degree

An academic degree is a qualification awarded to students upon successful completion of a course of study in higher education, usually at a college or university. These institutions commonly offer degrees at various levels, usually including bachelor's, master's and doctorates, often alongside other academic certificates and professional degrees. The most common undergraduate degree is the bachelor's degree, although in some countries there are lower level higher education qualifications that are also titled degrees (e.g. associate degrees and foundation degrees).

View More On Wikipedia.org
  1. Faith Athanas

    SoC02 Jinsi alivyoacha degree yake ya Ufamasia kwenda kusomea kitu anachokipenda(elimu)

    Faith Athanas Elimu inasababu ya kutoa ujinga na kuingiza uelewa na maarifa kwa binadamu. Lakini je elimu hiii je inatoa ujinga kama inavyotakiwa katika taifa letu? Binti huyu wa miaka 24 alipenda sana kusoma alisoma na akasoma inavyotakiwa ,lakini kumbe alisoma kitu ambacho alilazimishwa na...
  2. zink

    Kwa wanaosoma Diploma za Afya njooni tujadiliane hapa siri ya kwenda degree vyuo vya serikali tu

    Natumai muwazima wa afya wana JF. Asikudanganye mtu yoyote siri kubwa ya kwenda degree ya afya ukitokea diploma ni kupata G.P.A KUBWA (KUANZIA 4.5 MPAKA 5.O) Ukipata hiyo G.P.A Hakuna chuo chochote kwa hapa Tanzania utachokosa mkuu haijalishi Umeipatia wapi hiyo GPA yako kubwa maana hawaangalii...
  3. Mwamuzi wa Tanzania

    Ushauri: Kama unataka kulamba asali bila wasiwasi soma degree ya manunuzi

    Habari! Waswahili wanasema kama huwezi kuwapiga basi ungana nao ili nawe uanze kuwapiga maadui ambao awali mlikuwa marafiki. Uza hata mashamba, achana na kufanya vitu visivyoleta tija. Ukiingia serikalini umeula, yaani ni mwendo wa kula asali tu. Box la peni serikalini linauzwa mpaka elfu 50...
  4. African Geek

    Ushauri kuhusu kurudi chuo kwa ajili shahada ya Computer Science

    Yes
  5. African Geek

    Ushauri kuhusu kurudi chuo kwa ajili Degree(Computer Science Degree)

    Yes
  6. Anganjwiri92

    Naweza kufanya kazi TPA au TASAC nikiwa na Shahada ya Shipping and Logistics Management?

    Habari wapendwa!! Nina degree tajwa hapo juu nimemaliza pale chuo DMI, vipi naweza fanya kazi TPA au TASAC? Majibu yenu muhimu. Thanks
  7. M

    Kuhusu upotoshaji kuwa "Wasomi hawaajiriki", hebu tuwatambue matajiri wasomi

    UPOTOSHAJI "WASOMI HAWATAJIRIKI" EBU TUWATAMBUE MATAJIRI WASOMI DEGREE LEVEL Kwangu mm nauona huu ni upotoshaji mkubwa na wenye madhara kwenye jamii yetu.. Nachojua ni kweli wasio wasomi kwa ujumla ni more risk taker kulinganisha na wasomi lakini hii pekee sio factor ya ku generalise...
  8. Calvin 45

    Je, kuna uwezekano wa kupata mkopo university kama ukitokea diploma kwenda degree

    Naombeni msaada wenu wakuu. Nimemaliza diploma na nilikuwa napenda kuendelea na elimu ya juu lakini kulingana na hali ya maisha naweza nikashidwe kujihudumia na kama mnavyo fahamu chuo kikuu ni gharama kubwa. Naomba kufahamishwa kama naweza pata mkopo ili niweze kuendelea na elimu yangu...
  9. sky soldier

    Kama huna "C" ya hesabu o-level na una ndoto za kusomea IT ni vema uende chuo ukimaliza form 4, Ukienda form 5 utakosa vigezo vya kusoma IT

    copy paste ila mawazo ya mdau nimeyakubali na nimeona niweke awareness yake humu Hivi karibuni baadhi ya vyuo vimeanza kukaza viwango vya ufaulu ili kuwachuja zaidi wanafunzi wanaotoka form 6 kuingia degree, katika moja ya vigezo walivyokaza ni kuhitaji aufaulu katika masomo ya hesabu ya form 6...
  10. R

    Nahitaji kutimiza ndoto yangu ya muda mrefu ya udakitari

    Poleni na majukumu ya kila siku ndugu zangu, nimemaliza degree ya kwanza ya business administration na nina kazi yangu binafsi kwa sasa lakini haikuwa ndoto yangu ilinilazimu kusoma Ili nipate kwanza kazi ya kufanya. Ndoto yangu ni kuwa daktari na sikuweza kutimiza vigezo kwenye masomo ya...
  11. D

    Naomba kufahamishwa kuhusu bachelor degree ya Education in Earlychildhood

    Habari za muda huu wanajamvi. Naomba kufahamu zaidi kuhusu elimu tajwa hapo juu. Mimi ni muhitimu wa kidato cha sita mwaka huu 2022,nimesoma tahasusi ya HKL. Hivyo naomba mwenye ufahamu anipe dondoo kuhusu elimu hii. Ahsanteni.
  12. kyagata

    Jamaa yangu ana Pass degree ila kapata kazi kwenye multinational company bila connection

    Sio kwamba nimesimuliwa hapana. Huyu jamaa yangu alihitimu bcom in accounting kutoka pale udbs miaka kadhaa iliyopita. Basi majuzi kati tuko nae ghetto tunapiga mvinyo tukaona tangazo kutoka kwenye kampuni kubwa mafuta lenye makao makuu yake huko Uingereza wakihitaji mhasibu kigezo ni uwe na...
  13. M

    Giza latanda, kwa waliosoma degree kupata ajira serikalini ni sawa na punda kupita tundu la sindano

    Sio siri kwa jinsi mwelekeo ulivyo kwa Sasa kwa watu waliosoma degree kupata kaz serikalin no asilimia ndogo Sana. Na kwa masikitiko makubwa wengi waliosoma degree ni wenye uchumi mdogo walifanya hivyo kutokana na kulipiwa ada na serikali. Najua kuna baadhi ya wanamember watasema kusoma ni...
  14. 666 chata

    Una Degree na unafanya kazi ambayo ungeweza kuifanya hata kama ungeishia darasa la saba

    Wakuu kwema! Huyu Rafiki wa zamani tulipotezana miaka mingi kidogo, enzi za chuo chuo miaka ile mwamba akisomea moja ya fani ya Engineering pale DIT. Miaka hiyo tukiongelea future jamaa alikuwa akijiweka katika nafasi kama tisa hivi za juu za nchi vile akiamini uinjinia utakapo mweka. Juzi...
  15. A

    Mshahara wa mfamasia na medical laboratory science kwa gazi ya degree

    Wanajamii forum naomba kuulizia Ni kiwango gani cha Mshahara wa mfamasia na medical laboratory science kwa gazi ya degree kwa Zanzibar (s.m.z)
  16. A

    Kozi za degree zinanzo husiana na geography

    Naomba kupata outline za course za masomo yanayohusu Field ya geographia Mimi nikijana niliemaliza kidatu Cha sita 2022 combination ya CBG Nina penda Sana geography nanina ndoto za kusoma degree yenye kuhusu field yake chuo kikuu
  17. chr1xt0pher

    Mwenye ufahamu na vyuo vinavyotoa degree ya Computer Science

    Habari za siku ya leo, Swali lang ni kwa yeyote anayejua baadhi ya vyuo mbalimbali vinavyotoa degree za computer science. Nitashukuru Sana maana nipo kwenye mikakati ya kutafuta ila sioni mafanikio yoyote. Pia kama kuna anayejua baadhi ya website zinazotoa course kama hizi pia naomba...
  18. C

    Experience kwa waliosoma Open university degree ya kwanza

    Kama mada inavyojieleza hapo wakuu, naomba kufahamu uzoefu walopata wale waliopitia mfumo huo wa elimu kupata shahada zenu. Hiyo ikihusisha namna ya kusoma ugumu na wepesi na pia baada ya kumaliza kusoma.
  19. DR HAYA LAND

    Nimeangalia idadi ya watu tulio na shahada ya kwanza hatuzidi Milioni 2. Kumbe wasomi bado tupo wachache sana

    Vijana someni msisikilize propaganda bado idadi ya wasomi wa Elimu ya Juu tupo wachache sana. Just imagine nimeangalia watu tulio na degree tupo 2M+ Kati ya Watz mil 60+ Kiukweli kitu kinaitwa degree msikichukulie poa kina hadhi yake. Ni hayo tu wasomi bado tupo wachache so hoja za kuwaponda...
Back
Top Bottom