dada

Dada () or Dadaism was an art movement of the European avant-garde in the early 20th century, with early centres in Zürich, Switzerland, at the Cabaret Voltaire (c. 1916). New York Dada began c. 1915, and after 1920 Dada flourished in Paris. Dadaist activities lasted until c. the mid 1920s.
Developed in reaction to World War I, the Dada movement consisted of artists who rejected the logic, reason, and aestheticism of modern capitalist society, instead expressing nonsense, irrationality, and anti-bourgeois protest in their works. The art of the movement spanned visual, literary, and sound media, including collage, sound poetry, cut-up writing, and sculpture. Dadaist artists expressed their discontent toward violence, war, and nationalism, and maintained political affinities with radical left-wing and far-left politics.There is no consensus on the origin of the movement's name; a common story is that the German artist Richard Huelsenbeck slid a paper knife (letter-opener) at random into a dictionary, where it landed on "dada", a colloquial French term for a hobby horse. Jean Arp wrote that Tristan Tzara invented the word at 6 p.m. on 6 February 1916, in the Café de la Terrasse in Zürich. Others note that it suggests the first words of a child, evoking a childishness and absurdity that appealed to the group. Still others speculate that the word might have been chosen to evoke a similar meaning (or no meaning at all) in any language, reflecting the movement's internationalism.The roots of Dada lie in pre-war avant-garde. The term anti-art, a precursor to Dada, was coined by Marcel Duchamp around 1913 to characterize works that challenge accepted definitions of art. Cubism and the development of collage and abstract art would inform the movement's detachment from the constraints of reality and convention. The work of French poets, Italian Futurists and the German Expressionists would influence Dada's rejection of the tight correlation between words and meaning. Works such as Ubu Roi (1896) by Alfred Jarry and the ballet Parade (1916–17) by Erik Satie would also be characterized as proto-Dadaist works. The Dada movement's principles were first collected in Hugo Ball's Dada Manifesto in 1916.
The Dadaist movement included public gatherings, demonstrations, and publication of art/literary journals; passionate coverage of art, politics, and culture were topics often discussed in a variety of media. Key figures in the movement included Jean Arp, Johannes Baader, Hugo Ball, Marcel Duchamp, Max Ernst, Elsa von Freytag-Loringhoven, George Grosz, Raoul Hausmann, John Heartfield, Emmy Hennings, Hannah Höch, Richard Huelsenbeck, Francis Picabia, Man Ray, Hans Richter, Kurt Schwitters, Sophie Taeuber-Arp, Tristan Tzara, and Beatrice Wood, among others. The movement influenced later styles like the avant-garde and downtown music movements, and groups including Surrealism, nouveau réalisme, pop art and Fluxus.

View More On Wikipedia.org
  1. Samba

    Matokeo ya interview Chuo cha Ardhi kwa kada ya Assistant Lecturer - ICT yarekebishwe

    Hivi kama tume ya ajira/Chuo cha Ardhi mnakosea matokeo ya watu 8 tu, inakuwaje kwa watu 100-800? Ni kweli watu wanawekewa matokeo yao kwa usahihi? Mtu wa quality assurance anafanya nini mpaka matokeo haya yanarushwa kwenye tovuti ya PSRS? Watu 8 tu?
  2. I

    Dada anatafuta kazi ya mgahawani au dukani

    Wakuu poleni na majukumu. Tafadhali sio mimi mpangaji mwenzangu. Alikuwa anafanya kazi kariakoo kwenye duka la nguo ila kwa sasa biashara haiendi vizuri bosi imebidi asimamishe biashara huyu dada sasa yupo nyumbani hali ni ngumu. Tafadhali kama una nafasi iwe kwenye mgahawa au dakani msaidie...
  3. Mfilisiti

    Dada tukuombee upate mume, tako au kazi? Hebu funguka

    Haya wadada njooni hapa mpate kufunguka:D:D maana malaika wa Mungu anapitia huu uzi. NB: Siku hizi mjini mwenye tako anajiamini kuliko mwenye degree.
  4. Robert Heriel Mtibeli

    Kamwe Mwanaume hupaswi kujikombakomba

    KAMWE MWANAUME HUPASWI KUJIKOMBA KOMBA KAMA LOFA! Anaandika, Robert Heriel Vijana nisikieni! Nisikilizeni Kwa makini. Msisikie kelele za wapuuzi wanaotaka kuwapora hadhi zenu. Najua wengi wenu Kwa sasa labda mnalelewa upande wa kiukeni. Lakini kamwe hiyo isiwe sababu ya ninyi kuwa kama...
  5. guwe_la_manga

    Angela Kairuki yupo wapi kwa sasa?

    Huyu ni mmoja wa wanasiasa aliyeongoza kwa kubadilishiwa Wizara karibu tatu katika miaka mitano ya Hayati Magufuli. Mara ya mwisho kumuona ni kabla ya uchaguzi wa 2020. Ningependa kujuza alipo kwa sasa anafanya nini? Pia soma: Nini kinamsibu Waziri Angela Kairuki? Miaka 3 Wizara 3!
  6. Sirdick Mashally

    SoC02 Kuvunjika kwa ndoa ya dada kulivyoathiri afya ya mtoto wake

    Kumbukumbu zikinijia nakumbuka siku ile ilikuwa ni siku ya furaha sana kwangu na kwa familia kwa pamoja. Siku ambayo dada yangu aliolewa, kila mwana familia na ndugu tulikuwa kwenye furaha isiyokifani, tulisherehekea kana kwamba hakukuwahi kutokea wala hapatatokea tena harusi kwenye ukoo wetu...
  7. I

    SoC02 Wanawake na mitandao, leo kwake kesho kwa dada yako au mpenzi wako

    Tanzania ni miongoni mwa nchi zilizo kusini mwa jangwa la Sahara zinazofanya vizuri katika matumizi ya mitandao ya kijamii. Ripoti ya takwimu za robo ya pili ya mwaka 2020 za Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ilionesha watumiaji wa intaneti wameongezeka hadi kufikia milioni 27.1 mwezi Juni...
  8. ndandambuli

    Wazoefu: Zipi changamoto za kuishi kwa Shemeji/Dada?

    Mwezi wa 12 nitahamia kwa dada yangu, ni baada ya kukaribishwa na Shemeji kwa ajili ya kufanya shughuli ndogo ndogo za kujipatia riziki. Sasa kabla ya kuondoka nataka nifahamu changamoto kadhaa za kuishi na hawa watu na namna ya kukabiliana nazo.
  9. J

    SoC02 Hii ni sauti ya dada yako, rafiki yako naitwa Judith Kaunda, karibu unisikilize

    Wakati wa balehe kuna changamoto nyingi sana, binafsi nimekumbana na mengi. Mengine yakinisibu moja kwa moja, mengine nikijionea kwa macho, kati ya mengi niliyoona kwa macho, lilinitisha lile la mapenzi ya jinsia moja. Kama uliipita vyema balehe yako, basi na tumshukuru Mungu. Balehe nd’o ujana...
  10. Mpwayungu Village

    Mahakama nchini Kenya yatupilia mbali hoja za Raila Odinga

    Kweli kifo cha nyani miti yote huteleza, huyu mwamba ndiyo basi tena kwenye ndoto zake za kuwania Urais japo hatujui ya Mungu mengi. Nchini Kenya mahakama ya juu haifati mkumbo wala power of the power inafata sheria na miongozo siyo sisi bongo. Mungu ibariki Kenya ila Tanzania lolote litupate...
  11. Frumence M Kyauke

    Dada zetu wanatamani kuzaa. Wanaume wenzangu mnasubiri nini?

    Kijana wa kiume mwenye zaidi ya miaka 25 na una geto lako mwenyewe acha kuishi mwenyewe kama Jini, tafuta binti anzeni maisha na mpate watoto dunia ipate vijana wapya. Ukiangalia sababu kubwa ya vijana kutokuoa ni kudai kuwa wasichana wanataka kuhongwa na hamna pesa. Ngoja ni wambie kitu...
  12. Komeo Lachuma

    Hasa akina Dada hili Jambo si sawa Jamani tunatafutiana tu sababu za kuonana wabaya n.k chonde chonde sisi wengine zinatuathiri sana tu

    Hizi issues mkianika nje sisi wengine tunapatwa na hisia kinyama....yaani tena nikiona sehemu ambapo papuchi inakaa nadata kabisa ... Msianike nje please. Nyumba moja nlipanga dada mmoja akawa anaanika nje vifuniko vyake....siku moja nlimfuata na kumsihi sana asiendelee kufanya hivyo akaniambia...
  13. JanguKamaJangu

    Manyara: Binti ajinyonga baada ya kugombezwa na dada yake

    Binti mwenye umri wa miaka 14, Silvan Tumaini Isdori Mkazi wa Mtaa wa Majengo ya zamani Babati Mjini Mkoani Manyara amejiua kwa kujinyonga na chandarua chumbani kwake mara baada ya kugombana na dada yake aliyekuwa anaishia naye. Chanzo cha Ugomvi kimeelezwa kuwa ni baada ya dada wa Marehemu...
  14. R

    Dada wa kazi za ndani na utapeli mpya mjini

    Habari wakuu, Kumekua na hii tabia inayokuwa kwa kasi inayofanywa na wadada wanaofanya kazi za nyumbani. Tabia ambayo imegharimu na inaendelea kuwagharimu watu, hivyo wanajamvi muwe makini na watu hawa mnaowachukua kwa lengo la kusaidia kazi za nyumbani. Iko hivi, utakuwa na uhitaji wa kupata...
  15. JanguKamaJangu

    #COVID19 Dada wa Rais Kim Jong-Un akiri kaka yake kupata homa kali katika maambukizi ya Covid-19

    Imefahamika kuwa Rais wa Korea Kaskazini, Kim Jong-un alipata homa wakati wa maambukizi ya Uviko-19, hayo yamesemwa na dada wa kiongozi huyo, Kim Yo-jong. Kwa kauli hiyo ni wazi anathibitisha Kim Jong alipata maambukizi kama ilivyodaiwa, lakini Yo-jong amelaumu Korea Kusini kwa kudai walirusha...
  16. Nduka Original

    Nilitembea na binti ya dada yangu bila kutegemea

    Nilitembelea Mkoa fulani kikazi na katika mapumziko yangu jioni nilikutana na binti wa binamu yangu akiwa anapata kinywaji na kijana ambae sina uhakika kama ni boy friend wake ama la. Tukasalimiana na tukabadilishana na namba. Huyu binti alikuwa anafanya kwenye spa katika hoteli kubwa hapa...
  17. N

    Ushauri: Wateja wa mahakama a.k.a dada poa piteni hapa kuna jambo

    Moja kwa Moja kwenye maada. Kabla ya yote nadeclare interest, mimi Nangu Nyau mteja mzuri sana wa madada wauza papuchi aka wauza K aka makahaba. Pamoja na heshima yangu kwenye mambo nyeti hili ni la kwangu linalonipa burudani wazungu wanasema "my personal affair" OBSERVATION: Kuna katabia ka...
  18. The Garang

    Napanga kisasi, amekula nauli

    Assalaam alaykum. Wakuu hiki kitendo kimeniuma sana, kuna huyu dada alipost huko fb anatafuta kazi za mgahawani, kuuza duka, saluni na ishu za pesa, alikuwa ameweka namba za simu, dhehebu lake na mahali alipo ambako sio mbali na mimi. Nikascrinishoti nikapita kushoto. Nilifanya hivi, kuna dada...
  19. Surya

    Ifike sehemu jamii Itafute mbinu mbadala ya Kuwafunda dada zetu

    Last time hapa nilikuja na kuandika uzi mfupi tu, sikupata muda wa kusema yoteee Kuhusiana na hili janga la dada zetu wengi kushindwa kusimama kama Mke wa mume fulani na kukaa na familia wa kwanza Mume na watoto kwa pamoja. Taraka za midomo zimekua nyingi sana, watoto wanzidi kukosa malezi ya...
  20. R

    Wakenya leo hamuondoki mpaka tumalizane na dada zenu

    Aiseeeee habar wakuu leo naona sabasaba pamejaa wakenya wengine hata kiswahili tutashuka nao ngeli mpaka kieleweke leo lazima washike ukuta So wadau leo lazima kieleweke nipo na Zero IQ apa hatoki mtu tutaweka picha baadae Eaat africa community
Back
Top Bottom