coronavirus

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. I

    Namna gani inashauriwa kushiriki misiba kipindi hiki cha coronavirus

    Poleni na majukumu, Nimepata mshtuko kidogo hapa mitaani, tumepata msiba mtaani kwetu ila watu hawahudhurii kabisa haloo, hivi serikali imetangaza utaratibu gani kwa watu kuhudhuria misiba ili kusiwepo na taharuki na wasi kuhusu kuambukizana magonjwa. Nauliza serikali imetoa pendekezo lolote...
  2. Roving Journalist

    CoronaVirus: Hizi ndizo sababu kwanini Italia ina vifo vingi vitokanavyo na virusi vya Corona

    Licha ya safu kadhaa za hatua za karibu za kupungua au kusitisha kuenea kwa virusi vya Corona zikiwemo kufungwa kwa nchi nzima na kufunga kwa biashara zote ambazo sio muhimu, Italia haikuweza kuzuia kuenea kwa maambukizi 1. WINGI WA WAZEE Ingawa virusi vya #corona vinaweza kuambukizwa kwa watu...
  3. Kafrican

    Germany loses six million coronavirus face masks in Kenya ... Jamaneni!!!

    MARCH 24, 2020 / 3:18 PM / UPDATED AN HOUR AGO BERLIN (Reuters) - German customs officials are attempting to track down about 6 million face masks ordered to protect health workers from the coronavirus which went missing at an airport in Kenya. “The authorities are trying to find out what...
  4. Suley2019

    Mwanamuziki nguli wa Cameroon Manu Dibango afariki kwa Corona

    Mwanamuziki wa Jazz na mpiga Saxophone kutoka Cameroon, Emmanuel N'Djoke Dibango (86) maarufu ‘Manu Dibango’, amefariki leo asubuhi akiwa jijini Paris baada ya kupata maambuzi Covid 19 Atakumbukwa kwa wimbo wake wa Soul Makossa. ZAIDI SOMA Emmanuel N'Djoke Dibango, known as Manu Dibango...
  5. Suley2019

    Nigeria confirms first death from coronavirus

    Nigeria confirmed its first fatality from coronavirus, the Nigeria Centre for Disease Control said in a tweet on Monday. The patient was a 67-year-old man who returned following a medical procedure in the United Kingdom with underlying medical conditions including multiple myeloma and diabetes...
  6. Influenza

    Kilimanjaro: Raia wa Sweden ahofiwa kuwa na CoronaVirus sampuli zake zatumwa maabara Jijini Dar

    Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Anna Mghwira amesema kuna mgonjwa mwenye dalili za maambukizi ya virusi vya corona ambaye amelazwa kwenye wodi maalumu katika hospitali ya Mawenzi mjini Moshi na tayari sampuli zake zimechukuliwa kwa uchunguzi zaidi. Mama Mghwira amesema Mgonjwa huyo ni raia wa...
  7. Influenza

    CoronaVirus: Shirika la Ndege la Kenya Airways limesimamisha safari zote za Kimataifa

    Shirika hilo limefikia uamuzi huo ili kuendana na Serikali katika kuzuia safari zote za Kimataifa Kenya katika kupambana na kuenea kwa #covid_19 Wasafiri wameshauriwa kubadili tiketi zao hadi baadae au kubadili na kupewa vocha ya kusafiri ndani ya miezi 12 ambapo safari za Mombasa na Kisumu...
  8. Analogia Malenga

    Italia: Kwa siku ya leo watu 651 wamefariki, Pia Kansela wa Ujerumani yuko karantini

    Idadi ya vifo vinavyotokana na #Covid19 imeendelea kuongezeka huko Ulaya, kwa sasa Italia imetangaza kuwa na vifo 651 kwa siku moja, idadi inayopelekea vifo ndani ya Italia kufikia 5,476 Pia Kansela wa Ujerumani, Angela Merkel amejiweka karantini mwenyewe baada ya kuchangamana na daktari...
  9. babu M

    Chancellor Angela Merkel in quarantine after contact with doctor who tested positive for coronavirus

    German Chancellor Angela Merkel is in quarantine at home after coming into contact with a doctor who tested positive for coronavirus, her spokesman said Sunday. Source: Bloomberg
  10. Titicomb

    Kongole ATCL na Precision Air kwa kupunguza makali ya maisha kwa waajiriwa sekta ya anga kipindi hiki cha janga la Coronavirus

    Kutokana na mashirika mengi ya usafiri wa anga kusitisha safari zake baada ya nchi nyingi kuzuwia kupokea wageni au kuruhusu waliopo ndani kuondoka, kumeibuka kitisho kikubwa cha watu kusitishiwa ajira au mishahara yao sekta ya usafiri wa anga. Taasisi nyingi za binafsi zinazo jiendesha...
  11. Informer

    Corona Virus: Rais Magufuli ahutubia Taifa - Machi 22, 2020 - Wagonjwa Tanzania wafikia 12

    Wakuu, Kwa taarifa nilizo nazo, ni kuwa muda si mrefu Rais Magufuli atalihutubia Taifa. Kama hii itatokea, itakuwa mara ya kwanza tangu aingie madarakani kuhutubia Taifa. Tutarajie nini? Stay tuned... ======= LIVE: VIDEO: Rais Magufuli anasema; => Baada ya kuibuka Ugonjwa wa Corona...
  12. Scars

    Corona imekuja kuumbua uongo wa dini

    Poleni na majukumu ya hapa na pale sasa na kale yanayowafanya msilale, niende moja kwa moja kwenye mada husika. Kama kweli maombi yanafanya kazi kwa namna ambayo tunaaminishwa, kwanini viongozi wa dini wameungana kutekeleza agizo la kuvunja mirundikano ikiwemo mijumuiko ya kiibada ili kuikwepa...
  13. B

    Waziri Mkuu aainisha utoaji taarifa rasmi za coronavirus

    March 21, 2020 MAJALIWA - Wapotosha kuhusu Corona kukiona Published on 21 Mar 2020 Waziri mkuu, Kassim Majaliwa ameonya juu ya upotoshwaji na utoaji holela wa taarifa kuhusu ugonjwa wa homa ya mapafu unaosababisha na virusi vya corona (COVID 19) unaofanywa na watu mbalimbali nchini. Amesema...
  14. Analogia Malenga

    Coronavirus: Mtoto wa miezi 10 miongoni mwa visa vipya vya virusi vya corona Rwanda

    Wizara ya afya nchini Rwanda imetangaza kuwa watu wengine sita wameambukizwa virusi vya corona miongoni mwao mtoto mchanga wa miezi 10. Maambukizi hayo yanaifanya Rwanda kuwa na idadi ya visa 17 vya maambukizi ya virusi vya corona. Walipatikana na maambukizi hayo wote walikua wametoka katika...
  15. Titicomb

    CORONAVIRUS: Naongeza miluzi ya tahadhari lockdown iharakishwe

    COVID-19 inachofanya kule Italia na Spain sio mzaha, Hali imekuwa mbaya sana kwa hizo nchi kiasi cha maiti kuhifadhiwa makanisani. Pamoja na tamaduni zao kuchangia hali kuwa mbaya lakini kuna uzembe flani ambao hata sisi tunaendelea kuufanya, hutujifunzi kwao. Vifo sasa vinawafuata vijana...
  16. mwehu ndama

    TANZIA Mwanamuziki mkongwe wa Soukous, Aurlus Mabele afariki dunia. Coronavirus yahusishwa

    Mwanamuziki mgongwe wa DRC, Aurlus Mabele maarufu kama Mfalme wa Sokous amefariki dunia saa chache zilizopita jijini Paris nchini Ufaransa, huku kukiwa na taarifa kuwa huenda kifo chake kimesababishwa na virusi vya corona (Covid-19). Mwanamuziki huyo ambaye taarifa zilizothibitishwa na familia...
  17. Kibanga Ampiga Mkoloni

    Mossad delivers 100,000 coronavirus test kits to Israel overnight

    Mossad delivers 100,000 coronavirus test kits to Israel overnight Mossad, Israel’s espionage agency, delivered some 100,000 new coronavirus test kits collected overseas to Israeli laboratories Mossad, Israel’s espionage agency, delivered some 100,000 new coronavirus test kits collected...
  18. Nyani Ngabu

    Trump Ataja Korolokwini kama ni Dawa Inaweza Kutibu au Kufubaza Virusi vya Corona

    Dakika chache tu zilizopita, Rais wa Marekani Bw. Donald J. Trump, katangaza kuwa shirika la madawa la Marekani, FDA, limeruhusu dawa ya malaria, ambayo wengi wetu tumeitumia sana, kuanza kutumika katika kutibu virusi vya Corona. Chloroquin, ndo dawa yenyewe. Matumizi yatakuwa kwenye hatua ya...
  19. Nyendo

    Coronavirus: Jinsi wahalifu wa mtandaoni wanavyoongeza hofu katika jamii

    Wataalamu wa masuala ya usalama wamesema kuwa, mlipuko wa virusi vya corona umefanya wahalifu wa mtandaoni kutumia mwanya huu kutapeli watu pia. Wahalifu wa mtandaoni wanawalenga watu binafsi pamoja na sekta mbalimbali kama usafiri, utalii,afya ,elimu, bima na shughuli nyingine. Barua pepe za...
Back
Top Bottom