covid

  1. M

    Africa medics warn of India-like Covid surge

    Sijaona bado maagizo kuhusu sharti ya kuvaa barakoa, hasa kwenye mabasi, wakati wa kuingia katika majengo ya serikali n.k. Tanzania si serious, ila virusi ni serious! Soma hiyo (Citizen ya leo): 'Act now': Africa medics warn of India-like Covid surge Some countries, including the Democratic...
  2. Mathanzua

    Mass Murder: 3,486 Deaths in the U.S. Following COVID Injections in 4 Months: More Vaccine Deaths Recorded Than the Past 15 Years!

    Please let people read this thread so that everyone can accept the shot from an informed position.Do not accept to be collaborators in this ongoing human genocide.After all if the information is also reported by the American Centre for Disease Control,why should you hide it. Mass Murder: 3,486...
  3. beth

    Kenya suspends flights from India as Covid cases surge

    Kenya has suspended passenger flight from India to Kenya for the next 14 days, Health CS Mutahi Kagwe has announced. The new directive will take effect in the next 72 hours. This follows a surge in Covid-19 cases in India. Kagwe however said cargo flights will continue upon adherence to the...
  4. S

    #COVID19 Je, hii ni Covid 19 wimbi la 3 au 4?

    Wakati serikali ikiandaa kamati maalum ya kushughulikia gonjwa la Covid 19, naomba kuuliza hivi hii Covid 19 iliyopo India kwa sasa ndio hiyo ya awamu ya Nne au bado hii ya awamu ya tatu? Maana India Jamani hali ni mbaya sana sana mpaka umoja wa mataifa umetoa tamko rasmi la kuingalia India...
  5. MK254

    Kenyans defy Covid to save an extra Sh 483 bilion

    Kenyan households and businesses have stockpiled an additional Sh483.3 billion of savings over the Covid-19 pandemic period, the biggest in over a decade, highlighting the impact of precautionary spending and thin investment opportunities in an environment fraught with uncertainties. Data from...
  6. Kifurukutu

    Tangu Rais Dkt. Magufuli afariki, hakuna Habari za vifo vya Corona

    Habari JF, Itakumbukwa siku za mwishoni za kuishi za mpendwa wetu, shujaa wa Afrika na mzee wa kuacha alama (legacy) katika kila alilokuwa anafanya hapa nchini watu wengi sana waliibuka kumpinga vikali juu ya uwepo wa second version ya covid 19 hapa nchini na duniani kote Tanzia nyingi...
  7. stakehigh

    Covid patients with sedentary habits more likely to die, study reveals

    Among covid patients, a lack of exercise is linked to more severe symptoms and a higher risk of death, according to a study covering nearly 50,000 people who were infected with the virus. People physically inactive for at least two years before the pandemic were more likely to be hospitalised...
  8. A

    COVID-19 inapelekea Waafrika 30 millioni kwenye umaskini - IMF

    SHAREDCovid pushing 30 million Africans into poverty - IMF Africa editor, BBC World Service ReutersCopyright: Reuters Some African nations will need to increase health spending by 50% to vaccinate 60% of their populations, the IMF saysImage caption: Some African nations will need to increase...
  9. R

    #COVID19 In the era of covid 19 pandemic: Tuna mahitaji yanayotofautiana sana in terms of defying Covid-19 restrictions

    1. Wazungu wana defy covid restriction ili waende beach kuogelea. Wao shida yao ni kustarehe! Beach partygoers in Barcelona defy Covid-19 restrictions 2. Wahindi wamefanya kitu kinaitwa super spreader kwa kwenda mto Ganges kuogelea ili watakaswe dhambi zao! wao shiida yao ni dini, waondolewe...
  10. Dr Akili

    #COVID19 Tujadili na kushauri Serikali kuhusu chanjo za Covid -19 na ukusanyaji wa takwimu zinazotakiwa na WHO

    Jana rais wetu ameagiza kuundwa task force ya watalaam kuchambua kwa makini masuala haya ya covid 19 na kuishauri serikali hatua sahihi za kuchukua. Pressing issues hapa ni hasa msimamo wetu kuhusu chanjo za covid na utoaji wa takwimu zinazohitajika WHO kila siku. Tujadili faida na hasara au...
  11. Nyendo

    #COVID19 Rais Samia Suluhu: Tutalichukulia kwa uzito suala la COVID-19

    Rais Samia kuunda kamati kushughulikia COVID 19. Amesema ataunda kamati ya kushughulikia kitaalamu. Amesema hatuwezi kujitenga kama kisiwa, lazima tuunde kamati ijulikane kama tunakubali au tunakaa na si kusikia habari tu za nchi nyingine na ikifika kwa Tanzania hamna kitu. Rais Samia...
  12. M

    Naomba Serikali itangaze kuwa kujikinga na COVID-19 South African variant kuwa jambo la lazima

    Nikiwa kama Daktari nashauri Serikali itangaze Rasmi Wananchi wachukue hatua za kujikinga na huu ugonjwa ambao tayari ushaua watu milioni 3 duniani. Jamani sina uhakika kama huu ugonjwa upo kwetu lakini la kujiuliza ni kuwa upo kwa majirani zetu wote, achilia mbali nchi za Ulaya, Marekani...
  13. Maleven

    #COVID19 Mtazamo, Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Serikali na Wananchi kuhusu Ugonjwa wa Corona - COVID-19

    Uzi huu ni mrefu. Ukichangia naomba ujikite Zaidi katika kutoa maoni yako lakini kukosoa kunaruhusiwa. Binafsi nadhani maamuzi haya yangechukuliwa mwezi mmoja uliopita pale Waziri Mkuu alipotangaza kuzifunga shule na vyuo, lakini haikuwa hivyo badala yake shule zilifungwa kisha hakukuwa na...
  14. K

    Hatimaye Uingereza yanyoosha mikono na kupendekeza kufuata nyayo za hayati Magufuli kuhusu kupambana na Corona

    Wakuu, Habari za asubuhi, Hayati Magufuli alikuwa anaona mbali sana kuhusu hili gonjwa la corona, japo baadhi ya watu wa ndani ya nchi, mataifa jirani na nchi za magharibu walikuwa wakibeza sana misimamo yake. Mshauli mkuu wa masuala kiafya wa uingereza kaona kujifungia ndani/lockdown...
  15. Geza Ulole

    1.4m face hunger as Kenya fights Covid, drought, State says

    1.4m face hunger as Kenya fights Covid, drought, State says FRIDAY APRIL 02 2021 Residents of Turkana County receive relief food in 2011. An estimated 1.4 million Kenyans are currently facing hunger, and the figure is likely to rise in the coming days if a solution is not found, Government...
  16. K

    Joshua Onyango na wenzake (3) wakutwa na COVID-19 Timu ya Taifa Kenya. Washindwa kucheza mechi dhidi ya Togo leo

    Yule beki kisiki wa Simba Joshua Onyango amekutwa na Covid na wenzake watatu" Al-Duhail striker Michael Olunga, Simba SC defender Joash Onyango, Zesco United goalkeeper Ian Otieno, and Sofapaka midfielder Lawrence Juma have tested Covid-19 positive and as a result, they have not been included...
  17. stakehigh

    Kwanini kuna Covid za aina nyingi duniani? Na kwanini muda huu?

    Yawezekana kuna sababu kwanini kuna covid za aina nyingi ila mimi sijui, South Africa wana covid tafauti na iliopo duniani, Tanzania pia juzi kuna watu walikutwa na aina ingine ya covid! Kwa wale mnaolewewa hizi variants zinatoka wapi , na kwanini zimekuja muda huu pia mtueleze?
  18. Analogia Malenga

    #COVID19 Uganda kutengeza chanjo ya Covid -19

    Serikali ya Uganda imeanza mchakato wa kutengeneza chanjo ya Covid 19 kama mataifa mengine duniani. Mwaka jana Rais Yoweri Museveni alisema wanasayansi wa Uganda wanajaribu kufanya utafiti kuanza kutengeneza chanjo yao na tiba ya Covid-19 ambayo tayari iko kwenye majaribio. ''Ninafanya kazi na...
  19. Da Vinci XV

    Chanjo ya COVID-19 kwa hawa marais wa Afrika Mashariki

    Wakuu Nikamtazama bwana Yoweri Museveni wa pale Uganda Kisha nikamtazama Uhuru Kenyatta Nikaja kumtazama Paul Kagame , huyu kidogo nikashtuka misimamo yake inarandana sana na Hayati Magufuli nikajiuliza maswali machache ambayo kidogo yanahitaji majibu mengi, huenda hata wewe ukawa...
  20. Mzalendo_Mwandamizi

    Mama Samia ameanza vibaya kwa kupuuza kuvaa Barakoa

    Tarehe 19.05.2020 wakati Tanzania ikikabiliwa na wimbi la kwanza la janga la korona, nilichapisha uchambuzi wa kiintelijensia kuhusu mustakabali wa urais wa Magufuli kwa jinsi "alivyozembea" kushuguhulikia janga hilo. Na katika kuhitimisha uchambuzi huo wa kurasa 23 nilibashiri kuwa janga hilo...
Back
Top Bottom