dar

Darkənd (also, Dər, Dar, and Der) is a village and municipality in the Ordubad District of Nakhchivan, Azerbaijan. It is located in the south of the Ordubad-Nakhchivan highway, 15 km in the south-west from the district center, on the right bank of the Gilanchay River. Its population is busy with gardening, vegetable-growing, animal husbandry. There are secondary school and a medical center in the village. It has a population of 500. The ruins of the historical and architectural monuments is in the territory of the village. The tomb, the mosque's minaret, etc. is attracting attention.

View More On Wikipedia.org
  1. Kasri Homes Tz

    INAUZWA Chang'ombe: 500 Sqm Workshop / Warehouse For Sale - Dar

    • Direction: Maduka Mawili/Keko Furniture, Toroli Road • Survey: Surveyed • Workshop/Plot Area: 500 sqm • Document: Residence License • Price: TSH 150 million . ✓ panafaa zaidi kwa biashara ya mbao kama kuhifadhi na kuuza au kusimika mashine za kuchana na kuranda pia uundaji samani (furniture) ✓...
  2. The Watchman

    Madereva Bolt Dar Waandamana Mpaka Ofisi za Bolt

    Madereva wa taksi za mtandaoni za kampuni ya Bolt wameandamana leo Oktoba 15,2024, mpaka yalipo makao makuu ya kampuni hiyo eneo la Morocco Kinondoni. Madereva hao wanapinga makato ambayo kampuni hiyo inawakata katika kila safari, ambapo wanaeleza ni asilimia 25, huku wakieleza kuwa agizo la...
  3. Mwanamke wa mithali 31

    Zile kazi zilitoka za uandikishaji daftar la kupiga kura ....Hapa Dar zilitoka kimya kimya au?

    Eti nyie ambao m,meitwa mliitwa kimyakimya au bado ??
  4. Kasri Homes Tz

    Plot4Rent Kurasini: Ocean Front 2.5 Acres Yard For Long Lease - Dar

    • Direction: Nyrerere Bridge Road • Yard Area: 10,500 sqm • Rent: USD 10,000/month (payment in TSH is accepted) • Terms: 5 to 10 years • Viewing charge: TSH 30,000 . ✓ yard imepimwa na ni salama kwa matumizi ya viwanda ✓ inatazamana na bahari upande mmoja na upande mwingine inatazamana na...
  5. Kasri Homes Tz

    House4Sale Kinyerezi: 2 Storeys 4 Bedrooms House For Sale - Dar

    • Direction: Kinyerezi • Facilities: 4 bedrooms, 2 washrooms • Plot Area: 940 sqm • Document: Title deed • Price: TSH 320 million • Viewing charge: TSH 30,000 . ✓ nyumba (ghorofa) ina vyumba master 2 na kawaida 2; sebule, dining, jiko, stoo, choo ya public na bindo ✓ ina malumalu, gypsum...
  6. C

    Dalali wa kuuza nyumba Dar anahitajika

    Aisee Kuna nyumba Iko dar imegoma kuuzika kama kama mwaka saa hii😀 Sasa kama Kuna dalali hodari anicheki Whatsapp au normal namba naacha hapo chini, nitakutumia picha na kila taarifa bei tutajadiliana ilimradi pauzike 0622905303
  7. R

    Plots, Apartments for Sale

    Apartments for Sale Nzuri sana ya kisasa, iko Mikocheni Karibu na palm village, barabarani kabisa. Fully furnished, 3 master bedroom, kuna gym na swimming pool. Inauzwa $220,000 ( Dola laki mbili na ishirini) Ina mteja analipa kodi $1500 per month, Kama mtu anataka kuhamia mteja atapewa notice...
  8. Kasri Homes Tz

    House4Sale Mabibo: 2 Storeys 4 Bedrooms House For Sale - Dar

    • Direction: Mwisho • Facilities: 4 bedrooms, 2 washrooms • Plot Area: 400 sqm • Document: Title deed • Price: TSH 250 million • Viewing charge: TSH 30,000 . ✓ nyumba (ghorofa) ina vyumba master 2 na kawaida 2; sebule 2, dining, jiko, vyoo vya public 2 na bindo ✓ ina malumalu, gypsum, madirisha...
  9. Kasri Homes Tz

    House4Rent Ilala: 3rd Floor 3 Bedrooms Apartment For Rent - Dar

    • Direction: Sharifu Shamba • Rent: USD 500/month (payment in TSh is accepted) • Terms: 6/12 months • Brokerage fee: USD 500 • Viewing charge: TZS 20,000 . ✓ unfurnished ✓ lift & power backup generator ✓ 1 masters & 2 common bedrooms, sitting room, dining room, modular kitchen, common...
  10. Y

    Biashara ipi ina mzunguko mkubwa kwa maeneo ya uswahilini Dar kati ya hizi?

    Wakuu wa JF Kati ya biashara ya underwear, pochi, viatu vya kike na watoto na biashara ya phone accessories ipi ambayo una uwezekano wa kupata wateja wengi kila siku kwa maeneo ya uswahilini au yenye kipato Cha kawaida kwa hapa Dar?
  11. R

    Naomba msaada wenu juu ya safari ya train kutoka mbeya kwenda Dar es Salaam

    Habari wakuu naomba msaada wenu kuhusu safari za train kutoka mbeya kwenda Dar es Salaa. Ni lini inatoka mbeya kwenda DSM. Zote zikiwemo express na ordinary. Mbeya linaondoka siku gani? Msaada please.
  12. Z

    Fly overs Dar hazipunguzi foleni, ni prestige tu

    Kwa miaka miwili nimegundua ni bora tungejenga barbara nyingi za pembezoni, juzi flyovers ni prestige tu hazisolve tatizo la foleni
  13. nipo online

    Naenda Dar kununua pikipiki used mbagala zakhiem nina kesh ya 1.2m

    Wakuu msaada kwa wazoefu wa dar tafadhali kuna jamaa najiita mwanapunda org. Ni kampuni maaulumu ya kuuza na kununua pikipiki. Kuna chuma 1 inauzwa m. 1 nimeona kunitumia wanaweza nibadilishia pikipiki. Kimbembe wakati wa kurudi nisaidieni usafiri mzuri wa kuipakilisha pikipiki yangu TVS...
  14. Rufiji dam

    Wakazi wa Dar es Salaam, ni wakati muafaka kuitokomeza CCM katika uchaguzi wa serikali ya mitaa kutokana na kero ya maji.

    Kutokana na hujuma inayofanywa na DAWASA katika suala zima la kupatikana kwa maji, ni vyema kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa ni vyema kuikataa CCM kusimamia utawala wa mitaa yetu.
  15. Hyrax

    Leo Mji wa Dar; Gesti, Hotel na Lodge nyingi zimejaa

    Inasikitisha sana kwa hali ya hewa ya leo kuna mtu anaenda kuambukizwa virusi vya Ukimwi, leo hii kuna mtu anaenda kubambwa na mke wa Mtu, Leo hii kuna mtu atapata mimba isivyotarajiwa na safari ya usingle mother inaanza kwake rasmi, Leo hii kuna mtu atafuma meseji za usaliti na violence...
  16. N

    TBL, wadau wajadili usalama wa maji kwa Dar

    Waziri wa Maji, Jumaa Aweso (wa pili kulia) na Mkurugenzi wa Usambazaji Maji wa Wizara ya Maji, Joyce Msiru (katikati) wakipokea ripoti ya Maji inayolenga kukabiliana na changamoto za usalama wa maji jijini Dar es Salaam kutoka kwa Michelle Kilpin, Mkurugenzi Mtendaji wa Tanzania Breweries...
  17. ndege JOHN

    Maeneo gani mazuri kumtembeza mgeni jijini Dar?

    Ni kabinamu changu ila undugu wa mbali kidogo wa ma bibi na mabibi huko alafu ni kapeace kishenzi kametoka Katavi huko hakajawahi kufika Dar hata siku moja ila kamewahi kwenda Arusha sasa juzi tumekutanishwa home na kwa hizi siku tatu kangependa kakate kiu ya kulifurahia jiji hili la raha na...
  18. Stephano Mgendanyi

    Ushirikiano wa Tanzania na Japan Kuwezesha Ujenzi wa Flyover Morocco - Dar

    USHIRIKIANO WA TANZANIA NA JAPANI KUWEZESHA UJENZI WA FLYOVER MOROCCO – DAR. Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ameeleza kuwa Serikali ya Tanzania inaendelea kuimarisha ushirikiano na Japani hususan katika Sekta ya miundombinu ambapo Tanzania inaendelea na mazungumzo na nchi hiyo ya...
  19. Kasri Homes Tz

    House4Sale Mtoni Kijichi: 4 Bedrooms House For Sale - Dar

    • Direction: Kijichi • Facilities: Main house (4 bedrooms, 3 washrooms); 2 servants quarter • Plot Area: 3,800 sqm • Document: Title deed • Price: TSH 450 million • Viewing charge: TSH 30,000 . ✓ vyumba master 2 na kawaida 2; ✓ sebule, dining, jiko, stoo, choo cha public, chumba cha kufulia...
  20. USSR

    Ukosefu wa maji mkoa wa Dar es Salaam,je mtaani kwako kuna maji?

    Sisi wakazi wa mbezi Louis hatuna maji wiki ya pili sasa kwa taarifa za uhakika ni mkoa mzima unatatizo la ukosefu wa maji na huenda waziri Aweso akawa waziri wa tatu kutoka tanga kutimuliwa baada ya Ummy Mwalimu na Januari makamba! Je, mtaani kwako kuna maji? Unateseka na kadhia hii ukiwa...
Back
Top Bottom