coronavirus

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Informer

    Rwanda confirms 1st Corona Virus case

    Rwanda has confirmed the first case of corona virus today It becomes the 2nd country in East Africa after Kenya yesterday confirmed its first case DR Congo also confirmed their case in the past few days
  2. J

    Rais Magufuli: Mpaka sasa Tanzania (Bara&Visiwani) hatuna mgonjwa wa Corona. Nawasihi watanzania kuchukua hadhari

    Rais Magufuli ameishukuru serikali ya Germany kwa msaada walioutoa kujenga karakana hiyo ya kisasa. Pia Rais Magufuli amempa balozi barua maalumu ya shukrani kwa counvillor Mikael wa Germany. Kadharika Rais Magufuli ametumia fursa hiyo kuwataka watanzania wajihadhari na ugonjwa huo hatari. Rais...
  3. beth

    Coronavirus: Idadi ya walioambukizwa barani Afrika yafikia 134

    Maambukizi ya Corona Virus barani Afrika yamefikia 134 baada ya maambukizi mapya manne kuripotiwa Afrika Kusini leo. Hadi sasa watu watatu wamefariki dunia kutoka nchi za Misri, Morocco na Algeria. Misri ina idadi kubwa zaidi ya waathirika ikifuatiwa na Algeria ==== As coronavirus continues to...
  4. Don Clericuzio

    NBA yamesimamisha ligi kwa sababu ya Coronavirus

    NBA suspends season due to coronavirus Rudy Gobert, mchezaji wa timu ya Utah Jazz amepimwa na kukutwa na coronavirus. Hii imesababisha ligi iahirishwe mpaka wakati utakaoamuliwa (until further notice). Game ya jana kati ya Oklahoma City Thunder (OKC) na Utah Jazz iliyokuwa ichezewe Chesapeake...
  5. Nyendo

    Coronavirus: DRC confirms index case, Morocco records death

    The Democratic Republic of Congo has reported recording its index case of coronavirus. The patient is a Belgian national who was under quarantine in the capital Kinshasa upon entry through the airport. Authorities say he has since been isolated. DRC is currently quarantining passengers entering...
  6. beth

    Dar: Mikutano ya ana kwa ana ya SADC kusitishwa ili kudhibiti maambukizi ya Coronavirus

    Mawaziri wa Afya wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), wameshauri kusitishwa kwa vikao vyote vya ana kwa ana vya jumuiya hiyo hadi mlipuko wa ugonjwa wa homa ya mapafu wa corona utakapodhibitiwa. Hatua hiyo imefikiwa wakati kunatarajiwa kufanyika mkutano wa Baraza la Mawaziri wa...
  7. isajorsergio

    Covid-19: Coronavirus hivi sasa! Ramani, Mataifa, Washukiwa na Vifo

    Hadi hivi sasa Tanzania na Afrika Mashariki hali ni shwari. Kabla ya kupitia thread hii osha mikono kwa kimiminika chenye uwezo wa kupambana na maambukizi, maji safi na sabuni. Hali ni mbaya duniani kote maambukizi yanazidi kuongezeka pamoja na vifo vikiripotiwa. Tanzania na Sehemu ya maziwa...
  8. Nigrastratatract nerve

    Coronavirus: Silaha ya kibaiolojia inayotumika kulinda sera ya ujamaa dhidi ya Sera ya kibepari ya maandamano

    Aliyetengeneza hiki kirusi pengine hakujua kitasambaa kiasi hiki Nina uhakika hofu iliyopo Duniani kwa sasa dhidi ya Coronavirus ni kubwa kuliko Silaha za maangamizi ya Nuclear Hakuna mwanadamu popote Duniani ataandamana kwa sasa Hii itakuwa na athari ya muda mfupi juu ya uchumi wa Dunia...
  9. Tz boy 4tino

    Ufaransa yashangazwa kwanini virusi vya Corona haviwadhuru Waafrika

    Whether it's a matter of faulty detection, climatic factors or simple fluke, the remarkably low rate of coronavirus infection in African countries, with their fragile health systems, continues to puzzle – and worry – experts. To date, only three cases of infection have been officially recorded...
  10. concordile 101

    Nimekosa amani mwanangu anakohoa kifua kikavu na hapati nafuu

    Ni siku kama ya tatu mwanagu wa mwaka mmoja anakohoa kikohozi kikavu na usiku anapata taabu ya kupumua. Mimi ni mfauatiliaji wa thread ya Coronavirus humu, nimekosa raha kabisa na isitoshe niko mbali nao. Yaani kila nikifuatilia habari ya wataliii Arusha natamani kulia kwa jinsi serikali...
  11. The Mongolian Savage

    Samatta atokea front page ya Daily Mail Sports, gazeti linaloheshimika Uingereza

    Mzuqa, Kijana wetu mpendwa Mbwana Ally Samatta, mshambuliaji hatari haijawahi kutokea tangu mbingu na nchi ziumbwe leo katika ukurasa wa mbele front page katika gazeti linaloheshimika Uingereza -- Dailymail -- wameleta history yake. Wamemuelezea jinsi ni tegemeo Aston Villa na anavyotarajia...
  12. Gwangzu

    Coronavirus: tupia picha | tuone hali ilivyo huko china

    Tushare kwa picture hali ilivyo huko china; *soon nawaletea pictures*
  13. M

    Serikali kutodhibiti idadi ya wageni wanaoingia nchini kwa kisingizio cha Utalii, inahatarisha Usalama wa Taifa dhidi ya virusi vya Corona

    Mhudumu wa uwanja wa KIA amesema katika kipindi hiki ambapo ugonjwa wa Corona Virus umepiga sana China, idadi ya watalii kutoka China imeongezeka maradufu kuja nchini. Wachina wenyewe wakihojiwa wamesema pamoja na utalii wamekuja kutafuta sehemu salama kukimbia ugonjwa huo kwao. Hii hali...
  14. S

    Tanzania tuchukue tahadhari kubwa, Wakenya mbioni kutuletea Coronavirus Tanzania!

    Serikali ya Kenya, japo imesimamisha ndege zake za KQ kwenda China, imekuwa ikiruhusu abiria kutoka China kungia nchini humo bila kuwa na tahadhari zozote zaidi ya kuwapima joto wanapowasili uwanja wa Jomo Kenyatta au kuwadhibiti katika kile kipindi cha siku 14. Hii imezua taharuki kwa...
  15. Analogia Malenga

    Coronavirus: Safari zote za Hijja zapigwa marufuku kwa muda Saudi Arabia

    Serikali ya Saudi Arabia imezuia wageni wote wanaoingia nchini humo kwa safari za kidini, ikiwemo wanaotembelea miji mitakatifu katika dini ya Kiislamu - Makka na Madina. Mamilioni ya watu huingia Saudia mwaka mzima kufanya ibada ya Umra, na wengi zaidi huingia kwa pamoja kufanya ibada ya Hija...
  16. The Mongolian Savage

    Ayatollah ailaumu coronavirus kwa wapiga kura wachache kujitokeza

    Mzuqa Utawala wa kero na maigizo wa akina Ayatollah Iran imeilaumu vikali na kuisingizia taifa la Israel na Marekani kusababisha wa Iran wengi kutojitokeza kupiga kura katika uchaguzi wa Wabunge kwasababu ya coronavirus. Wanadai maadui wa Iran Israel na Marekani wameingiza virusi hivyo Iran...
  17. T

    Bill Gates aonya na kutabiri coronavirus kuua watu milioni 10 barani Afrika

    Matajiri wakubwa duniani kama Bill Gates ni watu wenye resources nyingi ikiwemo access za conspiracies mbalimbali na intelligent missions. Bill Gates kutabiri kuwa waafrika milioni 10 watakufa kwa coronavirus sio jambo la kupuuzwa, hasa ikizingatiwa habari hii imeandikwa na gazeti maarufu la...
  18. S

    Coronavirus: Kwa nini cases za ugonjwa huu hazijaripotiwa Afrika? Je ni kweli miili ya Waafrika ina kinga dhidi ya kirusi hiki?

    Hapa kuna maelezo mazuri toka DW yakieleza theories mbalimbali juu ya "kwa nini ugonjwa wa Coronavirus haujaripotiwa Afrika". Moja ya sababu zilizotaja ni uwezo mdogo wa maabara za nchi nyingi za Afrika zmbazo hazikuwa na uwezo wa kutest coronavirus. Hadi wiki iliyopita ni maabara za nchi...
  19. dudus

    Pangolin identified as potential link for coronavirus spread

    The endangered pangolin may be the link that facilitated the spread of the novel coronavirus across China, Chinese scientists said Friday. At least 31,000 people have been infected and 630 killed by the virus, which has spread to two dozen countries. Researchers at the South China Agricultural...
  20. The Mongolian Savage

    Natamani sana zali la Coronavirus linipate

    Mzuka wanajamvi Mimi sinaga bahati kabisa. Tangu outbreak wa hili gonjwa hatarii nimekuwa kwa maksud nashindilia na kubughia minofu na supu ya popo mfululizo lakini wapi ndio kwanza afya yangu inaimarika. Kutokana na kujaliwa na perfect genes na strong body immune system niliorithi kwa mababu...
Back
Top Bottom