coronavirus

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. OKW BOBAN SUNZU

    Mwanza: AcessBank yafunga tawi baada ya mhudumu kupatwa na Corona

    Watanzania tuendelee kuchukua tahadhari. Corona ni hatari
  2. babu M

    Coronavirus: Outcry after Trump suggests injecting disinfectant as treatment

    US President Donald Trump has been lambasted by the medical community after suggesting research into whether coronavirus might be treated by injecting disinfectant into the body. He also appeared to propose irradiating patients' bodies with UV light, an idea dismissed by a doctor at the...
  3. Miss Zomboko

    Wasafiri wanaopita Mkoa wa Morogoro kuanza kupimwa COVID-19

    Serikali mkoani Morogoro, imeazimia kusimamisha magari yote yanayopita ndani ya mkoa huo yakiwemo ya abiria ilikuwapima abiria ikiwa ni moja ya njia ya kukabili maambukizi ya virusi vya corona kuendelea kusambaa nchini. Agizo hilo lilitolewa jana na Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Loata Sanare...
  4. Zitto

    #TheNotorious9 These world leaders responded to the coronavirus with denial, duplicity and ineptitude

    #TheNotorious9 The notorious nine: These world leaders responded to the coronavirus with denial, duplicity and ineptitude - Brazil, Mexico, Belarus, Turkmenistan, Tanzania, Zimbabwe, Cambodia, North Korea Tanzania While most countries were going into lockdown and banning large gatherings...
  5. K

    Coronavirus - Fursa nyingine itupite bila kuitumia ipasavyo.?

    Gonjwa la COVID 19 limewatia hofu watu wengi duniani kote, na wenye uwezo watalichukua kama changamoto na kulifanyia kazi. Ninay hakika Coronavirus atapata m-arobaini wake mda si mwingi. Atakuwa gonjwa la kawaida tu kama magonjwa mengine, kama ataamua kubaki katika jamii. Bado kuna uwezekano...
  6. idawa

    Rais Magufuli: Hakuna Lockdown kwa Dar wala Tanzania, NEVER! Tusiwatishe watanzania, hofu ni ugonjwa mkubwa kuliko Corona

    Raisi wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Mhe. Magufuli anatarajiwa kuzungumza mubashara na Wakuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama kuhusu ugonjwa wa Corona kutokea Chato saa 9:45 alasiri leo tarehe 22.4.2020 -- HOTUBA YA RAIS MAGUFULI (KWA UFUPI) Rais ameshauri tuendelee kutumia njia za...
  7. S

    Tundu Lissu: Kuna mtu anadanganywa kuwa anaweza tangaza Hali ya Hatari na kuongoza nchi kijeshi bila ridhaa ya Bunge

    Pamoja na aliyoyaandika katika tweet yake, kasisitiza isomwe Ibara ya 90(4). Je, kuna mtu kaanza kufanyia kazi ule ushauri wa Mzee Mwanakijiji alioutoa hapa JF juu ya namna ya kukabiliana na corona? Muda utasema.
  8. goldcall

    Kutokomezwa kwa corona virus itategemeana sana na ukomavu wa viongozi wetu

    unajua kama viongozi wetu walizalau covid-19 ilipo kuwa inaingia nchini,mipaka na airport ziliendelea kufanya kazi, viongozi wachache wakatumia covid kama siasa na kushindana na kukashifiana, na hawa ndio viongozi wetu, wenye uelewa na ufahamu wa aina hiyo! ninapata ukakasi kuamini suruhisho la...
  9. dega

    Misikiti mingi Zanzibar imeshafungwa kukwepa maambukizi ya COVID -19

    Pamoja na mamlaka husika kutozuia mikusanyiko ya kiibada katika kipindi hiki cha hatari cha maambukizo ya ndani. Na pamoja na Ofisi ya Mufti mkuu kuelekeza ufanyaji wa Ibada na hasa upangaji wa mistar (safu) uwe si wakuganda kama sheria inavyotaka badala yake iwe mita moja baina ya mtu na mtu...
  10. Chagu wa Malunde

    Kama Taifa, huu ndio wakati wa kuweka siasa kando. Ni wakati wa kuchukua maamuzi sahihi

    Wantanzania kama taifa tupo katika kipindi kigumu sana.Maambukizi ya huu ugonjwa yameongezeka kwa kasi (Covid -19). Kama taifa inatupasa tuweke siasa kando. Tushikamane ili kupambana na hili janga. Kama jamaa zetu kule China wana namna ya kupambana na huu ugonjwa basi tuwanonog'eze watuambie ni...
  11. Influenza

    CoronaVirus: Pierre Liquid athibitika kupata maambukizi ya Ugonjwa wa COVID19

    MCHEKESHAJI Pierre Liquid maarufu kwa vibwagizo vya kama utabaki kileleni, mama nakufaa, amekutwa na corona. Akizungumza leo Jumapili na Mwanaspoti, Pierre ambaye jina lake ni Peter Mollel, amesema amebaini kukutwa na ugonjwa huo juzi. Akizungumza kwa njia ya simu Pierre amesema kwa sasa yupo...
  12. kimsboy

    Tatizo la Corona: Wa kulaumiwa ni Serikali kwa asilimia 100%

    Tatizo la Corona wa kulaumiwa ni serikali kwa asilimia 100% nitawalaani mpaka kaburini Nina sababu ya kusema serikali ndo ya kulaumiwa kwa sababu zifuatazo KWANZA kabisa kipindi mwezi wa pili na wa tatu Corona ilivyoanza kuwa serious ninyi mliendelea kuwapokea watalii na wachina tena bila...
  13. G Sam

    Rais wangu Magufuli, na mwezi huu wa nne utapokea mshahara kama watumishi wengine?

    Rais wangu salamu kwako. Rais wangu, kusema kweli umeniangusha sana na umezidi kuondoa imani yangu kwako. Swali ninalokuuliza: Je, na mwezi huu wa nne utapokea mshahara kama watumishi wengine? Nimeuliza swali hilo kwakuwa bila ya kuhadaa wala kubwabwaja umenifanya mimi pamoja na Watanzania...
  14. B

    Kwako Rais Magufuli sasa pasipo na kupepesa maneno: Kwa unavyoshughulika na Corona sasa - NO!

    Ni wazi kuwa wenye ujasiri wa kuandika nyuzi kama hizi kwa maslahi ya taifa ndani ya vitisho vilivyopo si wengi, hivyo tafadhalini msiwe sehemu ya kuwanyamazisha. Wanasema nani mwenye kumfunga paka kengele? Ni muhimu sasa bila ya kupoteza muda zaidi wala kumung'unya maneno, tumfunge paka huyu...
  15. Erythrocyte

    Naibu Waziri wa Afya Faustine Ndugulile aelezea aina za Barakoa za kuvaa na Utaratibu wa kutengeneza ya kitambaa

    Kuna haja kubwa sana kwa Masuala ya Afya kuzungumzwa na wataalam wa Sekta hiyo tu na si vinginevyo , mtu aliyesomea Kahawa na vitunguu hawezi kuyajua mambo haya . ====== Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Faustine Ndugulile, ametolea Ufafanuzi Clip...
  16. M-mbabe

    Askofu Benson Bagonza: Tumeamua kumuomba Mungu kama Taifa, kweli tumuombe Mungu na siyo kumtukuza au kumsifia mwanadamu yeyote

    Asante Baba Askofu Bagonza. Kama kawaida yako, umeendelea kutufundisha Watanzania njia sahihi ipasayo kuzingatiwa katika ucha Mungu wetu kila iitwapo leo. Mungu akutunze baba yetu. ======= Anaandika Bagonza ( PhD) CORONA: TUOMBE, TUSIOMBEOMBE Vita dhidi ya Corona haiepukiki. Napendekeza...
  17. Abdul Nondo

    Mjadala kuhusu kuvaa barakoa: Majibu yangu kwa Shangazi Maria Sarungi

    Ukweli utabaki pale pale siku zote ni kwamba barakoa aina ya N95 respiratory masks, Surgical masks,FFPI ndio zipo imara kuzuia maambukizi ya Corona .Na kwa mujibu wa Intergrated Pharmacitical company " Varsoy healthcare" na American lung association Barakoa hizi ndio zenye uwezo wa kuzuia...
  18. Roving Journalist

    #COVID19 Askofu Niwemugizi, asitisha Misa na Ibada zote Jimbo la Rulenge, awataka waumini Wasali Majumbani pia Wajikinge na Corona

    Kanisa Katoliki Jimboni Rulenge-Ngara, wamesitisha kabisa Ibada/misa. Watu wasali nyumbani! Pia amewataka waumini wajikinge na COVID-19 na kuchukua tahadhari Kanisa Katoliki Jimbo la Rulenge-Ngara limesema limesitisha Ibada za Misa, maadhimisho mengine yanayokusanya Waumini wengi Kanisani na...
  19. Suley2019

    Nigerian President Buhari's Chief of Staff dies from coronavirus

    The Nigerian president’s chief of staff, Abba Kyari, died on Friday after contracting the new coronavirus, two presidency spokesmen said on Twitter. Kyari, who was in his 70s and had underlying health problems including diabetes, was the top official aide to 77-year-old President Muhammadu...
  20. G

    Vita ya Corona: Nahodha wetu katelekeza chombo Baharini, tutaponaje?

    Hapa naandika kwa majonzi kwa kusikia jinsi Watanzania wenzetu wanavyougua Corona na wengine kupoteza maisha. Poleni nyote. Kinachoumiza zaidi ni namna baadhi yetu tunavyoteteana hata kunapokuwa na uzembe kwenye hatua zinazochukuliwa kutulinda na Corona. Kuna wanaosema Nahodha wetu ni shujaa...
Back
Top Bottom