Poleni na majukumu,
Nimepata mshtuko kidogo hapa mitaani, tumepata msiba mtaani kwetu ila watu hawahudhurii kabisa haloo, hivi serikali imetangaza utaratibu gani kwa watu kuhudhuria misiba ili kusiwepo na taharuki na wasi kuhusu kuambukizana magonjwa.
Nauliza serikali imetoa pendekezo lolote...
Licha ya safu kadhaa za hatua za karibu za kupungua au kusitisha kuenea kwa virusi vya Corona zikiwemo kufungwa kwa nchi nzima na kufunga kwa biashara zote ambazo sio muhimu, Italia haikuweza kuzuia kuenea kwa maambukizi
1. WINGI WA WAZEE
Ingawa virusi vya #corona vinaweza kuambukizwa kwa watu...
MARCH 24, 2020 / 3:18 PM / UPDATED AN HOUR AGO
BERLIN (Reuters) - German customs officials are attempting to track down about 6 million face masks ordered to protect health workers from the coronavirus which went missing at an airport in Kenya.
“The authorities are trying to find out what...
Mwanamuziki wa Jazz na mpiga Saxophone kutoka Cameroon, Emmanuel N'Djoke Dibango (86) maarufu ‘Manu Dibango’, amefariki leo asubuhi akiwa jijini Paris baada ya kupata maambuzi Covid 19
Atakumbukwa kwa wimbo wake wa Soul Makossa.
ZAIDI SOMA
Emmanuel N'Djoke Dibango, known as Manu Dibango...
Nigeria confirmed its first fatality from coronavirus, the Nigeria Centre for Disease Control said in a tweet on Monday.
The patient was a 67-year-old man who returned following a medical procedure in the United Kingdom with underlying medical conditions including multiple myeloma and diabetes...
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Anna Mghwira amesema kuna mgonjwa mwenye dalili za maambukizi ya virusi vya corona ambaye amelazwa kwenye wodi maalumu katika hospitali ya Mawenzi mjini Moshi na tayari sampuli zake zimechukuliwa kwa uchunguzi zaidi.
Mama Mghwira amesema Mgonjwa huyo ni raia wa...
Shirika hilo limefikia uamuzi huo ili kuendana na Serikali katika kuzuia safari zote za Kimataifa Kenya katika kupambana na kuenea kwa #covid_19
Wasafiri wameshauriwa kubadili tiketi zao hadi baadae au kubadili na kupewa vocha ya kusafiri ndani ya miezi 12 ambapo safari za Mombasa na Kisumu...
Idadi ya vifo vinavyotokana na #Covid19 imeendelea kuongezeka huko Ulaya, kwa sasa Italia imetangaza kuwa na vifo 651 kwa siku moja, idadi inayopelekea vifo ndani ya Italia kufikia 5,476
Pia Kansela wa Ujerumani, Angela Merkel amejiweka karantini mwenyewe baada ya kuchangamana na daktari...
German Chancellor Angela Merkel is in quarantine at home after coming into contact with a doctor who tested positive for coronavirus, her spokesman said Sunday.
Source: Bloomberg
Kutokana na mashirika mengi ya usafiri wa anga kusitisha safari zake baada ya nchi nyingi kuzuwia kupokea wageni au kuruhusu waliopo ndani kuondoka, kumeibuka kitisho kikubwa cha watu kusitishiwa ajira au mishahara yao sekta ya usafiri wa anga.
Taasisi nyingi za binafsi zinazo jiendesha...
Wakuu,
Kwa taarifa nilizo nazo, ni kuwa muda si mrefu Rais Magufuli atalihutubia Taifa.
Kama hii itatokea, itakuwa mara ya kwanza tangu aingie madarakani kuhutubia Taifa.
Tutarajie nini?
Stay tuned...
=======
LIVE:
VIDEO:
Rais Magufuli anasema;
=> Baada ya kuibuka Ugonjwa wa Corona...
Poleni na majukumu ya hapa na pale sasa na kale yanayowafanya msilale, niende moja kwa moja kwenye mada husika.
Kama kweli maombi yanafanya kazi kwa namna ambayo tunaaminishwa, kwanini viongozi wa dini wameungana kutekeleza agizo la kuvunja mirundikano ikiwemo mijumuiko ya kiibada ili kuikwepa...
March 21, 2020
MAJALIWA - Wapotosha kuhusu Corona kukiona
Published on 21 Mar 2020
Waziri mkuu, Kassim Majaliwa ameonya juu ya upotoshwaji na utoaji holela wa taarifa kuhusu ugonjwa wa homa ya mapafu unaosababisha na virusi vya corona (COVID 19) unaofanywa na watu mbalimbali nchini.
Amesema...
Wizara ya afya nchini Rwanda imetangaza kuwa watu wengine sita wameambukizwa virusi vya corona miongoni mwao mtoto mchanga wa miezi 10.
Maambukizi hayo yanaifanya Rwanda kuwa na idadi ya visa 17 vya maambukizi ya virusi vya corona.
Walipatikana na maambukizi hayo wote walikua wametoka katika...
COVID-19 inachofanya kule Italia na Spain sio mzaha,
Hali imekuwa mbaya sana kwa hizo nchi kiasi cha maiti kuhifadhiwa makanisani. Pamoja na tamaduni zao kuchangia hali kuwa mbaya lakini kuna uzembe flani ambao hata sisi tunaendelea kuufanya, hutujifunzi kwao.
Vifo sasa vinawafuata vijana...
Mwanamuziki mgongwe wa DRC, Aurlus Mabele maarufu kama Mfalme wa Sokous amefariki dunia saa chache zilizopita jijini Paris nchini Ufaransa, huku kukiwa na taarifa kuwa huenda kifo chake kimesababishwa na virusi vya corona (Covid-19).
Mwanamuziki huyo ambaye taarifa zilizothibitishwa na familia...
Mossad delivers 100,000 coronavirus test kits to Israel overnight
Mossad, Israel’s espionage agency, delivered some 100,000 new coronavirus test kits collected overseas to Israeli laboratories
Mossad, Israel’s espionage agency, delivered some 100,000 new coronavirus test kits collected...
Dakika chache tu zilizopita, Rais wa Marekani Bw. Donald J. Trump, katangaza kuwa shirika la madawa la Marekani, FDA, limeruhusu dawa ya malaria, ambayo wengi wetu tumeitumia sana, kuanza kutumika katika kutibu virusi vya Corona.
Chloroquin, ndo dawa yenyewe. Matumizi yatakuwa kwenye hatua ya...
Wataalamu wa masuala ya usalama wamesema kuwa, mlipuko wa virusi vya corona umefanya wahalifu wa mtandaoni kutumia mwanya huu kutapeli watu pia.
Wahalifu wa mtandaoni wanawalenga watu binafsi pamoja na sekta mbalimbali kama usafiri, utalii,afya ,elimu, bima na shughuli nyingine.
Barua pepe za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.