Kutokana na Ugonjwa wa #COVID19 familia nyingi zimejikuta katika wakati mgumu ambapo zinatakiwa kukaa ndani ili kuzuia kuenea kwa maambukizi. Hii ni baadhi ya namna ya kukufanya ule chakula chenye virutubisho vya kutosha
1. TUNZA MATUNDA NA MBOGAMBOGA
Kununua, kutunza na kupika mbogamboga...
Wameongezeka waathirika 14 huku mmoja akiwa ametokea Tanzanua na kufanya idadi kufikia 172, hadi sasa Kenya imepima watu zaidi ya 5,000 maana kasi ya kupima imeongezeka, mbinu zinatumika kwa umakini kufuata kila aliyekutana au kuhusiana na waathirika.
-----
Fourteen more patients have tested...
Serikali kupitia kwa viongozi wa juu akiwemo Mheshimiwa.Raisi, Waziri mkuu na Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto wamekuwa wakituhadharisha na kutupa Elimu ya namna gani ya kujilinda na kujiepusha na Huu ugonjwa Hatari wa Korona ambao umeangamiza maelfu na maelfu nduniani...
Facebook Inc’s WhatsApp tightened message forwarding limits on Tuesday, restricting users to sharing forwarded content one chat at a time after a jump in messages touting bogus medical advice since the start of the coronavirus crisis.
The pandemic, which has killed more than 70,000 people...
Ndugu zangu wana JF
Kwa muda wa siku tatu mfululizo nimetokewa na malaika katika ndoto alinieleza chanzo na sababu ya Coronavirus KUUA zaidi jamii ya hawa wenzetu wanaojiita bora zaidi kuliko sisi waafrika.
Kuna mambo mawili muhimu ya kuzingatia;
1. Sababu ya kimazingira
2. Sababu za kibiolojia...
How To Make Face Mask From Tissue paper
Face masks should be used if anyone is sick or having cough to prevent infection to others, but nowadays it’s very hard to find.
Protect yourself against any virus or dust particles
.
Here is sharing a great and a simple idea to DIY face Masks.
Breaking News-CORONAVIRUS: GUARDIOLA'S MOTHER DIES AFTER CONTRACTING COVID-19, MAN CITY CONFIRM
Manchester City announced the mother of manager Pep Guardiola has died after being diagnosed with coronavirus.
Pep Guardiola's mother has died aged 82 after contracting coronavirus, Manchester...
Leo tena Kenya imeripoti visa vipya 16 vya maambukizi ya Corona, huku Rais Uhuru Kenyatta akikumbuka shuka wakati kumekucha, ameagiza wakenya wote kuvaa barakoa wakiwa nje za nyumba zao.
Jambo ni jambo la kupongezwa kwa kuanza kuchukua hatua za dhati za kukabiliana na tatizo la kuenea kwa...
Tangazo ni zuri na linatoa taadhari kitaalam, lakini kuna baadhi ya mazoea ya baadhi ya watanzania ambayo yaweza kuzidisha COVID-19 kusambaa yanakosekana. Wana-sosiolojia walitakiwa kushirikishwa katika kuandaa hilo tangazo.
Mfano, kuna lile kundi la vijana wavuta sigara kugoneana sigara...
Prime Minister Boris Johnson has been admitted to hospital for tests, 10 days after testing positive for coronavirus, Downing Street has said.
He "continues to have persistent symptoms of coronavirus", a spokeswoman said - including a high temperature.
It was described as a "precautionary...
Revered women’s shoe designer Sergio Rossi has died of coronavirus complications at the age of 84, according to the Maurizio Bufalini Hospital in Cesena, in northern Italy.
A source at the hospital, which is located in Italy’s Emilia-Romagna region, confirmed Rossi’s death to CNN on Saturday...
Wote kote duniani hivi sasa wanapambana na tatizo la ugonjwa wa Coronavirus. Serikali zote barani Afrika kwa namna mbalimbali zinapambana kuhakikisha maambukizi hayasambai.
Tanzania nako hali ni hiyo hiyo. Hatua mbalimbali zimechukuliwa kupunguza mikusanyiko mfano kufunga mashule na kuzuia...
Ni rahisi kuhisi kuzidiwa na kila kitu unachosikia kuhusu #COVID_19. Inaeleweka pia ikiwa watoto wako wanahisi wasiwasi. Watoto wanaweza kupata shida kuelewa kile wanachokiona mtandaoni au kwenye Runinga - au kusikia kutoka kwa watu wengine - kwa hivyo wanaweza kuwa katika hatari ya kuhisi...
Kutokana na mlipuko wa Ugonjwa wa #Corona na baadhi ya Wasafiri kushindwa kusafiri kurudi kwao, Tanzania imetoa muda wa nyongeza kwa wageni hao kukaa nchini
Wageni wote waliokuwa wanatarajia kuja na tayari wamepewa ‘Visa Grant Notice’ lakini ameshindwa kusafiri ameongezewa miezi mitatu kutoka...
Kufuatia maagizo ya kukaa ndani na kutokusanyika au kusogeleana, ili kuzia kusambaa kwa virusi vya #Corona shughuli za kila siku zinabadilika sana ikiwe namna ya kununua bidhaa
Yafuatayo ni madokezo unayotakiwa kuyafanya ili kuendana na amri ya kutosogeleana wakati unafanya manunuzi ya bidhaa...
Coronavirus protective gear output rises
WEDNESDAY, APRIL 1, 2020 21:48A worker at Rivatex East Africa in Eldoret. FILE PHOTO | NMG
Local textile manufacturers have stepped up production of personal protective equipment (PPE) as demand surges and efforts to battle the spread of the coronavirus...
The number of confirmed coronavirus cases in Kenya has risen by 29 bringing the total number in the country to 110.
Health CS Mutahi Kagwe said on Thursday that 28 Kenyans had tested positive for the new coronavirus.
A Congolese...
Should more of us wear face masks to help slow the spread of coronavirus?
This question is to be assessed by a panel of advisers to the World Health Organization (WHO).
The group will weigh up research on whether the virus can be projected further than previously thought; a study in the US...
Tanzania ina makabila mengi yenye tamaduni tofauti. Katika kungamua hizi tofauti tamaduni za wachaga zinawafanya wanakuwa kwenye hatari kubwa kutokana na coronavirus. Tamaduni hizo ni kama ifuatavyo;
KWENDA KIJIJINI. hii ndo risk kubwa watu kutoka mjini kupeleka corona vijijini
KUWA NA NYUMBA...
Kuna taarifa nyingi zinazosambazwa katika mitandao ya kijamii zinazodai kwamba watu wa Afrika watatumiwa katika majaribio ya chanjo dhidi ya virusi vya Corona kama ilivyokawaida kwa panyabuku.
Hatahivyo, madai kama hayo si ya kweli - hakuna chanjo ya Covid 19 na ni majaribio kidogo tu ya chanjo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.