bure ni ya Tanzania ila kwa Morocco tutajitahidi tupate angalau sare au suluhu kisha huko mbele tutajua nani ataenda. Congo DR: Morocco tukijitafuta tuna uwezo wa kuwafunga au basi tukiwashinda tutatafuta sare au suluhu ila kwa Tanzania...
  4. 2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

    Ni michuano ya 34 ya Mataifa huru ya Afrika ambayo itafanyika Ivory Coast kuanzia January 13 mpaka February 11 ya 2024. Itashirikisha timu 24 ikiwemo sisi Tanzania. Michuano hiyo itafanyika katika majiji matano huku viwanja sita vitatumika katika michuano hiyo. Hii ni mara ya pili kwa Ivory...
  5. C

    Kama Mtanzania halisi nazitakia kila la kheri Morocco, Zambia na Congo DRC katika kundi letu

    Yaani Morocco ina mastaa wake wa maana huku Zambia ina akina Chama na Musonda na kule Congo DRC kuna akina Inonga na Mayele halafu nipoteze muda wangu kuishabikia CCM au serikali Taifa Stars? Kila la kheri Morocco, Zambia na Congo DRC pale tu wakiwa wanacheza na Taifa Stars.
  6. Nchi inaliwa na mchwa, wananchi tusipoweka mguu chini wanasiasa wataifanya nchi kuwa kama Congo

    Katika interview aliyofanyiwa Bwana Kigwangala ameonyesha wasiwasi wa kuwa wanasiasa wenzake katika chama chake wanafanya kufuru ya wizi wa mali za umma kununua majumba katika maeneo yasiyofikirika mtumishi wa umma kumiliki majengo kama Mikocheni, Dubai, Afrika ya kusini nk. Huyu Mh. amewahi...
  7. Timu ya Taifa ya Congo ikiwa katika picha ya pamoja huku kila mchezaji akiwa amevaa jezi ya Klabu yake

    Nimeupenda ubunifu wao, kwa mbali namuona Inonga na jezi ya Unyamani.
  8. O

    Wao si ndiyo walisababisha vita ya kimbali Rwanda? Na mbaya zaidi waliiba kura Congo ili yule ashinde! Tukiwaruhusu hawa tutasababisha vita nyingine

    Hawa watu kamwe tusiwaruhusu wajipenyeze kwenye siasa za nchi hii hao kwenye fursa au sehrmu ambayo wanafaidika wapo radhi kukuua ili wapate wanachokipata na tena wanajifanya watu wa dini dini gani hiyo? Inayosupport mauaji? Ona Rwanda walisababisha vita ya kimbari na waliwashawishi...
  9. Kwanini ghafla nimeanza kuupenda mziki wa Congo

    pichani ni ngoma kali nilizozisikiliza zaidi 2023. Katika miaka ya hivi karibuni, nimekuwa shabiki mkubwa wa muziki wa Kikongo, haswa kazi za Ferre Gola na Fally Ipupa. Walakini, hivi karibuni nimegundua kuwa nimevutwa na muziki wa Kilingala. Sijui ni nini kuhusu aina hii ya muziki ambayo...
  10. Matatizo ya DRC Congo yatamalizwa na wakongo wenyewe

    Nikiwa nasikiliza idhaa ya kiswahili ya dw Leo mchana moja ya wachambuzi wa maswala ya migogoro huko Congo alitoa ufafanuzi juu ya kikosi kingine Cha SADC Ambacho kinajiandaa kwa awamu nyingine kutumwa huko DRC. Kilichonishangaza ni pale alipoulkuliwa akisema wanajeshi wakongo wanataka vita na...
  11. Israel katika mazungumzo na Kongo na nchi nyingine kuhusu mpango wa 'uhamiaji wa hiari' wa Gaza

    Makazi mapya ya "hiari" ya Wapalestina kutoka Gaza polepole yanakuwa sera rasmi ya serikali, huku afisa mkuu akisema kuwa Israel imefanya mazungumzo na nchi kadhaa kwa ajili ya kufyonzwa kwao. Zman Israel, gazeti la The Times of Israel ambalo ni dada wa Kiebrania, limegundua kuwa muungano wa...
  12. Netanyahu kwenye mazungumzo ya siri kuwahamishia raia wa Gaza Congo!

    Kuna mazungumzo “ya siri” kati ya Netanyahu na Congo DRC ili kuweza kuwahamishia raia wa Gaza huko pamoja na nchi nyingine za Africa. Kaazi kweli kweli daah! https://www.thedailybeast.com/israel-in-secret-talks-to-resettle-palestinians-in-congo-report-says
  13. F

    Tetesi: Congo DRC na Burundi wanadaiwa wapo mbioni kuivamia Rwanda

    Kumekucha. Kuna habari nimeipata kutoka chanzo nyeti kuwa Congo DRC na Burundi zinajipanga kuishambulia Rwanda. Haijabainika tarehe halisi ya mashambulizi na uvamizi ila chanzo hicho kimedai ni Kati ya mwezi February au March 2024. Inadaiwa vyombo vya ujasusi nchini Rwanda vimepata habari hizi...
  14. D

    Hii ya Tanzania Kupeleka wanajeshi Congo imekaaje!?

    Habari zinaonyesha Tanzania tunapeleka wanajeshi Congo kwa mwamvuli wa SADC. Na kama tujuavyo wanajeshi watanzania pekee ndio huwa kwenye wakati mgumu kwani hupangiwa sehemu korofi hasa njia za kupita waasi huku wengine wakijipangia sehemu zenye wingi wa madini na kuishia kutajirisha nchi zao...
  15. Matokeo ya Urais DR Congo kutangazwa Jumapili (Desemba 31, 2023)

    Matokeo ya uchaguzi wa urais Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo yanatarajiwa kutangazwa kesho kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na tume ya uchaguzi, huku ushindi ukitarajiwa kwa Rais aliye madarakani Felix Tshisekedi. Takriban watu milioni 44 walijiandikisha kupiga kura Desemba 20 katika uchaguzi...
  16. Nchi haimthamini mtu anayejituma na anaekomaa na taaluma

    Nimeweka uzi huu kwa sababu nipo Ulaya na Ijumaa hii ya leo(22.12.2023) nimepewa tuzo ya utumishi bora katika kampuni ya Continentall hapa Ingolstadt Ujerumani. Tanzania haithamini wasomi na wananchi wenye vipaji nilikuja Ujerumani March 2023 mwezi huu nimepewa tuzo, nimepandishwa cheo na...
  17. Watu 10 wachomwa moto hadi kufa Uganda

    Msemaji wa Jeshi Polisi Nchini Uganda Vincent Twesige amesema wanamgambo wanaohusishwa na kundi lenye itikadi kali (Islamic State) wamewachoma moto watu 10 hadi kufa katika shambulizi lililofanywa kusini magharibi mwa nchi hiyo. Inaelezwa kuwa wanamgambo hao kutoka kundi la ADF ni miongoni mwa...
  18. Hivi ndivyo milima ya Congo DRC inavyoonekana ukiwa hapa Kigoma Tanzania

    Bado unayo nafasi ya kuitazama milima ya Congo DRC ukiwa hapa Kigoma, mlima tambalale uliyonyooka kwa mapana uliopakwa rangi ya blue ni nchi ya Zaire, utafika katika nchi hiyo kwa usafiri wa Boti, ni rahisi sana kutokea hapa kwetu Kigoma. Hapa ni Kigoma Karibu na Station Milima ya Blue...
  19. Rais wa DR Congo, Tshisekedi amlinganisha Rais Paul Kagame na Hitler

    Kiongozi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo amepeleka mashambulizi yake ya kejeli dhidi ya mwenzake wa Rwanda katika ngazi nyingine kwa kumfananisha na Adolf Hitler. Félix Tshisekedi alisema Paul Kagame alikuwa na tabia kama Hitler, na akaongeza: "Naahidi ataishia kama Hitler". Bw Tshisekedi...
  20. Uchaguzi Mkuu DRC: Wapinzani Waungana Nyuma ya Moise Katumbi Ili Kumng'oa Rais Felix Tshisekedi

    Wagombea Wanne wa nafasi ya Urais Nchini DR Congo wameamua kujitoa na kueleza kuwa wanaelekeza nguvu zao katika kumuunga mkono Gavana wa zamani, Moise Katumbi ambaye ni mgombea mkuu wa upinzani katika uchaguzi huo. Hatua hiyo inafanya wagombe waliosalia kuwa 21 mbapo wote wanawania nafasi...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…