cuf

Copper(I) fluoride or cuprous fluoride is an inorganic compound with the chemical formula CuF. Its existence is uncertain. It was reported in 1933 to have a sphalerite-type crystal structure. Modern textbooks state that CuF is not known, since fluorine is so electronegative that it will always oxidise copper to its +2 oxidation state. Complexes of CuF such as [(Ph3P)3CuF] are, however, known and well characterised.

View More On Wikipedia.org
  1. CUF Habari

    Uchaguzi 2020 Mgombea Ubunge jimbo la Ilala kupitia CUF, Rashid Mwinyishehe Kingwendu amekabidhiwa fomu ya uteuzi na msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Ilala

    HABARI Mgombea Ubunge Jimbo la Ilala kupitia CUF, mhe. Rashid Mwinyishehe Ilala amefika ofisi za msimamizi wa uchaguzi na kuchukua fomu ya kuwania ubunge Jimbo la Ilala
  2. CUF Habari

    Uchaguzi 2020 Wanachama na wapenzi wa CUF Kigoma Kaskazini wamemsindikiza Kiza Mayeye kuchukua fomu ya uteuzi jimbo la Kigoma Kaskazini

    Makamo mwenyekiti wa jumuiya wa wanawake CUF taifa mhe. Kiza mayeye ambaye pia ni mgombea wa ubunge Jimbo la kigoma kaskazini, mapema leo amefika katika ofisi za msimamizi wa uchaguzi wa Jimbo la kigoma kaskazin na kupewa fomu ya uteuzi. Pia mhe. Kiza amesema kuwa Jimbo la kigoma kaskazin bado...
  3. Z

    CHADEMA, CUF, ACT-Wazalendo, nk. jipangeni: Kuna nafasi ya kuwapiga CCM kwa ulevi wao

    Nimeshaona jinsi CCM wanavyolewa maoni ya wanachama wao katika udiwani. Yaonekana hata katika Ubunge ulevi huo unaendelea. Baada ya 'wajumbe' kuwapitisha waliowaona kwa wema wao, wanaamini wapiga kura wote nchini pia watawapenda. Tulioko mitaani tunajua ni nini kinachozunguka vichwani mwa...
  4. CUF Habari

    Uchaguzi 2020 Mkurugenzi wa Fedha CUF, Mhe. Zainab Mdolwa akabidhiwa fomu ya Ubunge na Msimamizi wa Uchaguzi Temeke

    #HABARI Mgombea Ubunge wa Jimbo la temeke kupitia CUF, mhe. Zainab Mdolwa amefika ofisi za msimamizi wa uchaguzi na kuchukua fomu ya kuwania Ubunge Jimbo la Temeke.
  5. J

    Uchaguzi 2020 Hesabu hazidanganyi: CCM wataongezewa kura za Lowassa na CHADEMA watapunguziwa kura za Lowassa, CUF na NCCR Mageuzi

    Ni kwamba CCM na Dkt. Magufuli tayari wana mtaji wa kura walizopata 2015 na watafaidika na kurejea kwa mzee Lowassa ambaye ana ushawishi mkubwa. Kura za CCM zitaongezeka. CHADEMA na Tundu Lissu watazikosa kura za CCM ( kupitia Lowassa) walizopata 2015 kadhalika watazikosa kura za UKAWA yaani...
  6. YEHODAYA

    Uchaguzi 2020 Lissu hajui historia mbinu anayotumia ya ngangari CUF Zanzibar walishaitumia haikuwafikisha popote

    Siasa za Lissu za sasa ni zile zilizopitwa na wakati ambazo akina Maalim Seif walizitumia sana kule Zanzibar zilikuwa zikiitwa siasa za ngangari Hadi kieleweke. Hadi wakaagiza visu na kufanya vitendo vya kigaidi .Mwisho was siku wakaja kugundua kuwa haziwapeleki popote wakaziacha Sasa Lissu...
  7. Erythrocyte

    Naibu Katibu Mkuu wa CUF Zanzibar ahamia CHADEMA

    Naibu Katibu Mkuu wa CUF upande wa Zanzibar Mhe. Faki Suleiman Khatib , ametangaza kukihama chama hicho na kujiunga na CHADEMA . Haya yametokea ndani ya vikao vya CHADEMA vinavyoendelea huko ukumbi wa Mlimani City
  8. CUF Habari

    CUF: Tunatarajia Uchaguzi Mkuu utakuwa wa Uhuru na Haki. Yeyote atakayetutikisa tutamwangusha kama papai mtini

    TUNATARAJIA UCHAGUZI MKUU UTAKUWA WA UHURU NA HAKI, YEYOTE ATAKAYETUTIKISA TUTAMWANGUSHA KAMA PAPAI MTINI" KATIBU MKUU CUF HAROUB MOHAMMED SHAMIS Ameyasema hayo katika Mkutano Mkuu Maalum wa kuwachagua wagombea wa Urais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania na Urais wa Zanzibar uliyofanyika julai...
  9. The Sheriff

    Uchaguzi 2020 Vijana wa CUF Dar wamchukulia Prof. Lipumba fomu ya kuwania Urais

    Vijana wa Chama cha Wananchi CUF Mkoa wa Dar es Salaam, leo Julai 23, 2020, wamemchukulia na kumkabidhi fomu ya kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mwenyekiti wa chama hicho Profesa Ibrahim Lipumba.
  10. S

    Uchaguzi 2020 Wapinzani msimuamini sana Membe kwa yoyote atakayosema na kuyatenda kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu baadae mwaka huu

    Mwanasiasa ambae anaweza kujiamini kusema na kufanya lolote kwa lengo la kukosoa watawala waliopo madarakani bila hofu ya kushitakiwa,mali zake kutaifishwa au kunyang'anywa,n.k ni yule tu ambae wakati alipokuwa kwenye system, hakuwahi kutuhumiwa kufanya ufisadi,wizi,kujihusisha na...
  11. CUF Habari

    Uchaguzi 2020 Waheshimiwa Maftah Nachuma, Magdalena Sakaya na Abdul Kambaya kupeperusha bendera ya CUF Mtwara Mjini, Mbagala na Kaliua

    #HABARI Makamu Mwenyekiti wa CUF Bara Mhe.Maftah Nachuma ameshinda kura za maoni katika Jimbo la Mtwara Mjini, Mhe. Maftah ndiyo atapeperusha bendera ya Chama cha Wananchi CUF katika Jimbo la Mtwara Mjini. Pia, Naibu Katibu Mkuu wa CUF Bara Mhe. Magdalena Sakaya ameibuka kidedea katika mchakato...
  12. CUF Habari

    Uchaguzi 2020 Mwanamke ajitosa kugombea urais Zanzibar kupitia CUF. Afanya idadi kufikia sita(6) kwa upande wa Zanzibar

    MWANAMKE AJITOSA KUGOMBEA URAIS ZANZIBAR KUPITIA CUF. AFANYA IDADI KUFIKIA SITA(6) KWA UPANDE WA ZANZIBAR
  13. CUF Habari

    Uchaguzi 2020 CUF: Wagombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Zanzibar kujulikana Julai 27, katika Mkutano Mkuu wa Chama

    SISI CUF MGOMBEA WA URAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NA MGOMBEA RAIS WA ZANZIBAR WATAJULIKANA JULAI 27 "Mkurugenzi wa Mipango Na Uchaguzi CUF TAIFA Mhe. Juma Kilaghai ameyasema hayo Leo katika mahojiano na Waandishi wa habari kuwa Tarehe 27 mwezi huu ndiyo siku ya Mkutano Mkuu wa...
  14. CUF Habari

    Mgombea ubunge jimbo la Korogwe Mjini kupitia CUF chama cha wananchi Mhe. Amina Magogo afanya ziara ya ujenzi wa chama Korogwe Mjini

    MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA KOROGWE MJINI KUPITIA CUF CHAMA CHA WANANCHI MHE. AMINA MAGOGO AFANYA ZIARA YA UJENZI WA CHAMA KOROGWE MJINI
  15. CUF Habari

    Mbunge wa Viti Maalum CUF akabidhi Computer na Printer kwa ajili ya Uchaguzi Handeni Mjini

    MHE. SONIA MAGOGO AKABIDHI VIFAA COMPUTER NA PRINTER KWA AJILI YA KUSAIDIA SHUGHULI NA UCHAGUZI WILAYANI HANDENI MJINI #HandeniMjiniNiSoniaMagogoSasa. #SoniaMagogoTenaMjengoni
  16. CUF Habari

    Uchaguzi 2020 Prof. Lipumba: Watanzania wengi hawana furaha, sisi CUF tunakuja na ajenda yetu, furaha kwa watanzania wote inawezekana

    Amesema chama chao katika uchaguzi wa 2020 kinakuja na agenda ya “Furaha kwa Watanzania inawezekana” Pia Professa Lipumba amewaomba CCM kuwa na siasa za ustaarabu kitapoanza kipindi cha kampeni akisisitiza kupambana kwa hoja Ameyasema hayo Leo Mwenyekiti wa CUF Prof. Lipumba. #2020CUFMwakaWetu.
  17. CUF Habari

    Mkutano mkuu wa chama cha wananchi CUF wilaya ya Kinondoni Julai 12, 2020

    MKUTANO MKUU WA CHAMA CHA WANANCHI CUF WILAYA YA KINONDONI JULAI 12,2020
  18. CUF Habari

    Uchaguzi 2020 Aliyekuwa Mbunge Viti Maalum CHADEMA, Sabreena Sungura Atia nia kugombea ubunge jimbo la Segerea kupitia Chama Cha Wananchi CUF

    Mhe. Sabreena Sungura Atia Nia Kugombea Ubunge Jimbo la Segerea Wilaya ya Ilala Mkoani Dar es Salaam Kupitia Chama Cha Wananchi CUF. Sabreena Sungura Mwanamama Jasiri Na Mpambanaji. #2020WanawakeTunawaaminia.
  19. CUF Habari

    Wananchi zaidi 90 Wilayani Kilwa mkoani Lindi wamerudisha kadi za ACT-wazalendo na CCM na kujiunga na chama cha wananchi CUF

    #HABARI WANANCHI ZAIDI 90 WILAYANI KILWA MKOANI LINDI WAMERUDISHA KADI ZA ACT-WAZALENDO NA CCM NA KUJIUNGA NA CHAMA CHA WANANCHI CUF Mkurugenzi wa mafunzo na udhibiti CUF Taifa Mhe. Masoud Omar Mhina kutoka kushoto ndiye aliyepokea Kadi hizo na Kuwakabidhi kadi za Chama Cha Wananchi CUF...
  20. VUTA-NKUVUTE

    Mkoa wa Ruvuma: CCM bado ina nguvu kubwa; CHADEMA yaimarika, CUF yafifia; ACT-Wazalendo yachomoza

    Ni matumaini yangu kuwa kichwa cha habari hii kinatoa tahmini ya jumla juu ya mkoa huu wa Ruvuma. Niko hapa kwa takribani juma moja katika kufanya tathmini binafsi ya kisiasa kuelekea Oktoba mwaka huu. Nimepita Songea na Mbinga; Nikaenda Tunduru na Namtumbo; nikasonga hadi Peramiho na sasa niko...
Back
Top Bottom