dereva

  1. Jimmy patrick

    Mimi ni Dereva mwenye uzoefu, natafuta kazi

    Habari waungwana. Naitwa James patrick naishi Dar es salaam, nina miaka 26, natafuta kazi ya udereva Nina uzoefu wa kuendesha ndani na nje ya jiji la Dar, pia nina uzoefu wa kuendesha gari za uber kwa miaka mitatu hvyo basi ninalifahamu vyema jiji la Dar. Sichagui mkoa na wala sichagui ni...
  2. GENTAMYCINE

    Aliyeishuhudia ajali iliyoua dereva bodaboda Goba saa 1 usiku (8-6-2021), tufahamishe ilivyokuwa

    Kwa jinsi Dereva ' Bodaboda ' alivyokuwa kaumia vibaya Kichwani na Kuburuzwa nilishindwa Kujizuia na Kusikitika sana tu na kujikuta nakimbia (natoka Baru) eneo la Tukio kwa Kiwewe na kwenda 'Kuisikilizia' Ajali kwa mbali. Najua (Huenda) Tukio lile lilishuhudiwa na mwana JamiiForums mwingine...
  3. SYENDEKE

    Natafuta dereva wa truck mwenye class E ya leseni

    Natafuta Dereva wa kufanya kazi mkoani mwenye leseni Class E na uzoefu wa kuendesha Howo SinoTruck. Umri usizidi miaka 35 years. Tuma maombi yako hasaf203@gmail.com
  4. beth

    Japan: Dereva wa Treni akabiliwa na adhabu baada ya kwenda kujisaidia

    Dereva wa Treni iliyobeba watu 160 Nchini Japan anakabiliwa na adhabu baada ya kuachia nafasi yake kwa dakika kadhaa ili kwenda kujisaidia Dereva huyo wa miaka 36 aliumwa tumbo na alihitaji kwenda maliwatoni haraka hivyo alimuita Kondakta asiye na Leseni ya Udereva, na kumuachia treni kwa...
  5. M

    Mimi Dereva nina uzoefu wa zaidi ya miaka mitatu

    Wakuu habari za kazi, Naomba msaada wenu wa kupata kazi ya udereva, mtu yeyote mwenye conection anisaidie, nilisomea veta leseni yangu ina madalaja A B D E, pia nina uzoefu wa zaidi ya miaka mitatu kama cv yangu inovyo onesha, naendesha magari madogo, na truck. Call/WhatsApp, 0766428475...
  6. Papaa Mobimba

    Morogoro: Mwanamke, dereva wafariki dunia baada ya bajaji kugonga treni

    Mwanamke aliyetambulika kwa jina moja la Fatuma anayekadiliwa kuwa na umri wa miaka 35 hadi 39 na dereva wa bajaji ambaye naye jina lake halijafahamika wamefariki dunia leo baada bajaji waliokuwa wanasafiria kugonga treni eneo la Modeko Kata ya Mazimbu mkoani Morogoro.
  7. Jamii Opportunities

    Dereva wa Mashua/Vivuko Daraja la II Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe

    POST: DEREVA WA MASHUA/VIVUKO DARAJA LA II – 1 POST POST CATEGORY(S): TRANSPORT AND LOGISTICS EMPLOYER: Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe APPLICATION TIMELINE: 2021-05-07 2021-05-19 JOB SUMMARY NA DUTIES AND RESPONSIBILITIES Kufunga na kufungua kamba za mashua/kivuko Kuchunga usalama wa abiria...
  8. Mwanamayu

    Kutoka dereva wa lori mpaka nahodha wa jahazi; je kule jahazi linapotakiwa kufika pakoje?

    "Jahazi hili, upepo uwe mwingi, upepo uwe mdogo, jahazi hili lazima likate mawimbi hili safari ifike." Mhe. Rais Samia. Dereva wa lori, Mungu amrehemu, nae alisema anatupeleka kwenye nchi ya asali na maziwa, hivyo tulitakiwa kutulia na kuwa kwenye mako wowote ule. Lakini ndio hivyo katutoka...
  9. J

    Yuko wapi yule dereva "Giriki" wa basi la Tawaqal?

    Mara ya mwisho nilipanda basi la Tawaqal nikitokea mkoani Ruvuma lakini kwa sasa ni muda mrefu Tawaqal zimeachana na route hiyo. Nauliza Wahenga wale wa "Watu wa safari" huyu nguli wa barabarani dereva Giriki yuko wapi siku hizi? Kazi Iendelee cc: Bujibuji
  10. hp4510

    Nahitaji Dereva mwenye leseni

    Wakuu Naitaji Dereva ambae anaweza kuendesha gari manual Namwitaji kwa siku ya kesho tu but kama atakuwa vizuri atafanya hiyo kazi moja kwa moja Niko dar es Salaam chanika, Mtu alie tayari anidm tafadhali
  11. K

    Natafuta Dereva wa Bajaj wa mtandaoni

    Habari wakuu, Natafuta dereva wa bajaji (sio wa gari)mwaminifu, mchapa kazi na Hana visingizio mwenye leseni hai ambaye ana akaunti hai ya bolt na Uber, mwenye uzoefu angalau mwaka mmoja na mkazi wa Dar na anayepaki maeneo ya Sinza, Mwenge, Makumbusho, Moroco, Mikocheni, Oysterbay au Masaki...
  12. Miss Zomboko

    Dereva wa basi la shule adaiwa kumnajisi Mtoto wa miaka 5

    Dar es Salaam. Jeshi la Polisi Mkoa wa Kinondoni, linamchunguza dereva wa basi la wanafunzi, Yohana Mwambene, kwa tuhuma za kumnajisi mtoto wa miaka mitano. Dereva huyo anatuhumiwa kufanya kitendo hicho kwa mwanafunzi wa darasa la kwanza wa Shule ya St. Anne Marie Academy iliyopo Mbezi kwa...
  13. T

    Kuna cha kujifunza hapa, inakuwaje dereva bodaboda ana kitambi na uzito mkubwa?

    Siku moja nikiwa Kariakoo niliona jambo la kustaajabisha sana. Nilikuta kundi la boda boda wana miili mikubwa kushinda hata ukubwa wa TVS walikuwa nazo ndipo nikajiulizw why wana miili mikubwa kama majitu? Na haya ndio majibu Watu tuna kula sana kuliko tunavyo wekeza yes wengi ya bodaboda...
  14. J

    Dereva wa uber natafuta kazi

    Habari ndugu zangu Mimi ni dereva wa Uber natafuta gari ya kazi. Nina uzoefu wa Kazi zaidi ya miaka miwili ya Uber Nina account ya uber na bolt pia nina leseni class c pia gari iwe ya mkataba au hesabu niko teyari. Namba yangu ni 0624055653
  15. Idugunde

    Rais Magufuli: Niliwahi kuwa dereva wa teksi bubu

    Rais Magufuli ametoa siri hiyo leo wakati akizindua daraja la la Ubungo lililopewa jina la Kijazi Interchange. Rais Magufuli amedai kuwa alipokuwa mwanafunzi wa chuo kikuu cha Dar es Salaam alikuwa akipiga kibarua cha kuendesha teksi bubu ili ajipatie chochote kitu. Na kituo alichokuwa anapaki...
  16. Chizi Maarifa

    Rafiki yangu alitaka Tufe, Dereva wa Lorry akakubaliana naye, Mungu akamtumia Dereva mwingine Kutuokoa

    Mwaka jana Oktoba ni mwaka ambao kumbukumbu yake inanijia sana. Leo nimekumbuka zaidi baada ya kuonana ma Dereva mmoja anaitwa Richard. Siku hiyo nilikuwa na gari yangu kubwa ni ya Diesel Manual ina Speed 240. Tumetoka Dar na jamaa yangu tunaelekea Dom. Huku kote nlikuwa naendesha mimi mpaka...
  17. Stiffler88

    Wenye uzoefu na udereva wa Uber na Bolt, naomba kujua faida, hasara na changamoto zake

    Baada ya chuo, kama kijana naona wakati nikiendelea kutafuta kazi nifanye biashara ya Uber/ Bolt. Sasa wenye uzoefu Naomba wanijuze nn cha kufanya ukiwa unaanza, faida na hasara na pia changamoto za hii kazi. Maana nmeskia kuna ambao wana-make na ambao wanakua loss.. Pia namna nzuri ya ku...
  18. dubu

    Kuna Video iliyokuwa ikionesha Polisi/traffic wa Inyala, Mbeya wakimshusha kwa nguvu dereva wa lori. Polisi wadai amekufa kwa homa ya mapafu

    Salaam wakuu, Kumekuwa na video mitandaoni ikionesha polisi/traffic wa Inyala, Mbeya wakimshusha kwa nguvu dereva wa lori na kumuangusha chini, na baada ya hapo imeripotiwa dereva huyo amefariki. Tunaomba mamlaka husika itolee majibu sintofahamu hii, na ni nini kinachopelekea matumizi ya nguvu...
  19. D

    Spika, jinsi wabunge wanavyoiba/kufisadi pesa za walipa kodi wanazopewa kama mishahara ya makatibu, wahudumu na dereva wa mbunge

    Mh. Spika simamia ajira za wasaidizi wa Mbunge kuondoa ubinafsi, uchoyo na ufisadi. Wabunge wengi hawalipi mishahara kamili kama inavyotoka bungeni. Watumishi hao ambao ni watatu, Katibu, Dereva na Mhudumu wa ofisi hawapewi mikataba ya kazi na wabunge kinyume na agizo la Bunge. Wasaidizi hao...
  20. Ack

    Madereva wa mijini hasa Dar (kwenye lami) vs madereva wa mikoani (rough road )

    Kuna watu hujiita ni madereva na wapo hapa mjini kweli kwa mjini wanatesa sana na wanaendesha vizuri na control wanayo, Lakini ukija kwenye madereva wa mikoani hasa wale wanaotumia barabara za rough kiukweli wana uzoefu mkubwa mno i mean next level, hii n kutokana na changamoto wanazokutana...
Back
Top Bottom