Coronavirus test kits used in Tanzania were dismissed as faulty by President John Magufuli on Sunday, because he said they had returned positive results on samples taken from a goat and a pawpaw.
Magufuli, whose government has already drawn criticism for being secretive about the coronavirus...
Baada ya kunyanyasika vilivyo nchini Rwanda madereva wa malori wa Tanzania wamejichukulia sheria mkononi kuyazuia malori yote kutokea Rwanda kuingia nchini.
Inasemekana baada ya Rwanda kuudhibiti ugonjwa wa Corona vilivyo nchini mwao, kitisho pekee kwa sasa kimebakia kuwa kutokea kwa wageni...
Wizara ya Afya ya Uganda imetangaza ongezeko la mgonjwa mmoja wa COVID19 nchini humo na idadi ya visa imefikia 89. Mgonjwa mpya ni dereva, raia wa Kenya aliyegundulika baada ya sampuli 2,729 za madereva malori kufanyiwa vipimo.
Aidha, Wizara hiyo pia imeeleza kuwa madereva wawili wa malori...
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amemuagiza Katibu Mkuu wa Wizara hiyo kuwasimamisha kazi Mkurugenzi wa Maabara ya Taifa ya Afya ya Jamii, Dr. Nyambura Moremi na Jacob Lusekelo Meneja uthibiti na ubora ili kupisha uchunguzi.
Sasa wameanza kushughulika na wataalam badala ya kudeal na Corona
Dr...
Gavana wa Kajiado Joseph Lenku amefunga kabisa uuzaji wa Ng’o,mbe katika kaunti hiyo kutoka Tanzania kutokana na visa vya maambukizi mengi zaidi yanayoripotiwa nchini humo.
Lenku ametoa amri hiyo baada ya kufanya ziara eneo la Loitoktok ambapo alikuwa anasambaza barakoa kwa wenyeji .
“No...
MAMLAKA ya Dawa na Chakula nchini Marekani (FDA) imetoa ruhusa ya dharura ya dawa ya ebola ‘remdesivir’ itumike kutibu wagonjwa wenye virusi vya corona.
Ruhusa ya kutumika kwa dawa hiyo kwa sasa imetolewa kwa watu waliolazwa hospitalini tu kwa ugonjwa wa homa ya mapafu Covid-19.
Jaribio la...
Wanabodi,
Kwa mujibu wa Rais Magufuli wametuma sample za mimea na wanyama kwa kuzipa majina ya binadamu kwenye maabara kuu ya Taifa Dar es Salaam kwa siri bila wapimaji kufahamu baada ya kupimwa zimetest positive yaani zina corona
Hapa ndipo Magufuli ameprove uwana-science wake.
Je? Tatizo ni...
Masks will be compulsory on public transport in Spain from Monday as the country moves to gradually relax its tough lockdown.
Prime Minister Pedro Sanchez said the government would distribute 6m masks, mainly at transport locations, and give another 7m to local authorities.
Adults in Spain...
Waziri wa Fedha, Philip Mpango amesema Serikali iliunda timu ya Kitaalamu inayochambua jambo hili kiumakini, na kipaumbele cha Serikali ni kukinga watohuduma za afya na Wananchi
Amesema kwa makadirio ya awali katika kipindi cha Machi hadi Septemba mwaka huu zinahitajika Tsh. Bilioni 382.5 kwa...
Baada ya kupata futari yangu safi kwa mama mmoja wa Kitanga anayefanya taaluma ya upishi kuwa ni mojawapo ya sanaa maana anafanya mapishi yaonekane ni jambo jepesi. Nilivyofika pale nikala tende zangu kisha nakujichukulia take way ili nikapatie futari kwangu kuepukana na msongamano wa watu. Ile...
False: Adding other ingredients to the boiling water or steam, such as orange or lemon and peppermint oil will kill the coronavirus.
Fact: No. This technique will kill the Rona in your nasal passage and throat.
False: Adding essential oils or slices of the following for added benefits. Garlic...
Toka kuingia kwa virusi vya coronavirus nchini njia mbalimbali zimechukuliwa na zinaendelea kuchukuliwa kuzuia kasi ya maambukizi.Taasisi za elimu zimefungwa, hoteli mbalimbali, mikusanyiko imezuiwa na kupungua kwa mfano Mapinduzi Day, na njia nyingi za kuelimisha umma zinafanyika kuhakikisha...
Habari ya asubuhi wadau?
Ninaomba nitoe rai kwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kutokana na hali halisi niliyoiona tangu nimeingia mkoa wa Mwanza wiki iliyopita.
Kwanza kuna mikusanyiko mingi sana kwenye baa Mwanza Mjini kuanzia saa moja jioni na kuendelea.
Pili kuna wafanyabishara wengi na wananchi...
Rais wa Uganda Yoweri Museveni ametangaza hatua mpya za kudhibiti mienendo ya madereva wa malori yanayoingia nchini humo kutoka mataifa jirani baada ya zaidi ya madereva 20 kupatikana na ugonjwa wa Covid-19.
Mataifa ya Uganda na Kenya yamekuwa yakiwafanyia vipimo wa virusi vya corona madereva...
No, lemon in hot water is not a 'cure' for COVID-19
“We’re not just fighting an epidemic; we’re fighting an infodemic,” the director-general of the World Health Organization (WHO), Dr Tedros Adhanom Ghebreyesus, said in February. Since then, the coronavirus has evolved into a global pandemic...
Nchi yetu sasa inaanza kupitia kipindi kigumu sana kama ilivyotabiriwa na wale tulioitwa waleta taharuki. Hakika ni kipindi cha buriani. Kwa tuliofuatilia kwa kina tabia za gonjwa la korona tunajua masaa 24-48 ni mengi mno na hayatabiriki kabisa.
Hivyo, hiki ndicho kipindi kigumu cha kupeana...
Ziko taarifa kuwa upo uchunguzi unaoendelea kuhusu tuhuma kuwa China kwa makusudi ama ilizembea au ilizuia utoaji wa taarifa sahihi kuhusu chanzo na kuenea kwa coronavirus pamoja na idadi ya vifo vilivyotokana na janga hilo.
Ikiwa tuhuma hii itathibitishwa, kuna uwezekano wa China kuchukuliwa...
A third of all coronavirus deaths in England and Wales are now happening in care homes, figures show.
Office for National Statistics data showed there were 2,000 coronavirus care home deaths in the week ending 17 April, double the previous week.
It brings the total number of deaths in care...
Ligi Kuu Soka nchini Ufaransa (The Ligue 1) na Ligi Daraja la Pili (Ligue 2) zimefutwa baada ya Waziri Mkuu wa nchini hiyo kusema michezo yote itatakiwa kuendela Septemba 2020
Amesema kuwa michezo yote iwe inachezwa bila mashabiki au na mashabiki haitaweza kuendela nchini humo kabla ya Septemba...
Wakuu kwema?
Natumai mko salama katika Janga hili hatari lililotukumba la CORONA.
Kabla ya kwenda kwenye mada, ningependa kwanza kutoa uchanganuzi katika suala la gharama Kama nilivyojifunza. "Cost" pamoja migawanyo mingine imegawanyika pia katika makundi mawili ambayo ni "Fixed Costs" na "...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.