Sijaona bado maagizo kuhusu sharti ya kuvaa barakoa, hasa kwenye mabasi, wakati wa kuingia katika majengo ya serikali n.k. Tanzania si serious, ila virusi ni serious! Soma hiyo (Citizen ya leo):
'Act now': Africa medics warn of India-like Covid surge
Some countries, including the Democratic...
Please let people read this thread so that everyone can accept the shot from an informed position.Do not accept to be collaborators in this ongoing human genocide.After all if the information is also reported by the American Centre for Disease Control,why should you hide it.
Mass Murder: 3,486...
Kenya has suspended passenger flight from India to Kenya for the next 14 days, Health CS Mutahi Kagwe has announced.
The new directive will take effect in the next 72 hours.
This follows a surge in Covid-19 cases in India.
Kagwe however said cargo flights will continue upon adherence to the...
Wakati serikali ikiandaa kamati maalum ya kushughulikia gonjwa la Covid 19, naomba kuuliza hivi hii Covid 19 iliyopo India kwa sasa ndio hiyo ya awamu ya Nne au bado hii ya awamu ya tatu?
Maana India Jamani hali ni mbaya sana sana mpaka umoja wa mataifa umetoa tamko rasmi la kuingalia India...
Kenyan households and businesses have stockpiled an additional Sh483.3 billion of savings over the Covid-19 pandemic period, the biggest in over a decade, highlighting the impact of precautionary spending and thin investment opportunities in an environment fraught with uncertainties.
Data from...
Habari JF,
Itakumbukwa siku za mwishoni za kuishi za mpendwa wetu, shujaa wa Afrika na mzee wa kuacha alama (legacy) katika kila alilokuwa anafanya hapa nchini watu wengi sana waliibuka kumpinga vikali juu ya uwepo wa second version ya covid 19 hapa nchini na duniani kote
Tanzia nyingi...
Among covid patients, a lack of exercise is linked to more severe symptoms and a higher risk of death, according to a study covering nearly 50,000 people who were infected with the virus.
People physically inactive for at least two years before the pandemic were more likely to be hospitalised...
SHAREDCovid pushing 30 million Africans into poverty - IMF
Africa editor, BBC World Service
ReutersCopyright: Reuters
Some African nations will need to increase health spending by 50% to vaccinate 60% of their populations, the IMF saysImage caption: Some African nations will need to increase...
1. Wazungu wana defy covid restriction ili waende beach kuogelea. Wao shida yao ni kustarehe!
Beach partygoers in Barcelona defy Covid-19 restrictions
2. Wahindi wamefanya kitu kinaitwa super spreader kwa kwenda mto Ganges kuogelea ili watakaswe dhambi zao! wao shiida yao ni dini, waondolewe...
Jana rais wetu ameagiza kuundwa task force ya watalaam kuchambua kwa makini masuala haya ya covid 19 na kuishauri serikali hatua sahihi za kuchukua. Pressing issues hapa ni hasa msimamo wetu kuhusu chanjo za covid na utoaji wa takwimu zinazohitajika WHO kila siku. Tujadili faida na hasara au...
Rais Samia kuunda kamati kushughulikia COVID 19. Amesema ataunda kamati ya kushughulikia kitaalamu.
Amesema hatuwezi kujitenga kama kisiwa, lazima tuunde kamati ijulikane kama tunakubali au tunakaa na si kusikia habari tu za nchi nyingine na ikifika kwa Tanzania hamna kitu.
Rais Samia...
Nikiwa kama Daktari nashauri Serikali itangaze Rasmi Wananchi wachukue hatua za kujikinga na huu ugonjwa ambao tayari ushaua watu milioni 3 duniani.
Jamani sina uhakika kama huu ugonjwa upo kwetu lakini la kujiuliza ni kuwa upo kwa majirani zetu wote, achilia mbali nchi za Ulaya, Marekani...
Uzi huu ni mrefu.
Ukichangia naomba ujikite Zaidi katika kutoa maoni yako lakini kukosoa kunaruhusiwa.
Binafsi nadhani maamuzi haya yangechukuliwa mwezi mmoja uliopita pale Waziri Mkuu alipotangaza kuzifunga shule na vyuo, lakini haikuwa hivyo badala yake shule zilifungwa kisha hakukuwa na...
afrika
afya
brazil
ccm
corona
covidcovid-19
covid19
hela
jafo
korona
kubwa
lockdown
magufuli
maisha
maombi
mungu
nyuzi
pandemic
pepo
propaganda
rais
serikali
tahadhari
taifa
taifa letu
tanzania
ulaya
ushauri
video
wanawake
watanzania
who
wizara ya afya
Wakuu,
Habari za asubuhi,
Hayati Magufuli alikuwa anaona mbali sana kuhusu hili gonjwa la corona, japo baadhi ya watu wa ndani ya nchi, mataifa jirani na nchi za magharibu walikuwa wakibeza sana misimamo yake.
Mshauli mkuu wa masuala kiafya wa uingereza kaona kujifungia ndani/lockdown...
1.4m face hunger as Kenya fights Covid, drought, State says
FRIDAY APRIL 02 2021
Residents of Turkana County receive relief food in 2011. An estimated 1.4 million Kenyans are currently facing hunger, and the figure is likely to rise in the coming days if a solution is not found, Government...
Yule beki kisiki wa Simba Joshua Onyango amekutwa na Covid na wenzake watatu" Al-Duhail striker Michael Olunga, Simba SC defender Joash Onyango, Zesco United goalkeeper Ian Otieno, and Sofapaka midfielder Lawrence Juma have tested Covid-19 positive and as a result, they have not been included...
Yawezekana kuna sababu kwanini kuna covid za aina nyingi ila mimi sijui, South Africa wana covid tafauti na iliopo duniani, Tanzania pia juzi kuna watu walikutwa na aina ingine ya covid!
Kwa wale mnaolewewa hizi variants zinatoka wapi , na kwanini zimekuja muda huu pia mtueleze?
Serikali ya Uganda imeanza mchakato wa kutengeneza chanjo ya Covid 19 kama mataifa mengine duniani.
Mwaka jana Rais Yoweri Museveni alisema wanasayansi wa Uganda wanajaribu kufanya utafiti kuanza kutengeneza chanjo yao na tiba ya Covid-19 ambayo tayari iko kwenye majaribio.
''Ninafanya kazi na...
Wakuu
Nikamtazama bwana Yoweri Museveni wa pale Uganda
Kisha nikamtazama Uhuru Kenyatta
Nikaja kumtazama Paul Kagame , huyu kidogo nikashtuka misimamo yake inarandana sana na Hayati Magufuli nikajiuliza maswali machache ambayo kidogo yanahitaji majibu mengi, huenda hata wewe ukawa...
Tarehe 19.05.2020 wakati Tanzania ikikabiliwa na wimbi la kwanza la janga la korona, nilichapisha uchambuzi wa kiintelijensia kuhusu mustakabali wa urais wa Magufuli kwa jinsi "alivyozembea" kushuguhulikia janga hilo. Na katika kuhitimisha uchambuzi huo wa kurasa 23 nilibashiri kuwa janga hilo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.