coronavirus

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. gwamipascal

    Corona isifanye kila mtu akawa mtaalamu

    Ni mtazamo wangu tu, Mnaweza kunikosoa na kunielekeza kilicho sahihi zaidi. Kuna watu wanalalamika eti kwanini serikali yetu ya TZ haifungi bar, vilabu masoko kama kariakoo na kwingine kote. Jaman tuwe waelewa na wenye kufikir kuliko kulaum bila kua na ufaham wa kina. Hivi wanaolalamika...
  2. Sky Eclat

    Government faces questions over lack of coronavirus testing in the UK

    A government minister today waded into the furore over coronavirus testing, saying the UK will not reach full capacity until mid-April because of difficulties in getting hold of vital chemicals. Housing and Communities Secretary Robert Jenrick told LBC the Government was "trying to ramp up...
  3. Nyendo

    #COVID19 UGANDA: Watoto 11 wabainika kuambukizwa Virusi visababishavyo Ugonjwa wa COVID19

    President Yoweri Museveni has announced 11 more cases of coronavirus in Uganda all of whom are children. On Tuesday night, the Ugandan President said all the 11 that tested positive had been in quarantine. “Eleven children of...
  4. Analogia Malenga

    Model cited by White House says 82,000 people could die from coronavirus by August, even with social distancing

    Dkt. Deborah Birx amesema, mbali na Rais Donald Trump kuchukua uamuzi wa kufanya watu wasikaribiane hadi Aprili 30, bado kuna hatari ya watu wengi kufariki katika nchi hiyo Dkt. Birx ni Mratibu wa Kitengo cha Ikulu cha #CoronaVirus, kilichoanzishwa Februari 23, kujibu kuhusu masuala ya #Covid19...
  5. Suley2019

    9 more coronavirus cases reported in Kenya, total rises to 59

    The Ministry of Health has announced 9 more cases of coronavirus in Kenya bringing the total to 59. According to Chief Administrative Secretary Dr. Mercy Mwangangi, tracing of contacts of the 59 patients is ongoing. “So far...
  6. Sky Eclat

    Coronavirus: UK death toll rises by 393 to 1,808 in biggest daily increase

    The number of coronavirus deaths in the UK has risen to 1,808 in the biggest day-on-day increase so far. It’s a jump of 393 from Monday’s death toll of 1,415. The previous highest increase was 260 on Saturday. According to figures issued on Tuesday by each country’s health authority, a further...
  7. mitale na midimu

    Brazilian President Bolsonaro rejects calls for Coronavirus lockdown, says 'we're all going to die one day'

    Brazilian President Jair Bolsonaro has repeatedly dismissed the coronavirus as a "little cold" and urged residents to keep the country's economy going, even going so far as to tell his supporters why he's against lockdown: "We're all going to die one day." Bolsonaro, who is often compared to...
  8. Sky Eclat

    Coronavirus: What’s happening around the world?

    Germany The coronavirus pandemic could unleash a revolution in Germany if the middle classes become “radicalised” through the resulting economic chaos, a senior MP has warned. An abrupt financial slump after a long period of prosperity might lead to the “breakdown of the political order” unless...
  9. Sky Eclat

    The coronavirus epidemic in the UK appears to be starting to slow down

    The coronavirus epidemic in the UK appears to be starting to slow down as a result of the social distancing measures brought in by Government, a scientist advising Number 10 has said. Professor Neil Ferguson, of Imperial College London, said: "If we look at the numbers of new hospital...
  10. Sky Eclat

    Michael Gove warns of longer lockdown as coronavirus crisis worsens

    Michael Gove today warned Britain to prepare for a “significant period” of lockdown and said things “will get worse” before they get better. In the strongest indication yet that the government will extend restrictions beyond the three weeks initially announced by Boris Johnson last Monday, Mr...
  11. Sky Eclat

    Coronavirus: What we still don't know about Covid-19

    It feels like an eternity ago, but the world only became aware of the coronavirus in December. Despite incredible efforts by scientists around the world, there is still much we do not understand, and we are all now part of a planet-wide experiment trying to find answers. Here are some of the...
  12. J

    #COVID19 Fahamu namna ya kuiandaa familia yako katika kukabiliana na CoronaVirus

    Virusi vya #Covid_19 vinaendelea kusambaa katika maeneo mbalimbali duniani na vinaweza kufika katika eneo lolote. Fahamu yafuatayo ili kukabiliana na virusi hivyo iwapo vitagundulika katika Jamii yako 1. Fahamu kinachoendelea kuhusu #Corona katika jamii yako. Tafuta vyanzo vinavyotoa taarifa...
  13. babu M

    Man, 24, could face 15 years in prison for 'infecting' 11 people with coronavirus at a party

    Eric Torales is facing 15 years for failing to self isolate A CORONAVIRUS “spreader” is facing 15 years in jail after reportedly infecting 11 people at a birthday bash with the killer disease. Eric Torales flouted self-isolation rules in Argentina to attend a family friend’s 15th birthday...
  14. Saint Ivuga

    Waziri Mkuu wa Uingereza, Boris Johnson apata maambukizi ya CoronaVirus

    Prime Minister Boris Johnson has tested positive for coronavirus, Downing Street has said. Kupitia ukurasa wake wa Twitter, Waziri huyo amethibitisha kuwa na maambukizi huku akiwa na dalili za kawaida za #Covid_19 Amesema yupo karantini na ataendelea kuwa kiongozi wa Serikali katika kupambana...
  15. bahati93

    Covid -19 ni junction katika matukio yafuatayo

    Katika history huwa kuna matukio ambayo yana define era. Mfano hilter alipochaguliwa, first atomic bomb, ect. Sasa mambo yameiva zile silaha zilizokuwa zinatengenezwa kwa maficho hakika huu ni muda muafaka wa kutumika. Enyi ndugu zangu napaza sauti yangu mpaka mwisho kaeni chonjo, ngoma...
  16. Mzee Mwanakijiji

    HOJA NDANI YA HOJA: Rais Magufuli na bahati nasibu ya korona - ITALIPA?

    Nilipoandika makala yangu ya ILIYOPITA kuhusiana na ugonjwa utokanao na virusi vya korona (COVID-19) Tanzania ilikuwa haijtangaza kuwepo kwa mgonjwa yeyote nchini na kuwa makala ile ililenga katika kutoa shime ya kuwahi ugonjwa huo. Nchi zote zilizowahi kuutangaulia ugonjwa huo na kuchukua hatua...
  17. B

    Swali muhimu kuhusu vifo vya Coronavirus

    Nimeguswa kuuliza swali hili. Ikiwa kuna mgonjwa ambaye anasumbuliwa na saratani, TB, kisukari, kiharusi, tatizo la moyo na mengine yote yanayoua kirahisi na kwa haraka. Hali yake kwa ujumla ni ya mashaka muda wote. Mtu huyu akapata virusi vya korona akafa. Swali la kwanza: Mtu huyu atakuwa...
  18. The Sheriff

    Wagonjwa COVID-19 nchini Kenya wafikia 31, serikali yawafuatilia kwa karibu wengine 906

    Idadi ya kesi za coronavirus nchini Kenya imeongezeka hadi kufikia watu 31 baada ya wagonjwa wengine watatu kupimwa na kukutwa wakiwa na COVID-19. Katika mkutano na waandishi wa habari leo, Katibu Mkuu wa Utawala, Wizara ya Afya, Dk. Mercy Mwangangi amesema wagonjwa hao wapya wote ni wanawake...
  19. J

    Ikulu, Dodoma: Rais Magufuli apokea ripoti ya TAKUKURU na CAG. Asema Corona haitazuia Uchaguzi Mkuu 2020

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli anakabidhiwa Ripoti ya Ukaguzi wa Hesabu za Serikali kwa mwaka 2018/2019 inayowasilishwa na Mdhibiti na Mkaguzi mkuu wa Hesabu za Seriakali (CAG) Charles Kichere. Aidha Mhe. Rais atapokea Ripoti ya Taasisi ya Kuzuia na...
  20. Zero Hours

    Hii ni aibu kubwa: Ndege tumenunua kwa keshi, vifaa vya kupambana na Corona tumesubiri msaada wa Jack Ma

    Ni aibu kubwa eti nchi kubwa kama hii ambayo tumejitapa kujenga nchi kwa pesa zetu na kuwa hatuhitaji misaada, leo hii tumeshindwa kununua vifaa vya kupima na kujilinda na corona mpaka tumesubiri msaada wa Jack Ma. Tatizo hapa sio kupokea msaada. Tatizo ni kubweteka na kusubir msaada. Wiki...
Back
Top Bottom