Haya bana, Wakenya hongereni sana! Kwenye WORLDMETERS mnazidi kupaa tu, now mmefika nafasi ya 90. Mkiingia 10 bora mtuambie basi.
Sisi wenzenu Dar es Salaam tumebakiza wagonjwa 4 tu! tena wana afya nzuri!
PIGENI NYUNGU nyungu nyie, acheni kushangaa, korona itawatesa, wenzenu huku Bongo...