dar

Darkənd (also, Dər, Dar, and Der) is a village and municipality in the Ordubad District of Nakhchivan, Azerbaijan. It is located in the south of the Ordubad-Nakhchivan highway, 15 km in the south-west from the district center, on the right bank of the Gilanchay River. Its population is busy with gardening, vegetable-growing, animal husbandry. There are secondary school and a medical center in the village. It has a population of 500. The ruins of the historical and architectural monuments is in the territory of the village. The tomb, the mosque's minaret, etc. is attracting attention.

View More On Wikipedia.org
  1. steve_shemej

    Changamoto bandari ya Dar es Salaam

    Jamani ndugu zangu kunakitu hakipo sawa ndani ya bandari ya dar es salaam Kuna uchekeweshwaji mkubwa wa kutoa mizigo kwenye bandari ya dar es salaam iko hivii meli zinashusha mizigo lakini mizigo bandarini haitoki sijui tatizo nini Mfano mimi nina mizigo ya wateja tv zimeshuka tangu mwezi wa...
  2. Waufukweni

    RC Chalamila avunja ukimya Matukio ya Utekaji, Mauaji ya Watu na Maandamano Dar es Salaam

    Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila, akizungumza katika ziara yake Temeke ya kukagua utekelezaji wa miradi ya maendeleo na kuzungumza na wananchi hapo jana Oktoba 1, amevunja ukimya kuhusu matukio ya utekwaji wa watu na maandamano yaliyofanyika na CHADEMA Septemba 23 katika jiji hilo...
  3. M

    Nataka kuku waliomaliza kutaga 1000+(ex layers)

    Nataka kuku layers waliomaliza kutaga bei ya jumla 11,000 nipo dar es salaam, mawasiliano 0621 863 980,nataka kuanzia 1000+ na zaidi
  4. Tanki

    Kwa Dar es salaam. Ni wapi naweza kwenda kusoma kozi ya Store keeping japo Nipatie Certificate tu.

    Nitashukuru zaidi kama utaniambia na Bei ya hiyo kozi na muda wake hadi kozi kuisha. Natanguliza shukrani
  5. lugoda12

    Tatizo la Maji Dar es Salaam na Pwani

    Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA), inahitajika kufanya innovation katika idara ya manager watu hatuwezi kuwa na viongozi ambao hawajitambui katika wajibu wao uliowafanya wawe hapo! You can imagine maji hayatoki takribani siku 4 sasa na this later imetolewa...
  6. emmarki

    Nani supplier mkubwa wa mayai ya kisasa dar

    Nahitaji kufanya biashara ya mayai, nani supplier au mzalishaji mkubwa. Niko dar
  7. Kasri Homes Tz

    House4Sale Upanga: 9th and 10th Floors 2 Bdrm Apartments For Sale - Dar

    • Direction: Mindu • Facilities: (2 bedrooms, 2 washrooms) x 2 • Floor Area: 81 sqm • Document: Sub Title • Price: Each USD 75,000 (payment in TSH accepted) • Viewing charge: TSH 30,000 . ✓ zipo apartment 2. Moja ghorofa ya 9 na nyingine ya 10 ✓ zote zinajitosheleza. Kila moja chumba master 1 na...
  8. narudi kesho

    Kwanini Waislamu wengi wanaonekana mafukara kuliko Wakristo?

    binafsi nimefanya tafiti katika makanisa na misikiti, haswa katika utoaji sadaka unakuta ukienda makanisani wakati wa sadaka,wanakuwa na bonge la kapu hilo kapu hela zitakozajaa mule haujahesabu unasema pale si chini ya milion 1, njoo huku kwa waislamu unakuta sheikh anachangisha sadaka kwenye...
  9. Kasri Homes Tz

    House4Sale Temeke Mtoni: 2 Apartments and 5 Frames For Sale - Dar

    • Direction: Kijichi Neluka • Facilities: (2 bdrm, 2 washrooms) x 2; 5 Frames • Plot Area: 400 sqm • Document: Title deed • Price: TSH 150 million • Viewing charge: TSH 30,000 . ✓ apartments zinajitosheleza. Kila moja chumba master 1 na kawaida 1 ✓ kuna fremu za maduka 5 ✓ kwa mwezi apartment...
  10. Kasri Homes Tz

    House4Sale Mbagala: 3 Bdrm House and 2 Frames For Sale - Dar

    • Direction: Zakhem Dar Alive • Facilities: 3 bedrooms, 2 washrooms, 7 backyard bedrooms, 2 Frames • Plot Area: 700 sqm • Document: Title deed • Price: TSH 70 million • Viewing charge: TSH 30,000 . ✓ inajitosheleza. Vyumba master 1 na kawaida 2 ✓ banda la uwani lina vyumba 7 na mbele kuna fremu...
  11. Kasri Homes Tz

    House4Sale Mbagala: 3 Bdrm House For Sale - Dar

    • Direction: Zakhem • Facilities: 3 bedrooms, 2 washrooms • Plot Area: 1,000 sqm • Document: Title deed • Price: TSH 75 million • Viewing charge: TSH 30,000 . ✓ vyumba master 1 na kawaida 2 ✓ ina malumalu, gypsum na madirisha ya vioo ✓ ina uzio, paving na parking ✓ pana maji ya bomba na tenki la...
  12. Poppy Hatonn

    Jumamosi ya kesho asubuhi safari ya baiskeli ya Dar kwenda Butiama itaanza

    Hii ni kumbukizi ya Mwalimu Nyerere,safari ya kila mwaka. Itaanzia hapa Msasani Residence saa tatu asubuhi. Sometimes anaalikwa kiongozi wa Serikali to flag them off. Last time waliagwa na DC Gondwe. Wanaokwenda na baiskeli,huwa wanapita hii njia ya Bunju kuelekea Msata halafu kula mbele...
  13. Shooter Again

    Wapi naweza kupata eneo zuri la kujenga jijini Dar Es Salaam?

    Habari za mda huu natafuta Kiwanja Dar maeneo mazuri yaliyotulia kwa ambae anacho naomba tuwasiliane bajeti yangu 10M hili jambo lipo serious na tunaweza kufanya biashara Hata leo hii nawakaribisha maoni yenu ni wapi pazuri kujenga Kwa Dar es Salaam hata kwa Kibaha itakuwa poa naomba mnitajie...
  14. aBuwash

    Naomba ushauri kuhusu biashara yangu inakoelekea inaenda kukata roho sio muda

    Habarii wana JF natumai wote mko salama. Mimi ni mfanyabiashara wa mchele hapa Dar es Salaam Nauza jumla na rejareja. Ila nasikitika toka nifungue hiii baishara yangu nimepitia changamoto nying sana mpka leo na nimekuwa mtu ambaye sikatii tamaa nikijipa moyo kwamba ndo napata experience maana...
  15. Stephano Mgendanyi

    Mhe. Katimba: Daraja la Jangwani Suluhisho la Mafuriko Dar Es Salaam

    MHE. KATIMBA: DARAJA LA JANGWANI SULUHISHO LA MAFURIKO DAR ES SALAAM Naibu Waziri OR-TAMISEMI, Mhe. Zainab Katimba ametembelea eneo la Bonde la mto Msimbazi ambalo hivi karibuni Ofisi ya Rais TAMISEMi kwa kushirikiana na wizara ya Ujenzi kupitia TANROADS wanatarajia kusaini mkataba na...
  16. Kasri Homes Tz

    Plot4Sale Mwenge: 366 Sqm Plot with House and Frames For Sale - Dar

    • Direction: Mpakani • Facilities: House, 5 frames • Plot Area: 366 sqm • Document: Title deed • Price: TSH 200 million • Viewing charge: TSH 30,000 . ✓ iko mtaa wenye pilika za kibiashara ✓ ina nyumba kwa nyuma yenye wapangaji na fremu za maduka 5 kwa mbele ✓ kiwanja cha 3 kutoka lami ya...
  17. Sir Kisesa

    Shipping agent dar

    Habari Nahitaji shipping agent faster , nahitaji kusafirisha bishaa kutoka dar kwenda Dubai au oman Njoo whatsapp leo hi hi 0620304289
  18. Kasri Homes Tz

    House4Sale Magomeni: Semi Detached House with Frames For Sale - Dar

    • Direction: Mwembechai, Kagera Street near Istiqama Hospital • Facilities: 6 bedrooms, 5 washrooms, 3 frames • Plot Area: 380 sqm • Document: Title deed • Price: TSH 275 million • Viewing charge: TSH 30,000 . ✓ Inafanyiwa matengenezo ✓ iko mtaa wa lami ✓ ina pande 2. Kila pande ni self ya...
  19. Pdidy

    KIpa wa Simba Camara apokea hela kutoka kwa mfanyabiashara maarufu wa Nguruwe

    Mfanyabiashara mkubwa wa nguruwe dar es salaam na Dodoma amempatatia kipa wa Simba hela Katika makabidhiano hayo mh sana anasema alifurahi saves zolizooneshwa na mouse Camara libya akamhaidi kumpatia hela kadhaa Hakuishia hapoo akasema kwa wasiomjua yeye ni mfanyabiashara mkubwa wa Nguruwe...
  20. Kiranja Mkuu

    Niko Mbeya nataka niwahi Dar leo, nahitaji usafiri, nitachangia mafuta

    Natanguliza shukrani zangu za dhati
Back
Top Bottom