coronavirus

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. B

    Spain’s coronavirus deaths reach 767, with 169 in just the last 24 hours

    March 19, 2020 Madrid, Spain The number of people infected with the SARS-CoV-2 virus has now reached 17,174, with 3,431 new cases in a day Thursday put the number of coronavirus infections in Spain at 17,147, with 939 patients in intensive care and 767 dead – 169 in just the last 24 hours. A...
  2. eliakeem

    Chinese probe finds coronavirus whistle-blower doctor was punished 'inappropriately'

    Chinese probe finds coronavirus whistle-blower doctor was punished 'inappropriately' Dr Li Wenliang, one of a group of doctors in Wuhan who shared posts on social media warning of a Sars-like virus spreading in the city in December, was reprimanded by police for sharing the information.PHOTO...
  3. Dr Mathew Togolani Mndeme

    Utafiti mpya wa kisayansi wa Covid19 – Msaada mkubwa wa kujikinga na kuzuia maambukizi kwa wengine

    Watafiti wa vyuo vikuu na taasisi kadhaa za utafiti wa magonjwa ya mlipuko nchini Marekani, wamechapisha utafiti mpya wa kimaabara unaotoa mwanga mkubwa wa namna virusi wa Covid19 wanavyasambaa na kuambukizwa kutoka mtu mmoja hadi mwingine (UKO HAPA). Kwa kuwa sio kila mtu anasoma machapisho ya...
  4. digba sowey

    Italia yaipiku China kwa idadi ya vifo vitokanavyo na ugonjwa wa Covid 19

    Wakuu hamjambo? Nimekuwa nafuatilia kuhusu hili gonjwa la Corona kwa wataliano, naona linawapukutusha kama mti unavyopukutisha majani wakati wa kiangazi. Idadi ya vifo inasoma 400+ kila siku,angalia hii record ya vifo kwa Jana na Leo, ambapo Jana tu uliua watu 475. Leo hii watu takribani 425...
  5. Influenza

    Coronavirus: Kenya kutengeneza Sanitizer na kuzigawa bure kwa Umma

    Katika barua iliyotolewa na Mkuu wa Kitengo cha Huduma kwa Umma, kwenda kwa Wanachama wa MAT (Multi Agency Team) imesema Serikali hiyo inatani kutengeneza sanitizer zitakazoweza kununuliwa na Watu wote Kitengo hicho kimesema Kampuni katika sekta ya Mafuta yamejitolea kutengeneza sanitizer zenye...
  6. J

    Waziri Kamwelwe atangaza mkakati wa kupambana na ugonjwa wa Coronavirus kwenye vyombo vya usafiri

    Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi a mawasiliano ameitaka mamlaka ya udhibiti usafiri wa ardhini ( Latra) kukutana mara moja na kutoa mwongozo juu ya idadi ya abiria wanaoruhusiwa kusimama ndani ya daladala na Mwendo kasi ili kupunguza msongamano. Waziri Kamwele ameyasema hayo mjini Dodoma alipokuwa...
  7. Mlachake

    Coronavirus patient came into contact with 85 people after escaping from Mbagathi Hospital

    Worrying development Coronavirus patient came into contact with 85 people after escaping from Mbagathi Hospital. The Kenyan government, through the Ministry of Health (MoH), on Wednesday revealed that one of the patients who tested positive for Coronavirus escaped the isolation facility at...
  8. Donnie Charlie

    Kwale Kenya: Auliwa baada ya kuhisiwa kuwa na Coronavirus

    Mwanaume mmoja mkazi wa Kibundani katika Kaunti ya Kwale nchini Kenya amefariki dunia baada ya kupigwa na kundi la watu wakimtuhumu kuwa na Coronavirus. Mpaka sasa hakuna aliyekamatwa kutokana na tukio hilo. ===== KENYA: MTU MMOJA AUAWA NA RAIA KWA KUDHANIWA ANA #COVID19 Polisi huko Kwale...
  9. Influenza

    CoronaVirus: Aina ya Barakoa (Mask) inayoweza kukukinga na Virusi ni N95

    Ushauri wa Wataalamu wa Afya unaeleza kuwa sio kila aina ya Barakoa (Mask) inaweza kukulinda ili usipate maambukizi ya virusi vya Corona ila Barakoa pekee inayoweza kukulinda ni ya aina ya N95. Wanasema virusi hivyo vinaingia mwilini kupitia macho, mdomo na pua hivyo njia pekee ya kukinga na...
  10. hamis77

    Serikali yasitisha masomo kwa vyuo vya kati na vyuo vikuu kuanzia tarehe 18/03/2020 ili kupambana na Corona

    Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesitisha masomo kwa vyuo vikuu na vya kati nchini kuanzia leo March 18, 2020 ili kujikinga na virusi vya Corona, waliofunga wametakiwa kutorudi vyuoni “vyuo vya ualimu vilitakiwa kufanya Mitihani mwezi May, Waziri afanye marekebishisho ya ratiba yao”...
  11. The Assassin

    Serikali: Idadi ya wagonjwa wa Corona nchini Tanzania imeongezeka na kufikia Sita(6)

    Wagonjwa wa Corona wafika 3 sasa Tanzania baada ya wawili zaidi kupatikana leo na mmoja kutoka Zanzibar. Waziri mkuu Majaliwa athibitisha kwa kusema “Tuna ongezeko la wagonjwa wawili ambao wamethibitika kuwa na Corona Tanzania, mmoja kutoka Zanzibar yeye ni Mjerumani ana miaka 24 na tayari...
  12. Zitto

    Zitto: Ushauri wangu kuhusu Mlipuko wa Korona

    Ushauri wangu kuhusu Mlipuko wa Korona- Zitto #COVID19TZA Serikali imethibitisha uwepo wa virusi vya Korona Tanzania. Utulivu ni muhimu kwani kukiwa na maandalizi ya kutosha tunaweza kukabili madhara ya mlipuko huu. Nashauri mambo 3 muhimu sana, kwa maoni yangu. - Tunaona Nchi nyengine kukiwa...
  13. M

    New Drug cures 80 Coronavirus patients is now approved for mass production in China

    Experts in China have now narrowed down to favipiravir. Source/Xinhua News A pharmaceutical company in China has been been handed a go ahead by the National Medical Products Administration to kick-start the mass-production of a drug that has been clinically proven to cure coronavirus. The...
  14. beth

    Is it allergies, the flu or the coronavirus? How to tell the difference

    The coronavirus has infected more than 100,000 people worldwide. With all of the news of event cancellations, empty flights and health precautions (wash your hands!), it’s natural that people may get a little anxious every time they feel a tickle in their throat or the beginnings of a bad...
  15. J

    #COVID19 Coronavirus: Fahamu kiundani kuhusu Virusi hivi | Usambaaji, Dalili na Kinga

    Kirusi cha korona (Corona virus), ni kimelea chenye gamba na kutunza vinasaba vyake katika malighafi za RNA. Corona virus ni kisababishi cha magonjwa mbalimbali na vimelea hivyo vina makabila mbalimbali. Fahamu kinachojiri kuhusiana na kirusi cha Corona (Coronavirus) - JamiiForums COVID-19-...
  16. M

    Donald Trump tried to convince german scientists to make coronavirus vaccine 'only for the united states': report

    BY JASON LEMON ON 3/15/20 AT 4:26 PM President Donald Trump has reportedly attempted to convince a German research firm working toward a coronavirus (COVID-19) vaccine to produce the life-saving treatment "only for the United States." Reuters reported on Sunday that German government sources...
  17. Bishop Hiluka

    Coronavirus: Wauguzi wa wagonjwa wa corona Kenya waanza mgomo baridi

    Wauguzi wanaofanya kazi katika wodi iliyotengwa kwa watu walioambukizwa virusi vya corona nchini Kenya wameanza mgomo baridi kulalamikia kile wanachodai kuwa ukosefu wa vifaa vya kujikinga na mafunzo ya kutosha. Hospitali ya Mbagathi katika mji mkuu wa Nairobi, ni moja ya hospitali zilizo na...
  18. Dr Mathew Togolani Mndeme

    #COVID19 Kenya na Mlipuko wa Covid-19: Nini faida na hasara za kujifunza kwa maamuzi ya haraka waliyochokua?

    Hali ya maambukizi ya Covid19 duniani hadi kufikia 16/03/2020 Kenya wamethibitisha uwepo wa watu 3 wenye Covid19 na tayari leo Rais Kenyatta katangaza kufungwa kwa shule na taasisi zote za elimu nchini kuanzia kesho. Pia amefunga mipaka yake kwa raia wa nchi yoyote ambayo imeshatangaza kuwa na...
  19. lutemi

    Corona Virus imetengenezwa? Virusi hivyo vilibashiriwa katika Kitabu mwaka 1981

    Author Dean Koontz eerily predicted the coronavirus outbreak in his 1981 thriller "The Eyes of Darkness." The fictional novel tells the story of a Chinese military lab that creates a new virus to potentially use as a biological weapon during wartime. The lab is ironically located in Wuhan...
  20. MakinikiA

    Corona yatua Rwanda, muathirika ana asili ya Kihindi

    Coronavirus: Rwanda yatangaza kisa chake cha kwanza cha virusi vya Corona (COVID-19) Haki miliki ya pichaREUTERS Rwanda imethitisha kisa chake cha kwanza cha virusi vya Corona (COVID-19) Raia wa India aliyewasili nchini humo kutoka Mumbai, India, Machi 8 2020, amethibitishwa kuwa na virusi vy...
Back
Top Bottom