Ni mtazamo wangu tu, Mnaweza kunikosoa na kunielekeza kilicho sahihi zaidi.
Kuna watu wanalalamika eti kwanini serikali yetu ya TZ haifungi bar, vilabu masoko kama kariakoo na kwingine kote.
Jaman tuwe waelewa na wenye kufikir kuliko kulaum bila kua na ufaham wa kina.
Hivi wanaolalamika...
A government minister today waded into the furore over coronavirus testing, saying the UK will not reach full capacity until mid-April because of difficulties in getting hold of vital chemicals.
Housing and Communities Secretary Robert Jenrick told LBC the Government was "trying to ramp up...
President Yoweri Museveni has announced 11 more cases of coronavirus in Uganda all of whom are children.
On Tuesday night, the Ugandan President said all the 11 that tested positive had been in quarantine.
“Eleven children of...
Dkt. Deborah Birx amesema, mbali na Rais Donald Trump kuchukua uamuzi wa kufanya watu wasikaribiane hadi Aprili 30, bado kuna hatari ya watu wengi kufariki katika nchi hiyo
Dkt. Birx ni Mratibu wa Kitengo cha Ikulu cha #CoronaVirus, kilichoanzishwa Februari 23, kujibu kuhusu masuala ya #Covid19...
The Ministry of Health has announced 9 more cases of coronavirus in Kenya bringing the total to 59.
According to Chief Administrative Secretary Dr. Mercy Mwangangi, tracing of contacts of the 59 patients is ongoing.
“So far...
The number of coronavirus deaths in the UK has risen to 1,808 in the biggest day-on-day increase so far.
It’s a jump of 393 from Monday’s death toll of 1,415. The previous highest increase was 260 on Saturday.
According to figures issued on Tuesday by each country’s health authority, a further...
Brazilian President Jair Bolsonaro has repeatedly dismissed the coronavirus as a "little cold" and urged residents to keep the country's economy going, even going so far as to tell his supporters why he's against lockdown: "We're all going to die one day."
Bolsonaro, who is often compared to...
Germany
The coronavirus pandemic could unleash a revolution in Germany if the middle classes become “radicalised” through the resulting economic chaos, a senior MP has warned.
An abrupt financial slump after a long period of prosperity might lead to the “breakdown of the political order” unless...
The coronavirus epidemic in the UK appears to be starting to slow down as a result of the social distancing measures brought in by Government, a scientist advising Number 10 has said.
Professor Neil Ferguson, of Imperial College London, said: "If we look at the numbers of new hospital...
Michael Gove today warned Britain to prepare for a “significant period” of lockdown and said things “will get worse” before they get better.
In the strongest indication yet that the government will extend restrictions beyond the three weeks initially announced by Boris Johnson last Monday, Mr...
It feels like an eternity ago, but the world only became aware of the coronavirus in December.
Despite incredible efforts by scientists around the world, there is still much we do not understand, and we are all now part of a planet-wide experiment trying to find answers.
Here are some of the...
Virusi vya #Covid_19 vinaendelea kusambaa katika maeneo mbalimbali duniani na vinaweza kufika katika eneo lolote. Fahamu yafuatayo ili kukabiliana na virusi hivyo iwapo vitagundulika katika Jamii yako
1. Fahamu kinachoendelea kuhusu #Corona katika jamii yako. Tafuta vyanzo vinavyotoa taarifa...
Eric Torales is facing 15 years for failing to self isolate
A CORONAVIRUS “spreader” is facing 15 years in jail after reportedly infecting 11 people at a birthday bash with the killer disease.
Eric Torales flouted self-isolation rules in Argentina to attend a family friend’s 15th birthday...
Prime Minister Boris Johnson has tested positive for coronavirus, Downing Street has said.
Kupitia ukurasa wake wa Twitter, Waziri huyo amethibitisha kuwa na maambukizi huku akiwa na dalili za kawaida za #Covid_19
Amesema yupo karantini na ataendelea kuwa kiongozi wa Serikali katika kupambana...
Katika history huwa kuna matukio ambayo yana define era. Mfano hilter alipochaguliwa, first atomic bomb, ect.
Sasa mambo yameiva zile silaha zilizokuwa zinatengenezwa kwa maficho hakika huu ni muda muafaka wa kutumika. Enyi ndugu zangu napaza sauti yangu mpaka mwisho kaeni chonjo, ngoma...
Nilipoandika makala yangu ya ILIYOPITA kuhusiana na ugonjwa utokanao na virusi vya korona (COVID-19) Tanzania ilikuwa haijtangaza kuwepo kwa mgonjwa yeyote nchini na kuwa makala ile ililenga katika kutoa shime ya kuwahi ugonjwa huo. Nchi zote zilizowahi kuutangaulia ugonjwa huo na kuchukua hatua...
Nimeguswa kuuliza swali hili.
Ikiwa kuna mgonjwa ambaye anasumbuliwa na saratani, TB, kisukari, kiharusi, tatizo la moyo na mengine yote yanayoua kirahisi na kwa haraka. Hali yake kwa ujumla ni ya mashaka muda wote. Mtu huyu akapata virusi vya korona akafa.
Swali la kwanza: Mtu huyu atakuwa...
Idadi ya kesi za coronavirus nchini Kenya imeongezeka hadi kufikia watu 31 baada ya wagonjwa wengine watatu kupimwa na kukutwa wakiwa na COVID-19.
Katika mkutano na waandishi wa habari leo, Katibu Mkuu wa Utawala, Wizara ya Afya, Dk. Mercy Mwangangi amesema wagonjwa hao wapya wote ni wanawake...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli anakabidhiwa Ripoti ya Ukaguzi wa Hesabu za Serikali kwa mwaka 2018/2019 inayowasilishwa na Mdhibiti na Mkaguzi mkuu wa Hesabu za Seriakali (CAG) Charles Kichere.
Aidha Mhe. Rais atapokea Ripoti ya Taasisi ya Kuzuia na...
Ni aibu kubwa eti nchi kubwa kama hii ambayo tumejitapa kujenga nchi kwa pesa zetu na kuwa hatuhitaji misaada, leo hii tumeshindwa kununua vifaa vya kupima na kujilinda na corona mpaka tumesubiri msaada wa Jack Ma.
Tatizo hapa sio kupokea msaada. Tatizo ni kubweteka na kusubir msaada.
Wiki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.