dada

Dada () or Dadaism was an art movement of the European avant-garde in the early 20th century, with early centres in Zürich, Switzerland, at the Cabaret Voltaire (c. 1916). New York Dada began c. 1915, and after 1920 Dada flourished in Paris. Dadaist activities lasted until c. the mid 1920s.
Developed in reaction to World War I, the Dada movement consisted of artists who rejected the logic, reason, and aestheticism of modern capitalist society, instead expressing nonsense, irrationality, and anti-bourgeois protest in their works. The art of the movement spanned visual, literary, and sound media, including collage, sound poetry, cut-up writing, and sculpture. Dadaist artists expressed their discontent toward violence, war, and nationalism, and maintained political affinities with radical left-wing and far-left politics.There is no consensus on the origin of the movement's name; a common story is that the German artist Richard Huelsenbeck slid a paper knife (letter-opener) at random into a dictionary, where it landed on "dada", a colloquial French term for a hobby horse. Jean Arp wrote that Tristan Tzara invented the word at 6 p.m. on 6 February 1916, in the Café de la Terrasse in Zürich. Others note that it suggests the first words of a child, evoking a childishness and absurdity that appealed to the group. Still others speculate that the word might have been chosen to evoke a similar meaning (or no meaning at all) in any language, reflecting the movement's internationalism.The roots of Dada lie in pre-war avant-garde. The term anti-art, a precursor to Dada, was coined by Marcel Duchamp around 1913 to characterize works that challenge accepted definitions of art. Cubism and the development of collage and abstract art would inform the movement's detachment from the constraints of reality and convention. The work of French poets, Italian Futurists and the German Expressionists would influence Dada's rejection of the tight correlation between words and meaning. Works such as Ubu Roi (1896) by Alfred Jarry and the ballet Parade (1916–17) by Erik Satie would also be characterized as proto-Dadaist works. The Dada movement's principles were first collected in Hugo Ball's Dada Manifesto in 1916.
The Dadaist movement included public gatherings, demonstrations, and publication of art/literary journals; passionate coverage of art, politics, and culture were topics often discussed in a variety of media. Key figures in the movement included Jean Arp, Johannes Baader, Hugo Ball, Marcel Duchamp, Max Ernst, Elsa von Freytag-Loringhoven, George Grosz, Raoul Hausmann, John Heartfield, Emmy Hennings, Hannah Höch, Richard Huelsenbeck, Francis Picabia, Man Ray, Hans Richter, Kurt Schwitters, Sophie Taeuber-Arp, Tristan Tzara, and Beatrice Wood, among others. The movement influenced later styles like the avant-garde and downtown music movements, and groups including Surrealism, nouveau réalisme, pop art and Fluxus.

View More On Wikipedia.org
  1. Dada iko hivi, maisha ni magumu, kijana wa miaka 28 hana kazi au kapata kazi lakini ana ndugu zake kibao wanamtegemea.

    Dada iko hivi, maisha ni magumu, kijana wa miaka 28 hana kazi au kapata kazi lakini ana ndugu zake kibao wanamtegemea. Kama akikupa hata elfu kumi ya saluni au nauli ya kurudia ridhika maana naye anatafuta. Wewe unalalamika halafu unajilinganisha na wale rafiki zako ambao kila siku wanakula...
  2. Kwanini Shemeji wa Kiume huwa na hisia za chuki unapokuwa na mahusiano na Dada yake?

    Wakuu tujadiliane hili kidogo Hivi karibuni nilizama kwenye dimbwi la mapenzi na mrembo mmoja hivi mtaani kwetu, wakati penzi likiendelea kunoga kaka yake ambaye ni shimeji yangu alishtukia kuwa natoka na mdogo wake. Cha kusangaza alitafuta namba yangu na kunicheck na kunichimba mkwara mara...
  3. Dada Poa waliodhibitiwa na Mkuu wa Wilaya ya Ubungo walitokomea wapi?

    Hivi umewahi kujiuliza mahali walipokimbilia wale dada poa (vipozeo) baada ya kudhibitiwa na mkuu wa wilaya ya Ubungo? Wako wapi? Ama wanafanya nini kwa wakati huu? Walijiajiri ama kuajiriwa wapi? Hii inastaajabisha sana! Hata Dinosours hawaku-perish kirahisi hivi kutoka kwenye uso wa dunia...
  4. Dada huyu yalimkuta huko

    DADA HUYU YAMEMKUTA😂😂😂 Tukumbushie kidogo miaka ya nyuma. Mwanamke mmoja nchini nigeria alilalamika mtandaoni baaada ya kutembea zaidi ya km 250 kumfata mwanaume aliyekuwa anachart nae mtandaoni Lakini alichoka baada ya kujua aliyemfata ni kijana mwenye umri wa miaka 15 😂😂😂
  5. Wakina dada migahawani mjitahidi usafi

    Asilimia 80 ya wakina dada wa migahawa mmekuwa ni wachafu sio tu mazingira hata usafi wa mwili badilikeni uwezi kumuhudumia mteja huku umejifunga kanga au kijora kichafu miguu imepauka Ebu angalieni hizi uniform muone kama nigharama kuzinunua au ni nyinyi mmeamua kufanya kazi kimazoea
  6. Dada zetu tamaa mbele

    MKAKA: Mambo.? MDADA:- Poa MKAKA: Pandezipi? MDADA:- Dodoma MKAKA: Unasoma? MDADA:- Ndio MKAKA: Hakika nimeona picture zako vile umedamshi nimetokea kukupenda ghafla! MDADA:- Una kazi gani? MKAKA: Me Headmaster wa Igunga secondry school. MDADA:- Wao upo sahihi kweli kunipenda mie na najisikia...
  7. Huyu Dada alikuwa ni kati ya Mashabiki wa kweli wa Yanga. Sasa hivi yuko wapi!?

    Nimeileta hii hapa ili kummpa heshima. She was the best fan. Miaka ile ya kina Ngasa, kabla. Ya filters ktk cm.. 2011..2013.. Mimi binafsi nilimpenda na nikamfolow FB. YUKO WAPI SASA, ANYONE p'se.
  8. Watu wa Sheria Nisaidieni kwenye hii ndoa ya Dada angu

    Dada angu kaolewa miaka karibia 10 Sasa , ana watoto watatu , wamejenga nyumba, na wanamiliki mashamba makubwa ambayo Yana mazao kila mwaka wanavuna. Bwana ake (shemeji) mpaka Sasa hajamtolea mahali dada angu tumejaribu kufwatilia kama family bwana shemej anapiga Kona Kona nyingi sana , Hilo la...
  9. Fanya ni dada yako, ungemsaidiaje?

    Ni binti mrembo anampenda MUNGU na mwenye akili ila amezaa na Mume wa mtu ambaye mwanzoni wakati penzi limepamba moto Mwanaume alimuambia Mdada aache kazi atamuhudumia na mtoto ila penzi life kwakuwa hakuwa tayari kuzaa nae. Muda umeenda Mdada kweli alikubali kuacha kazi. Mwanaume anamtimizia...
  10. Dada zangu mtuliege

    Nimei copy X Leo nimeshuhudia fedheha. Yaani leo ilikuwa birthday ya dem mmoja hivi karibu na hapa ofisini, sasa ana jamaa anayempenda kweli. Na Jamaa sijui machale yakamcheza kutaka kujua yupo peke yake kwa dem, so akamuandalia zawadi nyingi tu na nyingine akamtumia kupitia mtu mwingine...
  11. Huyu mshangazi anataka kunitumia kama daraja

    Habari wakuu Kuna dada mmoja nilisoma naye zamani, miaka mingi kidogo iliyopita. Katika mazingira ya shule tulikuwa tukionyeshana hisia kwa mbali ingawa mpaka tunamaliza hatujawahi kuwa wapenzi. Baada ya kuhitimu kila mmoja aliendelea na maisha yake, yeye aliolewa na bwana x, aliyekuwa...
  12. Dada zetu Acheni kudanga; ama mpunguze. Hii ni too much sasa.

    Kama wazazi wenu hawa muambii Ni vyema na haki mkaachana na biashara ya udangaji kwani ni hatari Kwa afya zenu na Kwa jamii pia. Leo kwenye saa6 mchana mdada wawatu kidogo achinjwe. IKO HIVI..... Huyu dada alikuwa na bwanake permanent anaye muhudumia Kila kitu inshort ni nusu Mme wake...
  13. G

    Kwetu wakristo watoto wa nje wana haki sawa ya kurithi mali kama watoto wa ndani ya ndoa, Dada wa Arusha awape mali watoto wa Housegirl

    Watoto wote wana haki sawa, maamuzi ya wazazi hayana uzito wa kuwabagua, Mali zipigwe pasu kwa pasu kwa watoto wote bila kujali ni wa ndani ya ndoa au nje. Nimeshangazwa kusikia kinachoendelea huko Arusha kwamba mke wa marehemu bilionea YTemu anajitetea kwamba walifunga ndoa ya kikristo ya mke...
  14. TANZIA MwanaJF Dada Niah amefariki dunia akipatiwa matibabu Dodoma General hospital

    Kwa majonzi makubwa nachukua nafasi hii kuwatangazia ya kwamba dada mama na ndugu yetu mwanaJamiiForums mwenzetu dada niah ametwaliwa kutoka maisha haya..! Amefariki juzi tarehe 2 Dodoma General hospital alikokuwa akipatiwa matibabu Msiba uko nyumbani kwake Dodoma na ndugu yetu Mwifwa yuko huko...
  15. M

    Tumsaidiaje huyu dada kwa hili timbwili?

    Salamu kwenu wakuu. Jambo hili nimeona hapa ni mahali sahihi pa kupata solution ya kumaliza vizuri jambo la huyu dada. Ipo hivi, leo kuna workmate mwenzangu na my best friend anafanyiwa send off huko kwao na huyu workmate mwenzangu ana rafiki aitwaye Clara wameshibana sana na huyu Clara ni...
  16. Kasi ya wanaume kununua dada poa imeongezeka miaka ya hivi karibuni

    Habarini, Nlikuwa mahali kwenye sehemu wanapopatikana maafisa utamu, ndani ya Moja ya majiji makubwa yanayopatikana hapa nchini, nikizuga napata kilaji aloo, kwenye gesti wanazojiuza madada poa wanatoka watu wazima na vijana ambao kwa muonekano wa nje hawafananii kabisa, ukiwaangalia utasema ni...
  17. B

    Bajaji aliyoacha marehemu mama imeanza kunigombanisha na baba yangu mzazi pamoja na dada yangu tumbo moja nifanyeje?

    Heshima yenu! Wanajamii Jf! Ushauri kwa kijana wenu Nina miaka 24 tu na ndio nimemaliza Chuo miezi miwili Sasa! Katika harakati za kuona nisikae kinyonge Daslamu niliamua kurudi nyumbani bwana! Geita Basi dada yangu akawa amenipa 260000/=, nilimwambia nitafanya biashara ya kutembeza mayai...
  18. Mwanaume haibiwi anaenda mwenyewe😹🙌 Amka dada‼️

    Ww kama mwanamke mwenye akili timamu usiwahi kunyanyua mkono wako kumpiga mwanamke mwenzio au kumletea Fujo yoyote kisa anatembea na bwana ako...mwanamke anatongozwa..na Kwa madai ya kwamba alijipeleka mwenyew..swala linarudi pale pale kwamba huyo mwanaume na yeye alikubali ilhali anajua ana mke...
  19. Dada zetu acheni kugeuza chumba cha kulala kuwa choo

    Hii tabia ya dada zetu wawapo chumbani usiku wakishikwa na haja ndogo unakuta wanajisaidia kwenye makopo Kisha asubuhi wanapishana kwenda chooni kumwaga kojo lao sio sawa na ni kero, leo ilibaki padogo nioge kojo baada ya dada mmoja kutaka kumwaga wakati mimi niko uko faraghani, kama mnahogopa...
  20. A

    Wewe dada na kaka Mungu awabariki sana

    Mnamo September 6 niliandika Uzi uliohusu Hali ya biashara yangu kukosa wateja, nilipokea maoni mbalimbali kwenye Uzi na PM pia (Nawashukuruni nyote kwa maoni yenu na ushauri ) Miongoni mwa PM nilizopokea ni za huyu dada (sitopenda kumtaja) dada huyu yupo Kigamboni Alinifuata PM akanambia kama...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…