Wizara ya Afya ya Kenya imetangaza maambukizi 1030 mapya ya corona zilizothibitishwa saa 24 zilizopita. Hii inafanya maambukizi kufikia 145,184. Kasi ya maambukiziimefika 12.4%
Watu 1,616 wamelazwa katika vituo vya afya, wengine 4,243 wakiwa wanaangaliziwa nyumbani wakiwa wamejitenga. Katika...