coronavirus

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. J

    CoronaVirus: Namna kusaficha Vyakula na kula vyakula vyenye virutubisho kipindi cha kukaa ndani

    Kutokana na Ugonjwa wa #COVID19 familia nyingi zimejikuta katika wakati mgumu ambapo zinatakiwa kukaa ndani ili kuzuia kuenea kwa maambukizi. Hii ni baadhi ya namna ya kukufanya ule chakula chenye virutubisho vya kutosha 1. TUNZA MATUNDA NA MBOGAMBOGA Kununua, kutunza na kupika mbogamboga...
  2. Suley2019

    Msafiri kutoka Tanzania apatikana na Corona Kenya. Idadi yafikia 172

    Wameongezeka waathirika 14 huku mmoja akiwa ametokea Tanzanua na kufanya idadi kufikia 172, hadi sasa Kenya imepima watu zaidi ya 5,000 maana kasi ya kupima imeongezeka, mbinu zinatumika kwa umakini kufuata kila aliyekutana au kuhusiana na waathirika. ----- Fourteen more patients have tested...
  3. Fya-fyafya

    Dhana ya kujiepusha Mikusanyiko dhidi ya Coronavirus na Mashindano ya Draft Kitaifa yanayofanyika Moshi Mjini Majengo Mississippi

    Serikali kupitia kwa viongozi wa juu akiwemo Mheshimiwa.Raisi, Waziri mkuu na Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto wamekuwa wakituhadharisha na kutupa Elimu ya namna gani ya kujilinda na kujiepusha na Huu ugonjwa Hatari wa Korona ambao umeangamiza maelfu na maelfu nduniani...
  4. Analogia Malenga

    WhatsApp limits message forwarding to slow spread of coronavirus misinformation

    Facebook Inc’s WhatsApp tightened message forwarding limits on Tuesday, restricting users to sharing forwarded content one chat at a time after a jump in messages touting bogus medical advice since the start of the coronavirus crisis. The pandemic, which has killed more than 70,000 people...
  5. Bubu Msemaovyo

    Ukweli kuhusu coronavirus kuua zaidi Ulaya na Marekani

    Ndugu zangu wana JF Kwa muda wa siku tatu mfululizo nimetokewa na malaika katika ndoto alinieleza chanzo na sababu ya Coronavirus KUUA zaidi jamii ya hawa wenzetu wanaojiita bora zaidi kuliko sisi waafrika. Kuna mambo mawili muhimu ya kuzingatia; 1. Sababu ya kimazingira 2. Sababu za kibiolojia...
  6. Neter

    Coronavirus - How To Make Face Mask From Tissue paper

    How To Make Face Mask From Tissue paper Face masks should be used if anyone is sick or having cough to prevent infection to others, but nowadays it’s very hard to find. Protect yourself against any virus or dust particles . Here is sharing a great and a simple idea to DIY face Masks.
  7. BlackPanther

    Mama wa Meneja Pep Guardiola amefariki baada ya kugundulika na ugonjwa wa coronavirus

    Breaking News-CORONAVIRUS: GUARDIOLA'S MOTHER DIES AFTER CONTRACTING COVID-19, MAN CITY CONFIRM Manchester City announced the mother of manager Pep Guardiola has died after being diagnosed with coronavirus. Pep Guardiola's mother has died aged 82 after contracting coronavirus, Manchester...
  8. joto la jiwe

    Rais Kenyatta atangaza visa 16 vipya vya Corona, idadi sasa yafika 158 na vifo 6. Afunga Kaunti za Nairobi, Kilifi, Kwale na Mombasa

    Leo tena Kenya imeripoti visa vipya 16 vya maambukizi ya Corona, huku Rais Uhuru Kenyatta akikumbuka shuka wakati kumekucha, ameagiza wakenya wote kuvaa barakoa wakiwa nje za nyumba zao. Jambo ni jambo la kupongezwa kwa kuanza kuchukua hatua za dhati za kukabiliana na tatizo la kuenea kwa...
  9. Mwanamayu

    Tangazo la Waziri Ummy Mwalimu juu ya Coronavirus (COVID-19) lirekebishwe kukidhi mazingira yetu

    Tangazo ni zuri na linatoa taadhari kitaalam, lakini kuna baadhi ya mazoea ya baadhi ya watanzania ambayo yaweza kuzidisha COVID-19 kusambaa yanakosekana. Wana-sosiolojia walitakiwa kushirikishwa katika kuandaa hilo tangazo. Mfano, kuna lile kundi la vijana wavuta sigara kugoneana sigara...
  10. babu M

    Coronavirus: UK Prime Minister admitted to hospital over virus symptoms

    Prime Minister Boris Johnson has been admitted to hospital for tests, 10 days after testing positive for coronavirus, Downing Street has said. He "continues to have persistent symptoms of coronavirus", a spokeswoman said - including a high temperature. It was described as a "precautionary...
  11. Suley2019

    'Master' Italian shoe designer dies of coronavirus complications at 84

    Revered women’s shoe designer Sergio Rossi has died of coronavirus complications at the age of 84, according to the Maurizio Bufalini Hospital in Cesena, in northern Italy. A source at the hospital, which is located in Italy’s Emilia-Romagna region, confirmed Rossi’s death to CNN on Saturday...
  12. wanzagitalewa

    Sekta mbalimbali zinavyoshirikiana katika kupambana na Coronavirus

    Wote kote duniani hivi sasa wanapambana na tatizo la ugonjwa wa Coronavirus. Serikali zote barani Afrika kwa namna mbalimbali zinapambana kuhakikisha maambukizi hayasambai. Tanzania nako hali ni hiyo hiyo. Hatua mbalimbali zimechukuliwa kupunguza mikusanyiko mfano kufunga mashule na kuzuia...
  13. J

    Fahamu ni kwa namna gani unaweza kuongea na Watoto kuhusu mlipuko wa CoronaVirus

    Ni rahisi kuhisi kuzidiwa na kila kitu unachosikia kuhusu #COVID_19. Inaeleweka pia ikiwa watoto wako wanahisi wasiwasi. Watoto wanaweza kupata shida kuelewa kile wanachokiona mtandaoni au kwenye Runinga - au kusikia kutoka kwa watu wengine - kwa hivyo wanaweza kuwa katika hatari ya kuhisi...
  14. Influenza

    CoronaVirus: Uhamiaji Tanzania yawaongezea Wageni muda wa kukaa nchini baada ya kushindwa kusafiri

    Kutokana na mlipuko wa Ugonjwa wa #Corona na baadhi ya Wasafiri kushindwa kusafiri kurudi kwao, Tanzania imetoa muda wa nyongeza kwa wageni hao kukaa nchini Wageni wote waliokuwa wanatarajia kuja na tayari wamepewa ‘Visa Grant Notice’ lakini ameshindwa kusafiri ameongezewa miezi mitatu kutoka...
  15. J

    Madokezo ya namna ya kufanya manunuzi kwa usalama kipindi hiki cha mlipuko wa CoronaVirus

    Kufuatia maagizo ya kukaa ndani na kutokusanyika au kusogeleana, ili kuzia kusambaa kwa virusi vya #Corona shughuli za kila siku zinabadilika sana ikiwe namna ya kununua bidhaa Yafuatayo ni madokezo unayotakiwa kuyafanya ili kuendana na amri ya kutosogeleana wakati unafanya manunuzi ya bidhaa...
  16. Kevin85ify

    Kenya: Coronavirus protective gear output rises

    Coronavirus protective gear output rises WEDNESDAY, APRIL 1, 2020 21:48A worker at Rivatex East Africa in Eldoret. FILE PHOTO | NMG Local textile manufacturers have stepped up production of personal protective equipment (PPE) as demand surges and efforts to battle the spread of the coronavirus...
  17. Suley2019

    Health CS Mutahi Kagwe announces 29 more cases of coronavirus in Kenya, total at 110

    The number of confirmed coronavirus cases in Kenya has risen by 29 bringing the total number in the country to 110. Health CS Mutahi Kagwe said on Thursday that 28 Kenyans had tested positive for the new coronavirus. A Congolese...
  18. Sky Eclat

    Coronavirus: Expert panel to assess face mask use by public

    Should more of us wear face masks to help slow the spread of coronavirus? This question is to be assessed by a panel of advisers to the World Health Organization (WHO). The group will weigh up research on whether the virus can be projected further than previously thought; a study in the US...
  19. bahati93

    Tahadhari kwa wachaga juu ya Coronavirus

    Tanzania ina makabila mengi yenye tamaduni tofauti. Katika kungamua hizi tofauti tamaduni za wachaga zinawafanya wanakuwa kwenye hatari kubwa kutokana na coronavirus. Tamaduni hizo ni kama ifuatavyo; KWENDA KIJIJINI. hii ndo risk kubwa watu kutoka mjini kupeleka corona vijijini KUWA NA NYUMBA...
  20. Umomi

    Mambo ya kupuuzwa kuhusiana na ugonjwa wa Corona (COVID-19)

    Kuna taarifa nyingi zinazosambazwa katika mitandao ya kijamii zinazodai kwamba watu wa Afrika watatumiwa katika majaribio ya chanjo dhidi ya virusi vya Corona kama ilivyokawaida kwa panyabuku. Hatahivyo, madai kama hayo si ya kweli - hakuna chanjo ya Covid 19 na ni majaribio kidogo tu ya chanjo...
Back
Top Bottom