Habari ndugu zangu wana Tanganyika na Zanzibar!
Poleni kwa magumu tunayopitia, pia hongereni kwa zawadi ya uhai!
Najua humu JF familia kubwa tunaweza shirikishana Mambo mengi, leo naomba tushirikishane kuhusu Corona.
Wapo waliougua na kufariki( R.I.P), wapo waliougua na kupona, wapo...