Mtu mweusi ni mkaidi sana.
Mpe uhuru, ajipatie nafasi ya kubania wengine uhuru.
Mpe mamlaka, ajipatie nafasi ya kutajirika haraka.
Mwafrika katika harakati analalamika kuhusu njaa na tabu, akipata ugali, anawaita wenye njaa ni washamba na wavivu.
Mwafrika hugeuza cheo kuwa kampuni, Mwafrika...