dada

Dada () or Dadaism was an art movement of the European avant-garde in the early 20th century, with early centres in Zürich, Switzerland, at the Cabaret Voltaire (c. 1916). New York Dada began c. 1915, and after 1920 Dada flourished in Paris. Dadaist activities lasted until c. the mid 1920s.
Developed in reaction to World War I, the Dada movement consisted of artists who rejected the logic, reason, and aestheticism of modern capitalist society, instead expressing nonsense, irrationality, and anti-bourgeois protest in their works. The art of the movement spanned visual, literary, and sound media, including collage, sound poetry, cut-up writing, and sculpture. Dadaist artists expressed their discontent toward violence, war, and nationalism, and maintained political affinities with radical left-wing and far-left politics.There is no consensus on the origin of the movement's name; a common story is that the German artist Richard Huelsenbeck slid a paper knife (letter-opener) at random into a dictionary, where it landed on "dada", a colloquial French term for a hobby horse. Jean Arp wrote that Tristan Tzara invented the word at 6 p.m. on 6 February 1916, in the Café de la Terrasse in Zürich. Others note that it suggests the first words of a child, evoking a childishness and absurdity that appealed to the group. Still others speculate that the word might have been chosen to evoke a similar meaning (or no meaning at all) in any language, reflecting the movement's internationalism.The roots of Dada lie in pre-war avant-garde. The term anti-art, a precursor to Dada, was coined by Marcel Duchamp around 1913 to characterize works that challenge accepted definitions of art. Cubism and the development of collage and abstract art would inform the movement's detachment from the constraints of reality and convention. The work of French poets, Italian Futurists and the German Expressionists would influence Dada's rejection of the tight correlation between words and meaning. Works such as Ubu Roi (1896) by Alfred Jarry and the ballet Parade (1916–17) by Erik Satie would also be characterized as proto-Dadaist works. The Dada movement's principles were first collected in Hugo Ball's Dada Manifesto in 1916.
The Dadaist movement included public gatherings, demonstrations, and publication of art/literary journals; passionate coverage of art, politics, and culture were topics often discussed in a variety of media. Key figures in the movement included Jean Arp, Johannes Baader, Hugo Ball, Marcel Duchamp, Max Ernst, Elsa von Freytag-Loringhoven, George Grosz, Raoul Hausmann, John Heartfield, Emmy Hennings, Hannah Höch, Richard Huelsenbeck, Francis Picabia, Man Ray, Hans Richter, Kurt Schwitters, Sophie Taeuber-Arp, Tristan Tzara, and Beatrice Wood, among others. The movement influenced later styles like the avant-garde and downtown music movements, and groups including Surrealism, nouveau réalisme, pop art and Fluxus.

View More On Wikipedia.org
  1. Makonda: Rais Samia ni dada wa Kanda ya Ziwa

    📌📌 RAIS SAMIA NI DADA YETU, WATU WA KANDA YA ZIWA - MWENEZI MAKONDA "Dkt. Samia Suluhu Hassan, Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi ni dada wa kanda ya Ziwa. Tuna wajibu wa kumuombea, kumlinda na kumtetea kwa sababu kaka yetu Dkt. John Pombe Joseph Magufuli ndiye aliyetutambulisha na kutuambia...
  2. Dada uzuri wako usiulete nyumbani kwako, utaachika

    Dada Yangu, Ni kweli wewe ni mzuri sana wa sura, tumekubali. Ni kweli mwonekano wako na shepu lako linaweza kumvutia kila mwanaume rijali, hili pia tumekubali. Ni kweli umesoma sana, elimu nzuri na sasa kimtindo kama umejipata hivi!! Aisee!! tumekubali. Ni kweli umetoka kwenye familia bora...
  3. Dar: Kijana ashushiwa kipondo na Dada poa baada ya kushindwa kulipia huduma

    Kama Kuna Watu wako hatarini kutoweka ni wanaume halisi.....jamaa kapokea kipondo heavy baada ya kushindwa kulipia huduma ya dada poa. WENYEWE WAJITETEA KUWA NI MAIGIZO, SIO UHALISIA. JAPO WAMESHINDWA KUSEMA NI MAIGIZO YA KIKUNDI GANI NA MAUDHUI YAKE NI NINI ......
  4. Dada yangu zingatia sana kuolewa liwe jambo lako la kwanza

    Ewe dada yangu, mama yangu, shangazi yangu. Katika maisha yako weka sana kipaumbele kuolewa. Hata na wewe baba yangu jitahidi sana kupambania kuozesha mabinti zako kwa hali na mali. Huo mzigo unaoung'ang'ania ipo siku utakuja nikumbuka. Ukiona una mabinti wawili watatu wapo tu...
  5. Akina dada, huu msemo huwa una maana gani? ....."we tu endelea kuchat na sim... minikisha lala sitaki usumbufu"

    Karibu kila siku 'mywangu' tukiwa kitandani unilalamikia ....."we tu, endelea kuchat na sim... minikisha lala sitaki usumbufu"
  6. Moja ya watu wa kuwa nao makini kuhusu mke wako ni dada zako

    Kama mwanaume ndio au miongoni mwa waliofanikiwa kwenye familia, usipokuwa makini utagombanishwa na mke wako. Dada zako watajifanya wana extra caring ya kumzidi mkeo + majungu kibao. Kuna muda ni wifu kuwa wao hawafanyiwi na waume zao unayomfanyia mke wako na wapo pia hawaoneshi caring kwa wae...
  7. S

    ONYO kwa akina dada wote kuhusu huduma ya kukuza makalio itakayoanza kutolewa Mloganzila

    Mloganzila wanajitangaza kwamba wanataka kuanza kukuza makalio. Lakini najiuliza, kwa utaalamu upi? Kwa umakini upi? Wa watu wapi? Hawa hawa wanaosahau mikasi tumboni mwa wagonjwa? Hawa hawa wanapasua kichwa badala ya mguu? Hawa hawa wanaomdunga ganzi nyingi kupitia kiasi (overdose) mama...
  8. Hospitali ya Mloganzila yaanzisha huduma ya kurekebisha 'shape' ya mwili

    Swali: Je, Serikali imeridhia Kuruhusu kuanza kutoa Huduma kama hizi zinazoharibu Maadili ya Nchi na dini? Aisee Kwa Sasa kuja kupata binti natural itakuwa ni Mtihani. -- Hospitali ya Taifa Muhimbili-Mloganzila kwa mara ya kwanza nchini itafanya huduma za kibingwa bobezi za upasuaji wa...
  9. H

    Utapeli wa huyu dada wamtokea puani

    Habari wanajf Nilienda mkoa mmoja hivi kwa shughuli binafsi, wakati nipo pale kwa muda mchache kulikuwa na tukio moja limetokea na story yake iko hivi mdada mmoja mzuri sana pale mtaani alikuwa amekula hela za jamaa mmoja lakini mzigo akawa hatoi ndani ya wiki 1 tu jamaa kashatumia laki 2 kwa...
  10. Mungu anaangalia roho sio mavazi, Makanisa muwaachie dada zetu kuwa huru kuvaa wanavyotaka, hata vipensi ni mavazi, tunachoangalia ni roho

    Hapo zamani nilishuhudia kwa macho yangu makanisa yalikuwa na tabia za ajabu kuwavisha kanga wanawake waliokuja wamevaa sketi zilizobana kwa mbali, waliovaa suruali hata ziwe pana walifukuzwa kabisa kurudi nyumbani. Tunashukuru kadri muda umeenda makanisa yamejitambua, Leo hii wanawake...
  11. Jay Dee wacha nikwambie ukweli dada angu. Wimbo wako mpya " mambo matano" sio mzuri

    Achana na watu wanao komenti kwa kukuogopa kwenye page yako huko instagram. Ukweli ni kwamba wimbo wako sio mzuri na hauendani na nyakati zilizopo. Nakushauri ufanye tena research yako vizuri. Kisha nenda upya studio uje na wimbo mpya. Ni hayo tu dadake
  12. H

    Hivi dada ukiwa unampenda mwanaume halafu yeye hakutongozi, huwa mnafanya nini?

    Hivi dada ukiwa unampenda mwanaume alafu yeye hakutongozi, hua mnafanya nini?
  13. Kwa Jinsi maisha yalivyo ni bora dada zetu wakapewa hii siri Mapema

    Kwa jinsi watoto wakike wanavyoingia broke na kupoteza thamani yao, Ni bora hii siri wakaifahamu kuwa uzuri wa nje hauna msaada wowote katika kutoboa Maisha. Wanabidi kupambana kujiziboresha akili zao na sio kuhangaika na kuuboresha Mwili na kusahau kujiboresha ghorofani. Katika Dunia ya leo...
  14. Viongozi gani hao waliomuona “Dada wa Watu Nyani” na waimbaji wenzake?

    Habari za jumapili! Leo nimebahatika kuusikia wimbo wa mwanadada mmoja ambaye nimemfahamu kupitia wimbo huo. "Mnatuona Nyani" ndio jina la wimbo huo. Huyo dada amelalama, amelalamika, ametoa dukuduku lake, ametoa yamoyoni mwake, ametoa yanayomsibu, ametoa mtazamo wake dhidi ya wale...
  15. Mwanamke mwenye mtoto/watoto, unapotafuta mume tafuta ambaye atakubaliana na hali yako

    Habari za j2 wana JF. Naitaji kuzumza hili kidogo kwa single mothers, Unapokuwa unatafuta mume wa kuingia nae kwenye ndoa tafuta ambaye atakubaliana na hali yako kwa sababu wewe unamtoto tayari. Sasa akikataa mtoto wako unataka aende wapi? Kuna ndugu yetu mmoja ni single mother mwaka huu...
  16. W

    Baada ya kufuatilia uendaji wa chooni wa huyu dada muuza mgahawa, nimejiapiza sili tena migahawa ya uswahilini

    Nikiwa sina kazi leo nikaamua kujishughulisha kidogo kwa kufanya kautafiti kangu ka-usafi (afya) wa hivi vi-mgahawa vya hapa mitaani kwetu tunakopatia chai na lunch. Nikaona nishughulike na nyendo zao za chooni kwanza. Nimepitia migahawa minne na kote nimekutana na mambo yanayofanana kwa 100%...
  17. Leo nimemeshangaa sana kwamba Dada poa Marekani ni shilingi laki 7, Tanzania tukae kwa kutulia

    Nimeshangaa sana hii ishu na huenda ndio maana wamarekani huwa wanalia sana ukiendekeza wanawake unafilisika. Yaani kununua dada poa ni dola 300 (Tshs laki 7 na nusu), ukiomba upunguziwe na kakuelewa labda 250 (Tshs laki 6 na 20), ukilia sana basi iwe walau short time basi 200 (Tshs laki 5 )...
  18. Serikali fuatilieni hizi kampuni za kitapeli zinazodai zinakopesha mitandaoni, mama zetu wanalizwa vibaya sana

    Hizi kampuni fake zinadai zimesajiliwa na serikali lakini zinafanya kazi ya utapeli, zipo nyingi, cjui tala imarisha maisha. Tulia mikopo online na zingine zinatumia majina ya Jokate Mwegelo na kuna hawa wanatumia matangazo na video za watu mashuhuri kwa kuziedit. Watanzania wamepigika...
  19. Huyu dada anayejiuza barabarani nilimwonea huruma sana

    Kwanza nianze kusema kuwa kwenye tasnia ya kununua makahaba nina uzoefu wa miaka 7+ ila nlichokiona kwa huyu dada Juzi kilinipa huzuni rohoni.. Juzi kati nlifika maeneo ya wadada wanaojiuza barabarani, kwenda kusuuza rungu, nkamchukua mdada mmoja tumefika chumbani, tukafanya yetu tukamaliza...
  20. Sport extra; huyu dada anayereport habari kutokea Ufaransa ni mwanahabari kweli?

    Kiukweli ana uwasilishaji mbovu mno. Anarudia rudia kitu kimoja hata mara tano. Halafu na wao huwa sioni uhimu wa yeye kutoa taarifa tena maana ni kama tu anarudia kile ambacho wakina Lwambano wameshareport.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…