covid-19

Testing for the respiratory illness coronavirus disease 2019 (COVID-19) and the associated SARS-CoV-2 virus can be done by polymerase chain reaction (PCR) testing, nucleic acid tests and ELISA antibody test kits. One study published in February 2020 claims that chest CT scans perform better than PCR tests.

View More On Wikipedia.org
  1. Mathanzua

    Russian Military Declares Ukraine Origin of COVID-19! DNC Globalists Created the Bioweapon!

    NEW BIOLOGICAL UPDATE FROM RUSSIA New briefing from Chief of Radiation, Chemical and Biological Defence Forces, General Igor Kirillov, on military biological activities of the United States in the territory of Ukraine. The Russian MIL have been studying biological samples from surrendered...
  2. Mathanzua

    Covid-19: Deborah Birks admits the whole thing was afterall a lie

    After two years of unprecedented government tyranny in the name of fighting a virus, the prime instigators of this infamy are walking free, writing books, and openly pretending they never said the things they clearly said over and over. Take Trump’s White House Covid response coordinator...
  3. JanguKamaJangu

    #COVID19 Baada ya kutofikia lengo la 70%, WHO waja na mbinu mpya ya kusambaza chanjo za COVID-19

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema kuwa linakuja na mpango mbadala wa kutoa chanjo ya kujikinga na COVID-19 kwa kuamua kuweka kipaumbele katika Nchi au maeneo hatarishi ya watu kuambukizwa Ugonjwa huo. Hatua hiyo imefikiwa baada ya kushindwa kufikia lengo la chanjo kusambaa kwa 70% katika...
  4. beth

    #COVID19 Ripoti: COVID-19 yaathiri utoaji chanjo muhimu kwa watoto

    Takriban Watoto Milioni 25 duniani walishindwa kupatiwa kwa wakati Chanjo muhimu zinazowalinda dhidi ya Magonjwa mbalimbali mwaka 2021, ikiwa ni ongezeko la Watoto Milioni 2 ikilinganishwa na takwimu za mwaka 2020 Ripoti ya Shirika la Afya Duniani (WHO) na Shirika la Umoja wa Mataifa...
  5. beth

    #COVID19 Mapambano dhidi ya Rushwa Afrika: Fedha zinazolenga kukabiliana na athari za COVID-19 zinawanufaisha Wananchi?

    Julai 11 ilipitishwa na Umoja wa Afrika (AU) kuwa Siku ya Mapambano dhidi ya Rushwa Barani humo. Kwa mwaka 2022, Maadhimisho yanafanyika Zanzibar leo Julai 12 yakiwa na Kaulimbiu "Mikakati na Mifumo ya Wazi ya Usimamizi ya Fedha za UVIKO-19" Tangu kuanza kwa janga la COVID19 kumekuwa na taarifa...
  6. JanguKamaJangu

    #COVID19 Waliougua COVID-19 Uingereza wafikia watu milioni 2.7

    Maambukizi ya Ugonjwa wa UVIKO-19 yanaendelea kushika kasi ungereza ambapo Ofisi ya Takwimu (ONS) imesema kuwa takribani watu milioni 2.7 wamepata maambukizi. Maambukizi hayo yameongezeka kutokana na kusambaa kwa Virusi vya Omicron vinavyotambulika kitaalamu kwa majina ya BA.4 na BA.5. Source...
  7. LUS0MYA

    Hivi sababu za kuzuia Wabunge 19 kuingia bungeni bado zina mashiko?

    Nimetafakari sana na kuona hizi kesi zinazoendelea ni kupoteza muda tu na zaidi ni vita vya ndani baina ya wanachama wenyewe wa Chadema ambao wengine wana matumaini ya kuchukua nafasi za hao COVID 19. Ukiangalia vizuri lengo la wakati huo ilikuwa ni kutokutambua matokeo na ilihusu pia mbunge...
  8. Getrude Mollel

    Tanzania escaped recession in 2020: This is President Samia Suluhu’s comeback from COVID-19 economic woes

    Tanzania avoided a recession in 2020, but the COVID-19 pandemic has significantly impacted lives and livelihoods across the country. The emergency of the COVID-19 novel coronavirus plunged the global economy into a recession in 2020, and the pace of recovery remains uncertain among advanced and...
  9. JanguKamaJangu

    #COVID19 Maambukizi ya COVID-19 yaongezeka kwa 30% Uingereza

    Maambukizi ya Virusi vya Corona yameongezeka kwa 30% Nchini Uingereza ndani ya wiki moja iliyopita Takwimu zilizotolewa na Ofisi ya Takwimu ya Taifa ya Uingereza imeonesha zaidi ya watu milioni 3 walipata maambukizi ya vizuri hivyo vinavyosababisha COVID-19 huku idadi ya vifo ikipungua...
  10. beth

    #COVID19 Macau: Maambukizi yaongezeka, Wananchi watakiwa kukaa nyumbani

    Mamlaka zinapambana kudhibiti mlipuko mkubwa zaidi wa CoronaVirus Jijini humo tangu janga hilo kuanza. Wakazi wote wametakiwa kupima kila siku na kukaa nyumbani mara nyingi iwezekanavyo Ndani ya Wiki moja, upimaji kwa Wakazi zaidi ya 600,000 umeshafanyika mara tatu na watu wapatao 7,000...
  11. JanguKamaJangu

    #COVID19 KENYA: Maambukizi ya COVID-19 yapanda kwa 9.9%

    Watu 246 wamekutwa na maambukizi ya COVID-19 kati ya 2,484 waliofanyiwa vipimo ndani ya saa 24 zilizopita Nchini Kenya, huku Wizara ya Afya ikisema kuna ongezeko la 9.9% la maambukizi Katika waliobainika kuna Wakenya 196 na wageni 50, Wanaume wakiwa ni 135 na wanawake 111. Jumla ya wenye...
  12. JanguKamaJangu

    Marekani yazindua chanjo ya COVID-19 kwa watoto wachanga

    Marekani imeanzisha mchakato wa chanjo ya COVID-19 kwa ajili ya watoto wachanga na wale wanaosoma shule za awali, ambapo itaanza kutumika kuanzia wiki ijayo. “Tunajua kuna mamilioni ya wazazi ambao wanaisubiri chanjo hii kwa ajili ya watoto wao,” – Dkt. Rochelle Walensky kutoka Vituo vya...
  13. I am Groot

    COVID-19: Pfizer wasema " tulihamia kwa binadamu na kuacha kufanyia majaribia ya chanjo kwa wanyama kwa sababu waliendelea kufa."

    Maneno hayo yamesemwa ndani ya kikao cha baraza la senate nchini marekani na mwakilishi wa Maabara ya Pfizer akielezea changamoto wanazokutana nazo. Inasemekana kwa sasa kumeanza kuibuka visa mbalimbali vitokanavyo na maudhi ya chanjo kwa wengi waliopatiwa chanjo hizo hapo awali...
  14. L

    #COVID19 Hatua kali za udhibiti wa maambukizi bado ni njia bora zaidi ya kukabiliana na COVID-19 nchini China

    Hivi karibuni, mlipuko wa wimbi jipya la COVID-19 katika miji kadhaa nchini China ikiwemo Shanghai na Beijing umefuatiliwa na vyombo vya habari na jamii ya kimataifa. Watu wengi wanashangaa kwamba, wakati kirusi kipya cha Omicron, ambacho kinaambukiza kwa kasi zaidi na bila ya sumu kali...
  15. L

    BRICS bado iko imara licha ya changamoto ya COVID-19 na mgogoro wa Ukraine

    Caroline Nassoro Janga la COVID-19 limekuwa na athari kubwa kwa uchumi wa nchi mbalimbali duniani, kwani katika kudhibiti maambukizi, hatua kadhaa za lazima zilichukuliwa, ikiwemo kufunga shughuli za biashara na kijamii, jambo lilivuruga mwelekeo wa uchumi wa nchi mbalimbali na dunia kwa...
  16. Boss la DP World

    #COVID19 Suala la COVID-19, Rais Samia anaigiza?

    Ujue kuna mambo mengine ya ajabu sana hasa kwa mtu anayetumia akili vizuri kutafakari mambo. Juzi Rais Samia akiwa Kagera alihimiza kuhusu kichukua tahadhari zote za COVID-19 na akaenda mbali kuwataka wananchi wachanjwe. Leo ameonekana Oman akiwa hajavaa barakoa na anashikana mikono na watu...
  17. beth

    #COVID19 Marekani: Kanuni ya Wasafiri wa Kimataifa kupima COVID-19 yaondolewa

    Utawala wa Rais Joe Biden utaondoa Kanuni ya upimaji wa COVID-19 kwa Wasafiri wa Anga wanaoingia kutoka nje ya Nchi kuanzia Juni 12, 2022. Hatua hiyo itaondoa moja ya vizuizi vya muda mrefu vya kusafiri tangu kuanza kwa Mlipuko. Kanuni hiyo iliwekwa na Utawala wa Donald Trump mapema 2021 na...
  18. Winfrith Hikloch Ogola

    Covid-19 Gives a Jab to Forestry and Health Programmes in Tanzania

    Section of tropical forest at Gombe Island in Tanzania, the home of world famous Chimpanzees of Tanzania. The Tanzania Forest Services (TFS) reports indigenous plants that make tropical forests disappear at the rate of 10 percent a year. Traditional Medicine (TM) practitioners in the country...
  19. beth

    Maambukizi yaongezeka nchini, Dar es Salaam yaripoti visa 130

    Kwa mujibu wa takwimu za Wizara ya Afya kuanzia Mei 05 - Juni 03, maambukizi mapya 161 yamerekodiwa ikiwa ni ongezeko la 137% ikilinganishwa na kipindi cha Aprili 02 - Mei 04, 2022 Dar imeripoti visa 130, Arusha (10), Mwanza (5), Shinyanga (4), Mtwara (3), Dodoma (2), Mara (2), Morogoro, (1)...
  20. beth

    #COVID19 Waziri Ummy Mwalimu: Ipo hatari ya kuingia wimbi la 5 la COVID-19

    Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema Ugonjwa huo bado upo Tanzania na Wagonjwa wanashuhudiwa Hospitali. Kutokana na hali hiyo, kuna tishio la kupata Wimbi la Tano la Maambukizi Akizindua Mpango wa Global Vax amesema, "Tumepita katika Mawimbi manne ya UVIKO-19, tunaendelea kufuatulia kwa karibu...
Back
Top Bottom