Habari za mida hii wakubwa?
Naomba kuleta ombi hili kwenu mwenye uwezo asaidie.
Kuna mama mmoja (kamshirikisha mume wake) hapa anahitaji fedha kiasi cha Tsh milioni 5 (mkopo), anaweka dhamana nyumba yake (hati ya nyumba ipo).
Mtaandikishana kwenye vyombo vya sheria na taratibu zote...