dada

Dada () or Dadaism was an art movement of the European avant-garde in the early 20th century, with early centres in Zürich, Switzerland, at the Cabaret Voltaire (c. 1916). New York Dada began c. 1915, and after 1920 Dada flourished in Paris. Dadaist activities lasted until c. the mid 1920s.
Developed in reaction to World War I, the Dada movement consisted of artists who rejected the logic, reason, and aestheticism of modern capitalist society, instead expressing nonsense, irrationality, and anti-bourgeois protest in their works. The art of the movement spanned visual, literary, and sound media, including collage, sound poetry, cut-up writing, and sculpture. Dadaist artists expressed their discontent toward violence, war, and nationalism, and maintained political affinities with radical left-wing and far-left politics.There is no consensus on the origin of the movement's name; a common story is that the German artist Richard Huelsenbeck slid a paper knife (letter-opener) at random into a dictionary, where it landed on "dada", a colloquial French term for a hobby horse. Jean Arp wrote that Tristan Tzara invented the word at 6 p.m. on 6 February 1916, in the Café de la Terrasse in Zürich. Others note that it suggests the first words of a child, evoking a childishness and absurdity that appealed to the group. Still others speculate that the word might have been chosen to evoke a similar meaning (or no meaning at all) in any language, reflecting the movement's internationalism.The roots of Dada lie in pre-war avant-garde. The term anti-art, a precursor to Dada, was coined by Marcel Duchamp around 1913 to characterize works that challenge accepted definitions of art. Cubism and the development of collage and abstract art would inform the movement's detachment from the constraints of reality and convention. The work of French poets, Italian Futurists and the German Expressionists would influence Dada's rejection of the tight correlation between words and meaning. Works such as Ubu Roi (1896) by Alfred Jarry and the ballet Parade (1916–17) by Erik Satie would also be characterized as proto-Dadaist works. The Dada movement's principles were first collected in Hugo Ball's Dada Manifesto in 1916.
The Dadaist movement included public gatherings, demonstrations, and publication of art/literary journals; passionate coverage of art, politics, and culture were topics often discussed in a variety of media. Key figures in the movement included Jean Arp, Johannes Baader, Hugo Ball, Marcel Duchamp, Max Ernst, Elsa von Freytag-Loringhoven, George Grosz, Raoul Hausmann, John Heartfield, Emmy Hennings, Hannah Höch, Richard Huelsenbeck, Francis Picabia, Man Ray, Hans Richter, Kurt Schwitters, Sophie Taeuber-Arp, Tristan Tzara, and Beatrice Wood, among others. The movement influenced later styles like the avant-garde and downtown music movements, and groups including Surrealism, nouveau réalisme, pop art and Fluxus.

View More On Wikipedia.org
  1. Kwa nini vijana wa kiume wanajiachia na kuwa huru kwa dada zao

    Hiyo kichwa inahusika Watoto wa kike wakiolewa kaka zao wanakuja kama ndgu wengine. Cha ajabu tena katika umri mkubwa 30s wanajiachia kama mazombie. Hii kitu siielewi na nimeshuhudia vijana kwenye nyumb a kadhaa wakiwa very free na hawajali hata dada yao akitoa milio ya kupelekewa moto wanaona...
  2. Jamaa alieoa dada yangu mgumu kuwasiliana na sisi ndugu wa mkewe

    Huyu jamaa ni kweli tulimkabidhi dada yetu kifamilia, lakini baada ya miezi 6 kupita kuwasiliana adi tumpigie sisi, na sisi tumeamua hatutomtafuta akijisikia sawa tu, Jengine bado hajamalizia mahari, kuhusu maisha wanaishi vizuri na dada yetu ila sina uhakika 100%. Nyie vijana acheni dharau...
  3. Nahitaji dada wa usafi wa nyumbani

    Asanteni Nimeshapata!
  4. Nimesikiliza EP ya Rose Ndauka, huyu dada ni noma kama Nikki Minaji

    Baada ya say b, sister p na rah P kustaafu mziki sasa kuna ingizo jipya naomba sikiliza utojutia 😋😋😋
  5. Kama kuna mtu anahitaji dada wa kazi naomba tuwasiliane mara moja kwa Dar (DSM).

    Yupo Dada anahitaji nafasi ya kazi za ndani . Yupo Dar DSM Kuhusu yeye Ana age 18 Darasa la saba Anatoka Mtwara vijijini Dini yake Muslim. Uzoefu kazini ni miaka miwili amelea mtoto alikuwa Zanzibar Taarifa zake kuhusu boss wake wa zamani zipo pia Familia yake ipo na unaweza wasiliana...
  6. Dada zetu wakinunuliwa Zawadi na waume zao wanasema Mahaba lakini sisi tukifanya hivyo Kwa wake zetu wanasema tumerogwa!!

    Hivi ndivyo ilivyo wakuu...... Shemeji zetu wanapo onyesha upendo hadharani Kwa dada zetu kuwanunulia zawadi kadhaa wa kadhaa . Dada zetu hufarahii sana na kusema haya mahaba (Upendo/Anapendwa) Ni mara kadhaa tunaona mashemeji wakijenga ukweni. Familia nzima itamsifia sana huyo...
  7. Mashoga (Kaka Poa) wanavunja ndoa za watu: Dada zetu inabidi mpambanie ndoa zenu

    Katika pitapita zangu za Krismasi, nilijikuta huko Mbezi kwa ndugu nikiwa nasubiri sinia la pilau na nyama ya sungura. Mazungumzo ya hapa na pale yakazua skendo inayotikisa mtaa: Jamaa mmoja alimfukuza mkewe na watoto na kuanza kuishi na "kaka poa" (shoga). Kwa maelezo ya wenyeji, huyo kaka poa...
  8. TANZIA Butiama, mtoto wa dada yake Mwalimu Nyerere afariki Dunia

    Hii imetokea Desemba 24 kijijini Butiama ambapo Richard (Nyerere) Masanza mtoto wa dada yake Mwalimu Nyerere amefariki Dunia baada ya kuugua kwa muda mfupi. Richard amesoma shule ya msingi hapa Dar es Salaam, Kurasini. Alas,that is the only education he had. Ni binamu yangu,mtoto wa shangazi...
  9. D

    Huyu dada ni nani aliyeimba huu wimbo?

    Kuna anayefahamu huu wimbo umeimbwa na nani?
  10. Ushauri: Dada yupo kwenye ndoa miezi miwili sasa anaona ndoa kama utumwa

    Tumpe ushauri huyu dada
  11. G

    Dada wa kazi ya uwakala

    Habari wakuu kwa mtu mwenye ofisi ya uwakala na anatafuta dada mzoefu kwenye kazi ya uwakala anaweza kunichek...ikiwa Dar itapendeza zaidi
  12. Beatrice Mdogo wa Martha Mwaipaja aanika mabaya ya dada yake kwamba ana fedha nyingi lakini hamsaidii mama yake

    Mdogo wa Martha Mwaipaja aanika mabaya ya dada yake akidai kuwa Martha Mwaipaja ana fedha nyingi sana lakini hamsaidii mama yake vilevile akidai kuwa amejitenga na ndugu zake Tazama Video hizi kwa utulivu
  13. RC wa Tanga: Kuna vijana 30,000 wako nyumbani wanalelewa na dada na mama zao. Walipoulizwa wamesema hawatafuti ajira

    Wakuu, Vijana wa Tanga mna salamu zenu huko kutoka kwa RC wenu. =========================================== Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe Balozi Dkt Batilda Burian amesema Halmashauri ya Jiji la Tanga bado kuna Changamoto ya Vijana wenye Umri kati ya Miaka 15-35 ambao wanataka kulelewa na Mama...
  14. Dada aliyeacha usister tumekuja kufuatilia kumbe alifukuzwa kutokana na vurugu zake na eti anataka kubadilisha dini aolewe na muislamu

    Wakuu jana nilileta story kuhusu dada yetu aliyerudi nyumba baada ya kuacha utawa leo tulienda parokiani baada ya kuitwa na parokia na mama mkubwa wa shirika lao la usister aisee kumbe dada alianza vurugu kitambo sana za kutaka kuacha usister ila parokia walikuwa wanamsihi kwa sababu...
  15. Dada yangu amerudi nyumbani amesema wito wa usister wa Kanisa Katoliki umemshinda na anataka kuolewa

    Tupo hapa nyumbani mikocheni familia mzima tupo na kikao na dada yetu tumeshangaa kwanini amerudi kutoka utawani na wakati yeye mwenyewe ndiyo alisema anataka kuwa Sister halafu na leo amaerudi mwenyewe anasema wito wa Kanisa Katoliki umemshinda anataka kuolewa Daaah familia mzima tumepigwa na...
  16. wanawake huwa mnaangalia nini nyuma wakati wanaume tukitimiza majukumu yetu wakati wa tendo?

    Vichuna vyetu, hii imekaaje kugeuka na kutukodolea macho njemba tukiwa kwenye majukumu yetu? Mnatutisha mjue. Ni wapi huwa tunakosea?
  17. Dada kujulikana ukweni sio kuolewa. Kuongea na mtu masaa yote sio kuolewa. Kutolewa barua sio kuolewa.

    Dada kujulikana ukweni sio kuolewa. Kuongea na mtu masaa yote sio kuolewa. Kutolewa barua sio kuolewa. Unaweza ukawa na mtu miaka na msioane, Lakini ukaja kutana na mtu ghafla tu akawa ndio rizki yako. ......usijimalize sana dadangu.
  18. Dada yangu kipenzi nakukumbusha tu!

    DADA ANGU KIPENZI NAKUKUMBUSHA TU Dada angu mwema, naipenda furaha yako nami sisiti kukuhusia katika yale niyafahamuyo mimi ambayo ni mambo mema kwenye maisha yako 1. DADA ANGU mwema, mwanaume yeyote anayekupenda kwa dhati na anayekuwazia mema hawezi kukushawishi akulale kinyume cha maumbile...
  19. Mwanaume huu ndio mgawanyo wa wanaume kulingana umri waolionao na hulka walizonazo katika mahusiano

    1. WANAUME wenye miaka 20-27 wengi hawako serious na ndoa au mahusiano yenye kesho labda wale wa vijijini. Kijijini vijana wengi huoa kwasababu kama waongeze nguvu kazi ya familia, mahari mara nyingi zinatoka kwa wazazi sio zao (hawajazitesekea) lakini wanaume waliko mjini kwa 20-27 wengi ni...
  20. Dada yangu hata kama anaku post

    My sister Haijalishi ni mara ngapi mwanaume wako anakuposti, Always lazima kuna yule mwanamke wake pembeni ambaye anaelewa kila kitu na ameridhika.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…