Virusi vya Corona vilikuwa vikizunguka nchini Italia mapema mwezi Septemba 2019, kulingana na utafiti uliofanywa na kituo cha kitaifa dhidi ya Saratani (INT) huko Milan, kikibaini kwamba virusi vya SARS-CoV-2 viliweza kuenea nje ya China mapema kuliko watu wanavyofikiria.
Shirika la Afya...
Takriban visa vipya 103,000 vya maambukizi ya COVID-19 vimeripotiwa nchini #Marekani ndani ya saa 24, huku hekaheka za Uchaguzi zikidaiwa kuchangia ongezeko hilo
Hii ni rekodi kubwa tangu Septemba 4 ikiwa ni siku 2 baada ya Uchaguzi wa Urais, kulingana na takwimu zilizotolewa na Chuo cha Johns...
Wizara ya Fedha ya Namibia imepanga kufuta asilimia 95 ya riba zilizopo, na kubatilisha adhabu zote kwa walipa kodi ambao watalipa gharama zote ndani ya miezi 3 kuanzia Februari 2021
Msamaha huo unakusudia kuwasaidia raia wa Namibia na Wafanyabiashara wanaokabiliwa na matatizo ya Kiuchumi...
Rais Donald Trump wa Marekani amesimamisha ghafla majadiliano na chama cha Demokratic juu ya mpango wa kusaidia kupunguza athari za kiuchumi zinazotokana na ugonjwa wa COVID-19, na kuhamishia maamuzi yoyote kuhusu mpango huo baada ya uchaguzi wa Novemba 3.
Trump ameichukuwa hatua hiyo licha ya...
Trump na mke wake Melanie wakutwa na virus vya Corona.
Rais wa Marekani Donald Trump na mkewe wakutwa na #CoronaVirus, amesema ataanza kukaa karantini haraka iwezekanavyo
Rais Trump alipima baada ya msaidizi wake, Hope Hicks KUkutwa na maambukizi na kufanya maambukizi ya #COVID19 kuingia...
COVID-19 is historical in Tanzania: Why don't USA, UK, EU and others copy from TZ how to fight against Coronavirus?
Basically the title: Here in Tanzania, COVID-19 is spoken about by using past-tense; life in Tanzania has returned to normal. The way things in Tanzania have by and large returned...
Makosa hayo yamefanywa na Taasisi ya Public Health Wales ya nchini Wales na taarifa hiyo ilidumu mtandaoni kwa takriban saa 20
Kwa sehemu kubwa taarifa hizo zilionesha tarehe za kuzaliwa, maeneo waliyopo pamoja na jinsia za waathirika. Ingawa watu wameondolewa wasiwasi kuwa si rahisi wahusika...
Baada ya zaidi ya nusu mwaka ya mchaka mchaka wa virusi vya corona wanasayansi wamekuwa hawana jibu moja kuhusiana na ugonjwa huo na kila njia wanayoelekea inawapeleka upande tofauti na walikotaraji kufika,Mojawapo ni kwamba zile nchi zilizopuuza masharti ya kujikinga na corona na kuamua...
Kenya imetangaza watu 4 zaidi kufariki kutokana na CoronaVirus na kufanya idadi ya vifo kufikia 487
Aidha watu 271 wamethibitishwa kuwa na maambukizi ya CoronaVirus kutoka kwa sampuli 4,019 na kufanya nchi hiyo kuwa na jumla ya 30,636 waliothibitika kuwa na maambukizi
Katika waliothibitika...
India has turned to prayers as Coronavirus numbers have gone up. India now reports tens of thousands of new corona cases every day. In many places, there is hardly any medical care. But the government sees itself armed and is relying on a very special “cure”.
Every day he is in his little...
Utaratibu wa kesi katika Mahakama jijini Mombasa Alhamisi ulilazimika kuahirishwa baada ya raia watatu wa China kuingia mahakamani huku wamevalia Vifaa vya Kinga ya Kibinafsi (PPE).
Hakimu alilazimika kuahirisha kusikilizwa kwa kesi hiyo baada ya kudhani watuhumiwa hao ni Maafisa wa Wizara ya...
A Barcelona player has tested positive for the novel coronavirus after reporting back for pre-season training, the La Liga side said in a statement on Wednesday.
Barca said the player was isolating in his home and was asymptomatic, adding that he had not been in contact with any of the players...
Rais Vladimir Putin ametangaza kuwa Urusi imeidhinisha rasmi chanjo ya COVID19 iliyotengenezwa na Taasisi ya Galameya iliyopo Mji Mkuu wa nchi hiyo, Moscow
Akizungumza na Mawaziri kupitia mtandao, Rais Putin (67) amesema hii ni mara ya kwanza kwa chanjo dhidi ya CoronaVirus kuidhinishwa duniani...
The thought may have crossed your mind as you navigate grocery store aisles or order takeout in the midst of a pandemic: Can you catch the new coronavirus from food?
Experts say there's currently no evidence of the new coronavirus disease, COVID-19, being transmitted through food.
"We don't...
The number of coronavirus cases in the US has surpassed 4 million, with nearly 144,000 Americans now killed by the global pandemic, according to Johns Hopkins University.
The grim toll makes the country by far the hardest hit by the deadly bug, topping Brazil’s 2.2 million cases and India’s 1.2...
Trump administration officials were reportedly notified Wednesday night that a cafeteria worker on the White House grounds has tested positive for the Coronavirus.
The employee worked at a cafeteria in the Eisenhower Executive Office Building, located just across West Executive Avenue, which...
603 Kenyans tested positive for the novel coronavirus between Saturday and Sunday, the Ministry of Health said in a statement on Sunday.
Kenya now has 13,353 cases of the coronavirus.
The new cases are from 5,724 samples and...
SERIKALI imesema changamoto ya kupeana nafasi kwa mashabiki walioingia uwanjani katika mchezo wa Simba na Yanga inaashiria elimu zaidi inahitaji ili kuchukua tahadhari ya janga la maambukizi ya virusi vya corona viwanjani.
Katika mchezo huo wa nusu fainali ya Kombe la Shirikisho la Azam...
Watu 379 zaidi watangazwa kuwa na maambukizi ya #CoronaVirus na kufanya maambukizi kufikia 10,105. Katika maambukizi mapya 376 ni wakenya na 3 ni wageni.
Pia watu 49 wameripotiwa kupona na kufanya idadi ya waliopona kufikia 2,881. Vifo vya #COVID19 nchini humo vimefikia 185 baada ya mtu mmoja...
Kenya has confirmed 447 more cases of the novel coronavirus, bringing the tally of confirmed cases to 8,975, Health CS Mutahi Kagwe has announced.
CS Kagwe was speaking in Mombasa on Thursday during the daily coronavirus briefing.
The new cases are from 3,803 samples tested in Kenya in the...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.