Darkənd (also, Dər, Dar, and Der) is a village and municipality in the Ordubad District of Nakhchivan, Azerbaijan. It is located in the south of the Ordubad-Nakhchivan highway, 15 km in the south-west from the district center, on the right bank of the Gilanchay River. Its population is busy with gardening, vegetable-growing, animal husbandry. There are secondary school and a medical center in the village. It has a population of 500. The ruins of the historical and architectural monuments is in the territory of the village. The tomb, the mosque's minaret, etc. is attracting attention.
Jamani ndugu zangu kunakitu hakipo sawa ndani ya bandari ya dar es salaam
Kuna uchekeweshwaji mkubwa wa kutoa mizigo kwenye bandari ya dar es salaam iko hivii meli zinashusha mizigo lakini mizigo bandarini haitoki sijui tatizo nini
Mfano mimi nina mizigo ya wateja tv zimeshuka tangu mwezi wa...
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila, akizungumza katika ziara yake Temeke ya kukagua utekelezaji wa miradi ya maendeleo na kuzungumza na wananchi hapo jana Oktoba 1, amevunja ukimya kuhusu matukio ya utekwaji wa watu na maandamano yaliyofanyika na CHADEMA Septemba 23 katika jiji hilo...
Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA), inahitajika kufanya innovation katika idara ya manager watu hatuwezi kuwa na viongozi ambao hawajitambui katika wajibu wao uliowafanya wawe hapo!
You can imagine maji hayatoki takribani siku 4 sasa na this later imetolewa...
• Direction: Mindu
• Facilities: (2 bedrooms, 2 washrooms) x 2
• Floor Area: 81 sqm
• Document: Sub Title
• Price: Each USD 75,000 (payment in TSH accepted)
• Viewing charge: TSH 30,000
.
✓ zipo apartment 2. Moja ghorofa ya 9 na nyingine ya 10
✓ zote zinajitosheleza. Kila moja chumba master 1 na...
binafsi nimefanya tafiti katika makanisa na misikiti,
haswa katika utoaji sadaka unakuta ukienda makanisani wakati wa sadaka,wanakuwa na bonge la kapu hilo kapu hela zitakozajaa mule haujahesabu unasema pale si chini ya milion 1, njoo huku kwa waislamu unakuta sheikh anachangisha sadaka kwenye...
• Direction: Kijichi Neluka
• Facilities: (2 bdrm, 2 washrooms) x 2; 5 Frames
• Plot Area: 400 sqm
• Document: Title deed
• Price: TSH 150 million
• Viewing charge: TSH 30,000
.
✓ apartments zinajitosheleza. Kila moja chumba master 1 na kawaida 1
✓ kuna fremu za maduka 5
✓ kwa mwezi apartment...
• Direction: Zakhem
• Facilities: 3 bedrooms, 2 washrooms
• Plot Area: 1,000 sqm
• Document: Title deed
• Price: TSH 75 million
• Viewing charge: TSH 30,000
.
✓ vyumba master 1 na kawaida 2
✓ ina malumalu, gypsum na madirisha ya vioo
✓ ina uzio, paving na parking
✓ pana maji ya bomba na tenki la...
Hii ni kumbukizi ya Mwalimu Nyerere,safari ya kila mwaka. Itaanzia hapa Msasani Residence saa tatu asubuhi. Sometimes anaalikwa kiongozi wa Serikali to flag them off. Last time waliagwa na DC Gondwe. Wanaokwenda na baiskeli,huwa wanapita hii njia ya Bunju kuelekea Msata halafu kula mbele...
Habari za mda huu natafuta Kiwanja Dar maeneo mazuri yaliyotulia kwa ambae anacho naomba tuwasiliane bajeti yangu 10M hili jambo lipo serious na tunaweza kufanya biashara
Hata leo hii nawakaribisha maoni yenu ni wapi pazuri kujenga Kwa Dar es Salaam hata kwa Kibaha itakuwa poa naomba mnitajie...
Habarii wana JF natumai wote mko salama.
Mimi ni mfanyabiashara wa mchele hapa Dar es Salaam
Nauza jumla na rejareja.
Ila nasikitika toka nifungue hiii baishara yangu nimepitia changamoto nying sana mpka leo na nimekuwa mtu ambaye sikatii tamaa nikijipa moyo kwamba ndo napata experience maana...
MHE. KATIMBA: DARAJA LA JANGWANI SULUHISHO LA MAFURIKO DAR ES SALAAM
Naibu Waziri OR-TAMISEMI, Mhe. Zainab Katimba ametembelea eneo la Bonde la mto Msimbazi ambalo hivi karibuni Ofisi ya Rais TAMISEMi kwa kushirikiana na wizara ya Ujenzi kupitia TANROADS wanatarajia kusaini mkataba na...
• Direction: Mpakani
• Facilities: House, 5 frames
• Plot Area: 366 sqm
• Document: Title deed
• Price: TSH 200 million
• Viewing charge: TSH 30,000
.
✓ iko mtaa wenye pilika za kibiashara
✓ ina nyumba kwa nyuma yenye wapangaji na fremu za maduka 5 kwa mbele
✓ kiwanja cha 3 kutoka lami ya...
Mfanyabiashara mkubwa wa nguruwe dar es salaam na Dodoma amempatatia kipa wa Simba hela
Katika makabidhiano hayo mh sana anasema alifurahi saves zolizooneshwa na mouse Camara libya akamhaidi kumpatia hela kadhaa
Hakuishia hapoo akasema kwa wasiomjua yeye ni mfanyabiashara mkubwa wa Nguruwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.