COVID-19 testing can identify the SARS-CoV-2 virus and includes methods that detect the presence of virus itself (RT-PCR and isothermal nucleic acid amplification) and those that detect antibodies produced in response to infection. Detection of antibodies (serology) can be used both for diagnosis and population surveillance. Antibody tests show how many people have had the disease, including those whose symptoms were minor or who were asymptomatic. An accurate mortality rate of the disease and the level of herd immunity in the population can be determined from the results of this test.
Due to limited testing, as of March 2020 no countries had reliable data on the prevalence of the virus in their population. As of 18 April, the countries that made public their testing data have on average performed an amount of tests equal to only 1.1% of their population, and no country has tested samples equal to more than 12% of its population. There are variations in how much testing has been done across countries. This variability is also likely to be affecting reported case fatality rates, which have probably been overestimated in many countries, due to sampling bias.
Wanawake zaidi wanajifungulia nyumbani kutokana na hofu ya Covid 19 huku vifo vikiwa haviripotiwi kwa mamlaka husika, takwimu zilizotolewa na serikali zimesema.
Kwenye ripoti ya CRS imesema idadi ya vizazi iliyosajiliwa imeshuka kwa asilimia 13.3 na usajili wa vifo ukipungua kwa asilimia 15...
Wizara ya Afya ya Kenya imetangaza maambukizi mapya 671, yaliyotoka kwenye sampuli 62,00 zilizopimwa saa 24 zilizopita. Idadi hiyo imefanya jumla ya ya maambukizi kufikia 23,873
Katika watu hao waliothibitika kuwa na CoronaVirus 633 ni wakenya na 38 ni wageni. Pia idadi ya waliofariki imefikia...
Shirika la Habari la Sauti ya America yaani VOA limethibitisha kwamba Tanzania ni salama na hakuna ugonjwa wa homa ya Virusi vya Homa ya Mapafu vinavyosababishwa na Virusi vya Corona
======
Can Tanzania Really Be Coronavirus-Free?
DAR ES SALAAM, TANZANIA - Today I decided to do my own...
German Travel Warnings for Tanzania, Seychelles, Mauritius, and Namibia challenged
Juergen T Steinmetz
July 11, 2020 06:45
In Germany, two tour operators specialists in travel to Africa have filed a legal action at the Berlin Administrative Court for a temporary injunction to have the German...
Huu ni waraka wa wazi kutoka kwetu tulio wahanga watarajiwa wa covid-19 kuja kwenu nyie tuliowapa mamlaka na sasa mnatutoa kafara wakati nyie mko pema.
Ninaandika waraka huu kwa kudra za mola nikiwa ningali hai na nikiwa na imani ya dhati kuwa marehemu wengi mliowatoa kafara wangeandika waraka...
This Could be a reason why Tanzanians don't catch it as much, fake results must be the reason why other countries have so much positive cases. UK Gov't confirms Covid19 harmless to VAST MAJORITY of people.
SCHOOL FEES: PRECIOUS SCHOOLS INAKOMOA WAZAZI
Kwanza ni pole kwa wale wote ambao kwa namno moja wamepoteza ndugu zao wapendwa kwa mlipuko wa ugonjwa wa Korona. Mwenyezi Mungu awape roho ya ustahimilifu kwa kuondokewa na wapendwa wetu.
Mada:
1. Baada ya Serikali kutangaza kurejea kwa shughuli...
Idadi ya watu waliokutwa na CoronaVirus nchini Kenya yafikia 5,206 baada ya watu 254 kukutwa na maambukizi katika sampuli 4,859 zilizopimwa ndani ya saa 24 zilizopita
Watu 41 pia wamepata nafuu na kuruhusiwa kurudi nyumbani hii imefanya idadi ya waliopona kufika 1,823
Pia idadi ya walifariki...
Anga la Tanzania likiwa limefunguliwa na kuruhusu wasafiri kutoka pande mbalimbali za dunia, inategemewa kuwa hivi karibuni nchi mbalimbali zitafungua mipaka na shughuli za utalii zitaanza kuimarika upya.
Ingawa si jambo linaloshauriwa lakini hakuna namna ya kulizuia kwani Maisha lazima...
China cancels over 1000 flights, closes schools to contain new wave of COVID-19 outbreak
- China had reported at least 137 new cases of COVID-19 in the past six days and this has compelled the country to enforce new measures to prevent another full-blown crisis
- Travell into and out of...
Na Festo Donald Ngadaya
Twitter, Instagram and Facebook @FestoNgadaya
Mwezi wa kwanza mwaka huu shirika la afya la dunia (WHO) lilitanganza covid-19 kama janga la kidunia (global pandemic). Toka hapo kumekuwa na miongozo tofauti tofauti ya upimaji wa virusi vya corona maabara. Covid19 ni kifupi...
Kiafya, haitakiwi kuvaa barakoa ‘mask’ wakati wa kufanya mazoezi kwa sababu zinapunguza uwezo wa kupumua vizuri. Katika kufanya mazoezi, katika hali ya kawaida huwa na ugumu wa kuhema hivyo kwa kuvaa barakoa ugumu unaongezeka.
Vilevile, jasho linaweza kulowesha barakoa haraka na kuifanya isifae...
Shirika la afya duniani who limeelezea wasiwasi wake kuhusu kasi ya maambukizi ya virusi vya corona barani afrika, huku idadi ikiendelea kuongezeka katika baadhi ya mataifa ya bara hili. Mikakati kadhaa inahitajika kuhakikisha bara hili linakwamua uchumi uliaoathirika na janga hili mbali na kuwa...
Mimi ni daktari bingwa wa magonjwa ya ndani na pia ni mkufunzi wa kitaifa wa magonjwa ya mlipuko ikiwapo COVID. Na nimekuwa nikitibu wagonjwa wengi wa COVID toka huu ugonjwa uje nchini kwetu na ningependa kuwapa ushauri ufuatao.
Naamini unafahamu dalili za ugonjwa huu kwakuwa zimetangazwa sana...
Baadhi ya Nchi za Ulaya zimeanza kutambua na kupongeza hatua ambazo Tanzania imezichukua katika kupambana na Virusi vya Corona vinavyosababisha ugonjwa wa COVID 19 kutokana na muongozo wa Rais Dkt John Pombe Magufuli kwa kuwa zinaendana mazingira na hali halisi ya Tanzania.
Waziri wa Maendeleo...
Habari zimethibitishwa kuwa Pierre Nkurunzinza wa Burundi alikuwa muathirika wa gonjwa hatari la COVID19.
Tuchukue tahadhari wandugu, gonjwa bado linatesa.
---
Burundi’s outgoing President Pierre Nkurunziza died of Covid-19, diplomatic sources in Bujumbura and Nairobi confirmed on Wednesday...
Mtandao wa Twitter umesema umezifuta akaunti 170,000 zilizokuwa zinahamasisha maandamano Hong Kong, kutoa mtazamo wa uongo kuhusu COVID19 na kuhusu maandamano ya Marekani ya George Floyd
Twitter imesema akaunti 23,750 zilizoandika jumbe hizo na 150,000 zilizosaidia kusambaa zaidi jumbe hizo...
Chanjo ya #CoronaVirus iliyogunduliwa na kampuni ya teknolojia ya kibailojia ya nchini Marekani, Mederna, itafanyiwa majaribio ya tatu na ya mwisho mwezi Julai
Majaribio hayo yanatarajiwa kuwa na washiriki 30,000. Kampuni hiyo itakuwa na uwezo wa kuzaliwa dosi milioni 500 kwa mwaka
Watu wenye...
Ugonjwa wa COVID-19 ni ugonjwa wa kuambukiza unaosababishwa na Virusi vya Corona vilivyogunduliwa Mwaka 2019. Virusi vinavyosababisha COVID19 husambazwa haswa kupitia vitone vinavyotokana na kukohoa, kupiga chafya au kushusha pumzi kwa mtu aliyeambukizwa.
Unaweza kuambukizwa ukivuta pumzi yenye...
UNDP TANZANIA: In the long run, #COVID19 will have significant risks to sectors in #Tanzania such as tourism & hospitality, transportation & storage, wholesale & retail trade, construction & real estate, manufacturing industry.
More on: New Report released: Rapid Socio-Economic Impact...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.