March 19, 2020
Madrid, Spain
The number of people infected with the SARS-CoV-2 virus has now reached 17,174, with 3,431 new cases in a day
Thursday put the number of coronavirus infections in Spain at 17,147, with 939 patients in intensive care and 767 dead – 169 in just the last 24 hours. A...
Chinese probe finds coronavirus whistle-blower doctor was punished 'inappropriately'
Dr Li Wenliang, one of a group of doctors in Wuhan who shared posts on social media warning of a Sars-like virus spreading in the city in December, was reprimanded by police for sharing the information.PHOTO...
Watafiti wa vyuo vikuu na taasisi kadhaa za utafiti wa magonjwa ya mlipuko nchini Marekani, wamechapisha utafiti mpya wa kimaabara unaotoa mwanga mkubwa wa namna virusi wa Covid19 wanavyasambaa na kuambukizwa kutoka mtu mmoja hadi mwingine (UKO HAPA). Kwa kuwa sio kila mtu anasoma machapisho ya...
Wakuu hamjambo?
Nimekuwa nafuatilia kuhusu hili gonjwa la Corona kwa wataliano, naona linawapukutusha kama mti unavyopukutisha majani wakati wa kiangazi.
Idadi ya vifo inasoma 400+ kila siku,angalia hii record ya vifo kwa Jana na Leo, ambapo Jana tu uliua watu 475. Leo hii watu takribani 425...
Katika barua iliyotolewa na Mkuu wa Kitengo cha Huduma kwa Umma, kwenda kwa Wanachama wa MAT (Multi Agency Team) imesema Serikali hiyo inatani kutengeneza sanitizer zitakazoweza kununuliwa na Watu wote
Kitengo hicho kimesema Kampuni katika sekta ya Mafuta yamejitolea kutengeneza sanitizer zenye...
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi a mawasiliano ameitaka mamlaka ya udhibiti usafiri wa ardhini ( Latra) kukutana mara moja na kutoa mwongozo juu ya idadi ya abiria wanaoruhusiwa kusimama ndani ya daladala na Mwendo kasi ili kupunguza msongamano.
Waziri Kamwele ameyasema hayo mjini Dodoma alipokuwa...
Worrying development
Coronavirus patient came into contact with 85 people after escaping from Mbagathi Hospital.
The Kenyan government, through the Ministry of Health (MoH), on Wednesday revealed that one of the patients who tested positive for Coronavirus escaped the isolation facility at...
Mwanaume mmoja mkazi wa Kibundani katika Kaunti ya Kwale nchini Kenya amefariki dunia baada ya kupigwa na kundi la watu wakimtuhumu kuwa na Coronavirus. Mpaka sasa hakuna aliyekamatwa kutokana na tukio hilo.
=====
KENYA: MTU MMOJA AUAWA NA RAIA KWA KUDHANIWA ANA #COVID19
Polisi huko Kwale...
Ushauri wa Wataalamu wa Afya unaeleza kuwa sio kila aina ya Barakoa (Mask) inaweza kukulinda ili usipate maambukizi ya virusi vya Corona ila Barakoa pekee inayoweza kukulinda ni ya aina ya N95.
Wanasema virusi hivyo vinaingia mwilini kupitia macho, mdomo na pua hivyo njia pekee ya kukinga na...
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesitisha masomo kwa vyuo vikuu na vya kati nchini kuanzia leo March 18, 2020 ili kujikinga na virusi vya Corona, waliofunga wametakiwa kutorudi vyuoni “vyuo vya ualimu vilitakiwa kufanya Mitihani mwezi May, Waziri afanye marekebishisho ya ratiba yao”...
Wagonjwa wa Corona wafika 3 sasa Tanzania baada ya wawili zaidi kupatikana leo na mmoja kutoka Zanzibar.
Waziri mkuu Majaliwa athibitisha kwa kusema “Tuna ongezeko la wagonjwa wawili ambao wamethibitika kuwa na Corona Tanzania, mmoja kutoka Zanzibar yeye ni Mjerumani ana miaka 24 na tayari...
Ushauri wangu kuhusu Mlipuko wa Korona- Zitto
#COVID19TZA Serikali imethibitisha uwepo wa virusi vya Korona Tanzania. Utulivu ni muhimu kwani kukiwa na maandalizi ya kutosha tunaweza kukabili madhara ya mlipuko huu. Nashauri mambo 3 muhimu sana, kwa maoni yangu.
- Tunaona Nchi nyengine kukiwa...
Experts in China have now narrowed down to favipiravir. Source/Xinhua News
A pharmaceutical company in China has been been handed a go ahead by the National Medical Products Administration to kick-start the mass-production of a drug that has been clinically proven to cure coronavirus.
The...
The coronavirus has infected more than 100,000 people worldwide.
With all of the news of event cancellations, empty flights and health precautions (wash your hands!), it’s natural that people may get a little anxious every time they feel a tickle in their throat or the beginnings of a bad...
Kirusi cha korona (Corona virus), ni kimelea chenye gamba na kutunza vinasaba vyake katika malighafi za RNA. Corona virus ni kisababishi cha magonjwa mbalimbali na vimelea hivyo vina makabila mbalimbali. Fahamu kinachojiri kuhusiana na kirusi cha Corona (Coronavirus) - JamiiForums
COVID-19-...
BY JASON LEMON ON 3/15/20 AT 4:26 PM President Donald Trump has reportedly attempted to convince a German research firm working toward a coronavirus (COVID-19) vaccine to produce the life-saving treatment "only for the United States."
Reuters reported on Sunday that German government sources...
Wauguzi wanaofanya kazi katika wodi iliyotengwa kwa watu walioambukizwa virusi vya corona nchini Kenya wameanza mgomo baridi kulalamikia kile wanachodai kuwa ukosefu wa vifaa vya kujikinga na mafunzo ya kutosha.
Hospitali ya Mbagathi katika mji mkuu wa Nairobi, ni moja ya hospitali zilizo na...
Hali ya maambukizi ya Covid19 duniani hadi kufikia 16/03/2020
Kenya wamethibitisha uwepo wa watu 3 wenye Covid19 na tayari leo Rais Kenyatta katangaza kufungwa kwa shule na taasisi zote za elimu nchini kuanzia kesho.
Pia amefunga mipaka yake kwa raia wa nchi yoyote ambayo imeshatangaza kuwa na...
Author Dean Koontz eerily predicted the coronavirus outbreak in his 1981 thriller "The Eyes of Darkness."
The fictional novel tells the story of a Chinese military lab that creates a new virus to potentially use as a biological weapon during wartime. The lab is ironically located in Wuhan...
Coronavirus: Rwanda yatangaza kisa chake cha kwanza cha virusi vya Corona (COVID-19)
Haki miliki ya pichaREUTERS
Rwanda imethitisha kisa chake cha kwanza cha virusi vya Corona (COVID-19)
Raia wa India aliyewasili nchini humo kutoka Mumbai, India, Machi 8 2020, amethibitishwa kuwa na virusi vy...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.