damu

Damu is a god of vegetation and rebirth in Sumerian mythology.

View More On Wikipedia.org
  1. Tukuza hospitality

    SoC03 Hospitali Hazipaswi kuwa na Upungufu wa Damu Salama

    Utangulizi Kwa muda mrefu nimekuwa nasikia kampeni ya kuchangia damu kwa hiari kwa ajili ya kuwekeza katika Benki ya Damu Salama, kwa ajili ya kuwaongezea wagonjwa (wenye uhitaji huo) mahospitalini. Katika pita pita yangu, nimebahatika kuchangia damu kwa hiari mara mbili. Hivi karibuni...
  2. N

    Mimi Na Mama Damu Damu Campaign

    MIMI NA MAMA DAMUDAMU COMPAIGN. NOTE DHANA (CONCEPT NOTE) UTANGULIZI Pamoja na ukuaji mkubwa wa kiteknolojia na gunduzi nyingi zinazofanywa katika sekta ya afya na utabibu bado haiwezekani kuunda damu katika maabara.Uchangiaji wa damu kwa hiari...
  3. Tukuza hospitality

    SoC03 Ugonjwa wa Shinikizo la Damu ni wa Wote Sasa, Tuwajibike Kuudhibiti

    Utangulizi Miaka ya nyuma, magonjwa mengi yasioambukiza yalitawala sana nchi zilizoendelea, magonjwa haya ni shinikinizo la juu la damu, kisukari, saratani, magonjwa ya figo, na kadhalika; ambayo pia yaliwapata watu wenye umri mkubwa, yaani kuanzia miaka 60 na kuendeleza. Wakati huo, nchi nyingi...
  4. M

    Urusi vs Wagner: Wagner wasitisha 'Uasi' na safari ya kwenda Moscow yasitishwa, wadai hawataki kumwaga damu ya Warusi

    Wapiganaji wa Wagner waelekea Moscow kuuondoa utawala wa kijeshi unaoongozwa na SERGEI SHOIGRU. Kiongozi wa Wagner anadai kwamba majeshi ya urusi yamekuwa yakishambulia kambi zao nchini UKRAINE. Huu Uzi nitatoa update ya kila kinachoendelea. ===== Update: Maafisa wa Ukraine wasema watatumia...
  5. FRANCIS DA DON

    Je, inawezekanaje watu milioni 60 kuwalillia kwa machozi ya damu watu wasiozidi 20 na bado wakaleta dharau?

    Hivi hii mifumo ya kiutawala hapa duniani na nchini kwetu huwa ina siri gani ndani yake? Mfano kwa hapa Tanganyika, watu milioni 60 wanalia na kusaga meno, tena huku wakiwapigia magoti Watu wasiozidi 20, kuwaomba wasiingize nchi utumwani kwa kugawa bure rasilimali za taifa, lakini kwa dharau na...
  6. Blue-ish

    Naomba mwongozo juu ya biashara ya kukopesha wajasiriamali inayoitwa kausha damu

    Habari zenu wakuu, Nilikuwa naomba mwongozo juu ya biashara ya kukopesha wajasiriamali wadogodogo kiwango cha fedha fulani.
  7. S

    Nimegundua ndugu yangu wa damu ni mshirikina

    Habari zenu, Nina jambo ambalo linanitatiza jamani. Mimi ni mkazi wa Dar na asili yangu ni mkoa fulani ukanda wa pwani. Nimetokea kwenye familia za kiswahili, baadhi wamenielewa familia za namna gani. Naomba niende straight to the point ni hivi nimegundua ndugu yangu wa damu ni mshirikina yan...
  8. Tukuza hospitality

    SoC03 Uwajibikaji na Utawala Bora ni muhimu ili kuzuia mikataba inayonyonya damu

    Nimevutiwa kuandika Makala hii kutokana na mjadala unaoendelea hivi sasa, kuhusu mchakato wa bandari ya Dar-es-Salaam kuingia mkataba wa uendeshaji na kampuni ya DP World ya Dubai. Ni habari ambayo imetawala vyombo vingi vya habari! Kielezo Na. 1: Bandari ya Dar-es-Salaam Chanzo: KWELI -...
  9. Mr mutuu

    Mikataba tunayoingia itamwaga damu za Wajukuu zetu

    Kwa aina hii ya mikataba ambayo haina kichwa waa miguu, baada ya Miaka kama 50 Tanzania tutapata kizazi ambacho kitakua kinajielewa, achana na kizazi hiki cha kunywa visungura, sijui double kiki, yokozuna na vitoko sijui. Watakapotaka kutumia rasilimali zao kuendeleza taifa ndo watakuta Kila...
  10. Mwamuzi wa Tanzania

    Endeleeni tu kuwaruhusu wake zenu wajiunge na VICOBA na mikopo ya kausha damu

    Kwa hakika mwanamke akiwa mzuri hutongozwa mpaka mara 50 kwa mwezi na akiwa mbaya hutongozwa mpaka mara 15 kwa mwezi endapo atakuwa anafanya kazi mahali pa watu wengi (public). Sasa mikopo ya kausha damu au chupi mkononi ambayo inamtaka arudishe marejesho kila siku ile siku hana cha kurudisha...
  11. F

    Ndoto: Mganga maarufu kule kwetu kanipa kikombe cha damu ninywe

    Habari za majukumu Wana wa JF. Nimeota ndoto juzi usiku, Mganga maarufu kule nyumbani kwetu ananikabidhi Kikombe cha damu ninywe. Sijajua damu ya nini ila niliona Kama ina mchanganyiko wa maji ndani yake. Sikumbuki vizuri Kama niliionja damu au laahh. Nachokumbuka ni kuwa ndoto iliisha...
  12. McCord

    Hakuna kabisa dawa ya makosa yakututakasa ila damu yake Yesu

    Anayeijua hii tenzi anisaidie kwa kuipata na kama ana link ya audio anisaidie
  13. The Supreme Conqueror

    Mbio kuelekea 2025 machozi jasho na damu

    Wakuu kumekua hali ya kawaida katika Nchi zote Duniani inapokaribia mwaka wa uchaguzi huwa na fukuto na joto la vyama na Wanasiasa kujiandaa kwajili ya uchaguzi husika hii tumekua tukisikia kila Kona ya Dunia Watu kushutumiana, kuchafuana, kuwekeana vikwazo na wakati mwingine hata kudhuriana...
  14. S

    Mikopo ya "Kausha damu" yawakaba koo walimu Mbozi

    Baadhi ya walimu wa shule za msingi na sekondari wilayani Mbozi mkoani Songwe, wameomba uwepo wa majukwaa ya mara kwa mara yatakayolenga kutoa elimu ya utambuzi wa Taasisi sahihi za kifedha zinazotoa huduma za mikopo, ili waweze kujiepusha na Taasisi ambazo zimekuwa zikiwakopesha mikopo yenye...
  15. fungi06

    Maambukizi ya homa ya mfumo wa mapafu hewa, yanayosababisha mgando wa damu mwilini ni ugonjwa gani?

    Hiyo process inasemekana husababisha damu kuganda na moyo kusimama hapo hapo. Kwani homa hii inaambukizwajwe? Hayo maambukizi ya mfumo hewa yani mtu anaambukizwa vipi? Nawezaje kutambua ninazo dalili za gonjwa hilo? Nauliza pia ili nijue nawezaje kumpatia huduma yakwanza mtu mwenye gonjwa...
  16. Roving Journalist

    Wachangia damu kuokoa maisha ya watoto wanaofanyiwa upasuaji wa moyo

    Afisa Muhamasishaji kutoka Mpango wa Taifa wa Damu Salama Kanda ya Mashariki Mary Meshy akimpima kiwango cha damu mwananchi aliyejitokeza kuchangia damu ambayo itatumika kwa watoto watakaofanyiwa upasuaji wa moyo wakati wa kambi maalum ya matibabu itakayofanywa na wataalam wa JKCI kwa...
  17. Suley2019

    Mtwara: Madaktari wafanikiwa kuondoa damu kwenye ubongo wa mtoto

    JOPO la Madaktari katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda Kusini, Mtwara wamefanya upasuaji wa kuondoa damu kwenye ubongo wa mtoto wa miaka tisa kwa mafanikio makubwa baada ya kutumia vifaa vya kisasa kufanya uchunguzi na kubaini tatizo hilo. Akizungumza Kwa njia ya simu na chombo kimoja cha habari...
  18. L

    Kuna athari gani, pombe ikizidi kwenye damu?

    Kuna athari gani, pombe ikizidi kwenye damu? Naomba madaktari mnijibu tafadhali, nimepimwa hospital nimeambiwa,nipunguze pombe otherwise nitatembea. Wajuzi wa Mambo naomba majibu,am confused
  19. R

    Wazazi tuwaweke watoto na ndugu zetu wanaopambana na ufisadi mikononi mwa Mungu; kuna familia zinalinda madaraka kwa kumwaga damu.

    Kuna watu wameingia kwenye mfumo wa siasa na biashara wanaishi Kwa dili. Ukisikiliza bungeni ni kama vile wanafanya siyo Kwa Siri tena Bali wanafahamika na hakuna wakuwafanya chochote. Tumemsikia Msukuma kuhusu sakata stika za ushuru; anasema wazi kwamba kuna watu wanufaika na kwamba anaogopa...
  20. CK Allan

    Hadithi: Mzaha wa damu

    Wakuu! Nimerudi mapema kuliko nilivyotarajia. Hii ni kutokana na sababu kadhaa Mosi, nilifanikiwa kupata device nyingine japo sio yenye vile viwango nilivyotaka lakini inaweza! Pili , watu wengi wameonyesha upendo wa Hali ya juu kwangu! Kwa hivyo, nimekuwa nikipokeaa simu na jumbe nyingi na...
Back
Top Bottom